Search This Blog

MZIMU ULIOREJEA - 3

 







    Simulizi : Mzimu Uliorejea

    Sehemu Ya Tatu (3)



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "vile vile kwa kuchomwa kwa kisu?!,"



    "mwanao si ndo kaolewa na martin?!"



    jb akaoji! kamishna akamkata jicho la ukali ila nurdin akatingisha kichwa kuafiki!



    jb akaendelea "ndo mahana mimi nilipendekeza martin aojiwe na file lake lifunguliwe nikapuuzwa kumbe mlikuwa mnajuana? sasa yamegeuka na bado"



    "unasema nin wewe?"



    kamishna akaoji kwa ukali hakiwa tayari kumvaa tena jb!

    jb akaachia cheko lake la dharau!



    "umesahau nlchokufanya etiee nkwambie tu ukwel utajulikana.,"



    "Ukweli gani?!"



    "Utakapojulikana ndo utautambua"



    "Acheni mabishano wakuu twendeni eneo la tukio



    Dakika chache baadaye walikuwa eneo lile,wakiwa Mbele ya mwili wa mwanamke yule

    Nurdin akiuangalia kwa huruma



    " kweli kuna haja ya martin kulazimishwa kumtaja muhusika lazima atakuwa anamjua tu"



    Nurdin alinong'ona,maskin laiti kama angejua MARTIN aelewi chochote

    Ni kweli hakumtambua muuaji!

    Ingawa alielewa ni lazima atakuwa kibaraka,au ndugu wa jb

    Ni yupi sasa ambaye kaingilia mpaka familia yake?!



    Alikosa jibu,jibu lilikuwa kwa naima aliyekuwa bado kapoteza fahamu

    Ndiyo ambaye alitegemewa kuwafungua macho maaskari wale



    Habari zile za kifo cha Mery,zilisambaa kama kuungua kwa makuti,au nyumba ya nyasi



    'Mtoto wa kamishna naye atembelewa na bisu la koromeo'



    Ni moja wapo ya gazeti la ukweli na uwazi ambalo mmiliki wa gazeti hilo bi sharfia aliandaa makala ilistaajabisha...



    Mmiliki huyo ambaye akubainisha jina lake alianzia mbali!

    Ni kama aliwafumbua watu macho!



    MIAKA MICHACHE NYUMA



    SHARFIA miaka ya nyuma alikuwa ni mfanyakazi katika kampuni ilomilikiwa na jb pamoja na martin alikuwa kama katibu muhtasari katika ofisi ile



    Mbali na kazi hiyo pia alikuwa ni mwandishi mpelelezi wa kujitegemea alotafuta habari na kuzisambaza katika magazeti mbalimbali na kulipwa kwa habari ile chini akijiandika kwa jina la muhariri xy



    Ni jina lililotambuliwa nchi nzima pasina kutambuliwa mmiliki wake!

    Alifichua maovu mbalimbali!

    Ndo yeye alotegesha kamera katika ofisi za bosi wake wale kuchunguza kila ambacho kinaendelea

    Na habari ambayo aliona inafaa kuwa habari aliivujisha.



    Mpaka jb alipokuja kufa na Martin kubadilisha wafanyakazi wake

    Sharfia alipochukua hela yake ndipo alipofungua gazeti lile ambalo kutokana na habari zake hasa za mauaji Yale tata lilijipatia umaharufu mkubwa sana



    Leo hii aliandaa makala akiilaumu serikali kwa kutokufuata kwa umakini mauaji Yale



    Alianzia mbali miaka mitatu nyuma alipokufa tajiri mkubwa,mmiliki wa mahoteli na kampuni kubwa ya madini jb,mwili wake ulikutwa ukiwa umetelekezwa huku ukiwa umechomwa kisu cha koromeo

    Kesi ile aikujulikana iliishia wapi!!!



    Miaka ikasonga mpaka baadaye walipokufa walinzi wawili kwa style ile ile ya kuchomwa visu vya aina ile ile

    Bado serikali na jeshi lake LA polisi limekaa kimya



    Mauaji hayakuishia hapo mwanasheria wa kampuni ile ya madini naye alikufa kwa kifo hicho hicho!



    Na Leo mke wa mmiliki wa kampuni hiyo na mtoto wa kamishna mkuu wa jeshi la polisi naye hatupo naye

    Aina ya kifo ni kile lile!!!....



    Je serikali imeshindwa kumtambua muuaji?!



    Mwisho muandishi alimaliza kwa swali!

    Pia aliambatanisha kwa picha,picha ambazo alizipata kwa shida akipambana na insp Nurdin

    (Rejea matoleo ya awali)



    ***



    Gazeti lile lilikuwa katika mkono wake!,kichwa kilimuuma insp yule

    Aliyarudia Mara kadhaa makala Yale,pembeni katika ofisi ile aliketi jb,mkononi akiwa na gazeti kama lile lile



    "Wananchi watatuelewaje sisi?!,sasa mpaka mwandishi anaweza kuchambua tukio hili kwa kina namna hii sisi tupo tu igp akituuliza tutamjibu nini?!,nilisema na ntazidi kusema wahusika wa mambo haya ni Martin na mwenzake kamishna kubali ukatae kwa nini kamishna ataki tumuweke nguvuni huyo mkwe wake!?"



    "Jibu unalo jb kamishna alikuwa hataki kwa kuwa kamuozesha binti yake kwake so tungemuweka nguvuni lazima mwanaye angeteseka"



    "Swadakta kitendo cha kuficha maovu mtoto wake atunaye tena je ataendelea kukataa tumtie nguvuni martin?!"



    "Akatae Mara ngapi?!,kamishna kasema haiwezekani jb ausike na mauaji ya mwanaye tumsake muuaji na si kumbughudhi mfiwa"



    "Mh makubwa mna maajabu binadamu nyinyi"



    Jb akaongea kwa sauti ndogo, sauti ya kunong'ona

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ***********



    Baada ya mazishi kukamilika,mazishi yaloudhuriwa na mamia ya watu

    Kikawekwa kikao

    Ni kikao cha watu watatu

    Kikao cha siri sana...



    Alikwepo komandoo chake!,huyu ni komandoo alotoka katika nchi ya KINTE nadhani mna ifahamu kazi yake katika riwaya ya mfungwa,mtetezi kutoka kinte na ntakuua kwa mkono wangu chaka



    Pembeni ya komandoo huyo aliketi kamishna na pembeni ya kamishna aliketi Martin



    Nyuso zao zilitawala majonzi na uzuni ilokithiri



    Martin akafungua kikao



    "Siku mbili zilizopita tumemzika mke wangu kipenzi na mtoto wa huyu aliyoko pembeni yangu kamishna,kifo chake tata,tulikuwa tukimtegemea mfanyakazi wangu naima aloshugudia muuaji kwa bahati mbaya alidondoka na kudondokea kisogo ubongo ukatingishika na kupelekea kupoteza fahamu,fahamu ziliporejea hakuwa na kumbukumbu tena.



    Muuaji mpaka sasa ajatambulika hata kumhisi mtu tu ingawa anaacha visu na amna shaka anatumia gloves kwa kuwa katika visu vyote hakuna alama za vidole

    Namba moja lazima umtie huyu nguvuni.



    Kazi namba mbili,kuna huyu mwandishi wa habari lazima afe!,anatupeleleza sana na kutuwekea kashfa kwa wananchi anaitwa xy saivi anafanyia kazi katika gazeti la ukweli

    Na uwazi mchunguze umjue ni nani

    Na kazi ya mwisho kuna huyu kisobwengo kutoka makao makuu kaja kwa kazi hii ya kumtambua muuaji sasa badala amsake muuaji anatqka Mimi niojiwe kuhusu muuaji huyo eti ni namjua na ukweli mi simjui"



    "Heee kivipi?!"



    Ikabidi martin amwelezee komandoo chaka mwanzo mpaka mwisho toka urafiki wake na jb alipokuja kushauriwa na mpz wake amwangamize jb Mali zote ziwe chini yake akatwii na kumuua jb,jinsi nurdin alivyofatilia kesi ile na kumtambua muuaji kamishna akalifunga faili lile miaka mitatu Mbele mauaji Yale yakarejea mpaka pale walipo"



    Komandoo chaka akashusha pumzi



    "Ni haki yao kukuhisi kuwa unamjua muuaji kwa kuwa wanaokufa wapo chini yako!,na pengine huyo jamaa anajua labda wewe ndo muuaji!"



    Chaka kwa sauti ya upole akazungumza



    "Na ndo mahana twaitaji afe ili asifikishe habari makao makuu"



    Kamishna akachangia



    "Wazo zuri ilo limepita Mimi na jeshi langu tutaifanya kazi,hizo kazi mbili ya huyo mwandishi na huyo mpelelezi wenu ni rahisi ntazifanya ila sasa kazi ngumu ni hii ya Tatu ya huyu anayeua kwa kuwacha kisu katika makoromeo,nnaswali kwako martin una uhakika jb alikufa?!"



    "Na uhakika?! Na alomuuwa ni kijana wangu kwa kumchoma kisu cha koromeo"



    Komandoo chaka akaachia kicheko hafifu



    "Unasema ajawahi kuwa na ndugu wala marafiki kukuzidi wewe ambaye pengine unahisi ndo mlipizi?!"



    "Kwa kweli ni mewaza sana juu ya ilo ila Mimi ndo nlikuwa rafiki yake mkubwa hakuwa na ndugu, marafiki aliwapata baada ya kutajirika ila rafiki yake mkubwa alikuwa ni Mimi"



    "Jb ajafa"



    Chaka akaongea kwa kujiamini , wote wakatoa macho kwa mshangao



    "Nini?!!!" Wakaoji kwa pamoja



    "Nasema jb ajafa yupo mzima na ili muakikishe hili naitaji tukalifukue kaburi lake tupime vinasaba je yule alozikwa ni jb kweli?!...



    Pili nahisi kuna mchezo katikati pengine huo ni MZIMU ULOREJEA kuja kulipiza na kama ndo hivyo pindi tukifukua lile kaburi lazima kuna maajabu yatatokea na ikiwa ndo hivyo mko hatarini tena sana ndugu zanguni"



    Kwa Mara ya kwanza watu wale wakafunuliwa vichwa vyao,miili ikapata joto



    Meno yakagongana mtaalamu chaka akaendelea



    "Usiku wa Leo tutaenda makaburini na ili msi dhurike ikiwa tunapambana na mzimu kuna dawa ntawapa mtaiweka mfukoni,msijali kazi imeisha!!!!



    Martin na Kamishna wakatoa macho kwa mshangao



    "Duu!,kwa hiyo komandoo Chaka kwenye mambo yetu ya asili umepitia pitia?!"



    Komandoo akacheka kidogo,



    "Hamna ndugu zanguni! Ni dawa nloipata nikiwa mafunzoni"



    Chaka akajitetea....



    ************



    Giza lilitawala na kuchukua Nuru yote,Nuru iliyoachwa ni nyota chache zilizopendezesha anga lile Na kuonesha utukufu wa MUNGU,hali ya umanyunyu manyunyu iliongeza kasi ya baridi na kuwalazimu wakazi kujistiri kwa makoti na masweta!



    Wengi walotembea mtaani katika usiku ule mkononi walishika miamvuli kujikinga na vimanyunyu manyunyu vile...



    Katika nyumba moja ya kifahari!,ndani waliketi watu wa Tatu

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ni nyumba alokabidhiwa komandoo chaka,baada ya kutoka nchini kwake KINTE na kuja Tanzania kwa kazi maalumu



    "Ule muda wa kuutambua ukweli umewadia,ukweli ambao utaniwezesha Mimi kufanya kazi kwa ufanisi"



    Baada ya kuongea maneno Yale Chaka akajinyanyua na kulifata kabati lake akalifungua na kutoka na vimifupa vitatu



    Kamfupa kamoja akakiweka ndani ya mfuko wa suruali yake



    "Huu ni mfupa wa ngurue nadhani hakuna mtu asiyemjua huyu mnyama,mifupa yake aipatani na viumbe wote wabaya majini,mashetan

    i,mizimu,wachawi,mapepo na viuchafu uchafu vyote kila mmoja aweke katika mfuko wake ndo kinga yake"



    Wote walistaajabu!,walijua juu ya uhodari wa mifupa ile ila hakuna alohisi kama ndo Chaka aliimahanisha pindi aliposema kuna kinga atawapa

    Kila mmoja akachukua mfupa wake na kuuweka ndani ya mfuko wake wa suruali



    Wakatoka,na kuingia ndani ya gari,kabla Chaka ajaliondoa gari lile akakumbuka kitu na kurudi ndani.

    Alipotoka alikuwa na sururu moja na chepe akaviingiza ndani ya buti la gari



    "Tulitaka kusahau vitendea kazi sijui tungefukua na kucha?!"



    "Kwa wewe komandoo kwani depot ukufundishwa kuchimba shimo kwa kucha?!"



    Chaka akaachia kicheko hafifu!



    "No!,Mimi nilikuwa mwanafunz mtiifu!,hizo ni adhabu kaka!,ila kwa kutumia vijiti tumechimba sana tena mashimo makubwa makubwa msinikumbushe jamaniii!"



    Waliendelea na maongezi huku mvua sasa ikiwa inanyesha na radi likipiga

    Ilo awakujali!!

    Ilikuwa lazima wakafukue kaburi lile,na kuchukua sample ya mabaki ya mwili ule kwa ajili ya upelelezi....



    ************



    Mvua ile ilimnyeshea kijana mdogo,usingizi ulimpaa,alikubali kunyeshewa angejistiri wapi na apakuwa na pakujistiri?!



    Hapakuwa na nyumba!,eneo lile la makaburini alikubali kunyeshewa na mvua!



    Ndo msukumo wa ajira yake!



    Kipele ndo jina lake



    Mlinzi wa makaburi Yale ya njoro!

    Akiwa amejikunyata kwa mateso ya kunyeshewa na mvua pamoja na baridi Kali ndani ya uzio wa makaburini Yale katika usiku ule



    Ghafla akashtuliwa na mngurumo wa gari, akatamani kwenda kuchungulia nje ila uvivu na woga ukamlisha pale pale



    Nywele zilimsosimka,mapigo ya moyo yalimwenda mbio



    Ghafla honi za gari zikasikika nje ya lango la uzio wa makaburi Yale

    Kipele hakuwaza Mara mbili akakurupuka kwelekea nje ya lango lile

    Akalisogelea lile gari,huku manyunyu ya mvua yakilipiga koti lake



    "Sisi ni maafisa wa jeshi la polisi huyu kwa jina anaitwa kamishna Haruna,anayefuata anaitwa Martin na Mimi ni komandoo Chaka!"



    Mlinzi kipele akashtuka,wote aliwafahamu kupitia katika vyombo vya habari,walikuwa ni watu maharufu kitaifa



    Taifa lilimtambua Chaka na dunia kwa pamoja,pia kamishna wa mkoa hakuna ambaye akujua uchapaji kazi wake na wa mwisho ni tajiri Martin



    Kwa mkoa wa Kilimanjaro ndo alioongoza kwa utajiri na kwa taifa akukosekana katika tatu bora

    Kwahiyo wote walikuwa ni watu wa zito,ni lazima kipele angeshangaa

    Na kweli alibaki kuduwaa pasina kuamini akionacho



    Kichwani aliwaza mengi , yalomstaajabisha hasa ujio wa watu wale wazito



    Ghafla akatabasamu!,



    mawazo yakampeleka tayari ni miongoni mwa matajiri wakubwa anamiliki nyumba za ghorofa na magari ya kutembelea

    Wengi wa mabosi waloenda pale makaburini usiku walimlipa kiasi cha hela naye aliwaruhus

    e yao ktk makaburi Yale



    Leo watu wale alijua ni dili ambalo angeingiza ela ya maana



    "Miaka kama mitatu nyuma rafiki yake kipenzi na huyu maharufu kama jb alikufa na tukaja kumzikia huku,kifo chake kilikuwa ni cha utata,na upelelezi wake unaendelea hadi Leo hii! Jana tulipata taharifa kuwa jb yupo hai nchini marekani anakula bata,kwa ufupi kijana huyo jb alikuwa ni fisadi anaeuza madini nje ya nchi na huo mwaka juzi aliibia taifa bilioni 500 akatoroka,ila tukaja kupata taharifa kuwa kauwawa na majambazi tulipopata habari tukaona tuje muda huu kufukua kaburi lake na kuchukua sample kupeleka mahabara ili kujua ni yeye au sie?!"



    Ilikuwa ni uongo mkamilifu,kipele akawa hana jinsi zaidi ya kuwakubalia huku wazo lake la utajiri likiyeyuka taratibu



    Watu wale wakashuka,wakafungua buti na kutoka na sururu na machepe

    Wakaelekea mpaka katikati ya makaburi Yale



    Mbele yao kulikuwa na kaburi ambalo juu kulikuwa na kibao kilichoandikwa Jacob Boniphase,tarehe alozaliwa na siku alikufa



    "Lete Mimi niwafungulie"



    Kamishna akasema akatupiwa sururu ile akapaka mkono mate kidogo na kuinyanyua juu akaishusha katika ukuta ulojengewa kaburi lile

    Akatoka na mapande ya mawe akaendelea hivyo hivyo



    Ghafla radi kubwa likapiga lililopelekea wote walale chini



    Ghafla jb akatokea hatua chache kutoka pale walipo



    Macho yake yaling'aa kama ya paka,alikuwa kavaa sanda ilooza na kutembelewa na mafinyofinyo,mwili wake ikiwemo uso ulimomonyoka na kumuongezea taswira ya kutisha

    Kichwani hakuwa na nywele hata moja,mkononi alishika fimbo mkia wa tai



    Aliwaangalia kwa dharau!



    'Mmejileta wenyewe'



    Jitu lile likawaza na kupotea



    Likatokea pembeni zaidi ya walipo!

    Akainyanyua ile fimbo juu lengo aishushe kichwani kwa kamishna alokuwa akilivunja kaburi lake

    Ghafla....





    Nywele zikamsisimka,mapigo ya moyo yakaongeza kasi ya upigaji



    Alishatambua ni nini kiliendeleaCHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Kupitia kipawa na uwezo alokuwa nao,akahairisha zoezi lile

    Akatoweka na kutokea pale pa awali



    Bado nywele ziliendelea kusisimka vile vile,akaunyanyua mkono wake na kupiga shoti kaburi lile!



    Baada ya kitendo kile akaachia kicheko

    Kicheko ambacho hakikusikiwa na yoyote kati ya vijana wale

    Akatoweka!



    ***********



    Kamishna aliendelea na uvunjaji wa kaburi lile pasina kuhisi uwepo wa kiumbe cha ajabu nyuma yake

    Alipochoka komandoo Chaka alimpokea na kuendelea



    Wote hawakuuhisi ujio wa jb mpaka alipotoweka



    Wakafanikiwa kulivunja vunja na kulitoa jeneza lililooza na kuliwa na mchwa



    Wakalifungua ndani walikuta mifupa ikiwemo fuvu la kichwa

    Wakachukua sample walizokuwa wanaitaji na kulifukia



    "Mpaka sasa hatupambani na mzimu laiti kama ingekuwa hivyo angeshatutokea,pili hii fuvu na hii mifupa,mifupa tusingeikuta"



    Akaongea Chaka kwa sauti ndogo



    "Ngoja tukapime hizi sample ndo tutajua je ni kweli yeye ndo alizikwa?!,na kama siye lazima kuna mtu wake wa karibu anayefanya haya!"



    "Ndo nisimjue?!"



    Martin akauliza kwa mshangao



    "Inategemea!,pengine miaka yote yeye hakuwa nchini na pengine aliposikia ndugu/rafiki yake kafa kwa kuuwawa na kesi yake kutopata suluhu ndo akarejea uwez jua"



    Martin akashusha pumzi ndefu!!!



    Alichoka kimawazo mpaka kimwili



    *********



    Usiku ule ule



    Sharfia alitoka bafuni kuoga,akajifuta maji taratibu na kujisogeza katika dressing table yake



    Akavua nguo na kubaki kama alivyozaliwa,umbo lake zuri likionekana wazi bila kificho chochote



    Akajipaka mafuta kidogo mkononi na kujipaka katika mwili wake laini!

    Akainama tena kidogo kuchukua mafuta na kuengelea kujipaka katika mwili wake



    Ghafla akaskia upepo ukivuma eneo lile



    Upepo kama wa feni



    Wakati akiendelea kustaajabu hali ile ghafla akahisi nyuma yake kuna mtu

    Kwa haraka akatupa jicho lake katika kipo chake lile



    Macho yakamtoka Pima



    Akataka kuachia yowe sauti ikakataa kutoka



    Akageuka nyuma ghafla



    Patupu!!!



    Huku akiwa anahema akaenda kukaa kitandani!



    Tayari jb alikuwa eneo lile



    Na nje ya nyumba ile watu 3 wenye silaha za kivita zilizofungwa viwambo vya kuzuia sauti walikuwa wakiingia kupitia katika ukuta mkubwa wa nyumba ile...



    Ni vijana walopewa kazi na chaka,kumchakaza mwandishi yule wa habari



    Wakati sharfia akiendelea kutetemeks kitandani pale,ghafla akahisi vishindo nje ya nyumba yake



    Kutokana na mauza uza yaliyomtokea sekunde kadhaa mule ndani,halihisi pengine vishindo vile vilikuwa ni mojawapo ya uchawi akakomaa kuomba dua.



    Dua iliyomuweka mbali mzimu yule

    Ghafla wazo likamjia baada ya kuskia hatua kama za watu



    Wazo la kwenda kuchungulia nje kupitia dirisha lile



    Akajinyanyua na kulisogelea dirisha akalifunua kidogo na kuchungulia

    Almanusura azirahi,wazo lililopenya katika kichwa chake haraka haraka ni kuchukua simu yake na kutafuta namba za insp NURDIN



    Ins ambaye kwa muda huo walikuwa na uhasama kutokana na binti yule kuendelea kuripoti habari zile...



    'Nimevamiwa na majambazi ins plz njoo niokoe block b,mtaa wa sirin nyumba namba 5'



    Muda ule insp Nurdin alikuwa kituoni baada ya kuambiwa vile huku akiwa amechanganyikiwa akampigia simu insp jb ambaye kwa muda ule mzimu ule wenye uwezo wa kutumia nafsi tofauti tofauti kwenye mazingira usiku alikuwa nyumbani kwa binti mrembo Maimuna ( secretary,) wa kamishna

    Wakati akiwa pembeni ya binti yule baada ya kumaliza kumshughulikia ghafla akashtuliwa na mvurumisho wa simu yake ya mkono



    Akaichukua na kuipeleka skioni

    'Block b mtaa wa sirin nyumba namba 5'



    Simu ile ikakatwa



    "Vaa nguo tuondoke"



    jb akamuamrusha binti yule



    "Kuna nini tena mpz"



    "Nimekwambia vaa!"



    Wakati jb aliongea vile tayari alikuwa kashavaa akiweka kola ya shati lake vizuri,akaweka tintedy juu kidogo ya macho yake



    "Tunaenda au?!"



    "Aku! Mi umeshanchosha hata kushika hiyo silaha siwezi"



    Akaongea binti yule kwa sauti ilojaa wingi wa mahaba

    Jb akamvamia na kumpiga nusu

    Huku akiwa na haraka akatoka baada ya sek kadhaa muungurumo wa gari ukasikika ukitoka eneo lile

    Ilikuwa saa nne usiku



    ***********



    Wakati akiendelea kutetemeka,ghafla akasikia tena upepo ule wa kimaajabu!

    Ghafla akahisi tena kama kuna mtu nyuma yake



    Ile anageuka akapigwa Kofi lililomfanya apepesuke na kutaka kudondoka



    Ila akastaajabu zaidi baada ya kuzuiwa na kitu asichokiona!



    Jb alimzuia kwa nyuma na ghafla akatoweka na kumvaa binti yule

    Ghafla Sharfia akajihisi kujiamini kupitia kiasi,akiwa na hasira ghadhabu na chuki



    "Vaa nguo zako"



    Akanong'onezwa na sauti aliyoitambua fika



    Sauti ya bosi wake wa zamani jb,akabaki ameduwaaa



    "Vaaaa nguo zakooooooo"



    Sauti ile ikamkemea,ghafla sharfia akazivamia nguo zake na kuanza kuzivaa haraka haraka,moyo ukiwa mgumu wenye hasira na kujiamini kila dakika ilopotea



    "Kaa pembeni ya mlango!"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akaitiii sauti ile,na kuusogelea mlango ule



    Moyoni alijishangaa kutokuwa na uwoga ata!!!



    Majambazi wale wakaufungua mlango kwa kutumia funguo Malaya walizo kuwa nazo



    Wakwanza kuingia akaanza kukimwagia kitanda risasi,alishtushwa akipaishwa kwa teke na binti yule risasi ikamtoka mkononi



    Wale wawili walobakia wakamuelekezea binti yule bastola zao



    "Nyoosha mikono juu"



    Wakatoa amri!



    Sharfia akatoa kicheko



    Kicheko cha kejeli



    "Nyinyi mmeambiwa na bosi wenu CHAKA mnichakaze na si kuniweka chini ya ulinzi"



    "Haaaa!!!"



    Watu wale wakaduwaaa



    Kosa!!!



    SHARFIA alijirusha mzima mzima kwa mateke aina ya tik tak,risasi zile zikiwaponyoka,majambazi wale

    Huku wakiwa bado wamepigwa na butwaa kwa kutotegemea Yale yalotokea,



    baadhi wakiachia matusi ya nguoni na kujaribu kuziangalia silaha zao zilipodondokea



    Sharfia akautumia mwanya huo kuwarukia mateke mawili ya 'double'



    Yakawapeleka vijana wale wawili chini,

    Wakawa wana gaa gaa kwa maumivu makali,sharfia akakaa kimapigano akimwangalia yule jamaa alobakia

    Jamaa Yule akawa amenata kwa sekunde kadhaa na kumfata binti yule kwa spidi,



    lakin sharfia alishamwona,jamaa Yule alipomfikia akaruka teke,sharfia akabonyea kidogo chini teke lile likapiga hewa,kijana yule akakosa mhimili kwa ghafla sharfia akampiga mtama,kijana yule akasambaratika chini...



    Vijana wote wa Tatu wakawa chini wakigaagaa chini kwa maumivu makali



    "Pindi mpewapo kazi ni lazima mjue mnakuja kupambana na mtu wa namna gani,siyo kwa kuwa mmesikia ela mnakubali kiraisi rahisi....



    Wakati binti yule akiendelea kuongea ghafla simu ya mmoja wa majambazi wale ikaita ile yule jamaa anataka kuipokea sharfia akaruka hatua moja na kumfikia akamkanyaga mguu

    Maumivu aloyapata kijana yule,akaachia yowe,sharfia akamsachi na kuitoa simu ile



    'Bosi'



    Ndo jina lililosomeka kwenye 'screen' ya simu ile



    Binti yule akabonyeza OK sambamba na kuweka loud spika



    "nipe ripoti mmefikia wapi?!"



    Upande wa pili ukaoji



    Sharfia akaachia kicheko hafifu,kicheko cha kejeli...



    "Vijakazi wako wapo chini ya ulinzi wangu, ndo nawaza niwauwe au niwasamehe,tatizo awapo katika list yangu,hata nawe chaka achana na Mimi kusalimisha uhai wako ukiendelea?!!!! Tusilaumiane mi si laval zenu nyinyi mfyuuuuuuu"



    Akasunya na kukata simu,vijana wale miili yao ilitetemeka,walihisi kuvuliwa nguo na kuachwa uchi,walikuwa ni majambazi walokomaa waloliasi jeshi Leo mtoto wa kike atape Mbele ya macho yao!



    Hapana



    Awakukubali,na kama wote waliambiana wakajinyanyua na kumzunguka tena Dada yule



    "Wote mpo chini ya ulinzi nyoosheni mikono juu"



    Wakashtuliwa na sauti kavu,sauti yenye amri walipogeuka wakakutana na midomo miwili ya mitutu ya bunduki...



    Naam alikuwa ni insp Nurdin hakiwa ndani ya sare zake za jeshi pembeni yake alikwepo jb akiwa na tshart yake ya jeshi na suruali ya jeans...



    "Mkijaribu kufanya ujanja wowote sitosita kuwamiminia risasi"



    Jb akawapiga mkwara



    Wakati binti yule aliye wekwa kati Sharfia ghafla alijihisi kichwa kikimzunguka!,ghafla ule upepo kama wa feni ukawa ukimpuliza



    Na ghafla nafsi ya jb ikatoka katika mwili ule kwa njia ya upepo,sharfia akajishangaa kuwa mchovu mchovu,akapeleka mkono wake katika paji la uso wake jasho lilitapakaa



    'Ni nini kinachoendelea hapa?!'



    Akajiwazia pasina kupata majibu

    Akajaribu kuvuta kumbukumbu,kumbukumbu zake za mwisho ni pale alipokuwa akihisi kuna mtu nyuma yake ila alipogeuka akuona kitu



    Pia akakumbuka vishindo alovyovisikia na sauti ile ilomtesa katika maskio yake



    Sauti kama ya bosi wake

    Akakumbuka alipiga simu polisi pale watu wale walipogonga mlango wake kwa nguvu alafu?!!!



    Alafu!....



    akukumbuka tena



    Akukumbuka kipigo alichowapa watu wale kwani ni wazi hakuwa yeye Bali ni ule MZIMU ULOREJEA



    Mzimu wa jb!,ambaye sasa kwa nafsi nyingine alikuwa Mbele yao kama afisa wa polisi mwenye waledi na kazi yake

    Majamaa wale awakuwa na ujanja tena zaidi ya kusalimu amri!...



    Insp Nurdin akawapiga pingu wote akiwemo na sharfia aliyekuwa akimsaka kwa kukiuka kwake maagizo ya kuripoti taharifa zile...



    *************



    Wakati wakiwa ndani ya gari,furaha imewatawala baada ya kufanikiwa kuichukua ile mifupa bila matatizo yoyote ghafla komandoo chaka akapata wazo



    Wazo la kujua kazi alowapa watu wake imefikia wapi?!



    Akapeleka macho yake katika saa yake ya mkononi ilikuwa ni saa tano kasoro usiku



    Akachukua simu yake na kubonyeza tarakimu kadhaa akaweka maskion mwake simu ikaita baada ya dakika chache ikapokelewa Chaka akaoji kwa kujiamini...



    "Nipe ripoti mmefikia wapi?!"



    Tofauti na mategemeo yake akapokelewa na sauti nyororo ya kike,sauti iloongea kwa tambo....



    "Vijakazi wako wapo chini ya ulinzi wangu...



    Chaka akaduwaa,binti akaendelea

    Ndo nawaza hapa niwauwe au niwasamehe?!,tatizo hawapo katika list yangu,ata nawe Chaka achana na Mimi....



    Chaka akashtuka kwa kuitwa jina lake,kanijuaje jina?!, au ao vijana washatoboa siri?! ,hapana si kwa vijana hawa,vijana alowaamini...

    Akaendelea kusikiliza tambo zile



    ....Achana na Mimi kusalimisha uhai wako ukiendelea?!! tusilaumiane Mimi si leval zenu nyinyi mfyuuui"



    Simu ikakatwa



    Chaka alichoka!

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Ninini mh!" Kamishna akamuoji akiwa na hamu ya kujua kulikoni



    "We acha tu!"



    Akajibu Chaka akionesha kuchoka na kukata tamaa



    Kamishna akabaki anamwangalia Chaka kwa mshangao

    Chaka alionekana kushangaa



    "Vijana wangu wameshindwa na mwanamke wako!"



    "What?!" Kamishna akaoji kwa mshangao



    "Ndiyo nimepiga simu ya jamaa yangu matokeo yake kapokea binti na kusema vijana wale wapo chini ya ulinzi wake na anawaza kuwaua au awaache kwa kuwa hawapo katika list yake,nami niache kumfatilia kama natamani kuendelea kuishi"



    "Sharfia ndo kasema maneno hayo?!"

    Martin akazidi kuoji huku naye akishangaa



    "Ndo ivyo embu nambie Martin huyu binti alishapitiaga jeshi,au kombi yoyote ya mapigano mpaka kuweza kuwaweka chini ya ulinzi wanajeshi watatu tena wenye silaha?!"



    "Hapana aiwezekani watakuwa wamekosea njia! Si kwa sharfia nimjuaye Mimi yule hata Mimi naweza kumuua"



    Martin akaongea kwa dharau ghafla simu ya kamishna ikaita akatoa kwa kuipokea...



    "Alooh mheshimiwa nimefanikiwa kumkamata yule binti ambaye ni mwandishi wa habari baada ya kunipigia simu na kunambia amevamiwa na majambazi na tulipofikia kwake tukamkuta kweli amewekwa kati na vijana watatu ambalo nao tupo nao"



    Kamishna akazidi kushtuka



    "Mmemkuta binti ndo kawaweka chini ya ulinzi au yeye kawekwa chini ya ulinzi?!"



    Kamishna akaoji



    "Mh tumemkuta binti kawekwa chini ya ulinzi"



    "Akaaa"



    Wote wakashtuka



    "Sasa aliyepiga simu ni nani? Ikiwa binti ndo aliwekwa chini ya ulinzi?!"



    "Ndo swali la kujiuliza ilo bosi"



    "But! Akijaaribika kitu huyo binti bado yupo kwenye mikono yetu lazima atangulie! Na vipi kuhusu yule mtu jb maana kwa sasa ndo kikwazo kwangu"



    Kamishna aliongea akimwangalia chaka usoni,chaka akujibu kitu akatoa simu yake na kubonyeza tarakimu kadhaa simu ikaita na kupokelewa



    "OK nipe ripoti kamanda mmefikia wapi?!"



    "Tumefanikiwa kuingia kwenye uzio wa nyumba yake atujamkuta nyumba nzima aina mtu"



    "Mlifika saa ngapi hapo!?"



    "Toka saa kumi tumeweka patrol eneo lote"



    "Gud! Vizuri msiondoke hapo mpaka niwajulishe"



    "OK sawa"



    Chaka akakata simu!



    "Ndo kama mlivyosikia jamaa ajarudi nyumbani leo"



    "Embu subiri!..."



    Kamishna akaongea na kuitoa radio call yake akabonyeza tarakimu kadhaa na kusikiliza baada ya sekunde chache ikapokelewa



    "Aloo upo hapo na huyo jb" kamishna akamuoji



    "Ndiyo ovar"



    "Ok wapelekeni hao watuhumiwa selo nyinyi mkapumzike kesho saa moja mripoti"



    "Yes mkuu" Nurdin akajibu na kukata redio call yake ile



    "Safi sana!"



    "Kumbe alikuwa na huyo mpuuzi"



    "Na sasa ana madakika kadhaa ya kuiona dunia" chaka akamalizia na safari yao ikaendelea

    Ilikuwa ni sa saba za usiku....



    *********



    Mida ile ya saa saba za usiku gari ile ya polisi ilichanja mbuga,mpaka kituoni!,

    wakashushwa watuhumiwa wale na kuswekwa rumande na yule dada akiwekwa sehemu yake,



    baada ya tukio lile! Jb na Nurdin wakaingia ndani ya gari lao kwa safar ya kuelekea nyumbani kupumzika.



    "nishushie hapa!" jb akaomba,Nurdin akashtuka,



    "wapi tena kamanda ucku huu?!"



    "nimesema nishushie hapa! mbona uniskii?"



    Jb akaongea kwa ukali akiwa tayari kaishika lock ya mlango wa gari ile. Ikamlazimu Nurdin asimamishe gari na Jb akashuka.



    Wasiwasi ukamtawala kachero yule,ulka zake za upelelezi zikamsukuma kumchunguza mtu yule.

    Ni mara nyingi tangu kuwasili kwake pale kituoni alishazitilia shaka nyendo zake. Baada ya kuliondoa gari kwa hatua kadhaa na kupotea machoni mwa Jb akalisimamisha gari lile na kushuka kwa mwendo wa haraka na umakini wa hali ya juu akaanza kurudi kule alipomwacha jb!.



    Naye jb tangu akiwa ndani ya gari ile alishaitambua hatari ilokuwa nyumbani uwepo wa majambazi walomsubiri aliutambua.



    moyoni alicheka kwa dharau.



    akiwasikitikia binadamu wale.

    Alijua angeenda lazima angezua utata pale ambapo angeificha sura yake ikaonekana tu kwa Nurdin alijua lazima Nurdin angelazimishwa ataje mahali alipo!,



    ingekuwa mshangao kwake kwa kuwa si alikuwa naye?



    lazma alama ya ulizo ingemtawala!. ndipo alipoamua kushukia njiani. na wakati akiwaza kutoweka ujio wa kurejea kwa nurdin ukambadilisha mawazo yake.



    akaamua kutumia hali ya ubinadamu akimpoteza Nurdin maboya!,

    Nurdini akiwa na uhakika kuwa ajashtukiwa,akawa akimfatilia jb,jb naye akawa akielekea uelekeo wa nyumbani kwa mpz wake maimuna.



    Nurdin alikuwa haujui uhusiano ulokwepo kati ya maimuna na jb,



    alishangazwa kumuona jb anaelekea huko. Jb akauparamia ukuta na kuingia ndani, akutaka kupitia getini kukwepa walinzi, vivyo hvyo na nurdin naye akajirusha kwa uangalifu.



    jb akachomeka ufunguo katika mlango ule na kufungua akaingia na kuufunga kwa ndani!



    Vivyo hvyo Nurdin naye akachomeka ufunguo wake na kuingia.



    kwa bahati nzuri jb alimkuta mpz wake bado ajalala,akamkaribisha kwa kumkumbatia.



    "vp mpz mmefanikiwa katika operesheni yenu?!"



    "yas mpz tumewatia nguvuni hao majambaz na sasa wapo kituoni! tumepewa muda tupumzike asbuh kazini!"



    "dah mpz kwa hyo mmeondoka pamoja na nurdin? na umemuagaje? asije akakutilia shaka my hubby!"



    "haaah! atajua mwenyewe tuendeleena yetu!"



    Ghafla milio tofauti tofauti ikaanza kuskika katika chumba kile...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nurdin akacheka na kuondoka zake!

    'dah yani mtu kaja juzi tu kajiapulia mtoto nami nazidi kubung'aa bung'aa."



    akawaza nurdin akiuruka ukuta ule...



    Akaliendea gari lake na kuingia

    dakika kumi na tano alikuwa mbele ya lango la jumba lake akipiga honi. tayari majambazi walokuwa eneo lile wa nje wakawapa ishara wa ndani.



    Lango likafunguliwa na walinzi nurdin akaingiza gari lake ndani akaelekea mpaka parking akashuka na kuingiza funguo akafungua na kuingia ndani,

    Akafungua mlango wa chumbani na kuzama ndani kabla ajashtukizwa na teke lililo mpeleka chini! kabla ajanyanyuka akatazamana na mitutu si chini ya saba,watu weusiii tiii!!!



    Wenye sura za kutisha, walojazia vifua vyao walikuwa Mbele ya macho yake!

    Sura zile azikuwa za Tanzania...



    "jb yupo wapi?!"



    Akashtuliwa na sauti Kali,sauti ya amri toka kwa mmoja wa mabedui wale na

    kabla ajajibu kitako cha bunduki kikatua kichwani kwake,



    maumivu makali yakasambaa kwenye mwili wote, kichwa kikapasuka, na damu zikaanza kutiririka!,



    maswali yakazaliwa katika kichwa chake!



    'wale ni kina nani?!'



    'wameingiaje?!, na wameingia vipi? kwa nini wanamuitaji Jb?! na walijuaje kuwa naishi naye?!'



    maswali yale yalotiririka katika kichwa chake ayakupata majibu zaidi ya kumfanya awe na butwaa, butwaa lililokatishwa na kipigo kingine, ngumi ilojaa, yenye ujazo ikatua katika paji lake la uso!



    Nurdin alihisi ni chuma kapigwa nacho japo macho yaliona ni mkono lakini akili ilikataa kuwa si mkono ule!



    "jb yuko wapi?!"



    swali lile likarudiwa ila insp yule hakuwa tayari kusema! akawa mkaidi,

    mvua ya kipigo ikamshukia! nurdin alilia kama mtoto mdogo!



    "wakati tunarudi yeye alishukia njiani sijui alielekea wapi?"



    Nurdin akajitetea!



    "unaish naye hapa au uish naye hapa?"



    "naish naye hapa!"



    "iweje ashuke na asikwambie anapoelekea. tutakukata kiungo kimoja baada ya kingine mpaka useme!"



    jamaa yule aloonekana ndiyo kiongozi wao akakishusha kisu chake katika kidole cha mwisho, kidole cha mguu kikadondoka chini! nurdini akaachia yowe! jamaa yule akachukua chumvi na kunyunyuzia! Pale penye jeraha palipo toka kidole kile



    akachukua sprit na kunyunyuzia!



    Nurdin akaachia yowe!



    "ntasema jamani! na ntawapeleka,"



    Nurdini aliongea huku machozi yakimtiririka kama bomba la mvua



    "Sisi ni makatili! na tuna roho mbaya!"



    akajigamba jamaa mwingne ikitafuna kile kidole nurdin alichokikata akikichovya kwenye chumvi, damu mbichi zikichuruzika kwenye mdomo wake!



    Si chini ya miaka ishirini sasa yupo jeshini!, alishakutana na watu makatili,wajeuri!,na wenye roho mbaya kupindukia ila hawa walioko mbele yake walikuwa funga kazi



    hakuwah kuona au kufikiria kukutana na watu wenye roho mbaya kama hawa!



    kwanzia sura zao,macho yao,sauti zao na hata vitendo vyao!,'hawa si watanzania ni wauaji wa kukodishwa hawa'



    akajiwazia!



    kumbukumbu za mauaji ya kutisha,watu wakichomwa visu,ikamjia,'bila shaka wahusika ni hawa! 'akajiakikishia,'lakini kwa nini wamtake jb?!' swali hilo ndilo lililo muumiza kichwa,akajizoa zoa na kujinyanyua!



    "tutaingia garini kwako na tutatokea getini usilete alama yoyote ya ujuaji ukasabisha kupoteza maisha na kula nyama za watu wasio na hatia, plz umakin waitajika!" nurdin akatingisha kichwa kuafiki.



    wakaingia ndani ya gari na nurdin akaliondoa gari taratibu!

    alipofika getini walinz tayar walishafungua mlango kwani bosi wao kutoka usiku ilikuwa ni kawaida,



    kutokana na kufatilia kesi awakushangaa



    baada ya kuskia honi walifungua geti nurdin akapita na kuelekea uelekeo wa nyumbani kwa MAIMUNA, alimuhurumia kijana yule lakini hakuwa na jinsi. ili kuokoa maisha yake kwa makatili wale ni kufanya vile. ilikuwa tayari ni saa tisa za usiku.



    ******



    NDANI YA UCKU ULE ULE WA MANANE



    Hakika Maimuna alichoka,tangu ameyajua mapenz akuwah kupata penzi tamu kama la kijana yule,penz lile lilimlevya,na kumtupa katika sayari ya mbali!,ndilo lengo la jb!



    "pumzika mamaa, wacha niwasubiri hao mashetani watu!, yah hawakuwa katika list yangu ila MUNGU atansamehe sina budi kuwapoteza! eti fbi leteni hata mashetani waloshindikana!"



    jb aliwaza, muda huo huo akajinyanyua na kupiga hatua mpaka sebuleni akaketi katika kochi akikunja nje! alikuwa kazima taa



    wale majambazi wakafika katika mtaa ule ambao Martin aliwaelekeza kwa kuwaonesha nyumba



    "tutaenda wa nne,nyie watatu mta

    abaki hapa na huyo solobwingo tukamalize kazi humo ndani! hakuna kuacha mtu kila kiumbe tutakifyeka na kufyonza damu zao!"



    akaongea aliyeonekana kiongozi wao.



    "lakini bosi kwanin tusiende wote huyu jamaa tukamuaacha peke yake! tukaondoka na ufunguo au tukamuacha na mtu mmoja?"



    "common joson sikujua kama ni mpumbavu kiasi hicho na uctake tuifonze damu yako!, sikutegemea kama utanipinga kwa oja zako za kipumbavu! yule ni polisi tu aliyepitia depo ccp miezi sita! na sisi ni makomandoo,tena majasusi fbi watutegemehao! aiwezekani kimbwa kama kile tukakivamie wote saba no! ata mmoja anaeza kwenda kuteketeza nyumba yote ila kwa kuwa sote tunataman kufyonza damu zikiwa bado mbichi mbich wabaki wanne humu na huyu sis watatu twende!"



    yule jamaa akakubali kwa shingo upande, wakajichagua na vijana watatu wakashuka kwenye gari wakimwacha Nurdin katika mshangao mkubwa! kusikia wale ni fbi walokodishwa kwa kazi ya kumwangamiza jb kilimshangaza sana!

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akupata tabu kugundua kuwa chanzo ni ubishi wa kijana yule...na kulazimisha kufunguliwa kwa file la jb!



    " bosi ndo yupo nyuma ya mchezo mzima!" akajiwazia...alijua hata yeye asingepona.



    ******



    Majambazi wale walizunguka nyuma ya nyuma ile kulipokuwa na geti dogo wakaruka juu ya geti lile na kutokea ndani ya jumba lile



    wakatambaa kuelekea katika mlango wa kuelekea ndani ya nyumba palipo na vyumba vya nyumba ile...



    walinzi wale walisikia vishindo na kwa haraka wakaelekea upande ule vishindo vilipotokea...



    katu hawakujua kuwa wanajipeleka katika vifo, katu hawakutambua kuwa ile haikuwa saizi yao. kwa kuwa wenyewe walienda kwa kukimbia majambazi wale hawakupata tabu kusikia vishindo vyao! wakajibanza kwenye kingo au pembe za ukuta ule wakiwasubiria kwa hamu!...



    walipotokea tu walipokewa kwa kipigo kikali, visu vikacharanga vichwa vyao, wakawatenganisha vichwa vyao

    walinzi wale wawili kichwa na kiwiliwili! hakika wale walikuwa si binadamu

    wawili wakakimbilia kichwa kila mmoja chake,wakiinyonya damu yao,na wawili wakikimbilia kiwili wili na kunyonya damu sambamba na kutafuna nyama za binadamu wale kwa uchu.



    wale walikuwa ni wa kinte !nchi iliyoko mpakani mwa ganyama! wakitokea katika kabila la wabigirisu! kabila lililopenda kula nyama na damu za binadamu kama chakula chao kikuu.

    hawa walikuwa ni makomandoo na wafuasi wa komandoo chaka!



    komandoo ambayo aliitetea kinte ilotaka kutawaliwa na raisi wa ganyama(ipo katika riwaya ya mtetezi kutoka kinte) ambao kutokana na uhodari wao katika mapigano na upelelezi walisajiliwa na shirika la upelelezi nchini marekani lijulikanalo kama fbi...



    baada ya kumaliza mauaji yale ya kikatili,wakaia

    cha miili ile pale na kufata lango la kuingia ndani.katu awakujua juu ya uwepo wa kiumbe tofauti na wao sebuleni pale.kiumbe ambacho kilikuwa na uwezo wa kunyonya damu yao,kama wao wafanyavyo!



    kiumbe kilichowasubiria kwa hamu

    mzimu ulorejea jb au insp jb

    miili iliwasisimka kwa uchu na matamanio ya kuua kikatili na kunywa damu,wakaingiza funguo na kufungua mlango ule.ndani wakakutana na sebule kubwa mtu mmoja akamulika kwa tochi yake kucheki mandhari ya eneo lile.tochi ile ikamulika katika kochi! mmulikaji akapigwa na butwaa,si mmulikaji pekee hata wenzake watatu nao hivyo hivyo walistaajabu!!...



    naaam walistaajabu ya Musa kabla awajayaona ya firauni!

    jb! aliketi katika kochi lile bila khofu yeyote!,kinywaji kikiwa katika meza yake!,tabasamu likipamba uso wake...



    "amna aja ya kushangaa mabwana nlikuwa nawasubiri hapa!,na kwa taharifa tu ujio wenu nliujua na ushenzi wenu wote mlofanya huko nje nimeuona,tangu mkija nlikuwa nawaona!,karibuni! katika siti teh teh teh. akamalizia na cheko la dharau."



    "shambulia..."



    kiongoz wao akatoa amri



    "teh teh teh...teh teh teh teh..teh teh teh teh best unanchekesha sana.!!"...



    akawacheka kwa jeuri na kupandisha sauti



    "nawe pia si umeshka silaha best!? shambulia...acha kuwaforce wenzako nimekwambia shambulia!?

    jamaa yule akabonyeza kifyatulia risasi!



    emty...



    akawatazama wenzake na kuwapa ishara washambulie...

    nao wakamtwiii wakashambulia....



    emty...



    jb akaachia cheko,cheko lake la dharau akatasua mkono wake aloufunga!

    risasi zikaonekana, risasi za bastola zile.



    jamaa wale wakagwaya!!



    "sisi niwanaume tupambane kiume!"



    jb akaongea akijinyanyua pale kochini!

    viumbe wale walinywea, walikuwa wadogo kama kidonge cha priton! ila wakakaa tayari kwa mapambano!



    kabla jb ajawafikia mtu mmoja akamfata kwa spidi ila alirudishwa kwa teke akaenda kujigonga ukutani!

    akuamka tena.



    watatu walobaki wakatazamana na kupeana ishara ghafla wakamzunguka jb! ila mwanaume yule akajirusha na kuwatembezea mateke ya rasharasha yalowapeleka chini.



    akawanyooshea mikono yake! shoti zikatoka...na kuondoka na uhai wao.

    Jb akacheka sana na kurejea kwenye kochi akiiruka miili ile. akakibeba kinywaji chake na kukigwida!...



    Nusu saa ilikatika bila ya wenzao kurudi!, wasiwasi ukawavaa,mawasiliano yaliwakatikia ghafla...



    aikuwa hali ya kawaida.



    muafaka wao ilikuwa ni kuingia ndani ya nyumba ile kujua kulikoni!

    wakaafikiana,na wote wakashuka wakiondoka na funguo wakalock milango na kufunga vioo wakazama ndani kupitia ukutani wakiruka miili ya walinzi mlango wa ndani ulikuwa wazi wakaingia,..



    ahmadi wakapokelewa na miili ya wenzao...



    wakwanza kushughudia akataka kupiga kelele cha ajabu sauti aikutoka!

    ni wazi hali ilikuwa mbaya bila kuambiana wakageuka kwa kukimbia kwa nia ya kurudi walipotoka wakajipange upya,



    ghafla lango likajifunga!



    "mmekuja wenyewe mwaenda wapi sasa?" wakaskia sauti! walipogeuka kuangalia sauti ilipotokea

    emty!



    hapakuwa na mtu!



    mshangao ukawavaa, "si mnapenda damu na nyama nyinyi?! kuleni hiyo sasa!" sauti ile ikazidi kuwasakama...



    ghafla mwanga ukawamulikia

    mwanga mwekundu!, si mwanga wa taaa,la asha mwanga wa maajabu, vicheko vya ajabu vikaskika, ghafla vilio vya wenzao wakiomba msaada vikaskika, kitendo kilichosababisha wageuke nyuma kuwatazama wenzao...



    waliwakuta wamelala vile vile...

    ghafla wakahisi wakizungushwa....

    kizunguzungu kikawapeleka chini!!!....



    "Nyinyi amkwepo katika ilani yangu ya kuwaua ila itabidi mnisamehe..."

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    wakaisikia tena sauti ile. Ile kugeuka upande ule sauti ilipotokea

    mamaaa jitu la kutisha lilikuwa limesimama mkononi limeshika bisu!...

    kavaa sanda nyeupeee ilobadilika rangi na kuwa rangi ya udongo,



    ilitembelewa na mafinyofinyo na wadudu wasojulikana, shingoni alikuwa na jeraha lililotoa damu mbichi damu ilozingirwa na mafinyofinyo wale na nzi!



    jitu alitoa harufu kali iloharibu eneo lote lile.



    mbona kimbembe?!.....





    mioyo yao ikawa mizito, ujasiri wote ukawatoka, wakawa wanatetemeka waziwazi...



    Pamoja na woga wote walokuwa nao!,ujasiri wa kumwangalia jitu aliyekuwa akiwafata aukuwaisha...



    "Nlitaka niwauwe kwa kisu Changu ila nyinyi amkuwa katika orodha yangu hivyo sitowahuwa kwa kisu ilaaaaa"



    "Nitawamaliza kwa silaha zenu wenye we"



    jitu lile la kutisha likaenda kuokota silaha moja na kuwanyooshea akaikoki! na sekunde chache akatawanya ubongo wao...



    Baada ya tukio hilo akaachia kicheko akiitazama ile miili ikitapatapa kabla ijachukuliwa na umauti!...jitu lile likatoweka.



    Ni ndani ya usiku ule ule ikiwa inakimbilia saa kumi kasoro za usiku!, Chaka alikuwa katika nyumba yake alokabidhiwa na serikali mpaka atakapomaliza shughuli yake!...



    Japo alikuwa kitandani akijaribu kuusaka usingizi lakini usingizi ulimpaa! alichanganyikiw

    a hasa baada ya simu yake kutopokelewa! na vijana wake alowapatia kazi



    akujua ni nini kilichotokea!..mwisho akapata wazo, wazo ambalo aliliona ndilo lingempa jibu la maswali yake!

    akabonyeza tarakimu nyingine tofauti na zile za mwanzo! lengo ampigie kamishna,ndiyo ambaye angeweza kumpa jibu au hata ushauri!

    ili jambo inapaswa nilishughulikie mwenyewe sasa!...akawaza huku akiisikiliza simu ya kamishna ikiita...aikupokelewa mpaka ikakata akaipiga tena....



    Baada ya kufikishwa kwake! kamishna akashuka kwenye gari!, na kumkabidhi komandoo chaka,



    "mfikishe martin kwake nawe ukapumzike asubuh tuonanen ofisini! tukapeleke ile mifupa maabara!"



    baada ya kutoa maagizo hayo kamishna akaanza kulisogelea lango la nyumba yake kwa mwendo wa taratibu!, katu akujua ujio wa mgeni alomtembelea ndani ya usiku ule!

    mgeni aloketi katika sebule yake! akiwa kakunja nne!



    alipita sebule ya nyumba yake pasina kumuona mgeni yule akapiga hatua zake fupi na kuingia chumbani!

    mke wake alikuwa kalala fofofo!...

    ghafla yule mgeni pale sebuleni akatoweka!!...



    na kuja kutokea ndani ya chumba kile

    Akiwa kavaa sanda yake ile chafu mkononi akiwa na kisu kilichotapakaa damu!



    "kamishna! kamishna! kamishnaaaa"

    akaita kwa sauti kali, sauti yenye mtetemo na sauti ilojirudia marambili yani sauti ya mwangi...



    ghafla!!!



    kamishna akazinduka na kuamka huku mwili ukiwa bado umelala, kilichoamka ni kivuli! kivuli kile kikawa kikimwangalia jitu kwa uwoga!



    "kamishna! sikupenda kukuua ila unanlazimisha nikuue!,tena nakuua kifo cha aibu kubwa sana! ni mara ngapi nimekuonya uachane na mimi ujanskia? naitaji nikuzike ukiwa hai..."



    Liliongea jitu lile na kumsogelea kamishna alokuwa akilia na kusaga meno akiomba asamehewe!

    jitu akujibu kitu akamnyanyua juu na kutoweka naye.



    alikuja kutokea katikati ya makaburi!, ambapo pembeni ya pale walipovunja kaburi lile la jb dk chache zilizopita! palikwepo na kaburi jingine,



    kaburi ambalo ndani kulikuwa na nyoka mkubwa sana!, bila kujali uwepo wa nyoka yule alomsubiria kwa hamu mzimu yule akamtupa huko na kuchukua beleshi akaanza kufukia kaburi lile!...



    "nisamehe!,nisamehe!,nisamehe!.."

    kamishna alizidi kulia kwa huruma lakini wala kiumbe yule akumuonea huruma



    "mume wangu!,...mume wangu..."



    simu ilokuwa inaita ndiyo iliyomuamsha mke wake na kamishna alipo mwangalia mumewe alimwona akiwa anatapa tapa huku akilia asamehewe! mke wake akazidi kumuamsha mme wangu



    "amka mme wang!"



    ghafla kamishna akashtuka katika ndoto mbaya ile!...



    "ni nin mume wangu?!"



    mke wake akamuoji lakini kamishna hakuwa na jibu la moja kwa moja



    "ni ndoto tu mke wangu!"



    akajibu na kupeleka mkono wake mahala ilipo simu yake akaichukua na kubonyeza batani ya bluu kuiruhusu simu ile iingie.



    "mpaka sasa nawapigia simu vijana wangu hawapokei sijui wamepatwa na nin?!! plz nakuomba umpigie simu kijana wako yeyote nurdin au jb ili tupate mwangaza nashndwa kujua hali hii inakuwaje?"



    chaka akaongea kwa masikitiko!

    kamishna akashusha pumzi ndefu



    "poa ntakujulisha!"



    baada ya kuongea maneno yale akakata simu na kumpigia simu martin. simu ikaita bila kupokelewa mpaka ikakata. akapiga tena. lakini mambo yalikuwa yaleyale...



    kamishna naye akachanganyikiwa!!!





    jb! akabaki akiiangalia ile miili kwa dharau!...



    alitaka aipoteze! kwa kuipiga shoti, lakini aliona ilo siyo jibu!,siyo jibu kwa walowatuma! wazo lingine likamjia ni kwenda kuwatupa! ama kuwatelekeza mahali! ilo ndilo lilikuwa jibu,

    pia aliutambua uwepo wa Nurdini aliyekuwa katika hali mbaya katika gari!



    akapiga hatua akiiruka miili ya walinzi na kulifata gari

    akafungua! mlango, bado Nurdin alikuwa akigugumia kwa maumivu! jb akamuwekewa mkono katika jeraha lililopo kichwani! jeraha ambalo lilisababishwa na kupigwa kitako cha bunduki na majambazi wale...



    shoti ikatoka katika mkono wake na kuyeyusha jeraha lile,maumivu yote yatokanayo na jeraha lile yakayeyuka!,

    akapeleka mkono wake katika paji la uso,uloharibiwa vibaya,majeraha yote yakayeyuka,vivyo hivyo mpaka katika kidole kile akakirudishia!...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Nurdin alihisi yupo ndotoni na muda wowote angezinduka.

    aikuwa kweli! akabaki akimshangaa kijana yule...



    mimi si binadamu Nurdin! jib akafungua mdomo wake kumwambia ukweli! nurdin akabaki katasua mdomo wazi kwa mshangao!



    mshangao wa sintofahamu!, ulochanganyikana na woga!,

    mimi ni nafsi ya ilodhulumiwa miaka mingi nyuma!



    je unakikumbuka kisa cha paka na panya? nlichokupa kipindi flani?!

    Nurdin akatingisha kichwa ishara ya kuafiki!



    "ok basi mi ndo paka nlokufa miezi kadhaa! japo nafsi yangu bado ipo hai!"

    mimi ni mzimu wa jb,mzimu nlorejea kulipiza kisasi kwa martin na wausika wake!



    "ina maana wewe jb ndo muuaji?"



    "swadaktaaaa!"



    nurdin alihisi kuchanganyikiwa!,



    "plz naomba nifate!"



    jb akafungua mlango na nurdin akatoka wakaelekea katika lango la kuingilia...



    nurdin alishtushwa na mauaji alokutana nayo ya kiwemo ya walinzi wale lakini ilo alikumsababisha jb kufanya kile alichokiitaji

    Walipofika sebuleni Nurdin alishtushwa baada ya kuiona ile miili ya watekaji wake tena ikiwa na matundu ya risasi katika mapaji yao ya USO



    "Una la kujibu insp"



    Nurdin akaongea kwa sauti ndogo!,



    "Naitaji tuibebe tukaitupe kabla akujapambazuka"



    Badala ya kujibu jb kwa kujiamini akaongea



    Nurdin hakuwa Mbishi wakasaidiana kuibeba ile miili kwa ajili ya kwenda kuitupa



    Wakiziacha maiti za walinzi nje,wakafika sehemu waliyo ona inafaa na kuimwaga miili ile,

    Kwa bahati mbaya jb akadondosha kitambulisho chake cha kazi...



    Ukawa mwanzo wa maisha mengine yenye utata kwa viumbe wale...



    Baada ya kuitelekeza miili ile wakarejea nyumbani kwa ajili ya kupumzika huku nurdin akiwa na mawazo kibao juu ya kiumbe kile...

    Ila mawazo hayo hayakumzuia kupata usingizi!



    Ilikuwa tayari ni saa kumi na moja za alfajiri



    ***************



    Mvurumisho wa alamu ya simu ambayo nurdin aliitegesha alianza kuisikia kwa mbali akafumbua macho yake yalokuwa magumu kufumbuka

    Akachukua simu yake na kuangalia mdaa



    Ilikuwa saa mbili za asb, Akashtuka

    Macho yake yakaelekea kwa jb

    Bado alikuwa akikoroma!



    Akatingisha kichwa kwa masikitiko



    'Watu wengine bwana!,eti si binadamu mi jini jini gani linalala mpaka saiv?!'



    Akawaza na macho yake akayaelekezea dirishani

    Akashuka kitandani na kulisogelea dirisha lile

    Akachungulia nje!!!



    Alichokiona bado kidoga azirahi

    Kwa woga akageuka nyuma kitandani kumwangalia mwenzake

    Kitanda kilikuwa cheupe!!!



    Hapakuwa na mtu



    Macho yakamtoka Pima!!!!!!!!!



    Pasina kuamini akionacho



    jb! akabaki akiiangalia ile miili kwa dharau!...



    alitaka aipoteze! kwa kuipiga shoti, lakini aliona ilo siyo jibu!,siyo jibu kwa walowatuma! wazo lingine likamjia ni kwenda kuwatupa! ama kuwatelekeza mahali! ilo ndilo lilikuwa jibu,

    pia aliutambua uwepo wa Nurdini aliyekuwa katika hali mbaya katika gari!



    akapiga hatua akiiruka miili ya walinzi na kulifata gari

    akafungua! mlango, bado Nurdin alikuwa akigugumia kwa maumivu! jb akamuwekewa mkono katika jeraha lililopo kichwani! jeraha ambalo lilisababishwa na kupigwa kitako cha bunduki na majambazi wale...



    shoti ikatoka katika mkono wake na kuyeyusha jeraha lile,maumivu yote yatokanayo na jeraha lile yakayeyuka!,

    akapeleka mkono wake katika paji la uso,uloharibiwa vibaya,majeraha yote yakayeyuka,vivyo hivyo mpaka katika kidole kile akakirudishia!...



    Nurdin alihisi yupo ndotoni na muda wowote angezinduka.

    aikuwa kweli! akabaki akimshangaa kijana yule...



    mimi si binadamu Nurdin! jib akafungua mdomo wake kumwambia ukweli! nurdin akabaki katasua mdomo wazi kwa mshangao!



    mshangao wa sintofahamu!, ulochanganyikana na woga!,

    mimi ni nafsi ya ilodhulumiwa miaka mingi nyuma!



    je unakikumbuka kisa cha paka na panya? nlichokupa kipindi flani?!

    Nurdin akatingisha kichwa ishara ya kuafiki!



    "ok basi mi ndo paka nlokufa miezi kadhaa! japo nafsi yangu bado ipo hai!"

    mimi ni mzimu wa jb,mzimu nlorejea kulipiza kisasi kwa martin na wausika wake!



    "ina maana wewe jb ndo muuaji?"



    "swadaktaaaa!"



    nurdin alihisi kuchanganyikiwa!,



    "plz naomba nifate!"



    jb akafungua mlango na nurdin akatoka wakaelekea katika lango la kuingilia...



    nurdin alishtushwa na mauaji alokutana nayo ya kiwemo ya walinzi wale lakini ilo alikumsababisha jb kufanya kile alichokiitaji

    Walipofika sebuleni Nurdin alishtushwa baada ya kuiona ile miili ya watekaji wake tena ikiwa na matundu ya risasi katika mapaji yao ya USO



    "Una la kujibu insp"



    Nurdin akaongea kwa sauti ndogo!,



    "Naitaji tuibebe tukaitupe kabla akujapambazuka"



    Badala ya kujibu jb kwa kujiamini akaongea



    Nurdin hakuwa Mbishi wakasaidiana kuibeba ile miili kwa ajili ya kwenda kuitupa



    Wakiziacha maiti za walinzi nje,wakafika sehemu waliyo ona inafaa na kuimwaga miili ile,

    Kwa bahati mbaya jb akadondosha kitambulisho chake cha kazi...



    Ukawa mwanzo wa maisha mengine yenye utata kwa viumbe wale...



    Baada ya kuitelekeza miili ile wakarejea nyumbani kwa ajili ya kupumzika huku nurdin akiwa na mawazo kibao juu ya kiumbe kile...

    Ila mawazo hayo hayakumzuia kupata usingizi!



    Ilikuwa tayari ni saa kumi na moja za alfajiri



    ***************



    Mvurumisho wa alamu ya simu ambayo nurdin aliitegesha alianza kuisikia kwa mbali akafumbua macho yake yalokuwa magumu kufumbuka

    Akachukua simu yake na kuangalia mdaa

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Ilikuwa saa mbili za asb, Akashtuka

    Macho yake yakaelekea kwa jb

    Bado alikuwa akikoroma!



    Akatingisha kichwa kwa masikitiko



    'Watu wengine bwana!,eti si binadamu mi jini jini gani linalala mpaka saiv?!'



    Akawaza na macho yake akayaelekezea dirishani

    Akashuka kitandani na kulisogelea dirisha lile

    Akachungulia nje!!!



    Alichokiona bado kidoga azirahi

    Kwa woga akageuka nyuma kitandani kumwangalia mwenzake

    Kitanda kilikuwa cheupe!!!



    Hapakuwa na mtu



    Macho yakamtoka Pima!!!!!!!!!



    Pasina kuamini akionacho



    Je Nurdin kaona nini?!



    Vipi kitambuliaho jb alichokisahau katika maiti zile?!



    Maimuna akiamka na kuzikuta maiti za walinzi wake pasina kumuona chaka atachukua maamuzi gani?!!!





    Ni katika alfajiri ile miili ile iliokotwa na wapita njia waloitaharifu polisi na dakika chache polisi waliwasili eneo lile

    Akiwepo komandoo chaka na kamishna!



    Mpaka muda huo awakuwa na mawasiliano na Nurdin wala jb jambo lililowatia shaka!



    Kitendo cha kukutwa kwa kitambulisho kile kikawahakikishia kuwa jb ndo muuaji!



    Naye akawekwa kamatuhumiwa namba moja!



    **********



    Macho yake yalikuwa mazito kufunguka,mikono yake ikapapasa eneo alilolala



    Palikuwa patupu!

    Akafungua macho kwa uchovu na kupiga mwayo mkubwa



    "Beby!..." Akaita kwa sauti kubwa

    Kimya



    Akaamka akiwa kajifunga kaupande cha kanga akaelekea bafuni

    Alijua wazi mpz wake atakuwa kaondoka!



    Akajiandaa kwa kuelekea kazini

    Ile anatoka nje akashtushwa na miili ile ya walinzi wake!



    Hakuwa na shaka muhusika mkuu ni mpz wake!!!



    Huku akiwa kachanganyikiwq Dada yule akatoa simu yake na kupiga namba ya jb



    Aikupatikana!!!



    Akukata tamaha akapiga ya Nurdin nako majibu yalikuwa Yale Yale

    Kwa haraka akarudi sebuleni



    HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE



    Miili ya watu saba imeokotwa ikiwa imekufa kwa kupigwa Risasi katika mapaji ya uso,usiku wa kuamkia Leo

    Pembeni ya miili hiyo kilikutwa kitambulisho kilichoandikwa insp jb naye ndo mshukiwa wa kwanza

    Jeshi la polisi linamwomba popote alipo ajisalimishe....



    Maimuna akaachia pumzi ndefu!,hakuwa na shaka walinzi wake wale waliuwawa na huyo huyo jb

    Ni kwa nini anaua?!



    Ndo alichopigiwa simu na Nurdin usiku?!!!



    Hapana



    Akachukua simu yake na kumpigia kamishna akamjulisha juu ya mauaji Yale....



    Alijua alikuwa na cha kujibu

    Na aliadhimia kusema ukweli pindi akiojiwa...



    kumchoma jb....



    Na ndivyo ilivyokuwa



    ***********



    mawazo yalikishambulia kichwa chake!, yamkini akuamini kile akionacho, alihisi yupo ndani ya ndoto kwa taharuki ile!



    mawazo hayo yakamskuma kutamani kujua wasifu wa kijana yule

    Kijana aliyejitambulisha kama ins jb kutoka makao makuu ya jeshi!,

    kitendo cha jamaa yule kuwauwa kinyama makomandoo tena wenye mbinu za mapigano alikumwingia akilini kabisa,



    akachukua simu yake ya mezani na kubonyeza tarakimu kadhaa aliitaji kuongea na igp ambaye alimtajia jina mkuu yule wa majesh akaandika jina lile katika laptop yake na namb za askari yule akasachi,

    Lakin cha ajabu aikuleta mtu yeyote!

    yani katika idara ile hakukuwa na askari kama yule!,



    kivipi?!



    akuwa na jibu zaidi ya kumjulisha kijana wake! amri ikatoka jb asakwe na kuwekwa nguvuni

    zawadi nono ikitangazwa kwa tuhuma za kusababisha mauaji Na kulidanganya jesh zima la polisi.

    Kila kona picha yake ikabandikwa, kila chombo cha habari kilimzungumzia! ,jb akawa maharufu midomoni mwa watu.

    wakati hayo yakiendelea!...



    martini akiwa katika jumba lake kajipumzisha, kutokana na siku mbili kuangaika usiku na mchana, pasina hata kulala usingizi kwa mbali ulianza kumnyemelea!



    Ghafla mzuka akazuka ktk sebule ile, akaunguruma kwa sauti ya ajabu,

    sauti ilotisha, martin kwa ghafla akafungua macho yake!



    emty!!!!!



    akuona kitu, nywele zilimsisimka, moyo ulimwenda mbio!

    ghafla akaskia kishindo ahmadi akayaelekeza macho yake pale kishindo kilipotokea



    salaale! macho kwa macho na bonge la nyoka Lililotoa ulimi nje kwa uchu!

    martin akageuka kuutazama mlango kusudi akimbia akiachia yowe kama kamweuka

    mamaaa,mamaaa ile kuufikia mlango ukajirudi na kumgonga kwa nguvu!

    Martin akaelekea chini, kishindo kile ndicho kilichowashtua Mke wake na wanawe! walokuwa nje ya nyumba ile!CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    walipofika walimkuta baba yao kalala chini huku uso ukiwa umemvimba akigugumia kwa maumivu! huku akilalama njoka! watoto wake wakaangalia kule ndani pasina kumuona kiumbe huyo

    Hapakuwa na Nyoka wala nini!

    jambo ilo likawa la ajabu kwa martin,familia yake ile ilijua wazi baba yao alikuwa anaota!...



    Kwa kuwa hali yake aikuwa mbaya sana zaidi ya kuvimba uso alijiandaa na lengo kwenda kwa kamishna kuzungumzia swala ilo....



    ************



    Baada ya chaka kukabidhiwa gari na kamishna ampeleke Martin nyumbani alimfikisha salama kibopa yule

    Naye ilikuwa ni muda sasa wa kwenda kupumzika,kila Mara alijaribu kupiga namba za vijana wake bila mafanikio...



    "Lazima kutakuwa na matatizo!,dah sitaki kuamini kama vijana wale wameshindwa" akajiwazia



    "Ndo uwamini sasa vijana wako nimewateketeza!"



    Sauti kavu ikamshtua kutoka nyuma ake, macho yake akayaelekeza katika saidi mirror



    Mshtuko aloupata aukuelezeka

    Yule yule jb alopewa kazi ya kumwangamiza alikuwa ndani ya gari ile katika kiti cha nyuma kwa tabasamu pana!



    Chaka ghafla akafungua mlango na kuanza kukimbia akiliita jina la mama yake,

    Mbio zake zikaishia katika nyumba yake,akaingia na kwenda kuemea sebuleni akakaa katika sofa lake huku akihema



    "Ni miaka mingi nyuma nlidhulumiwa haki yangu!....



    Akashtushwa na sauti ila mmiliki wa sauti ile akuonekana

    Na si Mali tu nilidhulumiwa mpaka uhai wangu!, ila mpaka sasa nafsi yangu bado inaishi kwa kuwa siku zangu za kufa bado....



    Mtu nlomsaidia akaja kunigeuka akaniua kisa amiliki Mali zote?!!!.....



    " unamaana gani?!"



    Chaka akapata ujasiri wa kumuuliza naye sauti ile ikamsimulia kisa chote toka urafiki wake na martin mpaka alipomgeuka

    Hakika chaka akuamini

    Moyo wa huruma juu ya mzimu yule ukamtawala



    "Hata Mimi ningekuwa wewe lazima ningerejea!,ningerejea kulipiza..."



    Chaka akaongea kwa unyonge



    "Mke wako yu mjamzito sikutaka kuipoteza furaha yake,nchi yako yajivunia kuwa na wewe sijataka kupoteza MTU kama wewe nnachokuomba achana na hii kesi"



    Sauti ile ikatoweka



    Chaka alichoka,usingizi ulimchukua pale pale kochini akiwa bado hana maamuzi...



    KULIPOPAMBAZUKA



    Asubuhi chaka akiwa ndani ya gari lake,kichwani alishapitisha maamuzi

    kwa yaliyomtokea usiku! hakuwa tayari kuendelea na jambo lile!..



    Kwanza ni kuhatarisha maisha yake kama si ya familia yake hakuwa tayari kuendelea na kesi ile baada ya kuutambua ukweli wote!,



    alizidi kukanyaga mafuta ya gari lake Mpaka ofisini aliposhuka na kuelekea moja kwa moja kwa kamishna!

    akafungua mlango na kuingia...



    kamishna akampokea kwa tabasamu



    "ripoti imetoka! ya ile mifupa na inaeleza wazi kuwa mifupa ile niya jb mwenyewe sasa swali kama mifupa ile niya jb ni nani anayeua?!,"



    "skia nkwambie kamishna kwanzia leo,kwanza sio leo ni kwanzia sasa nimejitoa ktk kesi hii!"



    " what?!"



    kamishna akapigwa na butwaa!



    "najua ujaamin hili ila nayapenda maisha yangu fedha mlizoniingizia ktk akaunti yangu nitazirejesha!"



    " unamaana gani chaka?!"



    Chaka akanyamaza kidogo,yamkini alikuwa akiwaza azungimze nini!



    "kwanza naomba utambue hii vita si ya binadamu kwa binadamu ni binadamu na sijui mzimu sijui mashetani! nami siwez pambana navyo! jaribuni waganga,na vyombo vya dini lakini kwangu hapana..."



    baada ya kumaliza maneno yale akatoka na kuubamiza mlango!....

    wakati komandoo chaka anaingia kwenye gari yake! katu akuiona gari ya kifahari!,ilokuwa pembeni yake!



    mlango ukiwa wazi na ndani alikwepo kijana mtanashati alokuwa akimwangalia kwa tabasamu pana

    yah pengine ni kutokana na mawazo yalomkabili katika kichwa chake,ndo mahana akuliona hilo baada ya kuliondosha gari lake,jamaa yule mtanashat insp jb akashuka katika gari yake na kuelekea katika ngazi!



    njiani akipishana na watu ambao awakuwa na taimu na yeye!

    si kwamba akuonekana la hasha!

    alielekea katika ofisi ya kamishna na alipofika kwa secretary wala akuongea naye dizaini kwamba secretary akumuona!



    akagonga mlango, mara moja na kushika kitasa! akakizungusha mlango ukamtwii akaingia ndani!



    kamishna alipatwa na mshtuko baada ya kumuona jb! bado kidogo moyo ungechomoka kwenye kifua!..



    Kwa sekunde kadhaa wakabaki wakitazamana pasina kuongea neno lolote kati yao,



    Ila jb akaukata ukimwa



    "naskia kamishna mnanisaka mimi kama lulu au dhahabu, likitengwa donge nono kwa atakaye fanikikisha kunikamata, mnanifrahisha sana binadamu!, ila si kiloncho nleta icho!, Najua taifa linakutegemea!,



    mchapakazi nisingependa kuendelea kumwaga damu ya wasohusika!



    japo kwa namna moja ama nyingine ulistahili kufa!, ila kwa moyo wako wa upendo kwa mchumba angu maimuna!

    japo kulitokea mauaji katika nyumba yake!, ulimlinda, na mpaka sasa yupo kazini, sina budi kukushkuru kwa ilo!,

    malipo yangu kwako nimetengua kifo kwako, ila onyo usiendelee kujishughulisha na kesi hii, chaka kawa mwelewa kaniskiliza nawe plz kama wapenda kuendelea kuish nskilize kwa ilo!,"



    kamishna akaachia kicheko hafifu!



    "Sikiliza nikwambie we pepo! kazi yangu nikulinda amani na mali za raia, ni wajibu wangu kumlinda Martin kama raia wa nchi yangu!, ivyo uwezi nitisha kwa maneno! lazima siku moja ntakukamata lazima!"



    ghafla kamishna akanyamazishwa na kicheko!



    "kama shida yako ni kunikamata nkamate?! npo hapa nkamate wasubiria nin!? mfyuuu"



    akaachia msunyo na kugeuka na kuufata mlango akaufungua kabla ajatoka akamgeukia tena kamishna!



    "Sitosita kukuangamiza ikiwa utaendelea kufatilia juu ya ili!"



    akaubamiza mlango na kutoka, huku nyuma kamishna akajinyanyua na wenge akibwatuka! na kuufata mlango!



    "untishi wewe! wewe ni pepo mchafu tu ntapambana na wew mpak.(akaufungua mlango huku akiendelea kubwatuka) kieleweke mshenzi huy..."



    ghafla akanyamaza



    Akanyamaza baada ya nje kutomuona mtu! baadhi ya maaskari wakimtazama kwa hali ya sintoelewa!

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akabaki na butwaa, hata ivyo akaelekea ilipo meza ya secretary wake , kuanza kumuoji!...



    "Huyu jb kapitia wapi?"



    " jb?! jb gani?!"



    maimuna akauliza kwa mshangao!



    "kwani ins jb huyu tunayemsaka ajapita hapa kuja ofisini kwangu?!"



    heee watu wote wakapigwa na butwaa!!!!!!....



    "Bosi hakuna mtu aliyeingia..."



    hapo hapo ndipo alipopata picha kuwa wanapambana na mtu wa namna gani!

    Kumbukumbu za chaka zikamjia!!!!



    Alijua wazi alitembelewa na huyu bwana



    mwanzo wakati anamtusi hakuwa na uhakika na mawazo yake! taratibu kama kareruhiwa akajirudisha kwenye ofisi yake!



    huku nyuma akimuacha Maimuna katika mawazo makali!



    penzi kwa kijana yule lilimtesa!



    ila taharifa hizi za kuwa jb si binadamu akuafikiana nazo!



    ghafla akarudisha mawazo nyuma!



    siku ya kwanza alipomuuliza jb kaingiaje mule ofisini kwa kuwa siku hiyo akumwona wakati anaingia ila alishtuka kamishna na jb wakitoka tu ofisini na kamishna kumtambulisha kwake kama askar kutoka makao makuu,



    maimuna akakumbuka pale alipomuhoji jb kuwa alipitia wapi alijibu kuwa yeye ni mpelelezi wa kimataifa na anaweza kuingia bila wao kujua!,



    akakumbuka pia jinsi alivyompenda ghafla, maimuna hakuwa wa ivyo! ila kwa jb cku ya kwanza kumuona alimpenda na siku hiyo hiyo wakaingia katika mahusiano!



    'hapana kuna kitu ina maana, inamahana..nimelala na mzimu?!

    mzimu ulorejea toka makaburin?, mtu alokufa miaka mingi nyuma?! lah!'



    Ghafla kichefchefu kikali kikamshika akanyanyuka na kukimbilia bafuni!

    kilichofatia ni kutapika! kizunguzungu kikali kikamshika! picha ya jb wakati wakifanya mapenz ikizunguka katika fikra zake! ghafla akaporomoka chini na kupoteza fahamu!...



    kishindo kikali cha kuanguka kwa Maimuna kiliwashtua baadhi ya maaskari walokuwepo jirani na vyoo vile!



    haraka wakaelekea kishindo kile kilipotokea!



    lahaulaa! walishtuka baada ya kumkuta binti yule haraka wakambeba na kumuwaisha hostalini...



    baadaye alipozinduka ndipo alipopewa habari ambayo ilimchanganya zaidi!..akuamin kile alichoambiwa na daktari kuwa yu mja mzito



    'ana mimba? mimba ya jini? pepo? au mzimu?,au shetani no!'



    hakukubali jambo ilo azae na kiumbe kisichoeleweka?!!!



    Hapana! alilia! ila mwisho akagundua machozi si jibu la hilo tatizo lake!



    baada ya kuwaza sana akapata jibu!

    jibu ambalo aliliona ni sahii, kukitoa kiumbe kile...ndio! ulikuwa ndo uamuzi sahii kwa wakati huo



    kuonana na dokta haikuwa tabu!



    akamweleza shida yake! na kwa kuwa mimba ilikuwa bado changa dokta akaafiki baada ya kuahidiwa donge nono!....



    Moyo wake ulimuuma sana,japo alijaribu kuuvuta usingizi,ila usingizi ulimgomea



    Akazidi kukosa raha!



    Alitamani kulia,ila hata machozi yalikuwa mbali nae...



    Alishalia sana



    "Beby wangu!" Aliita maimuna huku akikipapasa kifua cha jb kilichopanuka na kustawishwa na garden love



    "Nambie mpz" akaitika jb huku naye akipapasa matiti madogo ya binti yule...



    "Natamani nikuzalie mtoto beby"



    "Waoooh kweli honey!"



    "Ndiyo mpz na nakwaidi kwa ilo!"



    "Ntashkur mpz"



    Ghafla akaachia kilio cha kwikwi,

    Nikweli alitamani kuitwa mama!,ila sio azae na kiumbe kile...



    Kiumbe kisichoeleweka kama ni binadamu, pepo au shetani



    "Lazima niitoe,lazima"

    Akazidi kuweka nadhiri....



    ************



    Alilala katika kitandani kile,akisubiria dokta afanikishe jambo lile



    Daktari alivaa gloves na kumsogelea Maimuna...



    Ghafla daktari yule akabadilika na kuwa jb



    "Kwa nini wataka kuitoa mimba yangu?!"



    Woga ukamtawala akawa akirudi nyuma ya kitanda kile...



    "Je kina makosa gani mpaka ukihukumu?!"



    " aliye kipachika kiumbe hicho tumboni mwako ni MUNGU je alifanya makosa kukuwekea wewe,nakuomba usikitoe na zaa kama utoweza kukilea mi ntarudi kukichukua"



    Ghafla palepale jb akatoweka...



    Na kurudia sura ya mtu yule,ambaye katu akujua kilichokuwa kiliendelea kwa binti yule,alishtukia ghafla mteja wake kanyanyuka



    "Vipi Dada!?"



    Akauliza kwa mshangao

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    "Nimeghairi nitazaa na sitoi mimba tena"



    Kitendo cha kumalizia maneno Yale tayari alishaufikia mlango akaufungua na kutoka



    alimwacha daktari katika hali ya mshangao,sintoelewa na woga katika moyo wake



    *************



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog