Search This Blog

MZIMU ULIOREJEA - 2

 







    Simulizi : Mzimu Uliorejea

    Sehemu Ya Pili (2)



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa lugha nyepesi twaweza kusema wakaanza kunyonyana ndimi zao

    Wakati wakifanya tendo lile mkono wa MARTIN ulipenya katika tshart alovaa binti yule na kuzipapasa chuchu zake ndogo



    Binti akazidi kutoa mguno ule,mguno ambao MARTIN halisi alipousikia alizidi kujiimarisha kwa kutunisha misuli yake na kumuumiza MARTIN katili



    Akaitaji kulimega tunda lile,mkono wake ulobakia akauzamisha ndani ya suruali ya jeans alovaa binti yule

    Aliishia nje ya ikulu takatifu akaanza kuipapasa taratibu



    Sasa ulimi wake alishautoa mdomoni kwa binti yule na kuusambaza katika sikio LA Dada yule



    Binti yule akawa huru kutoa milio yote aiwezayo

    Dakika kadhaa Mbele kila mtu alikuwa kama alivyozaliwa



    MARTIN akiwa kaushika mguu mmoja wa binti yule kwa juu huku akipampu juu chini ,juu chini.

    Dada alishindwa kuvumilia kupiga kelele



    Akajiachia



    Hata muungurumo wa simu yake akuusikia kwani alikuwa katikati ya kisima cha mahaba



    'Kisiwa cha malavy Davy"



    Ndiyo alikiri moyoni mwake hakukuwa na mwanaume alomshughulikia kama MARTIN



    Ndiyo



    Martin alikuwa Fundi katika medali hii ya kimapenzi



    "Nakupenda JASMIN na natamani nikumiliki,ila kikwazo ni SAID"



    "Mp naweza kumuacha kwani ameniowa mpaka asiachwe kwanza yeye muislam Mimi mkristo naye hataki kubadili Dini..."



    "No mpz side ni rafiki yangu sana ni aibu Ku kuchukua wewe angali yeye ni mzima..."



    Binti yule ambaye Martin alimtambua Kama JASMIN alishtuka kwa kauli ile



    "Unamaanisha nini mpz wangu?!"



    "Yah naitaji Side afe Leo hii hi"



    "Haaa!!! Kivipi mpz?!"



    "Si kazi ngumu na ntakulipa milioni 50 gari ya kutembelea na ntakuvisha Pete ya u chumba"



    "Waooo! Ila beby ntamuaje sasa nimuwekee sumu kwenye kinywaji yule mwanaume simpendi"



    "No beby! Kuna dawa ntakupa unajipaka kidogo mkononi unamgusa wewe unaenda kunawa kuokoa maisha yako baada ya lisaa limoja yani dakika 60 ndo inaanza kufanya kazi!"



    Aliongea Martin akajinyanyua akaenda katika kabati LA nguo akalifungua akatoka na kajichupa kidogo na kumkabidhi Jasmin

    Binti yule akusema kitu akakisweka katikati ya kipima joto chake kilichojaa vipodozi

    Pindi alipoishika simu yake akashtuka baada ya kukuta missed calls 5 za side

    Akatabasamu!



    "Tena wakati tukiwa kwenye raha zetu huyu ndo alikuwa anatusumbua"



    "Mpigie usikie anataka nini?!"



    Martin alishauri Jasmin akatii akampigia huku akiwa kaweka loud spiker



    "Mpz mbona nakupigia simu upokei?!"



    Jasmin akaukunja mdomo wake...



    "Sorry my hubby nlikuwa bafuni naoga!"



    "OK mpz nakuomba uje hapa Samora inn mwenzako nimezidiwa"



    "No honey sitoruhusiwa kutoka chuoni mchana huu"



    "Plzzzz mpz njoo mwenzako nipo hoi naitaji tiba yako nakuomba roho yangu uje"



    Side akazidi kumbembeleza Israel yule aende pasina kujua binti yule alovishwa roho ya kishetwani na bosi wao martin aliitamani sana nafasi ile na muda ule alikuwa kalalia kifua cha mwanaume na hayupo chuoni kama alivyodai



    "BAsi kwa kuwa nakupenda nipe nusu saa nitakuwa nimesha kutibu habiby wangu"



    Akajibu Jasmin kwa sauti hafifu,sauti ilotokea puani,sauti ambayo. Ina mtoa nyoka pangoni,sauti ambayo hata mwanaume ambaye si rijali akiisikia si baba lazima msoloboko wake utaonesha uwepo wake.



    Akamkonyeza martin



    Martin akamdaka

    Lakini binti yule akafanikiwa kuchomoka



    "Ngoja kwanza nikalifyeke gugu lililomea katikati ya bustani nzuri ya mahaba yetu na kisha Mimi ntakuwa wako pasina kizuizi chochote"



    Akaaga Jasmin aliogopa hata kumbusu rijali yule kwa kuofia kuingizwa mtegoni tena



    "Sawa mpz kazi njema take care my sweet lovly"



    "OK mpz mwaaaaa"



    Aksmbusu cha mbalimbali na kufungua mlango na kutoka



    "Rest in piace swaiba baada ya hapo namalizia huyu binti then nakaa kwa amani sasa"



    Akajiwazia martin



    ************



    SAMORA INN



    SIDE aliona muda auendi,macho yake ayakutua usoni mwa mpz wake JASMIN



    Alikuwa na kiburi si alikuwa na fedha za kutosha



    Katu akujua yalikuwa moyoni mwa mrembo yule



    Akutaka kulewa sana akihofia kutomfaidi Jasmin



    JASMIN aliomba ruksa ya kwenda toilet akaenda kujipaka dawa kidogo aliporudi alimsogelea side na kuanza kumpapasa akimpaka dawa ile

    Side aligugumia kwa utamu



    Ghafla Jasmin akajifanya amebanwa tena na kukimbilia chooni



    Lengo lake ni kwenda kuosha mikono yake vizuri

    Side alihisi pengine mwenzake tumbo lilimsumbua



    Tumbo LA kuhara



    Dakika chache baadaye hali yake ikaanza kubadilika



    Akawa ana hema kwa shida

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Mwili ukaanza kubadilika rangi na kuwa mweusi



    Jasmin akusubiri akapotea eneo lile

    Akamtumia msg MARTIN kuwa tayari,MARTIN akamwelekeza mahali halipo



    Jasmin akaelekea moyoni akiwa mwingi wa furaha

    Laiti angejua?!



    **********



    Inspekta NURDIN baada ya kuonana msg za kutilia mashaka kati ya SIDE na MUSA akamtilia mashaka said

    Akachukua zile namba za side na kuziingiza katika simu yake akazipiga

    Zikaita bila kupokelewa,akukata tamaha kwa kuwa ni MTU alomuitaji aliendelea kusikiliza ghafla zikapokelewa



    "Alooh samahani hapa ni SAMORA INN mmiliki wa simu hii ayupo tena duniani,kama wewe ni ndugu yake tafadhali fika Samora inn upesi"

    Ghafla simu ikakatika



    NURDIN akabaki kanata kama sanamu simu ikiwa bado sikioni

    Alipigwa na bumbuwazi





    Habari ile ilimughadhibisha,iweje kila anapopata mwanga litokea tatizo?!



    Tatizo ambalo linakuwa kama kikwazo kwake?!



    Akawaza lakini alijua fika kuwaza vile siyo suluhu ya muwafaka katika swala lile



    Akajinyanyua na kutoka ndani ya ofisi yake ile ndogo akuitaji kumshtua mtu yoyote yule akaingia ndani ya kipira cha polisi na kuelekea Samora inn,



    iliyokuwa maeneo ya kwamtei

    Dakika tatu baadaye alikuwa Mbele ya mwili ulobadilika rangi na kuwa mweusi tii.



    ulitisha hata kwa kuangalia Kama kawaida yake INS NURDIN akavaa gloves zake za kazi na kuanza kuchunguza mwili wa marehemu yule

    Mmoja wa 4 killers,akaskari wote wa kawaida aliowakuta pale wakampisha,



    kama kawaida yake akabeba simu na kuwaachia madaktari kazi ya kuuchunguza mwili ule ili ajue ni aina gani ya simu ilotumika kuudhoofisha na kuubadilisha rangi mwili ule

    Kazi ile ikazidi kuwa ngumu,



    " unasema marehemu alikuja na mwanamke ambaye u nahisi ni mpz wake na baada ya kuigundua maiti hii. Yeye akuonekana?!"



    NURDIN alimuhoji muhudumu wa hotel I hiyo alokuwa zamu



    "Ndiyo insp"



    Dada yule alokuwa nadhifu alijibu.

    Nurdin akamwangalia kwa dakika kadhaa



    "Baada ya kugundua juu ya mwili huo ni kitu gani cha kwanza ulichofanya?!"



    Lilikuwa swali jepesi kwa muhudumu yule



    "Nilimwambia meneja,meneja ndo akawajulisha maaskari na ndugu zake"



    NURDIN akashtuka



    Akatoa macho ya mshangao



    "Ndugu zake?!,wako wapi hao"



    Askari yule akahoji sambamba na kumwangalia kila mmoja alokuwa eneo lile...



    "nop insp wakati tukiwa tunaishangaa maiti hiyo kabla maaskari hawajaja simu yamarehemu ikaita meneja akachukua na kupokea akamweleza wazi kuwa mwenye simu sasa ni marehemu"



    Nurdin akayapeleka macho yake kwa meneja yule



    "Kimbelembele ndicho kilichokufanya ukapandishwa cheo na kuwa meneja eeh!"



    Kijana yule akakaa kimya



    "Una miaka mingapi kazini?"



    Akamsweka swali lingine



    "Miaka 15"



    "Ndani ya miaka hiyo ilishawahi kutokea tukio kama hili katika hoteli yenu?!"



    "Hapana afande haijawahi kutokea"



    NURDIN akaandika maelezo Yale



    "Umeharibu utaratibu mzima wa kesi hii kwa kupokea hiyo simu ni kosa la jinai itakuhusu simu zilipigwa ngapi?!"

    "Moja tu afande"



    Nurdin alitambua ni ile yeye aloipiga ila kisheria haikuwa haki ndugu msomaji

    Ilo ni funzo katika matukio kama hayo tusiguse kitu chochote cha maiti hata maiti yenyewe kwani hiyo ni kazi ya wana usalama wenyewe

    Ins akamgeukia Yule msichana wa kwanza



    "Unasema marehemu alikuja na binti ambaye alionekana kama mpz wake si ndiyo?!"



    Binti yule akatingisha kichwa kuafiki

    Nurdin akaachia tabasamu



    "Na je ukimwona utamtambua?!"

    Msichana yule akashtuka

    "Ndi..ndi...hapana"



    Yule muhudumu alibabaika kidogo,askari yule akabasamu kumuondoa woga.



    "Ucjali binti naomba namba zako ntakutafuta"



    "Sawa afande ni 0652281153"



    "Jina?!"



    "Salha"



    "OK mi ni ins NURDIN"



    Akajibu afande yule sambamba na kuziandika namba zile katika kijitabu chake na kuondoka eneo lile

    Akiacha madaktari wa hospitali ya mawenzi wakiubeba mwili ule kuupeleka hospitalini kwa uchunguzi

    NURDIN alijiuliza vifo vile vinatokana na nini?!



    Ni wazi vilimchanganya sana

    Kwa upande wa MARTIN aliona kazi imeisha alibaki tu Jasmin ili awe guru

    Kazi ya kumuua msichana yule kwake ilikuwa ni kazi ndogo

    Muda wote tabasamu alikuyeyuka usoni lake



    ***********



    Ins wa jeshi LA polisi NURDIN alipiga namba zilizoifadhiwa kwa jina LA my love katika simu ya side



    Ni namba zilizopigwa Mara ya mwisho kabla ya kifo chake hakuwa na shaka kuwa zilikuwa ni namba za muhusika

    Ghafla sauti nyororo ikapokea simu ile

    Na kabla yule dada ajauliza kitu nurdin akakata simu ile,akageuka kitengo cha mawasiliano



    "Unaweza kunambia hii simu imetoka sehemu gani?!"



    "Dakika tano afande"



    "Poa"



    "Embu piga tena"



    Anasema jamaa wa kitendo cha mawasiliano

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    NURDIN akatii



    Akaipiga simu ile na ikaita



    "Mimi ni insp NURDIN inaitajika ujisalimishe mwenyewe kituo cha kati"



    Jasmin akashtuka



    Kipindi hicho alikuwa nyumbani kwake maeneo ya pasua

    Nurdin akaelekezwa eneo hilo akaingia ndani ya gari lake kuelekea nyumbani kwa binti huyo katili



    JASMIN amani ilitoweka moyoni mwake,alijua kipindi cha kuingia katika mkono wa Sheria kilikuwa kimewadia



    'Maaskari wamejuaje?!,Na MARTIN si alihaidi kunilinda?! Embu ngoja ni m call'



    Akaamuwa kumpigia MARTIN na kumwambia kuwa anaitajika kituoni,



    MARTIN akamwambia swala lile si la kuongelea kwenye simu waonane muda huo huo ili walijadili swala hilo



    JASMIN akakubali,maskin laiti angejua kilichopo moyoni mwa mwanaume huyo???!!!



    Dakika kadhaa baada ya JASMIN kuondoka gari ya polisi ilombeba NURDIN ndani yake ilipaki mtaa wa nyuma toka katika mtaa aloishi binti yule akashuka insp akiwa kavaa nguo za kiraia akachepuka kuelekea katika nyumba ile ya jasmin.



    Ni nyumba ya kupanga,akamuulizia na kuelekezwa chumba chake



    Alipigwa na butwaa baada ya kukutana na kofuli



    Akutaka kurudi nyuma akaingiza mkono wake wa kuume mfukoni akatoka na 'master key'



    Au ufunguo Malaya akaupachika katika kofuli lile kufuli likatii akazama ndani

    Kilikuwa ni chumba kipana kizuri



    Nurdin akakagua kagua akuona ushahidi wowote wa mahana

    Akapiga tena kitengo cha mawasiliano akawaambia anapiga tena zile namba wamjulishe mdada huyo yupo wapi

    Akakata na kupiga namba zile



    "Namba unayopiga haipatikani tafadhali jaribu tena baadaye"



    Akakata ghafla msg ikaingia

    Akafungua na kusoma....



    'Sauti hiyo imetoka katika jengo LA makao makuu ya vodacom mliman city'



    Ins NURDIN akasonya,baada ya kupewa taharifa ile yani kutopatikana kwa simu ripoti ndo hiyo



    Akajikalisha katika kochi aina ya sofa alishakata shauri amsubiri hapo hapo

    Nusu saa ikakatika yupo p,ale pale akiwa katika mawazo mazito



    Juu ya vifo hivi vya utata na kutopata mwanga japo wa kumuhisi tu muuaji

    Mawazo Yake yale akayakatisha baada ya simu yake kuita akaipokea



    "Aroo afande kopro kipere hapa

    naongea nipo kimbiji kuna mauaji mengine yametokea ya mwanamke kama Yale ya yule kaka wa Samora inn arobadirika rangi"



    "Naja hapo saiv"



    "Ovar"



    Simu ikakatwa



    NURDIN akatoka ndani ya chumba kile akasahau hata kufungua mlango wa watu



    Akachepuka kuelekea nyuma ya mtaa ule na kuingia ndani ya kipira kile akatoka kwa spedi,alikuwa na uhakika vifo vile vinashabihana na vina lengo LA kuficha kitu



    Ni kitu gani?!



    Hicho ndicho alichopaswa akijue

    Nusu saa alifika na kupokelewa na umati wa watu,waliye mzingira mwanamke mmoja aloanza kubadilika rangi na kuwa kama side



    'Bila shaka huyo izrael nlomkosa home kwake ndo kaja kutenda haya kwa mwanamke mwenzake kwa nin lakin?!'



    Aliwaza NURDIN na kujitoma uzuri mmoja simu ya binti yule aliikuta,ndo kitu alichokuwa akikikosea MARTIN kuacha ushahidi wa simu



    "Huyu Dada alikuwa aliongea na kijana mmoja ambaye alitoweka kabla ya kifo chake na alionekana kama mpz wake"



    NURDIN akashtuka!!!



    Alitegemea muuaji angekuwa wa kike ila kusikia ni jamaa ake! Akakosa raha



    "Huu ni mtandao au?!"



    Ghafla wazo flani likaanza kumjia,fikra ambazo akuzipenda ziwe chanya

    Muhudumu alitoa maelezo kwa ins NURDIN naye akayaandika



    'Vifo hivi vitakuwa vinashabihana,iwe isiwe'



    Kijana yule aliwaza akakumbuka ripoti aloipata mapenzi juu ya simu Kali iliyomuondoa duniani side



    Mawazo juu ya binti alotoka nyumbani kwake yakamjia,akaapa kumsaka na ndiyo atakaye fumbua fumbo ilo



    Maskini akujua kama Dada huyo ndo hiyo maiti ilikuwa Mbele yake

    Mwili wa JASMIN ukapelekwa hospitalini Kwa uchunguzi

    Bado kidogo roho ingemtoka INS NURDIN Kwa mshtuko baada ya kugundua yule msichana alouwawa kimbiji ndiyo yule alousika na mauaji ya side



    Uhusiano wa simu mbili kati ya simu ya side na ya JASMIN ambazo zote zilikuwa katika mkono wake ulimtilia shaka



    Na alipopiga namba ya simu ya JASMIN iliita ya yule Dada

    NURDIN akapiga ngumi meza kwa mfadhaiko,



    'Nini KINACHOENDELEA hapa na nani yupo nyuma ya haya matukio?!"



    Akajiuliza mwenyewe kwa sauti kubwa akili ikimchanganya kila alipopiga hatua alirudishwa nyuma



    'Itabidi huyu mwanaume aliyekuwa na huyu mwanamke hapatikane haraka atakuwa anajua kila kitu labda naye aangamizwe'



    NURDIN aliendelea kuwaza

    Akatuma namba zile za JASMIN kitengo cha mawasiliano



    "Naomba mnitumie maneno ya MTU wa mwisho aliyeongea naye"



    "Dakika mbili mkuu usikate simu"



    "OK"



    BAADA YA DAKIKA MBILI



    "Mkuu unaweza kusikiliza sasa tumekutumia kwa njia ya audio"



    "Ovar"



    Simu ikakatwa



    NURDIN akafungua audio ile alotumiwa na kuanza kusikiliza

    JASMIN:aloo mpz



    Upande w pili: nambie baby

    JASMIN: mpz naitajika polisi ile ushu imesanuka ntafanyeje mpz?!



    Upande w pili: (akashtuka) beby swala hili si LA kuongea kwenye simu tuonane ili tulijadili swala hili "



    JASMIN: "Wap mpz?!"



    Upande w pili: kimbiji

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    JASMIN: ok!!



    Mwisho wa audio ile.,NURDIN akatabasamu ni wazi kila kitu kilikuwa wazi muhusika ni huyo kijana

    Na ushahidi ulishapatikana



    Akapiga tena simu kitengo kile cha mawasiliano na kuomba namba za huyo jamaa,pamoja na usajili wake

    NURDIN alishtuka baada ya kumtambua ni MARTIN



    tajiri mkubwa mjini MOSHI,hakukuwa na mtu ambaye alikuwa amfahamu MARTIN



    Kumbukumb ya kifo cha jb kikamjia,hakuwa na shaka kuwa lengo la hivyo vifo vya watu wa tatu ni kuficha siri



    Yeye ndo muuaji wa jb aliitimisha,huku akisikitika



    Ripoti ilikamilika



    Ushahidi ulikamilika



    NURDIN akapeleka ripoti ile kwa bosi wake GOOD LUCK SILVESTER



    "Naomba nisikilize kwa makini bwana NURDIN na si ombi ni amri sihitaji maswali hila nakuomba ufunge ilo faili na uachane na hiyo kesi..."



    NURDIN alishtuka,akutegemea kuambiwa maneno Yale na mkuu wake

    Kwa dakika moja aliya gandisha macho kwa bosi wake pasina kuyapepesa

    Wakiangaliana kama ma jogoo ya kuku yalotaka kupigana





    NURDIN akashusha pumzi ndefu,ishara ya kutua mzigo katika moyo wake.



    Kijeshi ilikuwa ni amri kufata maagizo kutoka ngazi za juu



    Akajinyanyua kikakamavu,na kupiga saluti akamkabidhi bosi wake file lile,bosi wake yule akalisweka katikati ya mafaili mengine



    Kesi ile ikafungwa rasmi



    Nafsi ya jb ikadhulumiwa



    Ikafanyika pati ya uhakika nyumbani kwa MARTIN,kamishna akiwa kama mgeni rasmi



    Kwanzia siku hiyo chokochoko zikasaulika mpaka miaka mitatu Mbele katika makaburi ya njoro wakati mvua ya gharika ikinyesha na kuezua mapaa

    Katikati ya makaburi lilipokuwepo kaburi la Jb alipozuka jitu LA kutisha



    Jitu lililooza na kutoa mafinyofinyo

    Jitu hilo lilifanana na jb kwa kila kitu,



    Baada ya kuibuka jitu lile lilienda kumwangamiza mwanasheria wa kampuni yake walokula njama na MARTIN wamuuwe akaghushi nyaraka za kampuni yake



    Jitu lilibeba bisu



    Kisu kama alichochomwa nacho jb nalo likamchoma jamaa yule bisu la koromeo Kama yeye walivyomchoma kwa kisu kile.



    Jitu ( jb) akatoweka na kutokea palipokwepo nyumbani kwake alipokuwa akiishi na mke wake ambapo palikuwa na walinzi wawili walobakia katika group hatari la majambazi la 4 killars baada ya wawili side na musa kufa ili kuficha ushahidi



    Ghafla nyuma ya nyumba ile kukaskika kishindo, bila kujiuliza Mara mbili mlinzi mmoja akiwa kashika silaha yake vizuri akatoka eneo lile kwenda kule kishindo kiliposikika



    Mlinzi mmoja akibaki katika geti lile akiwa kashika silaha yake tayari kwa chochote



    Ghafla kishindo kingine tena kikasikika sambamba na yowe

    Yowe lile likamsukuma mlinzi yule aliyebaki pale getini kuelekea kule nyuma alipo enda mwenzake



    Kosa!!!



    Akuamini kile alichokiona,mwenzake alichomwa bisu Ia koromelo,macho kayatoa Pima



    Mlinzi yule akapepesa macho eneo lile lakin akumwona aliyesababisha taharuki ile



    Mshangao ukamvaa



    Bumbuwazi likambumbukia

    Wasiwas na woga ukamtawala

    Akazunguka nyuma ya nyumba ile alichokiona kilimshtua

    Rafiki yake,mlinzi mwenzake alikuwa chini katika dimbwi la damu yake mbichi



    Mwili ukamsisimka



    Kwa kihoro akakimbilia mwenzake na kuanza kumwita dully!!! Abdully nini kimekupata swaiba?!



    Aliongea kwa uchungu huku akimtingisha kwa nguvu kama kufanya vile Kungemrudishia uhai.



    Ghafla akasikia cheko nyuma yake



    Cheko la dharau!!!



    Cheko la kiburiii!!!!



    Cheko La kejeli



    Kwa wasiwasi kijana yule akazungusha kichwa chake taratibu kuangalia cheko lilipotokea



    Alipatwa mshtuko kwa kile alichokiona,woga ukamtawala,

    Macho yakatoka Pima



    Silaha ile nzito ya kivita ikadondoka,jamaa yule KWA woga akawa akirudi nyuma



    Jitu lile la kutisha likawa likimsogelea huku likimwangalia kwa macho makali,macho yalomtisha mlinzi yule

    Bisu lenye mpini mpan,na ncha Kali likiwa katika kono lake lenye vinyweleo vya kutosha



    Likaachia tabasamu, meno yake yalooza na kutoboka yakaonekana



    "Mlikuwa mkijiita 4 killers ,mkaniua kwa mateso makali sana Leo ndo mwisho wenu......





    Jitu (jb) liliongea kwa jeuri huku likipiga hatua kumfata mlinzi yule alobakia

    Wazo lililomjia kijana yule ni kupiga kelele lakini akupata wasaa huo Kwani akujua ni sa ngapi jitu lilimfikia na kumchoma bisu lake la koromero kama mwenzake



    Mlinzi yule akadondoka kama zigo na kutapatapa akatulia tuli



    Jitu lile likaachia cheko lingine LA kejeli na kuivuka miili ya walinzi wale na kutokea Mbele ya lango la jumba lile

    Likazama ndani



    Alipoufikia mlango mkubwa wa kuingilia ndani ulofungwa akaunyooshea kono lake mlango ukatili amri ya kufunguka jitu lile likapita nyuma mlango ukajifunga kama kawaida



    Likaibukia chumbani....



    Kitandani walilala mtu na mke wake

    Jitu likawaangalia kwa dharau



    "Fatuma binti mrembo!..."



    Jitu lile likaita kwa sauti ndogo ya kunong'oneza



    Sauti ilopenya mpaka katika maskio ya binti yule,ghafla binti Yule akafumbua macho yake



    Ana kwa ana na jitu



    Likiwa limeshikilia bisu mkononi

    Binti yule akashtuka kitendo kilichofanya jitu lile likenue mijino yake mibaya ilotoboka yenye rangi ya silva,ilotembelewa na finyofinyo wadogo ionekane



    "Wew ni binti mrembo sikatahi,mrembo ulonitesa kwanzia kijijini nlipokupenda ukanitoa nishai,ila baada ya kufanikiwa ukaja kuniibukia mjini na lijibarua lako la kinafki kwamba unanipenda?!"



    "Jacob?!!!....."



    Binti yule akapata nguvu ya kuita

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Teh!,teh!,teh! Mimi si Jacob,Jacob mlishamuua eti muondoe gugu lililomea katika penzi lenu,"



    "Nisamehe Jacob..."



    Fatuma aliomba msamaha jitu likaachia cheko lingine la dharau



    "Mim si JACOB,Mimi ni mzimu ulorejea,eti nyumba na gari ndo vilikufanya unsaliti eeh,si ungenambia mpz wangu naitaji nyumba?!,ina maana nyumba ilikuwa ina thamani kuliko roho yangu?! No Fatu siwezi kukuacha mzima tutaonana kuzimu mwana haramu wewe"



    Binti yule wakati huo alikuwa akipikicha macho yake akijua pengine yupo ndotoni



    Jitu lile lililotokea makaburini usiku ule mnene wenye mvua na gharika za kutisha likazidi kumsogelea binti yule

    ambaye ghafla aliduwaa,na Kubaki ameganda kama sanamu



    Sanamu la michelini



    Akishindwa kupiga kelele wala kufanya chochote



    Jitu akapiga hatua moja na hatua nyingine akawa amemfikia kabisa binti yule,akanyanyua bisu lake akamchoma moja kwa moja tumboni



    Binti akafa akiwa kayatoa macho kwa uchungu,ulimi kaung'atia



    'Adhabu ya usaliti ni kifo'



    Leo hii msemo huo ulitimia kwa bi fatma.



    Jitu likatoweka



    Likijua fika litaacha nyuma taharuki pindi mume wa mwanamke yule akiamka na kumkuta maiti ya mke wake na za wale walinzi kule nje mbona kizaazaa?!



    **********



    SURA YA NNE



    Ni baada ya vifo vile vilivyosababishwa na jitu lile LA kutisha

    Mwanga ulianza kumjia inspekta akamkodolea macho MARTIN kusubiri jibu lake juu ya visu vile



    MARTIN akatingisha kichwa ishara ya kukana kuvitambua visu vile

    NURDIN akamwangalia kwa macho makali,macho ya kumsuta kibosile yule



    "Usijali mzee toa khofu wausika au muhusika wa matukio haya tutamtia nguvuni tu."



    Akaongea inspekta nurdin ishara ya kumtia faraja mzee yule

    MARTIN akatabasamu,tabasamu la matumaini



    Martin alijua kwa vyovyote kuna mtu ambaye yupo nyuma ya mchezo huo

    Nyuma ya mauaji hayo

    Ndo alipizaye kisasi



    Pengine ni ndugu au rafiki yake wa karibu na jb,ni yupi sasa wakati jb hakuwa na ndugu tofauti na yeye wala rafiki wa karibu zaid yake yeye?!

    Akazidi kukosa raha



    Katu akufikiria kuwa muuaji ni lijitu la kufikirika lililoibuka makaburini usiku wa kuamkia siku hiyo na lilikuwa mtaani



    baada ya maongezi ya hapa na pale akamuaga inspekta yule na kutoka katika ofisi ile



    Akaelekea ofisi ya rafiki yake kamishna Silvester mkuu wake wa kazi NURDIN aliye msitopisha kijana yule kuendelea na kesi baada ya kumtambua muuaji



    "Pole sana swaiba kwa majanga yalokutokea,kwa kuwapoteza washirika wako wakuu ila usijali file hili nimemkabidhi kijana wangu NURDIN lazima muhusika atapatikana tu usijali kwa ilo ni kijana mchapakazi...na namwamin pia"



    Baada ya maongezi ya hapa na pale MARTIN akaaga na kutoka nje alipo paki gari yake kulikuwa na gari LA kifahari aina ya pigout 42 mkabala na gari yake



    Martin akaingia katika gari yake na kufungua vioo,katu akufatilia gari ile pigout 42



    Ndani ya gari ile lililoibukia pale pale,ndani ya gari lile lilikwepo lile jitu la kutisha



    Ghafla likabadilika,japo sura ni ile ile ila alikuwa ni kijana mtanashati,alivaa suti ilomkaa vyema,kichwani alinyoa mtindo wa vijana wa enzi hizo ( afro)



    ndevu zake alizichonga o na kumuongeza umaridadi

    Usingeweza kudhani wala kuhisi ndo lile likiumbe ambao usiku wa kuamkia usiku huo lilikuwa na sura mbovu,ya kutisha, meno yalooza na kutoa mafinyofinyo



    Likamkata jicho Kali MARTIN alokuwa akiingia ndani ya gari yake

    Jicho lake likatoa shoti ,shoti ilo mpa maumivu makali na ya ghafla ya kichwa Martin



    Ila maumivu Yale ayakudumu yakatoweka muda ule ule



    'Tutaonana baradhuli wewe!'



    Mtu yule akanong'ona mwenyewe

    Martin akawasha gari na kuondoka kituoni pale na kumpa wasaa mzuri MTU yule wa ajabu kushuka



    Akaelekea uelekeo wa ofisi ya NURDIN na alipoifikia pasina kupiga hodi akazama ndani



    NURDIN akashtuka!!!





    Ujio wa mtu yule alozuka kimaajabu ajabu katika ofisi yake ulimshangaza.

    mtu yule akampa tabasamu la kumuondoa wasiwasi ins yule machachari,tofauti na mategemeo yake hofu ilimuandama na nywele zilimsisimka



    Kwa nini awe na hofu ya namna ile hali ya kuwa yeye ni afande tena inspekta mwenye mbinu 'musharabu' za kupambana na mualifu yoyote ambaye angekwepo Mbele ya macho yake?!

    'Machale' ni aina ya msisimko unaomtokea mtu kuhisi kitu cha hatari kinachotarajia kuja Mbele yake kabla akijamfikia



    Machale ndiyo yalomkumba kijana yule,akutaka kuipuuza hali ile,akajitaadharisha kuwa makini....



    Mtu Yale akaenda kuketi,katika kiti cha wageni akamwangalia inspekta kwa dharau....



    "Ni kusaidie nin mzee?!"



    NURDIN akajitutumua kumuuliza swali!

    Jamaa yule akajikolesha ishara ya kuweka koo sawa



    "Kwa jina naitwa JACOB ukiipenda niite Jb"



    NURDIN akashtuka kwa kusikia jina lile,jb akatabasamu meno yake meupe yalojipanga vyema kwa mpangilio mzuri katika kinywa chake yakaonekana



    NURDIN akataka kusema kitu akashondwa,akujua aseme nini!



    "Na kisa kizuri sana nataka kukupa inspekta ni kisa cha kale ambacho pengine kinaweza kuwa akina mushiko katika maskio yako"



    Mtu yule aliyejitambulisha kama 'jb' akaweka tuo kisha akakuna kidogo ndevu zake zilizopendezesha kidevu chake kisha akaendelea....

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Hapo zamani zakale palitokea paka na panya walotokea kuwa marafiki wakubwa sana urafiki wao ulianzia katika shamba moja la mkulima mmoja paka ndo aliye mpokea panya katika shamba lile wakawa wanafanya kazi kwa bidii katika shamba lile na kufanikiwa miaka ya badae kulinunua,na kuwa chini yao wakaweka vibarua na wenyewe wakanunua mashamba mengine mengi katika kijiji kile....



    " mh!,..."



    Nurdin akaguna akijiona 'boya' kusikiliza kisa kile ila kuna kitu kilim lazimisha kuendelea kusikiliza,akiwa kakunja sura yake JB akaendelea....



    "Siku zikasonga tamaa bwana uzuka pindi mafanikio yanaposhika hatamu,ndiyo!!,tamaa ikamshika panya na kutamani kumiliki Mali zote,teh!,teh,teh, kumuua paka ndo yalokuwa mawazo yake eti bwana mdogo panya anaweza kumuua paka?!"



    Akiwa kakunja sura akatingisha kichwa kukataa kuwa panya awezi kumuua paka, huku akionesha kuchukua waziwazi simulizi ile ya kale.



    Ila sasa ambacho akukishangaa na alipaswa ashangae ni kitendo cha kuendelea kumsikiliza jb wakati uwezo wa kumfukuza alikuwa nao,na stori ile aliichukia katika nafsi yake kwani aikuleta maana yoyote kichwani kwake

    Stori ya kale!!!...



    Ya paka na panya?!



    Kwa nini asiwasimulie wajukuu wake aje amsimulie yeye?!



    Alihisi ni mwenda wazimu kamtembelea



    ''Umekosa na pia umepatia..."



    Jb akaendelea



    "Si kweli kuwa panya hawezi kumuua paka!,mbona panya yule aliweza kumuua paka?! Na Mali zote kubaki chini Yake?!"



    Jb alipofikia pale akakunja sura!,tabasamu lile likayeyuka



    "What?! Kivipi haiwezekani panya kumuua paka"



    Nurdin akajishtukia maneno mfululizo yamemtoka akaachia tabasamu ni wazi alianza kukipenda kisa kile cha kufikirika cha zama za kale...



    Cha paka na panya!!!



    Jb akaachia bonge la cheko akajinyanyua katika kiti kile na kuanza kuondoka huku akiendelea kuongea



    "Gud kijana panya awezi kumuua paka na ndo maana mpaka sasa paka akikutana na panya anamla kama akimkamata tutaonana tena kijana"

    Jb (paka) akafungua mlango na kutoka akimuacha insp NURDIN katika taharuki!!! Ya sintofahamu!!!



    "Ina maana huyu jamaa katoka uko alikotoka kuja kuniadidhia habari za paka na panya?!"



    Martin akajiuliza akataman tena kumuona jamaa Yule haraka akajinyanyua pale na kulisogelea dirisha akapandisha pazia na kuchungulia nje!!!



    Palikuwa patupu



    Kwa muda alotoka lazima angemwona tena asingekuwa amefika mbali

    NURDIN akashtuka,kengele ya hatari ikagonga katika ubongo wake

    Akakifikiria tena kile kisa!



    Naaaaam kwa uwazi akakipatia maana,maana ambayo wakati msimuliaji anasimulia hakikuwa na maana yoyote!!!



    Wakati huo Jb alikuwa katika mlango wa kuingilia ofisi ya kamishna wa kituo kile Silvestar alimpita katibu muhtasar

    Ni wazi mwana dada yule akumuona

    Jb akazama ndani ya ofisi



    Silvestar akayatoa macho kwa mshangao



    DAKIKA KADHAA NYUMA



    OFISINI KWA KAMISHNA



    Baada ya NURDIN kumaliza mazungumzo na MARTIN na kuondoka, kijana yule akaelekea ofisini

    kwa kamishna yule na kuketi kwenye kochi



    Akashusha pumzi ishara ya kutua mzigo



    Alimkuta kamishna akiwa bize na makalabrasha yalojaa katika meza yake



    Akanyanyua uso kumtazama kijana yule



    "Pole sana MARTIN swahiba,juu ya kuwapoteza washirika wako wakuu swala ilo ntalifatilia kwa makini mpaka kumtambua muhusika na nahisi ni MTU alipae kisasi Mimi nipo nyuma yako....



    Martin akatabasamu,



    Tabasamu la faraja



    baada ya maongezi ya hapa na pale martin akaaga muda ambao martin aliondoka ndo muda ambao walikutana na jb sehemu ya maegesho ya magari



    jb akashtuka na kuelekea ofisini kwa nurdin akampa visa vya panya na paka na baada ya hapo akatoka na kuelekea ofisi ya kamishna,alienda kuketi kwenye kiti bado kamishna alibaki ameduwaa



    'Kwanini secretary ajanipigia simu kunijulisha juu ya kuwa kuna mgeni ni ka mruhusu aingie kama wageni wengine,?!'



    Akawaza lakin ghafla akashtuliwa na kicheko hafifu cha kejeli cha kijana yule



    " Mimi ni tofauti na wageni wengine unaowajua wewe!"



    Kamishna akashtuka



    Ni baada ya mgeni yule wa ajabu kumjibu mawazo Yake



    "Nadhani atufahamiani kamishna kwa jina mimi naitwa JACOB BONIPHAS ( JB) Ni mpelelezi wa ki taifa kutoka makao makuu ya jeshi la polisi

    nimekuja kuungana na maaskari wa huku kwenu kufatilia juu ya vifo tata vinavyoendelea hapa wilayani"



    Kamishna akatabasamu,tabasamu la faraja,faraja lenye walakini ndani yake...



    Jb aliliona hilo akaingiza mkono wake katika begi lake dogo alilovaa mgongoni akatoka na bahasha kubwa...



    Akamkabidhi kamishna yule

    Ilikuwa ni barua kutoka wizarani!

    Makao makuu ya jeshi la polisi



    "Nimekuja huku kwa kazi maalum ni juu ya vifo vinavyoendelea hapa wilayani kwa siku mbili tatu za nyuma"



    Kamishna yule akatabasamu,akaipitia ile barua baada ya kuridhishwa nayo akamkaribisha kijana Yule pasina kujua kuwa yule si binadamu....



    Akanyanyuka kwa lengo la kwenda kumtambulisha



    'Secretary' alishtuka baada ya kutoka bosi wake na mgeni yule ambaye akakumbuka kama alimruhusu aingie au kumuona mahala pale

    Aliingia saa ngapi?!



    Ilikuwa ndo Mara ya kwanza kumuona ilhali mtu yeyote asinge weza kumuona bosi wake pasina kupita kwake



    Hali ya sintofahamu ikatanda katika kichwa chake,ndani ya moyo wake alikiri kijana yule alikuwa ni handsome boy,mtanashati mwenye sex body



    Akajikuta akiuvamia moyo wake kwa kasi sana na kuomba hifadhi

    Binti yule akajikuta akimwangalia jb kwa macho ya matamanio



    "Kwa jina anaitwa Jacob ni afisa upelelezi kutoka makao makuu jb huyu ni katibu muhtasi wangu nadhani wakati unaingia hapa ulionana naye anaitwa MAIMUNA"



    binti yule akashtuka Jacob akampa mkono ishara ya kumpa salam,MAIMUNA akaupokea Jacob kwa pembe ya jicho lake akamkonyeza sambamba na kuutekenya kidogo ule mkono

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Binti yule akaangalia chini kwa aibu,hisia zikiucharaza moyo wake

    Wakaachiliana



    "Atakuwa pamoja na ins NURDIN kufatilia hivi vifo tata"



    Akamwambia Dada yule,huku wakijiandaa kuondoka wakielekea ofisini kwa NURDIN



    *



    NURDIN bado mawazo yalimsonga kutokana na ujio wa mtu yule wa ajabu!!!



    Kisa chake cha paka na panya kilileta maana flani katika kichwa chake

    Maana ambayo akuikubali moja kwa moja!



    'Huyu mtu ni nani?!' Wazo hilo likakosa jibu stahiki katika mawazo yake



    "Kwanini watu wote wanaouwawa wanachomwa na kisu cha koromeo kama cha....na kwa nini ni washirika wa MARTIN?!,Marafiki zake wa karibu? hapana! Kwa nini iwe ivyo?!,na kwa nini nilipomtambua MARTIN ni muuaji wa kipindi kile nisitishwe?! Kufatilia kesi ile,kuna siri hapa ndani yake kuna kisasi ila aina budi kumpata muuaji...na yule msichana mwana habari je?!'



    Wakati akiendelea kuwaza vile ghafla mlango ukagongwa Mara moja Mara ya pili ukafunguliwa na akaingia bosi wake kamishna akiongozana na yule mtu wa maajabu kwake



    NURDIN akawatumbulia macho ya mshangao



    " nimerudi swaiba"



    Kamishna akashtuka akamkodolea macho jamaa yule



    "Ushaonana na huyu?!"



    Kamishna akauliza kwa wasiwasi akimnyooshea kidole NURDINI





    Jb akatoa kicheko hafifu,

    kicheko cha dharau!,



    "yah of corz swaiba kabla sijaja kwako nilikuja kumtembelea na kupiga nae story!



    "hee!"...



    ikawa zamu ya Kamishna kushangaa sambamba na kupigwa na butwaa! kisha akaipotezea hali ile,



    "ok ningependa nikutambulishe huyu anaitwa ins NURDIN ndo askar mwenye dhamana ya kusimamia kesi hii"



    baada ya kuongea vile kamishna akamgeukia NURDIN



    "Insp huyu anaitwa jb ni mpelelez kutoka makao makuu amekuja kukuongezea nguvu katika kesi yako naiman sasa muaji atapatikana kwa haraka zaidi na ripoti ije kwangu kama kawaida!



    "yes mkuu"



    wote wakaitika sambamba na kutoa saluti ishara ya nidhamu.



    kamishna akatoa tabasamu



    "naiman mtatumia ofisi hii moja"



    baada ya kuongea neno lile akatoka na kuwaacha majamaa wale,jb akaenda kuketi kwenye kiti cha pembeni



    "Unaweza kunipatia hilo file nikalipitia pitia?!"



    NURDIN hakuwa Mbishi akamkabidhi kijana yule



    "Duuu?!"



    Jb akatoa mguno hafifu



    Nurdin akamwangalia kwa kumshangaa



    "Mbona kama ni kisasi?!"



    "Kwa nini unahisi ni kisasi?!" Nurdin akamrudishia swali



    "Juu ya vifo vyenyewe,kuwa vya aina moja lazima tupate chimbuko la hii kitu"



    Nurdin akatabasamu



    Hapo ndipo alipo pataka



    Chimbuko ni MARTIN



    Ndo mwenye jibu la kumtambua muuaji



    ikabidi aanze kumsimulia kisa kile kilichotokea miezi kadhaa nyuma juu ya mauaji ya kijana JACOB alokuwa tajiri mkubwa jijini pale mwili wake ulikutwa pembezoni mwa bwawa ukiwa umechomwa kisu cha koromeo



    Rafiki yake kipenzi na mfanya biashara mwenzake MARTIN akasimamia mazishi Yale n yeye NURDIN akapewa idhini ya kufatilia kesi ile



    Ilikuwa ni kesi ya utata na kila alokuwa akumuusisha na mauaji Yale aliuwawa mpaka mwisho alipokuja kumgundua muasisi au alokuwa nyuma ya mauaji Yale ni MARTIN



    Na pindi alipogundua vile akastopishwa kufatilia kesi ile na bosi wake



    Ni wazi kulikuwa na mianya ya rushwa katika kesi ile



    Na hisi kesi hiyo kwa vyovyote ndo kisasi cha jamaa yule ivyo nahisi ni rafiki yake au ndugu yake na jb atakuwa ndo muhusika wa kumlipizia ndugu au rafiki yake,kazi IPO kumtambua mtu huyo ambaye anaua kama jb alivyouwawa kwa kuchomwa kisu cha shingo"



    Baada ya maelezo Yale marefu NURDIN akaweka tuo

    Macho yake makubwa akamtumbulia mtu yule akitegemea kupokea mawazo.



    katu hakujua kuwa huyo ndo muhusika



    Akujua kuwa huyo ndo jb alodhulumiwa nafsi yake na kurejea duniani kulipiza kisasi



    Hakujua kuwa yule si binadamu kama alivyo onekana kwa nje



    Ule ulikuwa ni MZIMU ULOREJEA



    Ulirejea kwa kazi moja tu!



    Ambaye alishaifanya na sasa alikuwa akiimalizia



    Wakati akimsimulia jb alimsikiliza kwa makini NURDIN alipomaliza jb akaingiza mkono mfukoni na kutoka na pakiti akaiweka mezani akachomoa sigara moja na kuipachika kinywani



    akafungua droo na kutoa kiberiti akaiwasha sigara ile na kupiga funda moja akaachia moshi ukasambaa hewani



    "Samahani"



    Akamtaka radhi NURDIN



    "Kuna umuhimu wa kumtambua muuaji lakini kabla atuja mtambua lazima kesi hiyo ya jb ifunguliwe na kutatuliwa"



    "Heee aitowezekana kinachopaswa ni kuangalia kesi hii kumpata muuaji wa wausika hawa ile ilishapita"



    "Ok! Kwa vyovyote vile Martin anamtambua muuaji yeye si ndo alikuwa rafiki kipenzi wa marehemu basi inapaswa atudadavulie ndugu wa huyu jamaa utakuwa mwanzo wa kuujua ukweli hiyo moja pili lazima kesi ya huyo jamaa ifunguliwe mi si nimetoka makao makuu hili lisipofanyika ntalifikisha ngazi za juu kwanza ngoja nkaongee na huyo ndumi la kuwili lazima martin afikishwe Mbele za Sheria"



    Baada ya kuongea maneno Yale akajinyanyua na kuusogelea mlango akaufungua na kutoka



    Akaelekea ofisini kwa kamishna



    "Vipi mrembo na weza kumuona mzee?!"



    "Tena,?!"



    "Yah of corze"



    Akajibu jb akitoa tabasamu na kuruhusu mpangilio wake mzuri wa meno yake kuonekana



    Dada yule akamrudishia tabasamu huku akiupeleka mkono wake katika mkono wa simu kabla ajapeleka mkonga ule sikioni akasita na kuurudisha chini!



    "Hivi sazile ulipitia wapi mbona si kukuona?!"



    Jb akashtuka akulitegemea swali lile!





    Macho yake mkubwa yakanata kwa binti yule akabaki amemkodolea macho



    Ghafla akaachia tabasamu pana katika mdomo wake



    "Kimwana ukimchunguza bata sana utomla! Ila siyo ishu mimi ni mpelelezi wa kitaifa na si kitaifa tu ni kimataifa hivyo chochote naweza Fanya,popote naeza kwenda na kuingia wenyeji wasitambue"



    Binti Yule akaachia kicheko hafifu,kicheko ambacho yeye ukitoa kwa watu maalumu,kwa nia flani

    Ya kumtega aliyoko Mbele yake...



    Macho yakionesha ishara ya kumuitaji kijana yule,...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ok mpelelezi wa kimataifa unaweza kuingia"



    Binti yule akaruhusu ilhali akisahau kumjulisha bosi wake



    Jb akazama ndani na kumkuta kamishna akiwa bize na ma kalabrasha yalojaa katika meza yake



    Kamishna akashtuka kumuona JB pale

    Kitendo cha kutopigiwa simu na katibu muhtasi wake kilimshangaza

    Alikuwa jambo la kawaida

    Akakuna kichwa chake kwa tafakari kuu...



    "Bosi mbona kama unaonekana una mawazo nin tatizo?!"



    Akashtuliwa na sauti ya kijana yule



    "amh aaah!,yah no thing best I'm ok"



    "Ok!,siyo ishu kuna kilichonleta bosi!"



    "Ok na kusikiliza kijana angu"



    Kabla JB ajaongea kitu kamishna akashika mkonga wa simu yake na kupiga mapokezi



    "MAIMUNA naomba kahawa moja nawe mh utaitaj nin chai , maziwa au kahawa"



    "Maziwa mkuu"



    "OK na maziwa"



    "Sawa mh"



    MAIMUNA akajibu Baada ya kuikata simu ile,akapiga mpaka jikoni na kuitaji vitu hivyo



    Baada ya dakika tano mpishi mmoja akamletea na binti yule akaingia navyo ndani.....



    Baada ya kuviweka kwenye meza akatoka na kuwaacha wakubwa wake wakianza maongezi



    "NA kusikiliza kijana wangu"



    "Ok bosi nimeona Yale makalabrasha ya kesi hii tata ambayo bila shaka ndani yake ni kesi ya kisasi!,ikabidi niichimbue kwa jicho la tatu,



    nikagundua kuwa kuna siri ilojificha,siri ambayo aikutatuliwa!,siri ambayo laiti kama ingetatuliwa hapo awali wala mauaji haya yasingetokea"



    "Una maana gani kijana?!"



    Kamishna aliuliza kiunyonge,ni wazi alijua ni nini jb alimaanisha ila alitaka tu udhibitisho,na jb akamzibitishia!...



    "Kamishna kesi hii walouawa katika historia inaonesha ni marafiki wa karibu au tunaweza kusema watu wa karibu wa bwana MARTIN...

    je kisa nini?!



    Kwa mpelelezi yoyote lazima atajiuliza hivyo na ili kupata mtu wa kumpa jibu sahii ni huyo huyo MARTIN kwa lazima au hiari"



    Jb alipofika hapo kamishna akakunja uso akupenda jambo lile



    "Kivipi afande kwani yeye ndo kawa tuma watu wafanye mauaji hayo mpaka alazimishwe kuwataja?! Na kama ndiyo kuna ushahidi gani nyinyi ni maaskari tena wasomi mlopitia adi nje fanyeni kazi kisomi"



    Kamishna aliongea kwa hasira



    "Sina maana hiyo joh!,chimbuko la kesi hii martin unajua kivipi?! rudi miaka mingi nyuma kuna mtu aliwahi kuuwawa jb ndo jina lake na kesi ikafuatiliwa na dawati la kituo chako....



    Vizuri zaidi wewe ukamkabidhi kalabrasha NURDIN ambaye alikuja kumtambua MARTIN kama muuaji ila wewe kamishna mla rushwa ukamzuia kijana kufatilia hiyo kesi..."



    " nani mla rushwa?!"



    Kwa jazba kamishna akauliza



    "Wewe mla rushwa na kama siyo hivyo kwa nini umzuie kijana kumkamata huyo mse..n...g ( tusi) mwenzako"



    Ilikuwa ni fedheha kwa kamishna kutukanwa na kijana yule alokuja siku hiyo hiyo



    Hasira zikampanda kwa wepesi wa ajabu akajinyanyua na kurusha ngumi

    Ila jb aliiona akaukamata ule mkono na sekunde chache ukalia kaaaaaaaa!!!!

    Yowe likafatia...



    " uwezi nipiga kamishna mi si mtu wa kawaida ntakuua dakika hii hii fedhuli mla rushwa wewe"



    Aliongea jb



    Maneno Yale sijui kama kamishna aliyasikia kwani mawazo yake ayakuwa pale



    Teh! Teh! Teh! Ndiyo ndugu msomaji mawazo ya kamishna yule yalikuwa nchini Cuba miaka 30 nyuma akiwa bado kijana mdogo mafunzoni

    Ndiyo alipopata pigo kama lile



    Ila anakumbuka alinyanyuka japo alikuwa na maumivu makali na kuikamata meza na kumtupia mpigaji

    Ambaye ni mwalimu wake



    Meza ile ikatua kisogoni na mwalimu yule akadondoka na kupoteza maisha

    Kwa chuo ikawa sifa nzuri Kwake akapata umaharufu....



    Ndiyo



    Mawazo hayo yakamtuma ajinyanyue na kuikamata meza ilokuwa Mbele yake kompyuta na ma faili yakidondoka chini na kuielekeza katika kisogo cha kijana yule



    Kama miaka ile chuoni Cuba alipoielekezea kwa mwalimu wake

    Akaidondoshea hapo kisogoni

    Kama alivyoidondoshea kwa mwalimu wake



    Ila alicho kiona!....duuu!!!!





    Ile meza ilipotua kisogoni ni kama ilitua katika chuma,wala jb akutingishika kwa pigo lile



    Kamishna akapigwa na butwaa akainyanyua tena meza lle lakini alishachelewa jb alijizungusha na kumtandika teke



    Kamishna akasambaratika chini,akiachia yowe



    "Kwa taharifa tu! Mafunzo nlopitia Mimi hata robo yake una! Pili usi jidanganye kupiga simu makao makuu na kueleza nlichokufanya ntaanika maovu yako yote na utaona kitakachofatia so unajua huu ni wasaa wa nani eeh hapa kazi tu Mr natoka naitaji umpe Maimuna file la jb anletee ofisini kwangu



    Baada ya kumaliza jb akatoka akimuacha kamishna akigaa gaa kwa maumivu hapo chini



    Akajitahidi kunyanyuka na kukaa kwenye kiti chake



    'Ina mahana uyu binti akusikia ugomvi humu ndani au?!'



    Akawaza kamishna akiangalia uharibifu ulotokea

    Simu,mafile na kompyuta yake ndogo vyote vilikuwa chini



    Ni baada ya yeye kuinyanyua meza ile kwa ghafla vitu vile vikiwa juu yake



    'Eti nimpe file la kesi ya jb siku zake zinaesabika huyu nyang'au ngoja sasa'



    Akawaza kamishna Yule na kutoa simu yake mfukoni akabinya tarakimu kadhaa na kuipeleka simu maskioni

    Simu ikaita....



    Maimuna akatoa macho kwa mshangao,ni baada ya kumuona mpigaji wa simu yake

    Alikuwa ni bosi wake!



    'Kwa nini asitumie simu ya mezani?!"



    Akawaza huku akibinya batani ya bluu kuruhusu simu yake



    "Nakuitaji ofisini"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya kukata simu akajinyanyua na kuelekea ofisini kwa bosi wake

    Akashtushwa kwa mandhari alokutana nayo



    "Natoka weka ofisi vizuri"



    "Kimetokea nini bosi?!"



    Kamishna akujibu kitu akavaa koti lake la suti na kutembea huku akichechemea



    Ni wazi aliona kuwa secretari wake yule alikuwa akimsanifu

    Hata Maimuna pia alipigwa na butwaa

    Kwa nini asisikie Sauti ya kudondoka kwa vitu vile?!



    Na ni ugomvi kisa nini?!!



    Akakumbuka jb pindi alipotoka katika ofisi ile



    Akuonesha sura yoyote ya ugomvi

    Tabasamu lilipendezesha sura yake kama kawaida



    Kitendo cha macho yake na ya jb kukutana moyo wake ukapasukaaaa

    Alikiri moyoni mwake kweli kumpenda

    Akapeleka macho yake pembeni

    Na alipoyarudisha kwa kijana yule alishtuka baada ya kumuona yupo karibu yake



    Bado hisia zilimbana na kumsumbua

    Akujua ni sa ngapi alimpa mdomo kaka yule,naye jb akaupokea

    Wakaama katika sayari hii



    Jb akaupeleka mkono wake na kuanza kuyapapasa mapaja laini ya binti yule!



    Maimuna alilegea ghafla akazinduka baada ya kujigundua yupo ofisini tena eneo la mapokezi



    "Sory jb naitaji nkutoe lanchi Leo"



    Binti Yule akaongea kwa sauti nyembamba sauti ilozidiwa na hisia za mapenzi



    Jb akaachia tabasamu jingine



    "OK madamu ni wewe tu"



    Maimuna akashusha pumzi ndefu



    'Laiti kama wangekuwa na ugomvi kati ya kamishna na jb,kijana yule angetoka na ghadhabu asingeweza kunfanyia kama alivyofanya abadani'



    Binti yule akazidi kuchimba kidonda cha mawazo katikati ya ubongo wake



    SHERATON MOTEL



    Hilikuwa ni hoteli ya kifahari yenye nyota Tatu



    Ndani ya chumba kidogo,chenye thamani zote zinazoitajika ndani,kitandani aliketi kamishna akiwa ameghadhibika



    Nje ya hoteli ile,maeneo ya parking ilipaki gari ya kifahari akashuka MARTIN na kuelekea katika lift akabonyeza namba tatu lift ikafanya kazi yake vyema



    Dakika chache alikuwa Mbele ya mlango mkubwa akabonyeza kengele,kamishna pale alipolala akashika kitu mfano wa rimonti na kuielekezea katika mlango ile

    Mlango ukafunguka na martin akajiingiza ndani



    "Vipi mkuu mbona unaniita ghafla ghafla kuna tatizo gani?!"



    "Kuna kirusi katika mipango yetu kinachotakiwa kifomatiwe kabla akijala ma faili yetu"



    "OK nipe jina na anapoishi"



    "Ni nusu komando kutoka makao makuu kaja kwa speed hasubuhi hii anaitaji file la jb lifunguliwe..."



    "What?!"



    "Yah uchukuliwe sheria na mbaya zaidi kanipiga lazima afe kwa namna yoyote ile....

    "Kakupiga? kivipi mh?!"



    bado Martin alibumbuwazika



    "ndo ivyo! kantukana,kandhalilisha,mla rushwa ni mimi na maneno yote ya kejeli!"



    "ooops! pole sana mh! ucjal huyo kiumbe hana masaa 24 atakuwa tayar hayupo katika uso wa dunia niachie mim"



    "good! anaishi na Nurdin katika nyumba za kota!,"



    "Vizuri tuta mtumia kikosi kazi hakuna litakalo haribika"



    "Now naenda home kupumzika stegemei kumuona huyo mpuuzi kesho kazini"



    Ni baada ya maneno Yale kamishna akanyanyuka na kutoka ndani ya hoteli ile,



    Martin akashika simu yake na kubonyeza tarakimu kadhaa

    Akaiweka sikioni...



    "Sheraton motel ghorofa ya kwanza chumba namba tano"



    Akakata simu na kujitupa kitandani

    Ilikuwa moja ya hotel yake kubwa mjini pele,hoteli alopenda kufanyia mikutano yake ya siri,ndo maana hata kamishna akuangaika akaenda pale!



    **********



    Robo saa baadaye Martin alikuwa kazungukwa na vijana wa kazi!



    Ni wanajeshi walotumiwa kinyume na viapo usiku



    Pindi walipotengewa fungu la fedha walikuwa tayari kufanya walichotakiwa hata kama kilikuwa kinyume na sheria



    Wakaelekezwa kuhusu jamaa yule

    Jinsi ya kumpata



    Na siku hiyo hiyo alipaswa aondoshwe katika ulimwengu huu



    Watu wale waliijua kazi



    Usiku wa manane ndo muda walopanga kutenda jambo hilo



    Na kwa bahati nzuri zaidi usiku huo Nurdin asingekuwepo kwa kuwa angekwepo kituoni kwa ni ilikuwa ni wiki yake ya usiku



    **********



    Ni katika jumba moja la kifahari lenye ulinzi madhubuti,aliibuka kiumbe wa ajabu



    Jitu!



    Ni lile lile lenye kutisha lakini safari hii akutisha

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lilivaa nguo zilizo chanika,ndevu katika kidevu chake zilisokotana



    Kichwani alikuwa na kipilipili

    Alitokea katikati ya lango la ndani ya nyumba ile



    Akabonyeza kengele na kusubiria kufunguliwa...



    Ndani ya nyumba ile mmama wa makamo alikuwa akiangalia runinga na Dada wa kazi



    Ghafla wa kashtuliwa na kengele

    Dada yule wa kazi akajinyanyua kutaka kwenda nje ila mama yule wa makamo akamkataza na kwenda yeye



    akuwa na shaka kuwa mgongaji ni mumewe kwa kulitambua hilo alihitaji kwenda kumpokea yeye kutokana na mafunzo alofundwa kabla ajaolewa miaka kadhaa nyuma



    Akaufikia mlango na kukikamata kitasa akakizungusha!



    Na mlango ukamtii na kufunguka



    Ahmadi!! Alichokutana nacho almanusura adhirahi



    Mtu wa ajabu alikuwa Mbele ya macho yake!



    Kichaa si kichaa,mtu ambaye hakuwa na shaka kuwa ni maskini wa kutupwa na lengo la kuja pale ni kusaidiwa



    Omba omba



    Mawazo Yale yakamuondosha woga na kumjenga katika hali ya dharau



    kukitazama kiumbe kile kilichokuja masiku kadhaa toka makaburini



    MZIMU ULOREJEA



    'Ameruhusiwaje kuingia humu ndani?!,na walinzi getini?!'



    Swali hilo likateleza katika ubongo wake



    Akiwa ameushika mlango macho yakiwa kwa mtu yule,ila mawazo yalikuwa mbali



    Ghafla akashtuliwa na sauti kavu ya kiume yenye kitetemeshi!



    "Mmmmh! dada,Mrembo hata unikaribishi?!"



    Dada yule akajikuta bila idhini yake akimpisha jitu pale mlangoni

    Jitu likaingia mpaka sebuleni na kuketi katika sofa



    Binti yule mfanyakazi alipigwa na butwaa akabaki akimshangaa mtu

    Yule



    "Naima tupishe na maongezi na mgeni"



    "Sawa mamaa"



    Binti yule akaitika na kutoka sebuleni pale akakimbilia ndani



    "Kwa jina naitwa JACOB ni rafiki yake na mumeo wa muda mrefu



    "Waoooh nafrah kukufahamu hila mbona uko hivyo?!"



    "Ni story ndefu Dada yangu hila walimwengu?!"



    "Walimwengu?! Mbona skuelewi?!"



    "Walimwengu wabaya Dada Mimi skuwa hivi nilikuwa tajiri mkubwaa nlomiliki majumba makubwa makubwa ila walimwengu wakanifilisi ndo saivi nipo hivi"



    "Kwa hiyo ndo umekuja kwa Martin ili iweje?!"



    "Ansaidie"



    Dada yule akatoa cheko,cheko la dharau



    Huku akimwangalia jb kwa dharau



    "Naomba utoke kabla sijawaita walinzi"



    "Nsaidie Dada yangu hata mia mbili"



    "Tokaaaaaa"



    Akasema Dada yule sambamba na kumsukuma mtu yule



    mtu yule akadondoka



    Kosa!!!



    "Binadamu Bwana! Mna vichwa vigumu sana teh teh teh vichwa vya panzi wepesi kusahau! Pamoja na kukukumbusha kote umeshindwa kukumbuka,miaka mitatu nyuma we ukiwa mwanafunzi wa chuo una kumbuka ulimshauri nini mpz wako?!...





    "Miaka mitatu nyuma?! mimi kwan nlimshauri nini?!"



    aliuliza mdada yule huku akiwa na khof kuu.ujasiri ukimtenga...



    "teh! teh teh ndo maana nkasema binadamu wagumu kuelewa ok unakumbuka ukiwa ktk hotel ya sheraton motel tena siku hiyo kulikuwa na uzinduzi wa filam ya upendo ya mr z film production mkiwa ktk viti vya peke yenu...



    mawazo ya binti yule yakasafiri mpaka siku hiyo miaka mitat nyuma.



    MIAKA MITATU NYUMA



    SHERATON MOTEL



    "Hivi beby? utanioa kwel au utanchezea na kuniacha?"



    binti yule alimuuliza mpz wake walokaa pamoja katika usiku huo

    usiku wa matumaini



    "hakika ukimaliza chuo,ntakuoa mke wangu!"



    aliongea Martin huku akimkanyaga binti yule mguuni na kumfanya binti yule amtazame kwa matamanio.



    "usije ukanchezea na kuniacha ndo mlivyo ny..in..yi..."



    aliongea yule binti huku akizidi kubadilika na kumuitaji zaidi Martin



    "no! beby siwez fanya hivyo kwako coz i love u"



    sasa alipitisha mkono wake chini ya meza na kuyapapasa mapaja ya binti yule alokiri kuzidiwa na hisia

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "mpz twende tukapumzike! me nimechoka!"



    wakiwa wamezidiwa na kilevi wakajinyanyua na kuelekea mapokezi!



    "nyie malaya nipeni funguo naitaji kupumzika!"



    alishazoea kuwatukana wafanyakaz wake pindi akilewa dada wa mapokezi haraka haraka alimpelekea ufunguo na kumkabidhi



    "Alaf bosi mkurugenzi jb! kashachukua mauzo ya wiki nzima hii..."



    "amna shida!"



    akajibu Martin huku akiwa kamshika kiuno mwanamke yule mpaka chumbani akamdondoshea kitandani...



    na kuanza kumpiga mabusu mwili mzima.Binti yule akawa akigugumia kwa raha



    "Leo tunalala wote amna kurudi chuo mpaka keshooo"



    "Ni wewe tu mpz kila kitu katika mwili wangu ni Mali yako"



    "Mwaaaaaaaaa,mwaaaa...."



    "Beby nkuulize kitu?!"



    "Yas beby niulize"



    "Hivi hizi Mali mko share?!"



    "Amna kampuni ya madini ni ya kwangu hila hivi vioteli ndo nimeweka share na marafiki zangu"



    "Beby naweza nkakushauri Mali zote zikawa chini yako plz nambie ukweli zote ni Mali zako au mko share?!"



    Martin akashtuka!!!



    Akamkazia macho binti yule

    Binti si kwamba alikuwa kalewa alimaanisha alichokisema



    "Inawezekana kweli Merry?!"



    "Mimi nipo chuo mwaka wa Tatu ni mwana sheria Mali zilizo ziko share zinaweza kuwa za mmoja kukiwa na sababu mbili Tatu zinazoweza pia kutengenezwa"



    "Mfano!?..."



    Martin akaoji



    "Mmoja wa mmiliki wa Mali hizo akipoteza maisha bila kuacha hati ya urithi mali zile ugawanywa nusu kulipa madeni inayobakia upewa ndugu zake"



    Mada ile sasa ilianza kumfuraisha Martin



    "Na ikiwa hana ndugu?!"



    "Ubaki kwa mmiliki aliyebakia ndo maana nikakuoji je mko ushirika?!"



    "Ndiyo mpz"



    Akaitikia Martin huku akiona aibu



    "Good mpz naitaji ukinioa Mali zote ziwe chini yetu"



    "Sasa tufanyeje mpz na Jb yupo hai"



    "Jb ni nani?!"



    "Ndo ambaye tupo naye share"



    "Ntakwambia kesho tukiamka mpz now ni usiku wako nifaidi mpz..."



    Martin hakuwa na la kuongea akamvamia mwenzake na kumpa alichostaili...



    Wakawa katika mchezo huo kwa masaa kadhaa mpaka walipopitiwa na usingizi



    **********



    Mwanzo alihisi kama mikono laini ikimpapasa katika kifua chake.



    Ghafla ulimi ukaanza kutambaa katika maskio yake



    Martin wa ukwee akasimama!

    Kama antena,akiwa imara

    Misuli ilimkaza



    Binti yule akacheka na kuupeleka mkono wake kumshika Martin mwanaume halis na kumpapasa

    Aliyefanyiwa hivyo akafumbua macho



    "Weeee mtoto mbona mtundu hivyo?!"



    Martin akalalamika



    "No beby jana nlilewa sikumfaidi huyu vizuri asubuhi hii ni maalum kwa ajili yake"



    "OK beby"



    Aliitika Martin akamdondosha binti yule chini Naye kuwa juu yake

    Akaupeleka mdomo wake kwenye mdomo wa binti yule wakagandanaa

    Wakibadilishana mate



    "Mpz unakumbuka Jana nlikwambiaje?!"



    Kwa sauti nyembamba,ilotokea puani binti yule akaoji



    "Yah mpz usiku nimewaza sana juu ya hilo"



    "Unajua kwa nini nlikwambia tutaongea asubuh?!"



    "Kwa kuwa ntakuwa sijalewa"



    "Swadaktaaaa!,Jana ulilewa sana mpz nikajua asubuh usingekumbuka nlichokwambia kumbe upo imara"



    "Wew ndo ulilewa nkajua ulipngea vile kutokana na ulevi kumbe ulimaanisha mpz nambie sasa"



    "Kwel mpz wazihitaji hizo Mali ziwe chini yako?!"



    "Ndiyo mpz"



    "Lazima huyo mwenzako afe!"



    "Whaaat!"



    Martin alioji kwa mshangao



    "Ndiyo lazima afe,na cha kufanya ongea na mwanasheria wa kampuni yenu abadilishe nyaraka zote"



    "Itawezekana kweli?! Si ntafungwa Mimi?!,uwezi fungwa baba angu kamishna ntaongea naye"



    "Sawa mpz ila mmh yataka moyo"



    "Nkuulize kitu mpz"



    "Niulize..."



    "Mwanasheria wenu mwamlipa sh ngapi kwa mwezi?!"



    "Million 2 na nusu!"



    "MPE milioni 15 akufanyie hiyo kazi na mwahidi kama ikifanikiwa utakuwa unamlipa million tano hawezi kataa pili huyo jamaa kaoa na ndugu zake wako wangapi?!"



    "Ajaoa na hana ndugu hata mmoja hila anaishi na mwanamke"



    "Common mbona simple hivyo muonge nyumba huyo demu atakubali kukupa hati za nyumba"



    "Sawa ntajaribu"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Mpz si kujaribu ni kufanya kwani mistake moja itahatarisha maisha yako kwanza una vijana wa kazi?!"



    "Vijana wa kazi?! Wapi hao?!"



    "Haaa! Unaniangusha namaanisha wazee wa kazi majambarika"



    "Hapana sina"



    "OK ntakupa namba vijana hawa wanaitwa 4 killars ni vijana wa baba walipitia jeshi ndiyo watakao muondosha duniani huyo...! Nan tena jina lake?!"



    "Jacob au jb"



    Dada yule alikumbuka!!!

    Akamtumbulia macho kichaa yule aliye kuwa akimwangalia kwa dharau jitu akaachia cheko



    "Jb ndo Mimi wewe si ndo ulimshauri mumeo martin anigeuke?!"



    "Nsamehee"



    "Siwezi kukusamehe 4 killars nishawaondoa,mw

    anamke wangu mlomuhadaa kwa kijumba na kigari naye nisha mtanguliza,mwanasheria wangu naye ndo nlimuua wa kwanza sasa zamu yako!!!..."



    "Nsamehe jb"



    "Mumeo na babako watakufata muda si mrefu"



    Ghafla jb akatoweka

    Dada yule akiwa kachanganyikiwa akajinyanyua na kukimbia

    Ghafla mlango ukajifunga



    Tobaaaa!!!



    Kicheko kikasikika nyuma yake

    Ikamlazimu ageuke



    LA haulaaa!!!



    Jitu LA kutisha lilikuwa nyuma yake

    Ni kama lilivyofufuka makaburini

    Lilivaa sanda!,sanda ilooza,sanda ilotembelewa na mafinyofinyo!!!



    "Haaaaa haaaaa haaa"



    Likaachia cheko,meno yalooza yakaonekana

    Mkononi alishika bisu

    Akawa anamsogelea yule Dada



    "Mamaaaaaaa" Dada yule akaachia kilio



    "Grooooooh"



    Jitu likaachia mlio kama wa simba



    mikono ilikuwa imekishikilia kisu,na kukishusha katika shingo ya binti yule bila huruma, jitu lilidhamiria kuua.



    mwili wa binti yule mery ulokuwa ukiangalia kwa jeuri na nyodo dakika kadhaa zilizopita! ulitapa tapa na kutulia tuli!



    ukitoa macho ya mshangao.

    jitu likaachia cheko lingine na kutoweka!



    Naima mfanyakazi wa ndani katika nyumba aloishi Martin na mke wake,



    baada ya kuambiwa na bosi wake mery atoke pale sebleni akiwa katika chumba chake,



    kalala kitandani,



    ghafla akashtuliwa na yowe!,



    yowe kama la simba,



    ndiyo!,



    yowe la jitu.



    wakati hakiwa katika mshangao ule ghafla akaskia yowe lingine,



    yowe la maumivu!



    hakutaka kusubiri tena akajinyanyua kitandani pale na kutoka mbiyo,



    mara akateleza chini!



    maumivu yaka ambaa katika mwili wake kwa wakati ule akuyasikia.

    akajinyanyua na kuufata mlango!



    akaufungua na kukutana na korido pana!, korido ilounganisha vyumba na sebule, akupunguza mwendo ila alikuja kupiga breki sebuleni pale!



    macho yake yalishindwa kustahimili kuitazama sura ya dada yake!

    ilotazama kwa uchungu mkubwa!,



    yowe likamtoka Naima huku akiendelea kukitazama kisu kikiwa shingoni kwa bosi wake kimelitawanya koromeo.



    nguvu zilimuisha nuru katika macho yake ikatoweka,giza likatawala!, akadondoka chini na fahamu zikamtoka!



    ******



    MARTIN alishuka kwenye gari yake, moyoni alikuwa na furaha sana!, alijua siku hiyo ndo mwisho wa maisha ya afisa upelelezi yule, mwenye kibri!, jeuri na anayejifanya anajua!



    'tumepoteza wangapi bwana sembuse huyu mmoja?!' martin akaendelea kuwaza huku akiushika mlango na Kuufungua!....



    ghafla mshtuko ukamvaa macho yakamtoka!, ni baada ya kuuona mwili wa mfanyakazi wake Naima!,



    alipoufikia ule mwili akapatwa na mshtuko mwingine baada ya kuuona mwili wa mke wake!

    tena ukiwa na kisu katika shingo yake, kisu kile kile,



    kama wao walichokitumia,



    ujasiri ukamuisha woga ukamtawala!, machozi yalimdondoka kama mvua!

    huku akiwa kachanganyikiwa akatoa simu yake na kumpigia kamishna, na kumueleza kuwa nyumbani kwake kuna matatizo!



    mkewe kachomwa kisu,



    kamishna alichanganyikiwa!, japo akuambiwa kuwa mwanaye kafariki, lakini hakuwa na shaka juu ya hilo!, bila shaka kisasi sasa kilimgusa hadi yeye!,

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akampigia simu MAIMUNA na kumuagiza awaite jb na Nurdini!

    ni wazi habari ile ilimchanganya!

    dakika kadhaa vijana wale walikuwa mbele yake!,



    Kamishna akuongea kitu zaidi ya kulia,

    Jb na Nurdin walibaki wakimtazama kwa mshangao



    "mauaji yanaendelea! na roho inaniuma sana, badala nyinyi visobwengo mumtafute muuaji mnataka mpeleleze kesi za nyuma huku muuaji akiendelea kutamba mtahani!, sasa ameingilia mpaka familia yangu!, mwanangu MERY hayupo tena duniani"



    kamishna aliongea kwCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/a uchungu!,

    vijana wale wakashtuka,

    ila uso wa jb ukawa wa kawaida,

    tena wenye dharau ndani yake!



    "kafa katika mazingira gani mheshimiwa?"



    Nurdin akaoji!





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog