Search This Blog

MZIMU ULIOREJEA - 4

 







    Simulizi : Mzimu Uliorejea

    Sehemu Ya Nne (4)





    Ilikuwa ni asubuhi tulivu,hali ya hewa ilikuwa imetulia...



    Martin aliegesha gari lake makao makuu ya jeshi la polisi na kushuka,kimuonekano alikuwa kavaa suti ilomkaa vizuri,



    Katu usingeweza kutanabahi kama ni mtu mwenye matatizo

    Aliingia mpaka mapokezi alipopokelewa na manukato mazuri ya Maimuna...



    Mai akampigia simu bosi wake akamruhusu aingiye...



    "Habari za tangia Jana ni mbaya kamishna!, mauza uza nyumbani,nyoka wa ajabu kuchapwa na mijeledi si unaona?!"



    Alitamka Martin huku akitoa koti la suti yake na shati lake akamuonesha kamishna jinsi alivyovimba



    "Pole sana rafiki hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya!,mauza uza hata kwangu yameanza,chaka kajitoa katika kesi hii na karudi kwak!"



    "What?!"



    "Ndiyo na Nurdin anashughulikia kesi nyingine kajitoa katika kesi hii baada ya kugundua sisi ndiyo tuliokodisha watu wakatake kumuua jb na kumteka yeye,na kumtesa vibaya!"



    "Kwa kifupi kaka pamoja na kwamba ripoti ya Hospitalini inaeleza kuwa mifupa ile ni ya jb ila tunapambana na mzimu sijui jini na insp jb hakuwa binadamu yule alicheza tu na akili zetu ndo kahusika wa kila kitu!"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Martin alichoka,ila kamishna akaendelea



    "Tunapambana na marehemu jb,rafiki yako wa kitambo,pengine ni mzimu wake,jinamizi lake au chochote kinachofanana na icho,ndiyo aliye muua mtoto wangu kipenzi sasa nakuhaidi tutapambana naye mpaka mwisho...kuna hizi namba hapa za huyu bibi nwa....



    Kabla ajamalizia sentensi yake

    Ghafla upepo ule wa feni ukasikika mule ndani ghafla kamishna akatoa macho kwa mshangao



    " inatosha...umekiuka maagizo yangu sina budi kukutanguliza



    "Untishi wewe...kamishna akaropoka akamtazama kwa macho yake makali ya kipolisi

    Muda wote Martin alikuwa akishangaa kwani yeye akuuona mzimu ule

    Ni kwanini?!

    Kamishna alizidi kuutazama mwili ule utishao wa jitu,ulovikwa sanda



    " siku zako zinahesabika pepo wewe...

    Ghafla kibao kikali kikatua katika shavu lake,kibao ambacho hata martin alikisikia mlio wake,kamishna akamnyooshea simu martin akaipokea



    "Bibi nwalau nwalau"



    Akatamka jina ilo kwa shida martin akaichek ile simu na kuzikuta namba zile



    Kabla ajafanya kitu akamshughudia rafiki yake yule akikohoa

    Wazo la kuitaj msaada nje likamjia akatoka aliporejea alikuwa na maaskari



    Hali ya kamishna ilikuwa mbaya



    "Tangulia mwanaharamu wewe na huyu mwenzako atakufuata niwe na amani ya moyo"



    mzimu ule ukamwambia ukizidi kumnyonga



    Ghafla akakata roho



    Kilikuwa ni kifo cha ghafla,tena cha kushangaza,muda mchache tu alikuwa ni mzima na sasa ni marehemu!



    Martin ndiyo aliyechoka zaidi,alijijua ni yeye aliyebakia,na uwezekano wa kupona haukwepo zaidi ya kwenda katika kaburi lile kuomba msamaa pengine angesamehewa



    Hakika alijuta kwa alichokifanya

    Laiti kama angejua yangetokea haya katu asingemsaliti rafiki yake yule!!!



    Majuto ni mjukuu!!!



    Hata pale alipokuwa ofisini kwake akilia na kujuta kwa Yale aloyatenda

    MZIMU ule ghafla ulitokea...



    Martin akuuona,alizidi kulia

    Mzimu ule ulimwangalia kwa hasira,hasira iloporomoka nao ukaanza kulia,machozi ya damu



    Akatoweka!!!



    Ukiwa umeghairi kumwangamiza hasimu wake wa mwisho

    Ghafla martin akakumbuka kitu...



    Ndani ya makaburi Yale mzimu ule akashtuka...pindi martin alipokumbuka kitu kile...



    Martin akatabasamu na kutoa simu yake



    Wakati martin anatabasamu mzimu ule ulitetemeka kwa hasira na kutoka nje ya makaburi Yale



    Martin akabonyeza simu yake tarakimu kadhaa na kuiweka maskioni ikasarch ghafla ikaita



    Mzimu ule pale ulipotokea nje ya makaburi ukaangalia pande NNE zile za dunia lakini ghafla viumbe vingine vilivyovaa kaniki nyeusi na shanga nyekundu kichwani vikatokea...



    Mzimu wa jb ukaviangalia kwa hasira viumbe vile



    "Nyie vilembwembwe rudini mlipotoka kabla sijafyonza damu yenu"



    Jb akaviongelesha kwa ukali,vikacheka kwa kiburi



    "Endelea kuwatisha binadamu ila si sisi huu ndo mwisho wako"



    Jb akacheka na kuvinyooshea mkono akaachia kombora ambalo viumbe vile viliungana na kulirudisha kombora lile

    Ghafla yowe likasikika



    Jitu la kutisha jb,lilikuwa chini likiugulia maumivu...



    Viumbe vile vitatu vya ajabu vikapotea na kutoka pembeni ya alipo lala jb,vikawa vimemuweka kati

    Jb alijaribu nguvu zake,ila zikakataa ni wazi vilembwembwe walizizibiti

    Jb akawa angalia kwa hasira...



    "Tulia ewe mzimu ulorejea tu naweza kukufanya chochote...



    Ghafla bila kutegemea jb akatoweka!,viumbe vile vikajaribu nguvu zao kujua alipokimbilia

    Emty



    Jb,alijificha!,



    Je vile ni viumbe gani?!,na vina ugomvi gani na jb?! Ni swali ambalo Mimi na wewe tunahamu ya kulijua jibu lake

    Ila kwa sasa tuachane nalo



    Baada ya martin kuweka simu ile skion akapiga namba zile alizoachiwa na kamishna!,akapewa maelezo mahali muhusika anapopatikana



    Jb akaaingia katika gari lake kuelekea sehemu ile



    Ni kwa mganga bi nwalau nwalau...



    Kilikuwa ni kijumba kidogo!,ambacho ndani ndo aliishi bibi nwalau nwalau....



    Bibi huyo akiwa katika kilinge chake alikuwa akicheza,upepo ulivuma kidogo katika kijumba chake kile...



    Tayari alishahisi juu ya ujio wa wageni,au mgeni aliyekuwa akija...



    Mganga Nwalau nwalau akazidi kucheza!



    ,hata Martin alipofika,katika kijumba kile kilichozungushiwa vitambaa vyekundu alinyooshewa ishara tu aketi uku mbibi yule akiendelea kupiga manyanga sambamba na kucheza!.



    "hahahaha!,karibu baba hapa ndo kwa bi nwalau nwalau sema tawile! kama niongeacho ni sahii na kama si sahihi kataa"



    martin akatingisha kichwa ishara ya kukubali! bibi mganga nwalau nwalau ambaye pia alishiriki katika story ya nakupenda nasra aliyemuumba nasra jini mvaa gauni jekundu(soma riwaya hiyo) nadhani wengi mtakuwa mnamfahamu!.



    ghafla akanyamaza kimya na kuketi akakunja miguu! akachukua mbegu flan nyekundu na kuzitingisha akazibwaga chini! mbegu zile zikatawanyika! akaachia kicheko



    "umefika!, maisha yako yapo hatarini!,na tangu ulipotoka kwenu kuja huku mizimu ya babu yang iitwayo kilembwembwe imekulinda usingefika salama



    unasumbuliwa na mzimu!, pepo chafu lililotoka makaburini na linakutesa sana!



    wakati ulipopata wazo la kuja tu alitaka kukuteketeza ila alitokewa na kilembwembwe wangu akamzuia



    Martin akashtuka kuskia vile,akauamini uwezo wa bibi yule...japo maelezo Yale akuyaelewa elewa



    "tawile bibi!" Ikabidi aitikie...



    Bibi akaendelea...



    "mzimu ule ni wa jb aliyekuwa rafiki yako!,kipenz kwa nini ulimuua?"



    "nitamaha tu babu nsaidie nimekoma!"



    bibi nwalau nwalau akaachia kicheko na kuimba kidogo!,



    "wewe ndo umeutenda vibaya u mzimu unajua kwa nini umekuacha mpaka saivi ukiwa hai?! hali ya kuwa wewe ndo muhusika mkuu?"



    Martin akatingisha kichwa ishara ya kukataa!CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ",kuna siri kubwa na lazima tuijue."



    "mimi nnachotaka tu unsaidie tusisumbuliwe na ikiwezekana ukiangamize."



    bibi yule akacheka tena! na kupiga manyanga,



    "mizimu kilembwembwe inataka sadaka! ,tena sadaka ya damu,

    damu ya mama yako!

    uinywe na nyingine ndo itolewe kama kafara! mzimu ule sasa umejificha na ukifanya hivyo utashikwa na hasira utatoka ukitoka tu mizimu yangu inammaliza."



    martin akuamin amuue mama yake?! kwa mara ya kwanza akapakumbuka nyumbani tangu ameondoka hakuwah kurudi...



    kumbukumb zake zikarudi nyuma miaka mingi ilopita.



    MIAKA 35 NYUMA!



    "mdogo wangu usilie! haya yote ni maisha yatapita tu!,kijana mmoja alo onekana mkubwa,mwenye miaka 12 alimbembeleza mdogo wake! ambaye alikuwa na miaka 7 walikuwa katikati ya pori wakikata kuni!"



    "yani kama tukitoka hapa tukafue sisi tupike sisi!, shambani sisi mama anaridhika au siyo mama yetu yule?



    "hapana mdogo wangu Martin yule ni mama yetu anatupenda sana ila tatizo ni kwa baba yetu ndo anatupa kazi hizi mama awezi ingilia kwa sababu atapigwa! au wewe upo tayari mama apigwe?!"



    kijana yule akamuuliza mdogo wake,ambaye alitingisha kichwa kukataa mama yake kupigwa!



    "bas kama haupo tazar tuvumilie tu mdogo wangu!"



    akamalizia kijana yule aitwaye BRAYSON akamtwisha mdogo wake mzigo mdogo wa kuni wakaondoka!,kuelekea nyumbani

    hayo ndo yalikuwa maisha yao,waliyolazimika kuyazoea



    Bryson na Martin walikuwa ni watoto wa bi veriana, bi veriana alikuwa na watoto wa tano wawili baba yao alishakufa, na hao wa tatu mmoja alikuwa mtoto wake alomzaa na huyo mwanaume wawili wakiwa wa huyo baba alozaa na wanawake wa nje!



    akawaleta nyumbani



    wote walikuwa wa kiume

    mzee yule aliwapenda wanae hao wa tatu ila hao wawil wa mkewe aliwachukia



    kazi zote wenyewe ndo walifanya ,ila walivumilia mwisho uvumilivu ukawashinda!



    siku hiyo ilikuwa hivi!....



    Bryson alikuwa shambani akilima ,mdogo wake martin alimwacha nyumbani akicheza na watoto wenzake,



    watoto wale wakawa wanacheza mchezo wa mawe, kwa kudhamiria mtoto mmoja akaokota jiwe na kumtandika nalo martin jiwe la mgongoni,



    akampasua na damu zikaanza kuchurizika kama bomba la maji!,

    bryson kuja akukubali akamvamia yule mtoto alompiga mdogo wake na kuanza kumshambulia, mpaka akamzimisha



    bray akajua lazima ameua!

    akaamua akimbie kijiji kile!, akiazimia kutokurudi tena huku akimwacha mdogo wake katika mateso makali.

    ila hakuwa na budi kupasahau nyumbani! na kweli akapasahau,

    akavuka mito,mabonde milima,toka SINGIDA akaja kuishia ARUSHA! mgodin..



    Akiwa na miaka ile ile 14,akaanza kufanya kazi za nguvu, Kusaga mawe,

    kupeta mchanga, mpaka kuchimba madini na kupasua miamba alipofika kule ili kuogopa kujulikana akabadilisha jina kutoka BRYSON mpaka JACOB au jb!...



    na upande wa pili! Martin baada ya kaka yake bray kukimbia, baba yake wa kambo alipokuja! na kuambiwa mwanaye kapigwa mpaka kufikia kuzimia kisa martin hasira zikampanda akampiga martin,na akazidi kumtesa!,

    martin akaona sotusheni atoroke akamsake kaka ake bry!, maskin laiti angejua?!!



    sijui nini kiliendelea je martin atafanikiwa kumpata kaka yake bry(jb) kumbuka hii ni kumbukumbu anayekumbuka martin akiwa kwa mganga.na kumbuka martin ajui kama jb ni kaka yake



    Njia nzima Nurdin alijawa na wasiwasi,hasa kwa kuwa akujua sehemu anapoelekea,ila aliona afadhali ateseke mtahani,kuliko mateso ya kule nyumbani!,japo akuwa hata na senti tano lakin aliadhimia kusafiri!



    Siku ya siku iliwadia,akafanikiwa kutoroka nyumbani,akiwa amependeza,akakaa kwenye siti na safari ikaanza!,pembeni yake aliketi mmama wa makamo ambaye alikuwa amembeba mtoto,baada ya mwendo kidogo wakiwa katikati ya pori kondakta akaanza kupitia tiketi!,kwa kuwa nurdin akuwa nayo alikiegemeza kichwa chake katika magoti yake,ni wazi alikuwa mbali kimawazo!...



    kondakta yule alimfikia na kumshtua akiitaji tiketi! martin akamwambia wazi kuwa ana!,kondakta yule akasimamisha gari kwa lengo la kumshusha palepale!



    "wew kaka kuwa na huruma sasa ukimshushia hapa porini ataendea wapi? au unataka aliwe na wanyama wa kali?"



    dada yule alokuwa kambeba mtoto aliongea,akimwangalia kondakta yule!



    "hapana sistar hawa ndo wanaenda jijini kuwa majambazi!,jua hii ni kazi mbaya zaidi kakalia siti!...oya dogo shuka bhana kabla sijakupa kelbu!"



    "ngoja! kwanza!..." yule dada akamzuia Nurdin kushuka akafungua pochi yake na kutoa hela akamkabidhi kondakta



    "mambo sindo hayo bhana!" konda akajibu tabasamu likiupendezesha uso wake,akaruka siti ile na kuelekea siti za nyuma!



    "asante sana dada yangu!,MUNGU atakulipa kwa wema wako sina cha kukulipa mimi!" aliongea Martin huku akilia! dada yule alimuonea huruma akaanza kumbembeleza...



    "usilie mdogo wangu!,yameisha we dar unaenda kwa nani?!"



    "Naenda kumtafuta kaka yangu!..."



    "unajua mahali alipo!"



    Nurdin akatingisha kichwa ishara ya kukataa dada yule alimsikitikia sana



    "Basi utaenda kukaa kwangu kipindi ambacho unamtafuta kaka yako! kwani tofauti na ivyo utakuwa mtoto wa mtahani!"



    Martin alifurahi kuskia vile!,uzuni yote ikatoweka,furaha ikatawala!,aliuona mwangaza wa maisha yake mapya



    *************



    Hatimaye mida ya mchana wakaingia katika jiji lile!,jiji lenye shamrashamra,na pilika pilika za hapa na pale!



    kama kawaida ya mgeni pindi afikapo eneo ambalo ni geni kwake kushangaa shangaa,hata kwa Nurdin ilikuwa ivyo hivyo!



    alilishangaa jiji lile,wakaingia katika basi la tmk na safari nyingine ikaanza!

    mara kadhaa wakikutana na "jam" barabarani zilizowachelewesha!

    Hatimaye safari yao ikafika mwisho,katika maeneo ya uswazi!...



    "we malaya! naona umeamua kwenda kunletea mtoto wako huko shambani kwenu!"



    ndivyo walivyopokelewa na baba mwenye nyumba ile!



    "siyo hivyo mume wangu,baada ya kunkaribisha na kuniuliza habari za safari unaanza manen...."



    "kimya wew mwanamke! sina haja ya kujua hayo naondoka nkirudi nisikikute icho kimdoli chako."



    Baada ya jamaa yule kumaliza maneno yale,akafungua mlango na kutoka!



    "usijali mwanangu! utayazoea maisha haya,we kaoge ntakuonesha mahali upumzike!"



    "ahsante mama!" wote wawili wakanyanyuka na dada yule akaenda kumuonesha Nurdin bafuni,Akaoga na alipotoka akaoneshwa chumba chake akajilaza,kutokana na uchovu kijana yule akukawia kupitiwa na usingizi!



    alikuja kuzinduka,njaa ilikuwa ikilishambulia tumbo lake!

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akajinyanyua na kukaa! ghafla akaskia kicheko,mara vicheko na sauti ya mama yake yule alomsaidia akiongea!,



    akapiga mwayo mrefu na kujinyanyua!,akaelekea sebuleni alipomkuta mama yule na wasichana wengine wawili walofanana kila kitu rika lake wakiwa wanaangalia tv!



    Akupata tabu kung'amua kuwa wale ni mapacha



    "umeamka mwanangu?!"



    dada yule akamshtua kwa sauti



    "ndiyo mama!"



    "ok njoo nkutambulishe dada zako!,unakumbuka nlikwambia mimi nawatoto wawili mapacha? basi ndo hawa hapa huyu mkubwa kurwa anaitwa Janeth na huyu mdogo ake anaitwa Jenipha wapo kidato cha tatu"



    "nashkuru kuwafahamu mama!"



    akaitika martin akicheka!



    Alistaajabishwa na jinsi walivyofanana



    "janeth na jenipha huyu ni kaka yenu anaitwa Nurdin atakuwa hapa nyumbani mkisaidiana kazi mpeni ushirikiano"



    "Sawa mama ndo house boy?" janeth akauliza akimwangalia kwa dharau!



    "si house boy ni kaka yenu!"



    "mbona ukutuambia kama una mtoto mama?" Jenipha naye akadakia!



    "muulizeni mama yenu labda nyie atawaskia! nilimwambia si mtaki huyo mtoto! hapa"



    Wote wakashtuka na kuangalia sauti ilipotokea



    Ndiyo alikuwa Yule yule mume wake,kijana aliye jaa jazba,hasira na wivu teke



    "Huyu mtoto hawezi kwenda popote!"



    Mama Janeth akaongea kwa hasira



    "Kama Mimi ni mume wako lazima aondoke"



    "Utanipiga utaniua lakini huyu mtoto aondoki hapaa"



    mama janeth akazidi kuweka Ngumu akikimbilia chumbani,mume wake akamfata kwa hasira baada ya dakika chache kilio cha mama janeth kikasikika akiomba msaada,mume wake alikuwa akimpiga...



    "Watu wengine bwana mpaka mnasababisha matatizo katika nyumba za watu utakiwi bado unang'ang'ania si uondoke?!"



    Janeth akazidi kumsakama,Nurdin

    Kijana yule akupenda kusakamwa,alipenda familia ile iishi kwa amani ghafla wazo la kuondoka likamjia akajinyanyua na kukimbilia ndani akaanza kukusanya kila kilicho chake



    Ila ghafla,....





    Akashtukia mlango wake ukifunguliwa...



    "We uondoki tu!..."



    Sauti nyororo ya mtoto wa kike ilimuuliza lakini ghafla ikanyamaza ikimtumbulia macho kwa mshangao...

    Alikuwa ni janeth



    Alibaki kumshangaa Martin,aliyekuwa akivaa,alikuwa na boxa huku akiwa kifua wazi anajipaka mafuta...



    Kutokana na ufanyaji wa kazi ngumu kijijini zikiwemo za kupasua kuni,kokoto ziliugawanya mwili wake na kuitengeneza "sex body"



    Ndo maana binti yule alibaki kuduwaa akimtazama kwa macho ya matamanio



    "Sa..samahani... Kaka"



    Janeth akaomba radhi na kutoka kwa haraka ndani kule akakimbilia chumbani kwake



    Penzi la Martin lilimtesa,kijana yule alimteka ghafla



    "Ntakupata Martin kwa gharama yoyote ile"



    Binti yule akajiwazia akiwa katika kitandani chake...



    Kwa upande wa Martin baada ya kumaliza kujipaka mafuta naye akakaa kwenye kitanda chake machozi yakimchuruzika



    "Kaka kwa nini uliondoka ukaniacha kaka?!,mdogo wako nateseka uko wapi kaka Brayson ukunambia unaenda wapi ila najua upo hapa hapa jijini ntakusaka kaka yangu wewe ndo ndugu yangu ulobakia"



    Kwa uchungu Martin alilalamika,akajinyanyua na kuvaa,tayari alishapata nguvu ya kutamani kumsaka kaka yake,baada ya kumaliza kuvaa akatoka ile amefika sebuleni akakutana na mama Janeth



    "Unaenda wapi Martin uwezi kwenda popote utateseka sana hapa jijini lazima nkusaidie usijali kuhusu mume wangu"



    Dada yule akaongea kwa unyonge,Jenipha alimwangalia kwa dharau kaka yake yule wa hiyari



    "Nashkuru sana kwa wema wako Dada yangu wacha Mimi niende amani ipate kutawala katika nyumba hii"



    "Hapana uwezi kwenda popote mwanangu Jenipha rudisha begi ndani"



    "Lakini mama mtu si ataki kukaa na baba amtaki si umuache aondoke!"



    Jenipha akaongea kwa dharau...



    "No mamy Martin lazima akae hapa tumsaidie"



    Janeth aliongea akitoka katika chumba chake,akaenda kulichukua begi la martin na kulirudisha ndani



    "Sijui kwa nini wewe mtoto una roho mbaya,kuwa na roho kama ya Dada yako!,huyu ni binadamu lazima tumsaidie"



    "Mfyuuuuuu!!!....."



    Jenipha akasunya na kukimbilia ndani ya chumba chake.......



    Baada ya Martin,kubembelezwa sana mwisho akakubali kuendelea kuishi,japo mateso kwa baba mwenye nyumba ile yalizidi kadri siku zilivyokuwa zinaenda

    Alizivumilia,mwisho akazizoea na kuona ni kawaida...



    *************

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ulikuwa ni usiku mnene,ghafla akashtuka,alihisi kuitaji kitu katika usiku ule...



    Mwili wake ulichemka,aliitaji upoozwe,akapeleka mkono wake kumgusa mumewe

    Na kuanza kumpapasa taratibu,sambamba na kutoa miguno ile,ni wazi alizidiwa....



    Mume wake akaushika ule mkono na kwa nguvu akauweka kando



    "Siitaji usumbufu naitaji kulala"



    "Lakini Mume wangu..."



    "Hakuna cha lakini naomba niache"



    "Nimezidiwa baba janeth"



    "Mfate mume wako huko kijijini alokuzalishia dume atakuridhisha"



    "Jamani mume Wang....



    Hakika binti yule alikuwa kazidiwa akatoka lengo aende chooni...akiwa kajifunga kamtandio chepesi

    Martin naye alishtuka,alikuwa katika maumivu makali,martin wa kiume akulala,aliitaji kumlaza kwa lazima akashuka kwenye kitanda akiwa kavaa bukta ilotuna kidogo kwa mbele akaelekea chooni...



    Wote wawili wakakutana katika eneo lile La kuelekea chooni wenye hisia za kufanana



    Macho ya tamaa na mshangao ya mama janeth yakabaki kuikodolea macho bukta nyepesi ya martin ilikuwa ikipanda na kushuka kama gorong'ondo atingishapo kichwa

    Bila kujielewa akawa akimsogelea Martin



    Naye kijana yule macho yake yalokosa pazia yaliuangalia mtandio ule kwa tamaha na kijana yule wa ndani akawa akinesa nesa



    Akawa akimsubiria Dada yule kwa hamu,ufahamu uliwatoka wote!...

    Mapenzi ni ugonjwa!,mapenzi ni shetani nao walimwacha awaongoze

    Wakakumbatiana na kuanza kuoneshana ufundi



    Kwa kuwa ile ilikuwa ni sehemu ya wazi wakajisogeza mpaka bafuni

    Milio ya kimaaba ikatawala!!!....



    Kila mtu akipania kukata kiu yake.....



    Wakawa wameufungua ukurasa mpya wa mapenzi



    Ukurasa wa laana iloizunguka familia ile



    Kwa nini nasema ni laana?!!!!

    Basi wakati wakiwa katika tendo lile Janeth akatoka kuelekea chooni,kabla ajaingia akasikia manung'uniko yale ya raha,akatamani kuchungulia



    Lahaullah!....alichokiona?!!!!!!!!





    Mapigo ya moyo yalianza kubadilisha mfumo wake wa upigaji,mwili wote ulimtetemeka,kadri alivyosikia mama yake akilalamika ndivyo naye alivyojikunja kunja....



    Ghafla mama yake akamaliza,akavunja dafu kitendo kilicho onesha muda wowote angetoka



    Kwa haraka Janeth akaacha kuchungulia na kurudi ndani kwake,mkojo ulikata,mwili ulimchemka

    Kila alipojaribu kulala avikulalika,mwili uliitaji tiba ,kwa Mara ya kwanza moyo wake ukashambuliwa na ugonjwa mbaya sana wa mapenzi



    Akajikuta akizitamani sana raha zile,alizozipata mama yake azipate na yeye...akaweka kiapo cha kumnasa Martin kwa gharama yoyote ile

    Bila kujali kashatembea na mama yake au la!...



    ****



    Brayson kaka yake Martin baada ya kufika jijini Arusha kuogopa kukamatwa baada ya kujua fika kabisa kuwa kijijini ameua wazo la kubadilisha jina likamjia



    "Naitwa Jacob lakini wengi upenda kuniita jb"



    Ndivyo alivyojitambulisha,akayaanza maisha mapya,akisulubika mgodini kule



    Siku zikasonga maisha akayazoea taratibu Pesa ndogo ndogo akaanza kuzishika,hapo ndipo mawazo juu ya mdogo wake yalipoanza kumtesa...



    Alijua lazima anateseka!,pindi mgodi ulipotema wakaponda starehe yeye kwake azikuwa na maana



    Akuona maana ya kufuja Pesa wakati mdogo wake anateseka kijijini

    Damu ni nzito kuliko maji,japo alijua ameua msukumo wa damu ya mdogo wake ikamsukuma kurudi kijijini kumchukua mdogo wake Martin



    'Ntateseka naye huku huku ntampangishia chumba atasoma sitaki ateseke kama Mimi ninavyoteseka!,na staki aendelee kubaki kijijini"



    Akawaaga rafiki zake na kuanza safari ya kurudi kijijini...



    ****



    Siku ile ile ambayo Martin katoroka asubuhi simba walivamia kijiji kile na kuanza kuua watu



    Kwa kuwararua na kuiaribu miili yao vibaya,mpaka wanakuja kuuwawa waliua watu wengi sana!



    Mwili uloharibika vibaya ulokutwa nyuma ya nyumba ile, mawazo ya wazazi wale wakajua fika ni mwili wa Martin



    Na kwa kuwa Martin pia akuonekana,wakazidi kulipa nguvu wazo ilo



    Wakauzika mwili ule....



    Baada ya safari ndefu jb akutaka kufika moja kwa moja nyumbani akafikia jirani kwao,ambapo alishtuka baada ya kuambiwa dick akufa!,ni alizimia tu

    Pia alishtuka baada ya kuambiwa mdogo wake alikufa kwa kuliwa na simba baada ya simba kuvamia kijiji kile



    Alilia!...



    Alimlilia mdogo wake



    Nguvu za kwenda nyumbani kumwangalia mama yake zikamjia,japo mama yake mzazi alimtesa sana akisaidiana na baba yake wa kambo alijua fika yule ni mama yake mzazi



    Kwa hatua fupi fupi akaelekea nyumbani tofauti na mategemeo yake akupokelewa kwa furaha hata!



    Mama yake alimkuta amekonda,hata alipomsalimia akuitika,alipoongea akuongea



    Akaenda katika kaburi la mdogo wake akalia...aliporudi nyumbani akakuta mlango umefungwa akajaribu kugonga

    Kimya



    Ikabidi aende kwa rafiki yake kulala huko,akujua kitu gani kilimpata mama yake mpaka kuwa katika hali ile...



    Akawachukua wazee wa makamo wakamwombee msamaha lakini hali ilikuwa ile ile awakutaka kumwona Bray pale kijijini....



    Bray au jb akaamua kuondoka zake na kurudi Arusha



    Miaka miwili alirudi tena akitegemea mabadiliko lakini hali ilikuwa ile ile

    Akaapa kutokurudi tena katika kijiji kile...akayatoa mawazo kwa ndugu zake wale,ndugu pekee alikuwa ni martin ambaye kwa sasa alijua ni maiti,

    katu akujua kuwa baba yake yule wa kambo alikuwa ni mchawi aliye mloga mama yake na kuutoa upendo wa kwao kwa mama yake yule...



    *****



    "Martin kuna kitu nataka kukwambia"



    Aliongea janeth huku akimrembulia macho kijana yule

    Walikuwa jikoni,martin akipika



    "Nambie tu"



    "Niaidi utochukia"



    "Nakwaidi sitochukia"



    Janeth akaung'ata mdomo kwa pozi la kike



    "Martin una mchumba!?"CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Kauli ile ilipita moja kwa moja mpaka katika sikio la jenipha alokuwa akipita kuelekea sebuleni akitokea chumbani ilikuwa lazima apite katika korido ile

    Akashtuka!...



    Akitegemea Dada yake kumpenda kijana yule,alitokea kumdharau sana martin



    "Mh!!!...."



    Akaguna akiusogelea mlango ule akachungulia kidogo akatega sikio



    "Kwa nini umeniuliza hivyo Dada?!"



    "Nataka kujua Martin plz nijibu una mpz"



    "Mh mi sina"



    "Waoooh!,nafrah kuskia hivyo kuna kitu nataka kukwambia martin ila samahani kama nitakukwaza!"



    "Sema tu Dada yangu"



    "kwanza staki unite Dada pili una jua ni vigumu kwa mwanamke kueleza hisia zake tafadhali nakuomba usije ukaniona Mimi Malaya kwa ichi ntakacho kwambia"



    Akanyamaza kidogo kisha akaendelea...



    "Wewe ni mwanaume shaibu,mtanashati,handsome boy nimevutiwa na wewe"



    "Kivipi jane"



    "Nakupenda Martin naitaji use mpz wangu"



    "What?!" Martin akaoji kwa mshtuko!,na kile nje jenipha akashika mdomo kwa mshangao



    Janeth akujibu kitu akamvamia martin na kumpa mdomo wake

    Martin alijaribu kujizuia ila akashindwa akamuachia



    Wakazama katika raha ya midomo, binti yule akaanza kutoa mguno

    Mguno ulopenya mpaka katika maskio ya jenipha,uvumilivu ukamshinda binti yule anayefanana kwa kila kitu na Dada yake akakimbilia ndani mpaka kitandani akajitupa na kuangua kilio...



    Heee Jenipha nini tena mwenzio ndo kashapenda walia nini?!



    kila alipojaribu kutafakari alishindwa kupata jibu!,iweje dada yake ampende fukara yule,kila alipofikiria vile akazidi kulia!,kwa vyovyote vile aliamini dada yake kapotea!...



    Kwa upande wa Martin bado alikuwa katika hali ya sintofahamu,kiukweli moyoni mwake alijikuta akimpenda janeth lakini mama yake alikuwa chanzo! ni vipi jamii ingemchukuliaje?,



    pindi ikigundua amekula kuku na mayai yake akawaza pasina kupata majibu,mpaka anapitiwa na usingizi alikuwa ajapata soln ya jambo lile!



    Ulka au tabia ya kutofunga mlango ilimuwia urahisi janeth kuingia ndani ya chumba kile usiku wa manane,



    Baada ya kuufunga mlango kwa ndani akapanda kitandani na kuanza kukipapasa kifua kipana cha martini...



    Mpapaso huo Martin aliusikia kwa mbali,aliisi pengine ni ndoto!,hisia kali za mapenzi ndizo zilizomuamsha,



    akashtuka baada ya kumuona janeth kama alivyozaliwa!,alitaka kumsukuma lakini alishindwa,tayari mwanaume alikuwa hoi bin taabani,wakajikuta wamezama katika mapenzi

    pamoja na udogo wote alokuwa nao Martin alijaliwa utundu,wa kuwapagawisha dada zetu hawa.



    Janeth alikiri tangu ayajue mapenzi akuwai kufanyiwa kama alivyofanyiwa...moyoni mwake akazidi kumpenda martin mara kadhaa,akaapa kumnyang'anya mama yake na kummiliki yeye!



    "beby penzi langu si tamu?!"



    "tamu sana!"



    "Unanipenda beby!"



    "nakupenda sana!"



    "naomba ubaki na mimi!"



    "usijali mpz! upo peke yako moyoni mwangu"



    "Wewe mtamu beby naona wivu ukiwapa utamu wako wanawake wengine! usije kunfanyia hivyo ntakupa wakati wowote utakapoitaji ili mradi uwe na mimi tu Martin unioe!"



    "usijali kwa ilo mpz"



    "nataka umuache mpaka mama!"



    "what?!"



    Martin alishtuka katu akujua kama watoto wale wanajua juu ya uhusiano wake na mama mwenye nyumba ile,si Martin pekee aloshtuka juu ya ilo! hata mwanamke mwingine aliyekuwa akiwapiga chabo alishtuka baada ya kuskia maneno yale....



    Jenipha!alishtuka, toka usingizini na kushangaa kutokumuona dada yake!,mwanzo alidhani pengine dada yake atakuwa ameenda chooni,dakika zikakatika bila kurejea!...



    Tabia yake ya ukimbelembele na hamu ya kujua kila akifanyacho dada yake ikaanza kumshambulia!,machale yakamcheza! kumbukumbu zake zikarudi mchana wakati aliposkia dada yake akimlalamikia Martin juu ya upendo wake kwake!,akahisi kitu!,akutaka kusubiri tena akashuka na kuelekea chumba cha Martin

    Mawazo yake yalikuwa kweli akapokewa na miguno ya kimahaba!



    moyo wake ukapenda kuchungulia,taratibu mapigo ya moyo wake yakaanza kubadilika!



    'dada anafaidi nini kwa huyu fukara?! ambaye siyo leval yake?'



    wazo ilo likapita katika kichwa chake!



    "Wewe mtamu beby naona wivu ukiwapa utamu wako wanawake wengine! usije kunfanyia hvyo ntakupa wakati wowote utakapoitaji! ili usinsaliti mpz!,martin unioe..."



    "usijali kwa ilo mpz"



    kauli ile ikamshtua Jenipha!,akatamani kuufahamu utamu huo...taratibu chuki zile,dharau zikayeyuka,hamu ya kutaka kuujua utamu huo ikamvaa.

    chembe chembe za wivu zikamtawala,hasa pale alipomwona dada yake akigaa gb katika dimbwi lile la mahaba! ghafla akashtuka



    "nataka umuache mpaka mama!"



    yah maneno hayo ndiyo yaliyomshtua! akazidi kutega sikio vizuri akistaajabu habari ile ilokuwa ngeni kabisa katika masikio yake!



    'ina maana mama anatembea na...no hapana!' akawaza akiondoka eneo lile! hisia zote zikimyeyuka! akarudi chumbani...



    Si kwake tu!,hata kwa Nurdin habari ile aikuwa nzuri kwake! hamu yote ya kufanya mapenzi ikayeyuka akabaki katika butwaa!...



    Janeth naye pia mshangao ulimvaa, hakuwa na tabia ya kuropoka, majuto ni mjukuu alijuta kwa kuitoa siri ile!,maji yakishamwagika ayazoleki akazidi kukomaa katika msimamo wake ule



    "au nimekosea mpz wangu! au nimeongea uongo?!"



    Martin hakuwa na cha kujitetea!

    akamwachia mwanya Janeth wa kuzidi kuongea



    "Tambua yule tayari ni mke wa mtu!, mumewe akijua je?! Baki na mimi mpz"



    "Mpsss!,ok beby nimekuelewa vizuri sana kapumzike ntalfanyia kazi"



    Janeth akampiga busu na kutoka chumbani kule akiwa mwepesiii...

    Alipofika chumbani kwake akamtupia macho mdogo wake



    Jenipha alijidai kalala,ila kila mtu kwa wakati ule alikuwa katika mawazo mazito!



    Martin aliwaza Janeth kajuaje ishu ile ya yeye kutembea na mama!,akupata jibu ni wazi maisha yake sasa yalikuwa hatarini...



    Kwa upande wa Janeth yeye alifarijika sana kumnasa Martin,kijana aliyempenda,alijiisi ni shujaa....

    Ila kwa upande wa Jenipha moyo wake ulikosa utulivu!,



    'hivi kijana yule ana utamu gani wa kupendwa hadi na mama?!, mama yangu atembee na kikaragosi kama kile?!,hakuna!!!, hapana!!!....

    Na Dada kajuaje?! Na mbona alipomuuliza Martin alishtuka?!,itakuwa kweli

    Ghafla akakumbuka wakati Dada yake alivyokuwa akijinyonga nyonga kwa mapigo ya kaka martin

    Akatabasamu kwa mbali

    'Lakini anaonekana anaweza mambo lazima nami anionjeshe utamu wake ntamtisha kumshtaki kwa baba ikiwa atonipa yaaaah'

    Akaachia tabasamu....





    Akajikuta akijilamba mdomo kwa matamanio makubwa...

    Baada ya dakika chache akapitiwa na usingizi...

    Kesho yake asubuhi,siku ilianza kukiwa na rasharasha,Martin aliamka raha ikiwa imetoweka katika uso wake...

    Alimkumbuka kaka yake

    Alimkumbuka mama yake!

    'Pengine kaka Bray atakuwa alirudi nyumbani?!'

    Wazo ilo likamsukuma kutamani kurudi nyumbani...CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    "Mama nimepakumbuka sana nyumbani nataka kwenda kusalimia..."

    "Beby lakini si ulisema walikufukuza?!"

    "Ndiyo lakini nahisi kaka yangu alirudi na nimemkumbuka mama yangu"

    Baada ya kubembeleza sana akapewa ruhusa,janeth aliuzunika sana na si janeth tu hata jenipha kwa kutofanikisha lengo lake lakini kwa kuwa aliapa kurudi mapema awakuwa na jinsi...



    Siku ya siku ikawadia Martin akapanda garini tayari kwa safari

    Baada ya mwendo mrefu hatimaye aliingia katika kijiji chao

    Hakika kilikuwa kimebadilika,akachukua boda boda ya kuelekea nyumbani kwao

    Kwa kuwa stendi na nyumbani pana umbali...



    Kama ilivyokuwa kwa kaka yake naye akupenda kuanzia nyumbani...

    Akaelekea mpaka kwa majirani zake

    Alimkuta mama peter mama wa rafiki yake kipenzi akiwa anatwanga twanga maindi...



    Ghafla mama Yule baada ya kumuona akaduwaa na alipozinduka akatoka nduki akipiga kelele mzimuuuu! mzimuuuuu! Mzimuuuu umerejea mzimuuuuu!

    Akaufunga mlango kwa ndani Martin akashtuka!



    'Mzimu umerejea?!'

    Akajaribu kuwaza jambo ilo bila kulipatia muafaka

    'Ina maana mi ni mzimu?!,embu ngoja!"

    Akaelekea katika mlango ule na kuanza kuugonga kwa nguvu akiomba afunguliwe ila ikawa tofauti na matarajio yake

    Mwisho akaamua kuondoka na kuelekea kwao!...



    Alipotokezea nyuma ya nyumba yao akalakiwa na kaburi,macho yake yakatua katika kibao kilichokuwa katika kaburi lile



    Martin Ndo jina lililoandikwa alifariki zaidi ya miaka mitatu nyuma tena ile tarehe alotoroka



    'Hapana aiwezekani'



    Akajiwazia hapo ndipo alipoijua sababu ya mama piter kumkimbia

    Alibaki kwa dakika kadhaa



    akiwaza,ghafla akapata wazo!,roho ya kijasiri ikamvaa akazunguka Mbele ya nyumba yao...



    palikuwa kimya na mlango ulikuwa umefungwa



    'Bila shaka watakuwa wameenda shambani'



    Akawaza



    Akakumbuka sehemu walipokuwa wanaifadhigi ufunguo akaenda kuangalia kweli akaukuta akauchukua na kufungua!



    Alijua ni nini alichotakiwa kufanya

    Akaelekea katika chumba chao

    Baada ya dakika kadhaa alitoka akiwa na beleshi na sururu



    Aliitaji kulifukua lile kaburi kusudi ajue ndani walizika nini



    Kwa Mara ya kwanza roho ya kikatili na ya kijasiri ikamvaa kijana yule.



    Akaanza kuchimbua kaburi lile mpaka akalifikia jeneza akadumbukia chini na kulifungua japo lilikuwa limeliwa na mchwa akalifungua



    Akakuta mifupa na fuvu la mtu,akatingisha kichwa



    'Ina maana walizika mtu?'



    Akajiwazia,akaamua kuruka juu,ghafla kile kitendo cha kuruka akapokelewa na mayowe



    Ndugu zake ndo walokuwa wamerudi kutoka shambani

    Mama yake,baba yake wa kambo mdogo wake wa kambo na watoto wadogo wadogo wawili bila shaka ni wadogo zake



    Kwa mawazo yao walijua martin amefufuka wakakimbilia kwa jirani!

    Martin alikuwa kachanganyikiwa

    Akujua afanye nini,alijua kwa vyovyote asingeeleweka



    Wote wangemwona mzimu

    Wazo la kurudi mjini siku hiyo hiyo likamrudia akiapa kutokurudi tena katika kijiji kile



    Alisha haribu hali ya hewa

    Akaelekea katika kituo cha bodaboda akapanda boda boda ilompeleka mpaka stendi,akapanda basi tayari kwa kurudi alipofadhiliwa jijini Dar

    Baada ya safari ndefu alifika salama,japo alikuwa amechoka wote walifurahi kumuona



    Si baba mwenye nyumba,mama Janeth na watoto wake wawili

    Martin akaanza kuwasimulia kila kitu japo akuwaeleza kama alifukua lile kaburi,wote walistaajabu kwa stori ile



    "Itabidi tufunge safari Mimi na wewe na mama yako kwenda kijijini..."

    Martin akashtuka....





    Akuitegemea habari ile,hasa kutokana na kiapo alichokula



    "Sitoweza kurudi nyumbani tena!"



    Kwa sauti ndogo ilojaa uchungu Martin akatamka,usoni alimaanisha kile akisemacho...



    "No Martin usiseme hivyo kule ni nyumbani kwenu na wale ni ndugu zako tukiwaeleza watatuelewa tu"



    "Mh! Sijui..."



    Baada ya kubembelezwa sana Martin akakubali kwenda kijijini na walezi wake wale,siku ilofatia baada ya maandalizi wakaingia ndani ya gari tayari kwa kuanza safari.



    Moyo wa Martin ilikuwa mzito hasa kwa kitendo chake cha kulifukua kaburi,ndicho kilichomtia wasiwasi



    'Ule mda nliokuwa natoka ndani ya kaburi si ndiyo watajua nilifufuka jamani?! ndo maana wakakimbia? Na kukataa kunifungulia mlango?!,ila nlikuwa na haki ya kujua walizika nini?!,kule chini sijui kwa nini sikuwaeleza hili baba na mama'



    Martin aliwaza aliwaangalia wazazi wake wale,bila shaka alitamani sana kuwa ambia ila moyo ulikuwa mzito...

    Mawazo Yale yakazidi kumnyong'onyesha Martin,furaha yote ilitoweka



    Toka kijijini mlandizi mpaka jijini dar kwa miaka hiyo apakuwa mbali ila kutokana na barabara kuwa mbaya walichukua masaa mengi kufika

    Walikuwa wamechoka hoi bin taaban ila kutokana na maelekezo ya kijana yule ndogo walifanikiwa kufika salama...



    "Sasa itabidi wewe ubaki kwenye gari sisi tutangulie tukaweke mambo sawa,tutakuita sawa?!"



    Baba janeth akatoa wazo lililoungwa mkono na wote,mtu na mke wake wakashuka na kuelekea katika nyumba ile!



    Bado Martin wasiwasi ulimtawala, hatua ilimvamia hasa alipouona upendo wa baba Janeth



    Je ikitokea siku akaugundua uhusiano alokuwa nao baina yake na mkewe, baina yake na mtoto wake?!



    'Wamenipenda wenyewe wacha niwatafune!'



    Akayatupilia mbali mawazo yake Yale na kumkaribisha zaidi shetani ghafla meseji ikaingia kwenye simu yake



    "Vipi mpz umefika salama honey?!"



    Ilitoka kwa Janeth akatabasamu na kuanza kuijibu....



    Wageni wale walikaribishwa vizuri,huku mioyoni mwa wakazi wale wakistaajabishwa na ugeni ule!...



    "Sisi tumetokea jijini Dar es salaam na tumekuja hapa kwa tatizo moja ni juu ya mtoto wenu Martin?!"



    "Martin?!..."



    Wote walioji kwa mshangao, wakikumbuka pindi alipotoka katika kaburi lile



    Ni wazi kwa fikra zao walidhani mzimu ule ulishaleta madhara katika jiji lile



    "Kafanyeje huyo Martin?!"



    Mama yake Martin akaoji huku alionekana kuchukia ( kukereka) waziwazi



    "Swali zuri sana!,miaka mitatu nyuma Martin alikuja jijini Dar akitokea huku kijijini lengo la kuja dar ni kutafuta maisha aliletwa nyumbani na mke wangu huyu hapa"



    Wote wakashtuka kwa kusikia habari ile geni kabisa katika maskio yao



    "Martin huyu huyu alokufa miaka kadhaa nyuma na kufufuka juzi?!"



    Mama Martin akaoji kwa mshangao



    "Mimi mwenyewe ndo nashangaa!"



    Mumewe naye akajibu kwa mshangao



    "Kwanza nachoomba mtambue Martin ajafa,Martin yupo hai!"



    Akaweka tuo akiwaangalia wenyeji wake wale,bila shaka alitaka kujua wataipokeaje habari ile na wataipokea kwa uzito gani

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Hapana! Hapana Martin mtoto wetu alikufa na mwili wake tukauzika ila Jana ndo alifufuka na tulishughudia kwa macho yetu wakati akitoka katika kaburi!"



    "Martin alikufa na kufufuka?!"



    wote waliuliza alama za mshangao zikisomeka katika nyuso zao!



    "aswaaa! miaka mitatu nyuma simba walivamia kijiji chetu! na kusababisha mauaji ya kutisha na mmoja wapo wa watu walokutwa wamekufa ni Martin alikutwa nyuma ya nyumba,tulimzika na kaburi lake lipo hapo nyuma!"



    "mbona sielewi!,ni martin huyu huyu tuliyenaye sisi?! hapana si kweli!"



    mama Janeth alipinga,mume wake akaingilia...



    "mke wangu usihamaki mambo yatakuwa sawa tu,wacha tuwasikilize nasi tutatoa maelezo yetu! eeh endeleeni!"



    mama Martin akaendelea!



    "juzi wakati tulipokuwa tunatoka shambani ghafla tukamuona Martin akitoka katika kaburi lake!"



    "whaat?!" wote wakaoji kwa pamoja,ilikuwa ni habari mpya ilowashangaza,ilokuwa ngeni hata kwao kwani Martin akuwasimulia juu ya ilo.



    "nahisi kama sijaelewa hapo! martin alitokaje katika kaburi?!" baba Janeth akaoji!



    "ni vigumu kunielewa tafadhali naombeni tuzungukeni huko nyuma mkalione kaburi la Martin!"



    Bila ubishi wote wakajinyanyua na kuzunguka mpaka nyuma ya nyumba ile,palipokuwa na kaburi...



    "bila shaka nadhani mwaliona ili kaburi ni jipya ni baada ya sisi kulifukia baada ya Martin kutoka"



    watu wale wakabaki wamelikodolea lile kaburi macho hasa kile kibao kilichoandikwa pale siku alokufa Martin ndo siku mama Janeth alipokutana naye! katika gari kuna nini kinachoendelea hapo kati?! hapakuwa na mwenye jibu la swali ilo



    "Ok tumewaelewa ndugu zetu na sisi wenyewe tumeshangazwa na jambo ili! ningependa mfahamu kitu kimoja! mke wangu embu waelezee kila kitu kwa urefu!?"



    "sawa mume wangu!,kwa jina mimi naitwa mama janeth au mama jenipha,naishi dar ila wazazi wangu wapo kijiji cha jirani! cha mwavulana,sasa miaka kadhaa nyuma nlitoka kijijini na kuja kupandia gari katika kijiji hiki kwa bahati nzur ktk siti nlopangiwa nlipangiwa na kijana mmoja alokuwa kajinamia muda wote!,na alikuwa akilia,hamu ya kutamani kumjua ni nani ikanvaa Na kwa nin analia?! ndipo nlipoamua kumuuliza kwa sauti ya upole akanambia anaitwa Martin!"



    "Martin?! haiwezekani ilikuwa ni tarehe ngapi?"



    "hiyo hiyo mloandika amekufa!"



    "hapana aiwezekani!..." wazaz wale wakakana



    "tafadhali tunaomba mtusikilize na sisi!,ok mke wangu endelea"



    "basi nkamuuliza kwa nini analia na anaenda wapi?!,akanijibu analia kwa kuwa ametoroka kwao baada ya kuteswa yeye na kaka yake kwa muda mrefu na kaka yake alitoroka siku chache zilizopita hivyo naye ndo anaenda mjini kumtafuta!"



    "Brayson?!" wazazi wale wakatamka kwa pamoja jina lile wakati huo wakitamka Jb Alikuwa amenyanyua nyundo juu na kuishusha katika mwamba ghafla akajigonga kidole kikasagika sagika akaachia yowe!...



    katu akujua kuwa kuumia kule kulitokana na kutajwa na wazazi wake kule kijijini...



    pamoja na maumivu yote aloyapata akajinyanyua na kushika nyundo kuendelea na kazi!...



    muda wote wa kikao kile Martin alikuwa ndani ya gari lile akichart na janeth! wote wakionekana kuzama katika hisia....



    Mambo yanazidi kuwa mambo Martin bado anakumbuka yalotokea nyuma kisa cha kupotezana na kaka yake jb (mzimu)





    Walezi wale wa Martin walistushwa na habari ile



    Martin alionekana akitoka kaburini?!



    Kivipi?!



    Martin alikufa na waliuzika mwili wake?!



    Hapana!!!



    Aikuwaingia akilini,wakajaribu kwa kila namna kuwaelewesha wazazi wale ambao awaku taka kuelewa jambo lile

    Mwisho wakaamua kuachana nao na kuaga wakiamua kumlea Martin kama mwanao wakarudi katika gari lao



    "Vipi baba mmefikia wapi?!"



    Wakapokewa na swali kutoka kwa Martin,



    Mama Janeth aliishia kutingisha kichwa kwa masikitiko



    "Ulikuwa una haki ya kukataa kuja huku mwanangu sijapata kuona watu wabishi kama wale wazazi wako daaah!"



    Martin akaachia kicheko hafifu



    "Una maana gani baba kusema hivyo?!"



    "Wamekana katakata!, wamekiri ile siku ulotoroka ukaja mjini ndo siku ambayo chui walivamia kijiji kile na mwili wako ulikutwa nyuma ya nyumba umeharibika vibaya wakauzika na Jana walishughudia ukitoka nje ya kaburi lile

    Mimi na mama yako tumejaribu kwa kila namna kuwaelewesha wamekataa, ivyo tukaamua tuachane nao na kukuchukua na kuendelea kukulea kama mtoto Wetu ivyo usijali

    Ila Martin kuna kitu naitaji kukijua kutoka kwako!"



    Martin akashtuka!,akatoa macho ya mshangao pasina kujua ni jambo gani ilo akatega sikio vizuri...



    "Kuna kitu ambacho nimekiskia kwa wazazi wako na sijakielewa kabisa na mwenye jibu sahii ni wewe!"



    Baba Janeth akaoji huku usoni akionekana kuwa na wasiwasi wa waziwazi



    "Kitu gani hicho baba?!"



    Martin akaoji akiwa na shahuku la kutaka kufahamu



    Baba Janeth akaingiza gia na kukanyaga mafuta kidogo!



    Alikuwa akiendesha gari kurudi jijini Dar kwa mwendo wa taratibu



    "Wazazi wako walisema walikushughudia kwa macho yao Jana ukifufuka ukitoka nje ya lile kaburi

    na wanasema siku ile ulipokuja mjini ndo siku ambayo mwili wako ulikutwa umeraruliwa na chui sijui simba na wakatupeleka mpaka katika kaburi lako lilikuwa bado jipya yamkini lilifukiwa Jana,Jana baada ya wewe kufufuka na wanasema walilifukia wao baada ya wewe kutoka na kuondoka mi sijaelewa hapo kabisa

    Hasa icho kipengele cha kukuona ukitoka katika kaburi"



    Baba Janeth akaeleza wasiwasi wake



    "Mpaka wewe baba una mashaka na mimi?!"



    Martin akaoji akiwa kakunja sura,in wazi akupenda swali lile...



    "Hapana mwanangu ila nataka tu kujua"



    "Ok wazazi wangu kwanza niwatake radhi sikuwaeleza haya awali ila niliogopa ila sina budi kuwaeleza sasa ni kweli mimi ndo nilitoka ndani ya kaburi lile..."



    "What?!!!"



    Wote wakaoji kwa mshangao wakiyatumbua macho yao kumshangaa Martin



    "Jana baada ya kuwaaga kuwa naenda kijijini sikufika moja kwa moja nyumbani niliishia kwa jirani ambapo aliishi rafiki yangu wote walinikimbia wakiniita mzimu nlorejea,kiukweli sikuelewa maana ya kauli hiyo

    Nikaachana nao na kuamua kuelekea nyumbani nlipopokelewa na kaburi lenye jina langu ukweli nilishtuka...



    Hamu ya kutaka kujua alofukiwa ndani ikanishika,na kwa bahati nzuri apakuwa na mtu pale ndani nilikuwa najua mahali funguo ilipo ndo tulipo kuwa tukiuifadhi toka nikiwa nyumbani nilipoenda kuucheki kwa bahati nzuri nikaukuta nkafungua na kwenda kuchukua sururu na chepe na kuanza kufukua kaburi lile!"



    Akaweka tuo na kuwa angalia wasikilizaji wake kujua waliipokeaje habari ile



    Muda wote wakati anasimulia mama Janeth alikuwa kaushika mdomo kwa mshangao...



    Martin akaendelea



    "Nililifukua mpaka chini nilipolikuta sanduku nikalifungua na kuingia ndani yake nikakuta fuvu la mtu na baadhi ya mifupa, nikabaki na swali je ni nani alozikwa?!



    Baada ya kukosa jibu ndo nikaamua kutoka kwa kuruka kile kitendo cha kutoka tu juu nikawaona wazazi wangu wakitoka shamba waliponiona wakaanza kupiga mayowe mzimu umerejea,mzimu umerejea,mzimu umerejea! Mzimu ulorejea....



    Walezi wale wakaangua kicheko,mshangao ile ukiwa bado upo kwenye nyuso zao



    Martin akaendeleaCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ...wakakimbia ndani na kujifungia nilibisha hodi awakufungua mwisho nikaona ni bora nrudi zangu mjini"



    "Dah pole sana Martin umetuchekesha sana hata ingekuwa ni sisi tusingekuamini ila una makosa kutuficha tangu awali labda tungewaeleza na haya pengine wangetuelewa"



    "Kweli mpz!,sasa tutafanyeje?!" Mama Janeth akaoji



    "Kilichobakia ni kupima vinasaba! Katika hiyo mifupa...



    " ya nini yote haya?!,wameshamkataa mtoto wao hata tufanye nini awatatuelewa tuachane na mambo hayo"



    Martin akaongea,wote awakuweza kumkatalia

    Wakaamua kuachana na jambo lile

    Martin akaapa kutorudi kijijini tena!



    Akuiona thamani ya mama yake tena



    ************



    Walifika nyumbani jioni,kwa kuwa walikuwa wamechoka wakaoga na kula baada ya hapo kila mmoja akaenda chumbani kwake kulala



    "Leo lazima niupate utamu aupatao Dada na mama"



    Jenipha aliwaza,muda huo huo akamwangalia Dada yake alokuwa kafumba macho taratibu akashuka kwenye kitanda kile



    "Nitajifanya Mimi ni Janeth ila nitampa penzi tamu zaidi ya la dada mpaka aone tofauti yetu"



    Akaendelea kuwaza huku akitoka nje ya chumba kile mpaka chumbani kwa Martin akakiparamia kitanda

    Na kuanza kuusambaza ulimi wake ndani ya maskio ya kijana yule

    Martin akashtuka na kumpa ushirikiano



    "Sshhhh aaaah bebyy yaaaa"



    Jenipha akazidi kutoa kilio kitamu pale martin alipozinyonya chuchu zake ndogo



    Janeth akashtuka usingizini, akashangaa kutomuona mdogo ake

    Macho yake yakadondokea katika mlango



    Mlango ulikuwa wazi,akajua mdogo wake atakuwa chooni,dakika zikakatika pasina Jenipha kurejea

    Machale yakamcheza



    Akashuka kitandani kwa kunyata na kuelekea chumbani kwa martin



    "Yaaah oooh shit ingz be by"



    Ndo sauti alopokelewa nayo



    Moyo ukampasuka paaaaaa



    Akuamini kile akisikiacho,mdogo wake kamsaliti?!,martin kamsaliti?!,katembea na familia yake yote kuanzia mama,yeye na mdogo wake bila aibu?!!!



    Ni wazi alimchukulia kijana yule ni kicheche wa kutupwa aliyeivamia familia yao...



    Chuki ikaanza kujitengeneza katika moyo wake aliegemea ukuta akilia



    "Mh janeth mpz penzi lako la Leo ni tofauti na la siku nyingine zote tangu nimekufahamu!"



    Janeth akashtuka ni wazi alitambua Martin alijua ana fanya mapenz na yeye akamlaani mdogo wake kwa kuingilia penzi lake



    'Ina maana Jenipha alijua juu ya mapenzi yangu na Martin iweje sasa anigeuke Dada yake?!'



    Akawaza



    "Kwani tofauti yake iko wapi mpz"



    "Laleo ni tamu kuliko la siku zote"



    "Kweli mpz?"



    "Kweli"



    Kadri Janeth alivyoendelea kusikiliza maongezi Yale ndivyo yalivyozidi kumchoma moyo wake



    Akakimbilia kurudi chumbani kwake,alipojifunika na shuka akaangua kilio,alilia kwa maumivu makali ya moyo



    Ndiyo!!!



    Alikuwa na haki ya kulia,



    "Mimi si Janeth Mimi ni Jenipha"



    kule ndani Jenipha akajitambulisha akipapasa kifua cha Martin

    Martin akashtuka,akuamini maneno Yale!,alijua fika Jenipha alikuwa ampendi,ni Mara nyingi alimnyanyasa sana pale nyumbani



    Yeye alimpenda Janeth

    Akamwangalia Jenipha kwa hasira



    "Umefanya nini Jenipha?!"



    Akamuuliza binti yule



    "Umekiri Mimi ni mtamu zaidi ya Dada Janeth,pia najua Mimi ni mtamu zaidi ya mama kwanini usiwe na kitu kitamu?!"



    Aliongea Jenipha Akijigeuza geuza kitandani pale



    Martin akashtuka,katu akujua kama binti yule angejua juu ya uhusiano wake na mama yao

    Akazidi kukosa raha



    "Naomba utoke Jenipha"



    "Unanifukuza siyo baada ya kuntumia?! Natoka ila nakuomba uachane na hao vikaragosi wako ubaki na Mimi lasivyo?!"



    "Utafanyeje?!"



    Martin akamuuliza kwa kebehi



    "Naomba utoke na usirudie upuuzi huu"



    "Usintukane Martin naenda ila sitokubali kukuacha lasivyo basi tukose wote mama,Dada na Mimi"



    "Sijakuelewa!"



    "Ukiniacha ndo utanielewa kwa heri"



    Baada ya kumaliza maneno Yale Jenipha akatoka zake akimwacha Martin katika mawazo mazito

    Moyoni akipanga kufanya siri Janeth asijue,maskini akujua janeth alishajua kila kitu



    'Ila yule mtoto ni mtamu kwa nini nisiwe naye'



    Mawazo ya upotoshaji yakakivamia kichwa chake akikumbuka makeke alopewa pale kitandani

    Ghafla mtarimbo ukasimama!



    Akaachia tabasamu



    'Ntawala wote wa Tatu kila mmoja kwa wakati wake na wakwanza kushika mimba ndo ntakaye mpenda zaidi na ndo ntakayeishi naye na kumpa kipa umbele'



    'Na wakishika wote?!'



    Sauti nyingine ikamuoji



    'Ntajua cha kufanya'



    akaipa jibu na kuvuta shuka kujifunika vizuri akiutafuta usingizi

    Kutokana na uchovu akukawia akawa katika sayari nyingine...



    **********CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Janeth alizidi kulia akikabiliana na maumivu makali ya moyo,baada ya nusu saa mlango ukafunguliwa Jenipha akaingia



    Akapigwa na butwaa kumuona Dada yake akilia,aibu ikamvaa

    Damu ni nzito kuliko maji,mapacha wale walifanana kwa kila kitu

    Simanzi ile alikuwa nayo Janeth akamuambukiza na mdogo wake Naye akaanza kulia akamfata Janeth na kumpigia magoti akijihisi mkosaji



    "Nsamehe Dada Yangu,nsamehe my love"



    Wakati wale wakiombana msamaha baba Janeth alikuwa katoka akielekea chooni alipofika katika chumba kile akapokelewa na kwikwi akasogea karibu akatega sikio kusikiliza



    "Nsamehe Dada yangu,nsamehe my love"



    Akamsikia mwanaye akiomba msamaha huku akilia



    'Paaaaaaaaaaaaa'



    Kilikua ni kibao kilichotua katika shavu la Jenipha



    Binti yule akaachia yowe

    Baba Janeth ikamlazimu kuingia



    "Ni nini kinachoendelea hapa?!"



    Jenipha na Janeth wakaangaliana kwa mshangao,wakiwaza wajibu nini wakashtuliwa na swali lingine....



    "Nawauliza mnachogombana usiku huu ni nini?!"



    "Ni huyu jenipha...analala vibaya usiku kucha ni kunikanyaga kanyaga nimechoka baba..."



    Janeth aliongopa sambamba na machozi kuendelea kumtiririka,naye mdogo wake akazidi kuomba msamaa...



    "Lakini mwanangu Janeth mdogo wako si kashakuomba msamaa msamehe na wewe jenipha umeshakuwa sasa ujifunze kulala vizuri"



    Baada ya mjadala ule kuendelea kwa dakika kadhaa hatimaye Janeth akageukia upande wa Pili wa kitanda kile ishara ya kwamba aliitaji kulala zake,akiyakabili maumivu makali ya moyo



    Na baba yao akatoka na kurejea chumbani kwake,akijua ameacha amani chumbani kwa wanaye



    "Aaah...Martin...oooh...Tara..tibu...baba"



    Baba Janeth akashtushwa na sauti ya mke wake alokuwa akiota...



    Alikuwa akimuota Martin

    Machale yakamcheza....



    "Hapa kuna kitu na lazima nikijue aiwezekani na nilazima nijue juu ya hili na ikiwa hivyo sijui ntamuadhibu adhabu gani huyu kijana"



    Akawaza baba Janeth akimwangalia mkewe kwa jicho la mshangao Lililo Changanyikana na simanzi tele ndani yake...



    Aliazimia kwanzia siku hiyo aanze uchunguzi wa chini kwa chini...



    Taratibu akajilaza kitandani hakiruhusu msururu wa mawazo kujaa kwenye kichwa chake...



    Baada ya mawazo mengi kugongana kwenye kichwa chake hatimaye naye akabebwa na usingizi....



    *******



    "Hivi Martin una akili gani lakini ina maana Mimi sikutoshelezi mpaka utembee na wanangu wote wawili?!"



    Mama Janeth aliongea kwa hisia,ni baada ya kuugundua uhusiano uliokuwepo kati ya wanawe na kijana yule waloamua kumsaidia



    "Hapana mama Mimi siwezi kufanya kitu kama icho,..."



    "Ina maana mi naongea uongo?!"



    "Hapana mama ila ukweli sina mahusiano yoyote na mabinti zako"



    "Sawa si unanificha?!,endelea kunificha hivyo hivyo ila ipo siku moja ukweli utabainika"



    "Hakuna ukweli wowote niufichao mama"



    "Sawa!,ila Martin kuwa makini na kingine naitaji hapa nyumbani uondoke"



    "What?!,ntaenda wapi mama!"



    "Umekurupuka kujibu Martin sina maana kwamba Nakufukuza la hasha Bali jua tufanyacho ni hatari kwetu na kinga ni bora kuliko tiba tujihadhari naitaji upange chumba Mimi ntakuwa nakulipia kodi"



    "Kazi si itakuwa basi mama?!"



    "Hapana!,ntakupa mtaji utafungua hata duka..."



    Katu awakujua maongezi Yale yakisikiwa na baba Janeth alojibanza nje ya chumba kile



    'Ina maana huyu kijana anadhihirisha ukidume wake katika familia yangu'

    Akawaza baba Janeth na kuingia kule ndani kwa ghafla...



    Pamoja na maongezi yao aliyoyasikia yalodhihirisha ni wapenzi baba Janeth alishtushwa na mkao alowakuta wamekaa



    Kilikuwa ni chumba cha Martin

    Akuweza kustahimili kuyatoa macho yake kwa mshangao



    Hasira zilimpanda,hakujua ni sangapi aliichomoa bastola yake,



    mikono ikimtetemeka akaielekeza kwa Martin



    Alikuwa tayari kuua



    Tayari kidole chake kilishaigusa kifyatulia risasi,mdomo wake ulitema maneno kwa hisia akuamin kile akionacho



    "Ni wema kiasi gani nlokutendea inamaana ujauona?,au haya ndo malipo stahili ulopaswa kunlipa shetani wewe!..."



    "Nisamehe baba...



    " siwezi kukusamehe shetani mkubwa wewe umenitia fedheha,una thamani ya kuishi inapaswa utangulie tu"



    Ni wakati alipofumba macho aikujulikana Janeth aliingia vipi kule ndani akampush baba yake kwa kikumbo hiyo ikawa salama ya Martin



    Kwani alijua alipaswa afanye mini



    Akatoka nduki...



    Akukumbuka kuchukua kitu chochote



    Alikuwa kaponea chupuchupu au kwenye tundu la sindano kama wengine wasemavyo



    Baba Janeth baada ya kuanguka chini,huku akiwa mwingi wa jazba machozi yakitiririka akaamka na kuanza kutoa dozi kwa mtoto wake yule sambamba na mke wake nusura ya kuua



    Martin baada ya kufanikiwa kutoka nje ya nyumba ile salama,mawazo ya kutokuendelea kubaki jijini dar yakakivamia kichwa chake



    Kwa vyovyote vile alijua lazima baba Janeth angemsaka kwa nia moja tu ya kumwangamiza



    'Lazima niende nje kabisa ya mji mahali ambapo atanipata kamwe yah mirerani jijini Moshi tena kule naskia wanajificha wauaji,majambazi ndio lazima nami nikachimbe madini"



    Kwa kuwa alikuwa na Pesa kidogo akapanda magari ya Arusha na kuianza safari



    Katu hakujua kaka yale Brayson alikimbilia huko huko Arusha miaka 20 nyuma,na kimuonekano alibadilika na hata jina alibadilisha...



    Alifanikiwa kuingia jijini Arusha mida ya jioni kwa kuwa bado alikuwa na hela akatafuta gesti na kulala...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Asubuh akapanda magari ya mirerani

    Na kuelekea mpaka katika machimbo Yale....

    Ilikuwa ni vigumu kupata mwenyeji ila akukata tamaha aliishia nje ya machimbo akishangaa mchana alienda kwa mama ntilie kula



    Alipotoka aliendelea kushangaa mpaka jioni aliporudi best



    Pia akuacha kuchukua Malaya na kulala nao ndani ya wiki moja Pesa yote iliyeyuka maskani yake yakawa kwa mama ntilie yule



    Akimsaidia kazi na kumpa wali kama malipo



    "Natamani sana nami niingie machimboni kuchimba madini"



    Siku moja alimwambia mama ntilie yule,aliye Angua kicheko...



    "Mh kwa jinsi ulivyo sharo utaweza kweli?!"



    "Mimi ni mwanaume mama kazi yoyite napiga nimetoka dar kuja huku kwa kazi hiyo kivipi nishindwe?!"



    "Sawaa tutaona kuna mteja angu mmoja atakuja ntaongea naye akuchukue mkachimbe naye usijali"



    "Ntashkuru mama"



    ***************



    TUREJEE SURA YA PILI:



    "Mama clare chochea kuni ok chochea kuni mama clare chochea kuni yaah chochea kuni watoto wa bibi almando ndo sisi....



    Kijana mmoja aliingia huku akiwa anaimba akaenda kuketi kwenye benchi ambapo kulikuwa na jagi limejaa maji akalinyanyua alipoliweka chini lilikuwa litupu



    " mama clare naomba ugali mkubwa nikapige kazi..."



    Kijana yule alikuwa mcheshi akaagiza chakula,mwili wake ulijengeka kimazoezi



    "Bora hata umekuja baba nikukabidhi huyu kijana mwenzako alokuja kutafuta maisha huku mirerani"



    Aliongea mama ntilie yule



    "Ooh mamaa umenichafua mmen!...sharobaro huyu ataweza kushika nyundo,atajua kupiga baruti?!"



    "Ntaweza kaka!"



    Martin akajibu kwa unyonge



    Jb akamkata jicho kali Martin na kumzawadia tabasamu kijana yule wa kuja akalijibu



    "Kwa jina naitwa Jacob au jb kwa kisasa zaidi sijui wewe mlugaluga unaitwa nani?!"



    Jb akajitambulisha...



    "Naitwa Martin...



    Ghafla Jb akashtuka baada ya kuskia jina lile



    Alimkumbuka mdogo ake...sura ile ililandana kwa kila kitu na mdogo wake ambaye kwa sasa alijua ni maiti baada ya kwenda kijijini kwa lengo la kumchukua na kukutana na kaburi akaendelea kumsikiliza



    ....natokea Dzm nimekuja huku Moshi kutafuta maisha"



    Vijana wote waliekuwa pale wakaangua vicheko



    Martin akaangalia chini kwa aibu!



    "Huku si Moshi,huku ni Arusha na upaswi kusema nimekuja kutafuta maisha sema nimekuja kutajirika fala wewe"



    Jb akamsahihisha



    Martin alishangazwa na jinsi kijana yule alivyokula maskin akujua kama ni kaka yake alokuwa akitamani kumuona



    Baada ya Jb kumaliza kula akajinyanyua na kumwambia Martin amfate,ndugu wale wa damu wasojuana wakaongozana kuelekea ndani ya machimbo



    "Mwanzo utateseka sana mdogo wangu una budi kuvumilia utakaa na sisi hakuna atakayekunyanyasa katika balo letu tupo wawili Mimi na mshkaji wangu Zuberi ndo jina lake wewe utaongezeka watatu kama nyoka kazi yako ni kupsndisha mchanga wenye madini juu mkiwa wawili utazoea tu dogo"



    Jb akatoa maelezo ambayo Martin aliyaelewa........



    MWISHO WA KUMBUKUMBU



    *************



    "hapana mganga ina maana jb ndo kaka yangu Bry noooooooooooooooooooooooo......



    Martin alipiga yowe na kudondoka chini akapoteza fahamu



    "Nwalau nwalau Mzee wa kazi nwalau nwalau ashindwi na kazi nwalau nwalau....



    Bibi mganga yule akazidi kuimba na kucheza ghafla nje ya nyumba yake ile ya kiganga jitu la kutisha lililovaa sanda likaibuka



    Ni MZIMU ULOREJEA



    Kuibuka kwa jitu,ndani ya kibanda kile mganga Nwalau Nwalau nywele zikaanza kumsisimka woga ukamtawala,ila aliiyamini mizimu yake vilembwembwe.



    Akazidi kuimba...



    Mzimu yule baada ya kuibuka kule nje alitoweka na kuja kutoka ndani ya kibanda kile akawa akimwangalia mganga yule kwa uchungu,ni wazi bib kikongwe yule akuliona jitu lile



    Mganga akawa anamtibia Martin alolala pale chini!,lengo lake amrejeshe katika fahamu



    Akafanikiwa kuzirejesha fahamu zake,baada ya Martin kukumbuka kilichotokea alishindwa kuvumilia kulia kwa uchungu ni wazi alimpenda sana kaka yake...



    "Sema upo tayari tukiangamize hichi kiumbe?!"



    Martin akanyamaza,mawazo yalikuwa mbali akikumbuka jinsi kaka yake alivyokuwa akimpenda kipindi lile kijijini,machozi yakazidi kumtiririka



    "Kwa sasa kiumbe kile si binadamu tena ni adui yako je tukiangamize usipokiuwa kitakuua chenyewe"



    Bibi yule akazidi kusisitiza



    Martin akamkata jicho la hasira

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Sina thamani tena ya kuishi ni bora kiniangamize,ni haki yake kuniua kaka Bray kwa nini lakin kaka yangu ukunambia kama ni wewe bry nooo kaka lazima nikufate....."



    Ni wazi martin alikuwa amechanganyikiwa akanyanyuka kwa speed na kuingia ndani ya gari lake alishapitisha maamuzi ya kujiangamiza akuona umuhimu wa kuishi.



    Baada ya Martin kutoka katika kibanda kile mzimu ule kwa Mara ya kwanza ulitoa machozi



    Machozi ya damu!!!....



    Nao ukatoweka,ukaja kuibuka ndani ya chumba cha Martin alipikuwa kajifungia huku akiwa kashika bastola yake tayari kwa kujiua



    "Noooo mdogo wangu Martin acha nakuomba usifanye hivyo NIMESHAKUSAMEHE"



    Martin akuamini akauangalia mzimu ule,wala akuogopa akaukimbilia kwa lengo la kuikumbatia



    Patupu



    "Mimi ni roho Martin sina mwili utoweza kunishika mdogo wangu"



    "Nisamehe kaka ni shetani kaka yangu..."



    "Martin mdogo wangu nimekusamehe ila kwa masharti,"



    "Masharti?!"



    "Ndiyo unapaswa Mali zote tulizochuma wote ukatoe sadaka kusudi nami niishi kwa amani katika nyumba yangu ya milele"



    Bila kujali ataishi wapi Martin akakubali...



    Mzimu yule akatoweka!



    ***********



    Martin baada ya kupewa sharti lile kutokana na upendo.alokuwa nao kwa kaka yake akatoka sebuleni na kuita familia yake!



    Martin alikuwa na mke na watoto wawili wa kike walokuwa medium lakini wakati huo walikuwa likizo



    "Mke wangu kuna kitu naitaji kukwambia,hizi Mali si zangu mke wangu na mwenye we kaziitaji ivyo yapaswa Leo turudi kijijini...



    " na nani urudi nae kijijini una hata haya kwa nini usingenambia mapema na kwa taharifa yako hawa si wanao nilikubambikizia tu una uwezo wa kupata warembo kama hawa"



    "Mke wanguuu!"



    "Ishia hapo hapo nipe talaka yangu"



    "Mi ntaishi wapi mama Mery"



    "Utajua mwenyewe"



    Alimalizia Dada yule na kujinyanyua akafata kabati lake na kulifungua akabeba nguo zake zote na alipomaliza akamfata Martin



    "Naitaji talaka yangu"



    Martin hakuwa Mbishi akaiandika talaka na kumkabidhi hapo hapo Mbele ya Martin akatoa simu na kupiga namba kadhaa akaweka sauti



    "Aloo be by njoo nchukue mpz"



    Martin hakuamin mwanamke aliye mpenda akakumbuka kauli ya wahenga 'filisika ujue tabia ya mkeo,'



    Ni kweli!!



    Mwanamke ambaye ameishi naye zaidi ya miaka 20,ambaye akunukia hata harufu ya usaliti kumbe ni nyoka alomtafuna kwa siri



    Akujali!



    Dakika chache baadaye gari ya kifahari

    Ikaja Martin akashughudia mkewe akipigwa busu na kuingia ndani ya gari,wakaondoka...



    Baada ya tukio lile akaelekea kanisani na kuonana na mchungaji akamweleza kila kitu na maamuzi aloyachukua akazikabidhi Mali zote kwa mchungaji



    "Umechukua maamuzi ya kiume Martin najua utateseka,ila pambana uchume Mali zako za halali"



    "Mchungaji naomba unipatie hata mahali pa kujistiri"



    "Martin!,martin!,sitoweza kwa hilo"



    "What?!"



    Martin akuamin hata mchungaji yule alomkabidhi Mali zake zote mtumishi wa Mungu akuweza kumfadhili?!



    Martin akawaza alisahau kuwa hata yule pia ni binadamu mwenye mapungufu...



    Baada ya kutoka pale akaridhia kuishi maisha ya mtaani,usiku akienda kulala kwenye kaburi la kaka yake....



    Kipele mlinzi wa makaburi Yale alimruhusu akijua fika wawili ni tofauti ya mmoja!



    Ndani ya siku mbili aliishi mtaani ila siku ya Tatu usiku wa manane akiwa kalalia kaburi lile ghafla jitu LA kutisha likatoka



    Akiwa mwingi wa tabasamu!



    "Martin mdogo wangu!"



    Martin akashtuka...na kumwangalia kaka yake alotabasamu



    Martin naye akatabasamu!!!.....



    "mdogo wangu Martin! pole sana kwa mateso uyapatayo, nadhani sasa umejifunza tamaa ni mbaya kwa kiasi gani! na bila shaka utaacha tamaa!,



    najua ulinipenda sana na laiti ungejua ni mimi usingefanya ulofanya, hata mimi pia nakupenda sana mdogo wangu ndo maana sipendi uteseke bay tha way bado una nafasi ya kufurahia maisha! kwa kumiliki mali zako za halali! je utazipataje?!



    naomba unisikilize kwa makini!....



    marehemu baba alikuwa na mali nyingi sana hazina,ya dhahabu aliyoipata enzi za ukoloni!, marehem baba yetu alikuwa ni askari wa kijadi! wa ukoloni ivyo mali zile zipo mafichoni mpaka sasa na wewe ndo unapaswa ukazipiganie! nami ntakuwa nyuma yako!



    tambua baba yetu wa kufikia anajua juu ya hazina hii na yeye ndio aliyemuua baba yetu akaishi na mamaCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    akijua fika mama anajua mahala ilipo hazina ile! maskin kumbe mama ajuh ili wala lile, ndo mpaka saivi ana imani ipo siku mke wake ataitoa hazina ile na kutajirika yeye na wanawe.



    Ndo maana walikuwa wakitupiga vita na baba yetu yule wa kufikia alimloga mama yetu ndo maana akutujali,



    alitudharau! ila sasa hayo yote yameisha! sitokupa nauli ila akikisha unaenda kijijini ntakupa mwongozo!



    kwa sasa naenda kummalizia huyo baba kwa kuwa ndiyo chanzo cha yote na kurudi katika nyumba yangu ya milele!,kwa heri mdogo wangu na hatutoonana tena



    Baada ya kumaliza maneno yale mzimu ule ukatoweka!,ukimwacha Martin katika hali ya sintofahamu!,akuelewa kitu alichoambiwa!



    akupenda kurudi katika kijiji kile, kijiji alichoapa kutorudi baada ya wazazi wake kumkana kwa kujua kuwa amekufa!



    ila kutokana na maelezo alopewa ilikuwa ni lazima aende, akaipiganie azina ile!, ila idadi ya maswali yalikizonga kichwa chake!,



    ni vipi ataipata hazina ile hali ya kuwa akujua ilipopatikana?!,pili atafika vipi kijijini hali ya kuwa akuwa hata na senti tano jambo hilo lilimuumiza sana kichwa!...



    Na aliumia zaidi pale alipokumbuka kauli ya kaka yake kwamba atorudi tena duniani japo atamsaidia je atamsaidije?!



    hali ya kuwa atorudi tena? kwa unyonge akapiga hatua zake fupi kutoka eneo lile la makaburini mawazo yakizidi kukizunguka kichwa chake! alihisi dunia imemuelemea!,..



    *********



    Ndani ya kijiji walichoishi wazazi wa Martin!,mzee wa makamo ambaye miaka yake ilikuwa si chini ya 50, lakin alionekana bado kijana mdogo kutokana na kazi za sulubu na mafunzo ya kijeshi aloyapitia



    mawazo yalikishambulia kichwa chake pamoja na umri wote ule alokuwa nao bado alikuwa na fikra tele katika kichwa chake,



    alikuwa na siri nzito!,



    "huyu mwanamke sikumpenda kabisa!,kuna kitu nlikipenda kutoka kwake nasikitika mpaka sasa sijakipata! staki kuamini kama marehemu John akumueleza mkewe juu ya hazina ile!, ila kama angemweleza mpaka sasa lazima angenieleza lakini anaonekana kutokujua juu ya hili sijui ntafanyeje nakufa maskin mie!..."



    Ghafla radi likapiga!



    hali ya kuwa hakukuwa hata na dalili ya mvua,Upepo mkali ukavuma na kuleta gharika eneo lile...



    lilikuwa ni jambo la ghafla...



    machale yakaanza kumcheza mzee yule nywele zikamsisimka,kwa haraka akanuia maneno kadhaa na kutoweka eneo lile!



    sekunde chache baada ya mzee yule mwenye nguvu za kichawi kutoweka mzimu ulorejea wenye kutisha ulitokea,



    Mzimu wa Jb, kwa mara ya kwanza Jb akayatoa macho kwa mshangao, ghafla akaskia cheko katika maskio yake alafu likageuka na kuwa sauti za kuogofya,



    sauti zilizoleta kero katika maskio yake!



    "nilijua utakuja Jb,na nakushangaa sana! mdogo wako alikuuwa kikatili ukamuacha hai unafkria kuniua mim sahau hiyo wee pepo rudi makaburini kabla sijakuweka katika mateso ya milele mpaka kiama chako!"



    Sauti ile ikakoma,ikisindikizwa na cheko la dharau kwa mara ya kwanza tangia JB arudi duniani alipata kikwazo ambacho akukitarajia!.tena akiwa Ndo anaimalizia kazi yake!



    ndiyo,...



    alijua fika yule mzee ni mchawi, tena mwenye nguvu, ila akujua kama nguvu zake zile zingekuja kukinzana au kuzizidi nguvu zake!



    hapana akukubali ilo!



    akaunguruma kwa sauti kali sauti kama ya mnyama mkali tena alopandwa na ghadhabu!



    vicheko mfululizo,vingi tena vyenye kukera na kumzidishia hasira vikayashambulia maskio yake!,



    ghafla viumbe vyeusi tii vyenye mapembe katika vichwa vyao vilivyojifunga kaniki nyeusi vikatokea na kumzunguka jb!



    jb akajizungusha na kupiga Mateke ya dable bila kutegemea akakumbana na hewa,ni wazi viumbe vile vili kuwa ni kama vivuli viumbe vile vikaachia vicheko kwa kitumia sauti ya mapaka ndani kabisa ya ngoma ya maskio ya jb,kijana yule akazidi kuchanganyikiwa!...



    Umakini ukaongezeka akajua viumbe apambanavyo vinaweza kumuua kwa Mara ya Pili...



    Naye hakuwa tayari kwa ilo



    Ghafla akaufunua mdomo wake na kutoa moto viumbe vile vikaachia mayowe



    Bado hali ya hewa nje aikuwa nzuri,mvua ilizidi kupiga,radi nalo likichukua nafasi yake....



    ilikuwa ni gharika...



    Jb baada ya kuona shambulio lake limefanikiwa akataka kuupanua tena mdomo atoe pigo lingine



    Mdomo ukagoma kufunguka



    Ilikuwa kama kuna mtu kauzuia,mawazo yake yalikuwa sahihi



    Baada ya shingo yake kuipeleka katika pembe ya chumba kile,akamuona adui yake,baba yake wa kambo akiwa kaikunja mikono yake ishara kwamba kauzuia mdomo wake kutoa shambulio



    Jb akazidi kufedheheka,ghafla akaupiga mguu chini kwa nguvu,mchawi yule akaacha kuikunja mikono Kama alivyokuwa anafanya



    Akampa wasaa jb kuufungua mdomo wake na kuachia shambulio lingine kumwendea yeye



    Mzee yule akaachia yowe



    Yowe lililomuamsha mke wake,na kubaki kumtumbulia macho mumewe alokuwa akitapatapa pale kitandani



    Katu akuona vita ilikuwa ikiendelea katika chumba chake kile....



    Akaanza kumuamsha mumewe ambaye sasa alikuwa akitapatapa...kombora lile alilopigwa na jb lilimpeleka chini sasa jb akawa na kazi ya kumnyonga,vile viumbe vingine baada ya kuona mambo yamewawiya magumu vikatoweka

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jb alimnyonga mpaka alipoakikisha katulia na kunyoosha miguu yake ndo akaacha kufanya kitendo kile...



    Tayari alishaifanikisha adhma yake,akaachia cheko ambalo kwa mama yake lilipokelewa kama radi nje ya nyumba ile...



    Mama yule akazidi kumuamsha mumewe,na ghafla akaachia yowe baada ya kugundua kafariki!,alilia kwa uchungu kilio kilichowafikia mpaka watoto wake wote wakajumuika kuomboleza...

    Akuna alotamani kulala tena....



    **********



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog