Simulizi : Jini Husnat
Sehemu Ya Pili (2)
Mbona SECRETARY wake MOURENE ajampigia simu kumwambia juu ya mtu kumuitaji?
au akumwona? au amemdhuru? au naye ameogopa? maswali hayo mfululizo yakakishambulia kichwa chake! akakiri kutoyajua majibu yake akagutuka baada ya kuuona mkono wa JINI yule
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"vipi sweet?" sauti tamu imtoaye nyoka pangoni ilipenya katikati ya ngoma ya masikio yake ikawa burudani tosha ndani ya mfumo mzima wa masikio!
lakin burudani hiyo katu aikuwepo katika ubongo wake ubongo wake ulikuwa katika tafakari zito tafakari lililomezwa na woga.
JOHN VERGAN alitaitika! alikuwa akitetemeka na kusogea nyuma mara ghafla kiti kikadondoka!
"unaogopa nini sweet au aunipendi?"
HUSNA kwa mara nyingine tena akauliza! VERGAN akujibu! akabaki kimya
"VERGA TAMBUA NA KUPENDA! NA UKIKUBALI KUWA NA MIMI NITAKUTAJIRISHA UTAMILIKI MALI NYINGI ZAIDI YA HIZI!, MAVIWANDA
,MAKAMPUNI,UTATEMBEA DUNIA NZIMA UNAVYOTAKA UTAPOKEA ZABUNI MPAKA MWENYEWE UTAZIRINGIA
LAKINI UKINI KATAA NTAKUFILISI UTARUDI KIJIJINI MASIKINI MTAOMBA HADI VYAKULA NA UTAISHI MAISHA YA MATESO KATIKA DUNIA HII UTAKUWA UKIZARAULIWA NA KILA MTU CHAGUA MOJA.....
KUMBUKA USINIKATAE KISA MIMI NI JINI!
TAMBUA HATA SISI MAJINI TUNA MIOYO YA KUPENDA KWA DHATI ZAIDI YENU NYINYI BINADAMU HIVYO MOYO WANGU UPO KWAKO WEWE VERGA AU UJAVUTIWA NA MIMI?"
Aliuliza HUSNA huku akiwa anatembea tembea ofisini mule
"hapana! hapan...."
ghafla kitasa cha mlangoni kikawa kina tingishika kuonesha mlango unafunguliwa kutoka nje
JINI HUSNAT AKATOWEKA apo apo
"bosi unaongea na nani? bosi kuna nini? bosi mbona upo chini umefanya nini?!!..."
MOURINE alimuuliza maswali Mfululizo VERGA aliyekuwa kadondokea kwenye pembe ya nyumba
"ulivyo ingia ujamwona mtu?!"
"mtu? mtu gani bosi mbona sikuelewi?"
"HUSNA! ujamwona HUSNAT?"
"Husna ndo nani bosi?"
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
kabla VERGAN ajajibu swali lile HUSNA akatokea na kumnyooshea VERGAN kidole mdomoni ishara ya kunyamaza,
Verga akatii,akiwa amegwaya....akamwambia MOURINE
"amna kitu MOU kaendelee tu na kaz"
VERGAN alitamka huku akinyanyuka na kujifuta futa
HUSNAT ALISHATOWEKA!
"Bosi kuna wale watu wa idara ya mapato wanasema watakuja kesho ivyo uandae risiti zote"
"sa...w ni.meku..elewa" VERGAN alijibu kwa kubabaika secretary wake akaondoka VERGA akarud kwenye kiti chake na kukaa
"KITI AKIKUKALIKA!"
alinyanyuka na kuchukua koti! lake la suti lililokuwa nyuma ya kiti chake na kulivaa,
akachukua simu na kumpigia MOURINE
"Alooh bosi!"
"Namuitaji ZUBER"
"Sawa bosi"
baada ya muda ZUBER akaingia,
"sasa wewe kijana kaa hapa ofisini mimi naenda kupumzika kidogo kichwa hakipo vizuri"
"sawa bosi"
JOHN VERGAN akachukua brufcase yake na kuondoka!,
aliitaji kupumzika aliisi kichwa kinamuuma,
katu akujua balaa alilokuwa akilifata mbele yake
ZUBER alitafuta ma file na kuendelea kuyajaza taratibu! akujua kinachoendelea yeye alikuwa na yake kichwani katika kudhihirisha ule usemi umdhaniaye ndiye kumbe siye,au rafik yako ndiyo hadui yako,
ZUBER alikuwa ni chui mwenye ngozi ya kondoo ama kweli usilo lijua ni sawa na usiku wa kiza.
na kwa upande wa MOURINE secretary wa VERGAN naye pia kiti akikukalika!
alijua bosi wake ana matatizo tu! japo akuwai kumwambia kuwa anampenda ila moyoni mwake alikiri kumpenda sana bosi wake yule!
" hapa kuna kitu na lazima nifanye kitu kumsaidia bosi wangu "
wakati akiwa anawaza hayo ghafla harufu kali ya manukato ikaanza kusikika, upepo mkali ukaanza kuvuma! vumbi lililotengeneza kimbunga cha wastani kikaanza kuingia ndani na kupeperusha ma file yale pale mezani,
makabati yakaanza kujifunga na kujifungua yenyewe na mara mtoto mzuri mrefu alovaa nguo ndefu akatokea!
Alitokea katikat ya chumba kile MOURINE akataka kukimbia akashindwa, akataka kupiga kelele pia akashindwa akabaki na butwaa
"mimi naitwa ZAIDATU BINT ROUJAT natokea ukoo wa kifalme wa kijini nimekuja kwa ajili ya msaada kwako..."
Msaada?!
"Ndio nimekuja kwa msaada ila lazima ufe"
kabla MOURINE ajafanya kitu JINI ZAIDATU akamvamia na kumnyonya damu yake.
JINI ZAIDATU baada ya kuakikisha amemuangamiza secretary yule MOURINE kwa kumfonza damu yake yote akaachia ukelele mkubwa!
kisha akatoweka!
mara ghafla MOURINE akazinduka ilikuwa kama kazinduka toka usingizini!
ila MOURINE huyu alikuwa tofauti na wa mwanzo!
macho yake yaling'aa! CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
meno yalichongoka mawili!
ila ghafla vyote vikatoweka akabaki MOURINE wa mwanzo!
ZAIDATU alikuwa kaingia katika mwili wa MOURINE kwa kazi maalumu! ni kazi gani? aliijua moyoni mwake.
aliendelea kufanya kazi zake kama kawaida
machoni alionekana ni MOURINE ila kumbe alikuwa ni jini hatari ilikuwa ni PATASHIKA.
Moyoni mwa ZUBER wazo lililotawala kichwa chake ni kuakikisha mali zote za VERGAN zinakuwa chini yake kwa namna gani?
ilo alikumsumbua akakwapua simu ilokuwa pale mezani na kupiga namba kadhaa akaweka mkonga wa simu yake maskioni
"MOURINE nakwomba uniunganishe na PITER"
"sawa bosi"
MOURINE aliitikia na kuwaunganisha wakaongea machache.
dakika chache zilizofatia PITER au mwanasheria mkuu wa compuny ile alikuw mbele ya bosi wake yule.
"nachotaka kuongea na wewe ni siri kukiwa na makubaliano au hata kama kusipokuwa na makubaliano!"
ZUBERI alifungua kikao kile kwa onyo kali.
"na kama siri hii ikivuja sitokuwa na kingine zaidi ya kukuua!"
"what?" PITER aliamaki
"ndiyo! ni dili litakalo badilisha maisha yetu tutakuwa matajiri wakubwa kama bosi VERGA"
"SAWA nipo tayari weka kazi mezani!"
PITER Alikubaliana na wazo la ZUBER na kuwa tayari kusikia dili lenyewe
"naitaji tutaifishe compuny hii iwe chini yetu! mimi na faida tugawane hamsini kwa hamsini"
"unasema?"
"ndiyo naitaji compuny hii iwe chini yetu"
"sijakuelewa ZUBER ni vipi tutafanikisha ili?"
"swali zuri PITER wewe ni mwanasheria wa compuny una nyaraka hati zote muhimu ni kitendo cha kuzibadilisha tu"
"tatizo itakuwa ni sahii yake"
"atatekwa na kulazimishwa kuweka sahii baada ya hapo tutamuua"
"sawa ZUBER nimekuelewa niachie nianze kazi...
JOHN VERGAN alifika nyumbani kwake na mlinzi akafungua geti VERGAN akaingiza gari taratibu.
mlinzi alimsalimia lakini VERGAN akuitikia, kichwa kilikuwa kikiwaka moto akaenda mpaka chumbani kwake na kujitupa
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
mara ghafla akapitiwa na usingizi wakati akiwa yupo usingizini akaota yupo na JINI HUSNA akiwa pembezoni mwa jabali palipokuwa pameota majabali makubwa wakiwa wameegemeana kimapenzi HUSNA akasema: kwa sauti ilojaa mahaba....
"dear nna zawadi yako!"
"zawad gan sweet?" VERGAN akaoji akiwa kaushika mkono wa dada yule mrembo
"funga macho yako"
VERGAN akafumba HUSNA akatoa mkufu wa dhahabu na kumvalisha VERGA
"Fungua!"
VERGAN alipofumbua macho yake akuamini akamkumbatia kwa nguvu HUSNA mkufu ule ulikuwa ukimeremeta huku ukiandika jina la VERGAN ulikuwa na picha ya HUSNA na VERGAN wakiwa wamekumbatiana,
Baada ya VERGAN kumkumbatia akamwachia ghafla akashangaa kumuona kabadilika kawa na sura mbaya ya kutisha meno yalochongoka pembe pembeni ya vichwa kucha ndefu VERGA akashindwa kuvumilia na kupiga kelele ghafla akazinduka.
"he! kumbe ilikuwa ni ndoto?"
VERGAN alitahayari alishindwa kuzuia mshangao dhahiri katika macho yake.
wakati akiwa anashangaa ,wakati akiwa bado kakaa kitako kitandani.
alipocheki pembeni ya kitanda AKAUONA ULE MKUFU!
aliruka kitandani na kutaka kukimbia
MLANGO UKAJIFUNGA
kizaa zaa kikaanza
kelele za msichana akicheka zikasikika.
"VERGAN kwa nini unielewi?!
kwa nini utaki kunipenda? kwa nini utaki kunizoea? ama uitaji kuwa nami? niambie VERGAN nijue,hata mimi na moyo VERGAN!"
ilisikika sauti ikisema na kimya kikafuata mlango ghafla ukafunguka.
VERGAN kama mweu akatoka mbio alikimbia hadi getini mlinzi wake ndiye aliyefanikiwa kumzuia
"bosi wangu utaumia! una matatizo gani bosi tell me why?"
"niache! niache! niache KITALU niache!"
"come down bosi come down punguza presha,relax,smile ,then tell me why ili niweze kukupa msaada"
" twende ukaone mkufu twende ni jini si ndoto ni kweli!"
VERGAN aliropoka,ni wazi alianza kuchanganyikiwa....
***************
VERGAN na mlinzi wake KITALU waliongozana hadi ndani VERGA akiwa na lengo la kumuonesha ule mkufu wa ajabu! mkufu wa ndotoni walipofika AWAKUKUTA KITU!,MKUFU AUKUWEPO,VERGAN akakunguta mashuka lakini bado mkufu aukuonekana.ikabidi kwa maneno kuntu,maneno ya hisia VERGA amsimulie mgambo wake yule!CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"bosi wangu! jambo doncho sana ili!,ili ni jini mahaba na kuna ustadh! swadakta maalim! sheghe ni shidaaaa! hana uwezo wa kumwita! kumpumbaza! kumkamata na kumfinyanga hadi aitwe marehemu anaitwa maalim sheghe RAJAB!"
"unaweza kunipeleka saivi kwa maalim?"
"bila shaka kabosi kangu! lakini pale kagetini katakaa kanani?"
"uc of pale ntamtafuta mtu mwingine"
"akah! na mimi si ntakosa ka kazi bos?!"
"hapana we ntakupandisha cheo utaenda katika compuny yang na ela itapanda."
"sawa bosi ngoja nkajiandae ili tukaka angamize ako kajini mahaba!"
ile saa KITALU anageuka tu nyuma akakumbana na mkono dhabiti! mkono imara wa HUSNA! lakin VERGAN akumwona KITALU alihisi kukabwa ghafla akaanza kukooa damu alikuwa akionesha kidole shingoni alipokabwa mara akadondoka chini na kufa hapo hapo.HUSNA akiwa na uso wa hasira akaiangalia kwa chuki maiti ile akairuka na kuweka mikono juu akatoweka.VERGA alichanganyikiwa! kitalu hakuwa mzima na sasa ni marehemu! kivipi? bado lilikuwa swali lisilo na jibu
polisi walikuja na kumchukua VERGA na house garl wake JASMIN na mwili wa marehemu ukapelekwa hospitalini kwa uchunguzi zaidi.alama za mikono shingoni zilionekana dhahiri! hivyo madaktari wakaanza kudili nazo.
cha ajabu alama za mikononi za JOHN VERGAN ndo zilizo onekana shingoni mwa MLINZI MACHACHARI KITALU.mshatakiwa namba moja akawa JOHN akawekwa chini ya ulinzi! moyo ulimuuma maswali ya siyo na majibu yakatiririka kichwani kwake.familia yake baba mama zote walikuja kumtembelea wakamtoa khofu kwa kuweka mawakili hatari pesa si ilikwepo.tarehe ya kuanza kusikilizwa kwa kesi ikafika.baada ya kuamishwa katika mahaka
****************
SERIKALI ikapandisha shaidi namba moja! ambaye alitambulika kama afande MARWA.
MWENDESHA MASHTAKA@"taja majina yako matatu"
SHAIDI NO 1@ "MARWA JAFETY JOHN"
MW/MASHTAK@ "Unaweza kutuambia kilichotokea siku ya tukio?"
SHAID NO 1 "Yap nilikuwa kituoni siku hiyo mara simu ikaita kupokea ni msichana aliyekuwa akilia alidai bosi wake alikuwa akimnyonga mlinzi wake ndipo nilipochukua afande wengine mpaka eneo la tukio tulipofika tulimkuta mtuhumiwa kashafanya mauaji ndo tukawaweka yeye na house garl chin ya ulinzi"
maelezo haya ya AFANDE marwa yalimshtua kila mtu akiwepo JOHN VERGAN ambaye yeye ndiyo aliyepiga simu polisi iweje aambiwe ni mfanyakazi wake? pia mawakili wake walitazamana kwa kutoamini wakisikiacho kesi kwa upande wao ilizidi kuwa ngumu na kwa upande wa house gar yule alishangaa kuambiwa eti alipiga simu wakati bosi wake ndo alipiga ilikuwaje? kuna nin? ilikuwa ni mkanganyiko katika mioyo yao katu awakujua kuwa:
wakati JOHN VERGAN anapiga simu kituoni sauti yake iliishia mule ndani lakin katika masikio ya afande MARWA ilisikika sauti ya binti akiongea kwa jazba,woga,huyu si mwingine ni JINI HUSNAT aliyeyameza maneno ya VERGAN na kuongea kama JASMIN.ndivyo ilivyokuwa.
MW/MASHTAKA "mshtakiwa una swali lolote kwa shaidi no 1"
VERGAN "ndyo mh! afande marwa mimi ndo nlikupigia simu iweje useme ni JASMINI kwa nini lakin inakuwa hivi?"
baada ya kuuliza swali VERGAN akaanza kulaumu ikabidi akatishwe na nafas kurudi upande wa mawakili
JOHN VERGAN anapiga simu kituoni sauti yake iliishia mule ndani lakin katika masikio ya afande MARWA ilisikika sauti ya binti akiongea kwa jazba,woga,huyu si mwingine ni JINI HUSNAT aliyeyameza maneno ya VERGAN na kuongea kama JASMIN.ndivyo ilivyokuwa.
MW/MASHTAKA "mshtakiwa una swali lolote kwa shaidi no 1"
VERGAN "ndyo mh! afande marwa mimi ndo nlikupigia simu iweje useme ni JASMINI kwa nini lakin inakuwa hivi?"
baada ya kuuliza swali VERGAN akaanza kulaumu ikabidi akatishwe na nafas kurudi upande wa mawakili
WAKILI "una muda gan katika jeshi?"
SHAIDI NO 1 "MIAKA MI 4"
WAKILI "una ushaidi gani kama aliyekupigia simu ni huyo mfanyakaz wa bosi wetu?"
shaidi no 1 (kwa hiyo unaisi mimi ntatoa ushaidi wa uongo siyo?"
MW/MASHTAKA "afande jibu maswali kama utakiwavyo"
afande@"ndyo mh"
Wakili "ushakula rushwa mara ngapi?"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
shaidi no 1 "mimi ni mwadilifu kazini,na nafata wajibu wa kazi yangu"
wakili "ujajibu swali langu afande! sijakuuliza kama wewe ni mwadilif au vipi!"...,.
************
WAKILI@:Ujajibu swali langu afande! sijakuuliza kama wewe ni mwadilifu au vipi nimekuuliza umeshakula rushwa mara ngapi?
SHAIDI NO 1@:sijawahi kula rushwa.
WAKILI@:nikiielezea mahakama siku ya tukio MARWA na wenzako mlikula rushwa kumweka pabaya bosi wangu ntakuwa nakosea?
SHAIDI NO 1@:si! kweli
WAKILI@:Umesema umepigiwa simu na nani?
SHAIDI NO 1@:house garl wake.
WAKILI@:ukimwona waweza kumtambua?
SHAIDI NO 1@:Ndiyo
WAKILI@:yupo wapi?
SHAIDI NO 1@:yupo mahabusu kwa mahojiano zaid kwa sababu naye alikutwa eneo la tukio
WAKILI@:mlipofika eneo la tukio mlimkamata kama shaidi? au mtuhumiwa?
SHAIDI NO 1@:(kwa swali la mtego afande akaanza kubabaika) "mtuhu..mi shaidi!..."
WAKILI@:(mh hakimu! huyu afande hapa ni mnafki anadanganya mahakama inaonesha kuna mchezo hapa aiwezekani shaidi awekwe chini ya ulinzi! afande marwa embu nambie sheria ya haki za binadamu inayohusu mshtakiwa namba 15 hadi 17)
SHAIDI NO 1@"akabaki kimya yamkini akuitambua sheria hiyo! uso wake ulipanuka kwa hasira."
SHAIDI NO 1@ akafunga mjadala mh hakimu huyu afande hapa naomba afutwe kama shaidi katika kesi hii hata sheria za haki za binadamu ajui?,kwenye maelezo yake kababaika kujibu na siku zote shaidi awezi kuwa mtuhumiwa nimemaliza.
AFANDE MARWA akaenda kuketi akipambana na macho makali ya watazamaji na wasikilizaji moyon mwake akujua sababu ilomfanya ashindwe kujibu maswali yale.akujua kilichopo nyuma ya pazia.
msichana mrembo MOURINE aliketi nyuma katika bench la tatu kwa kazi maalumu! msichana huyu aloingiliwa na jini ZAIDATU alijua juu ya uwepo wa JINI HUSNAT kule.kwa vyovyote vile ilikuwa lazima afanye kazi kwa uangalifu HUSNA asijue uwepo wake kule.ILIKUWA NI LAZIMA AMKOMOE HUSNAT kwa VERGAN kuwa huru yeye ndo alompumbaza afande akababaika kujibu na kuwapa mwanzo mzuri mawakili wale profision kwa upande Wa JINI HUSNAT aliyeketi ktk pembe akuna mtu aliyemwona alikasirika sana kila alipojaribu kumpa ujasiri afande ili shindwa.....
***************
Baada ya shaidi namba moja afande kuondolewa katika kesi ile kwa hoja zake akapanda Shaidi namba mbili.huyu alikuwa ni daktar mtafiti aliegundua alama za mikonon mwa mwil wa mlinzi kuwa ni za JOHN VERGAN.Kwa kushabiana kwa vinasaba.wakati daktar yule akielezea yale HUSNA ambaye akuwa akionekana na mtu alikuwa makini kufatilia kwa ukaribu kesi ile hali ya uhatari ilisha jijenga katika kichwa chake.
WAKILI:@"una muda gani kazini?"
SHAIDI NO 2: "Miaka 35"
WAKILI:@ "Una miaka mingapi saivi?"
SHAIDI NO 2"Miaka 65"
WAKILI:@ "nAis wakati unafanya uchunguzi wa mwili wa MAREHEMU hukuwa na alama za vidole za mtuhumiwa je ni kitu gani kilichopelekea ukagundua alama zile ni za VERGAN."
DAKTARI akababaika kujibu swali lile si kwamba akuwa na jibu la hasha! bali mdomo ukawa mzito.woga,jasho likaanza kumtoka usoni,tayari JINI ZAIDATU alisha muotea bila kugunduliwa na jini HUSNAT tayar kesi kwa upande wa VERGAN ilianza kuwa na matumaini.baada ya daktari naye kupigwa chini ika amrishwa shaidi wa mwisho JASMINI akaletwe.mapumziko yakafatia.na baada ya dakika chache JASMINI naye akiwa na lengo la kumuokoa BOSI wake akapanda kizimbani akala kiapo.alipomaliza ghafla jini HUSNAT akamvaa mwanzo Alikuwa akiogopa kumwangalia bosi wake yule ila JASMINI huyu alimwangalia VERGAN kwa macho makali! hasira na chuki za waziwazr nywele za VERGAN zikasisimka moyo ukaanza kumwenda mbio kati ya watu wote walioudhuria kesi ile yeye pekee ndiyo aliyeweza kuyaona mabadiliko Ya JASMINI pengne na MOURINE wa bandia.alipozidi kuyaangalia macho ya jasmin akayakumbuka HUSNAT! ni macho ya jini HUSNAT ikawa si vigumu kwake kugundua mchezo unavyoenda ghafla akaisikia sauti ya jini yule katika ngoma ya masikio yake "NIMEPEENDA UGUNDUE ULILOGUNDUA! KESI NI NGUMU KWAKO ILI IWE LAINI NA USHINDE KUBALI UWE WANGU" kabla ajajibu sauti nyingine ktk sikio lingine ikamwambia
"usikubali nipo na wew UERGAN"
Wakati akiendelea kutafakri zile sauti ghafla..
*************
Maswali mengi sana yakarindima kwenye kichwa chake akuweza kuitambua ile sauti ya upande wa pili ya MOURINE ilimfikiaje! macho yake yakamlazimu ayagandishe kwa binti yule.aliyemwachia tabasamu afifu lililomuweka sawa kidogo!CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"nini kinachoendelea hapa?" aliwaza bado sauti zilizidi msumbua katika kichwa chake ghafla akashtuliwa na saut ya mwendesha mashtaka!
MW/MASHTAKA:@ JOHN VERGAN una swali lolote kwa shaidi no 3
VERGAN:@(akababaika kidogo kujibu) "ndiyo!.....hapan"
jibu lile likaibua tabasamu kwa waudhuriaji wa kesi ile.
MW/MASHTAKA:@(akarudia swali lake)
VERGAN:@ Kwa woga akajibu HAPANA sina swali.
MW/MASHTAKA:@(shaidi namba tatu elezea kitu kilichotokea siku ya tukio.
JASMIN p.a.k JINI HUSNAT:@(kwa nin VERGAN umemuua MPZ wang kwanin?)
mahakama yote ikabaki kinywa wazi! JASMIN alikuwa akilia kitendo kilichoibua simanzi mahakaman pale.
MW/MASHTAK:@Unaweza kuelezea mahusiano kati yako na mtuhumiwa pamoja na marehemu?
JASMIN:@ marehemu alikuwa mpz wangu na mlinz katika nyumba ya bosi wangu ni mara nying sana VERGAN alinitaka kimapenz kw kuwa nampenda KITALU sikumkubalia mpaka siku alipotufuma mim na mlinzi tukiwa tumekumbatiana kwa kuwa alinipenda hasira zilimpanda akamvamia mpz wangu na kumkaba mpaka akamuua..,
mahakama yote ikatoa mguno wa fedheha,VERGAN muda wote alikuwa kajiinamia chini kama kifaranga kilicholoa na kutengwa na mama yake.lilikuwa ni pigo pia kwa upande wa mawakili wake.MOUREEN aliinamisha kichwa chake chini kukwepa kuonana macho kwa macho na JINI YULE.
MW/MASHTAK vergan unakubali unakataa?
katika sikio lake la kushoto aliamrishwa na sauti ya MOURINE kukataa lakin kila alipotaka kufungua mdomo wake alijihisi woga wa ajabu,mwili wote ulimtetemeka jasho akajikuta amekaa kimya kitendo kilichotafsiriwa kama dharau mahakaman pale.
WAKILI: "Unasema kitalu alikuwa mpz wako"
JASMIN "ndiyo!"
ghafla wakili naye akajikuta ana swali la kuuliza..kesi ikaairishwa kwa siku nyingine kwa hukumu.
**********
kutokana na sapport yenu nzur katika comment,like na shere sasa story hii kwa xku itawajia mara mbili asb na jion.songa nayoooo
ZUBERI MUSA mfanyakazi na rafiki yake mkubwa na JOHN VERGAN akiwa kapiga suti yake ilomkaa vyema ya kahawia,viatu aina ya moka alikuwa kakaa akipata bia yake taratibu.
wasichana baadhi warembo walijipitisha mbele yake kuitaji kumpa sapport ila kijana huyu akukubali akidai kuna mtu alikuwa akimsubiri.macho yake yakatua katika saa yake ilisomeka ni saa kumi na moja jioni macho yake yakamlazimu kuangalia mandhari ya eneo lile.macho yake yakatua getini BMW liliingia ZUBER akaisindikiza kwa macho mpaka parking aliposhuka kijana mmoja aliyenyoa kipara cheupeee kichwa kizima alikuwa kavaa suti nyeusi akaelekea sehemu alipoketi rafiki yake ZUBER.baada ya kusalimiana aliketi na kumwangalia rafiki yake yule ZUBER akakohoa kusafisha koo kisha akaendelea:
"ok lete mpango!"
"kila kitu safi nyaraka zote za compuny nshazibadilisha ni sahihi yake tu!" aliongea hivyo kipara kwa tabasamu afifu lililouchukiza uso wake! ZUBER akamjibu kwa tabasamu pia.
"mpango namba moja umeisha! sasa mpango namba mbili tutamuongeza mshirika mmoja naye ni secretary wake MOUREEN kakubali kuongea na wazazi wa mlinz yule na kuwapa chochote kitu ili kesi ife akitoka tu tupate nafasi ya kumlazimisha aweke saini akitii tumuuwe"
ZUBER aliongea kwa kujiamini kama JOHN VERGAN angefungwa kwa kosa lile la mauaji ni wazi wasingeipata sahii yake ivyo ilikuwa ni lazima wamtoe kwa vyovyote vile.
ZUBERI alimwita MOURINE na kuongea naye juu ya kumtoa bosi wao awakueleza lengo lao.katu awakujua kuwa MOURINE huyu si yule walomjua! huyu alikuwa na uwezo zaidi yao.ila kwa kuwa kila mmoja alikuwa anafanya kazi kivyake mourine alikubali kwa kuwa VERGAN kuwa huru ndo mafanikio yake kwa kile alichotumwa huku duniani.akawatoa shaka.na kuaidi kulifanyia kazi jambo ilo.
JOHN VERGAN alikuwa mahabusu ghafla kausingizi cha manyunyu manyunyu kikaanza na atimaye akamezwa na usingizi mzm
*****
ilikuwa ni nyumba moja ya kifahari,VERGAN alikuwa ameketi kitandani akisoma kitabu kizuri cha riwaya kiitwachu UCHUNGU WA SUKARI kilichotungwa na mwanadada ENEA FAIDY moyo wake ulikuwa ukimwenda mbio juu ya kisa kile kitamu na akutaman akiache kwa mbali alisikia sauti ya maji bafuni yakimwagika.akuwa na shaka kwa kujua habiby wake alikuwa akikoga.akaendelea kufungua kurasa zile akila uhondo wa simulizi ile.ghafla mlio wa maji bafuni ukakoma.yamkini mwogaji alimaliza kokoga na alikuwa akijifuta au akivaa ni kweli akukosea mlango wa chumba ukafunguliwa ukatangulia mguu mwororo ulokosa doa na mwili ulofunikwa na kaupande cha khanga ukafatia.HUSNAT akatoka.moyo wa VERGAN ukaanza kumwenda mbio.shakushangaza akuwa na uwoga kabisa bali hisia ndo zilizomtesa.akaweka kitabu chake chini.muda wote JINI HUSNAT alikuwa katika dresing table yake akijipara VERGAN akamfata na kumshika kiuno HUSNA akatoa kilio cha mahaba.kilichokuwa kama fimbo kali kwa rijali yote ilomchapa na kumchakaza.aliitaji kitu kingine kwa dada yule.Penzi aliitaji PENZI wakakokotana mpaka kitandani.kwa mara nyingine Tena vergan akalifaidi penzi tamu lililomburudisha na sasa walikuwa katika mapumziko
"VERGAN kwa nini unipendi?"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"nakupenda sana HUSNA wangu"
"uongo!" akampiga kibao cha kimaaba
"kweli my love"
"endelea kunikataa VERGAN mali zako uraiani zinauzwa.kubali kuwa wangu nikuokoe mpz!"
"hapana! hapana! hapana! siwezi kuwa na jini kamwe naomba utoke!"
lilikuwa ni jambo la kushtukiza pale JINI HUSNAT alipompa akili zake za kawaida akitegemea VERGAN angemwonea huruma aikuwa hivyo alimbadililikia akimfukuza hasira naye zikampanda tatzo lake HUSNA akuweza kuzi zuia hasira zake akabadilika na kuwa na meno makali yalochongoka kucha ndefu akamfata kwa hatua ndefu VERGAN kwa lengo la kumrarua
"mamaaaaa YESU CHRISTO NIOKOE...."
Kijana yule akapiga ukelele mkubwa na ghafla akashtuka
"kumbe ni ndoto"
akajisemea Eeh MUNGU WANGU NIOKOE NA JINI HUYU DHALIMU AYATESAYO MAISHA YANGU....
********
"VERGAN kwa nini unipendi?"
"nakupenda sana HUSNA wangu"
"uongo!" akampiga kibao cha kimaaba
"kweli my love"
"endelea kunikataa VERGAN mali zako uraiani zinauzwa.kubali kuwa wangu nikuokoe mpz!"
"hapana! hapana! hapana! siwezi kuwa na jini kamwe naomba utoke!"
lilikuwa ni jambo la kushtukiza pale JINI HUSNAT alipompa akili zake za kawaida akitegemea VERGAN angemwonea huruma aikuwa hivyo alimbadililikia akimfukuza hasira naye zikampanda tatzo lake HUSNA akuweza kuzi zuia hasira zake akabadilika na kuwa na meno makali yalochongoka kucha ndefu akamfata kwa hatua ndefu VERGAN kwa lengo la kumrarua
"mamaaaaa YESU CHRISTO NIOKOE...."
Kijana yule akapiga ukelele mkubwa na ghafla akashtuka
"kumbe ni ndoto"
akajisemea Eeh MUNGU WANGU NIOKOE NA JINI HUYU DHALIMU AYATESAYO MAISHA YANGU....
*****
MOUREEN au JINI ZAIDAT moyo wake ulikuwa na amani sana! mpaka muda huo JINI HUSNAT alikuwa ajatambua uwepo wake.lengo lake lilikuwa moja tu kuakikisha VERGAN anakufa! kitendo icho kingefanya kile kilichomleta huku duniani kiende vizur! je VERGAN atakufa kwa namna gani? jibu lilikuwa raisi tu atawatumia vijana wawili ZUBER na KIPARA wenye malengo kama yake.akiwa na kitita cha fedha aliingia katika nyumba chakavu ni nyumba ya wazazi wake na KITALU walokuwa wakiishi maisha ya shida sana.tegemeo lao kubwa lilikuwa ni kitalu kitendo cha kuuwawa kilikuwa ni pigo sana kwao.akawapa faraja baada ya kukaribishwa vizuri baada ya maongez ya hapa na pale akawapa mfuko ulojaa hela.familia ile ilijaa na furaha.dakika chache MOUREEN alikuwa katika ofisi ya hakimu wa kesi ile akatoa kilichostaili!,akika MOURINE aliivunja vunja ile kesi kwa kusambaza noti mpaka kwa wapelelezi wa kesi ile.pesa ni sabuni ya roho!
moyo wa VERGAN aukuwa na amani kabisa alikubali kuyazoea maisha ya rumande muda wote alikuwa na bible yake ndogo akiisoma ilo kwa upande wake kidogo lilimsaidia kwani jini HUSNAT akumsogelea.tumaini la kutoka mahabusu alikwepo ndan ya mahabusu huwa kuna serikali yao rais akiwa nyapala.kulikuwa na mapadri walofundisha mema na kukataza maovu PADRI BRAYTON ndiyo alikuwa rafiki yake mkubwa.wakati wakiwa wanaendelea kusoma neno ghafla lango kuu la chumba chao likafunguliwa afande akiwa na kirungu akamwita kwanza alishtuka moyo ukaanza kumwenda mbio alijua siku hiyo ndo siku ya hukumu akakumbuka kiapo alichokula JINI HUSNAT juu ya kumfunga maisha ikiwa atamkataa alishndwa kuyazuia machozi yasimtoke.akawa anaelekea yalipopakiwa makarandinga ya mahakamani kabla ya kushtukizwa na kibao kikali "unaelekea wapi wewe elekea kwa mkuu wa magereza" alishtuliwa na sauti ilojaa kitetemeshi cha dharau moyo ukaanza kumwenda mbio siku zote walioitwa kwa mkuu wa magereza ilikuwa ni kuamishwaa gereza akupenda ili gereza lile alisha lizoeya kitendo cha kuamishwa kingemuumiza san
*****
Kitendo cha kuitwa kwa mkuu wa gereza kwa vyovyote alijua lazima angeamishwa gereza....
wazo kwamba pengine anatoka alikuwa kabisa katika kichwa chake.aliingia katika ofisi ile na kupokelewa na tabasamu si tabasamu la kuogofya,chuki,masimango,kejeli.hapana nadharia hiyo aikuingia kabisa katika kichwa chake,tabasamu la faraja,amani,ndilo lililosomeka katika uso wa mkuu yule wa gereza.akampa ishara ya mkono aketi katika kiti VERGA akatii....
"najua unashangaa wewe leo mimi kukuita hapa,yamkini bado una uoga na khofu kwanza futa vyote...wapo wanaosema jela ni jeraha! umekaaa muda mchache sana kama miezi mitatu tu nadhani umejifunza mengi koh koh koh koh!" ghafla mkuu wa gereza yule akakohoa ishara ya kusafisha koo akaendelea! VERGA akimsikiliza kwa makini.....CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"kesho ndo ilikuwa siku yako ya hukumu si ndiyo?"
"ndiyo mkuu"
"imebatilishwa siku yako ya hukumu ni leo."
moyo wa VERGAN ukaanza kumwenda mbio
"na hakimu ni mimi kwanzia sasa hupo huru"
"nini?" VERGAN alioji bila kuamini akuweza kuyazuia machozi ya furaha kumdondoka.akapiga magoti chini akimshukuru MUNGU ahadi ya jini HUSNAT ya kumfunga maisha ikijirudia.
"MUNGU ni muweza,MUNGU anaponya kavunja nguvu za pepo mchafu HUSNAT nani kama MUNGU? anajibu maombi anajibu maombi anajibu maombi twakuabudu bwana...." VERGAN akuweza kuizuia furaha yake akawa anaimba nyimbo za mapambio kwa furaha kuu.dakika chache alikuwa kashavaa nguo za uraiani akiliangalia kwa mara ya mwisho lango la gereza lile.alokaa kwa muda mchache.sasa alikuwa huru.
kilikuwa ni kikao cha watu wa tatu ZUBERI,KIPARA,na MOURINE,
"Kwa habari nilizopata Mtu wetu kesho atakuwa huru kazi nzur sana binti kilichobaki ni utekelezaji wetu wa kumsainisha na atimaye kumuua kikatili" aliongea ZUBER kitu kilicho mfuraisha jini yule.
"atauwawa nyumbani kwake tutamvamia na kumaliza kazi"
"nina wazo ZUBER"
"OK nakusikiliza"
"kwa nini tusikodi watu wakafanya hii kazi?"
"usiwe mwoga kipara hii ni kazi ya siri lazima tuifanye kisiri aitajiki mtu yoyote"
****
JAMBAZI si mwalifu aliyekubuhu mwenye roho mbaya hapana ata mim au wewe ukitaka kuwa jambaz unaweza ni kitendo cha kumvamia mtu na kumwibia kwa kuficha sura au kuwa na sura yako kabisa.ZUBERI na KIPARA wakiwa kila mmoja na kofia aina ya bushori miwani nyeusi na koti refu kimuonekano walikuwa ni kama majambazi walokubuhu mikononi walikuwa na bastola ndogo zenye kiwambo cha kuzuia sauti.awakupata shida getini kwa kuwa akukuwa na mlinzi wakapanda juu ya ukuta na kuzama ndani awakupata pia shida kukijua chumba cha mwitaji wao VERGAN....
VERGAN usingizi ulimpaa bado alikuwa na bible yake akisoma maneno matakatifu kwa minajili ya kumuweka mbali zaidi jini yule mkorofi.mara ghafla akasikia kishindo akakipuuza pengine akidhani ni cha jirani mawazo yake akayarudisha katika kitabu kile.ubaya zaidi akuufunga mlango bali aliurudishia ghafla akaona bomba la bastola buti na koti ndefu mshangao ukamvaa ila alisha chelewa marafiki zake wale walimvamia na kuanza kumpiga...wakamtoa kimya kimya mpaka katika moja ya gari zake na safari ya kuelekea kwenye maporomoko ya guanjeni ikaanza.sehemu hiyo ilikuwa ni sehemu maalumu ya kutupia maiti ni sehemu ambayo hata ukimtesa mtu akiutoa ukelele mkubwa kiasi gani unaishia katika maporomoka yale.
katu VERGAN akuacha kusali MUNGU afanye muujiza! ama kweli rafiki yako wa leo ndo hadui yako wa kesho.
mara tabasamu likajijenga katika uso wake! bado akuwa tayar ku sighn karatasi zile kumbukumb ya alicho ambiwa na JINI HUSNAT kikamjia akakumbuka manuizi HUSNA aliyemfundisha ayanuie pindi akimuitaji akayanuia hayo hayo chini kwa chini moyo wake wa usaliti kwa jini yule alompenda ukimwenda mbio.
hali ya jini HUSNAT aikuwa nzuri kabisa mwili wote ulivimba alikuwa kajilaza kitandani ni mtu wa kulia tu akiadhibiwa mijeled na mtu asiyemjua.kupotea kwenda kwao akuweza alikuwa ni mateka maututi katika dunia ya walimwengu alowapenda
sababu aliijua ni kitendo cha VERGAN kumsomea somea bible na kumkemea kemea kwa jina la YESU..........
******
Hapo ndipo kwa mara ya kwanza mtu yule aliyekuwa akimchapa mijeledi akakoma.bado majonz yalitawala katik moyo wake kwa mara ya kwanza akapakumbuka kwao.moyo aukuacha kumwenda mbio
"eeh MUNGU mfalme wa ulimwengu kwanin unaniweka katika tanuri la adhabu kiasi hiki naomba unsamehe MUNGU wangu kama kupenda kwangu ni makosa...." VERGAN alijitaidi kuomba huku bado akiendelea kujikanda kwa mate yake.sasa kwa mara ya kwanza alianza kumchukia VERGAN.lakini ata hivyo chuki ile haikudumu baada ya kusikia kilio cha ampendaye.machungu yote aliyasahau ghafla akajigeuza na kuwa bonge la nyoka.
VERGAN bado alizidi kumsihi JINI HUSNAT aje amsaidie.aliuona mwisho wake mbele ya macho yake.taratibu tumaini la uponyaji lika anza kufifia akaishika peni tayari kwa kusaini akikubali kuyakabidhisha maisha yake kwa muumba wake.
wazo lile,kitendo kile cha kusaini kilifutika katika kichwa chake baada ya kusikia harufu ya manukato ya amdhaniayeCHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
moyo wa furaha ukatawala dakika chache mbele akazuka nyoka mkubwa aina ya chatu katika maporomoko yale
KIPARA na ZUBER wakaanza kukimbia wakimwacha VERGAN pale chini katika maumivi makali
kila wakimbiapo wanasikia kicheko kikali na HUSNAT anawatokea huku akiwacheka anawapiga shoti kwa hasira na kuwamaliza.anamfata VERGAN aliyoko kwenye hali mbaya anaanza kumlamba lamba kwa ulimi wake na kuyaponesha majeraha yale yalouandama mwili wake.anayamaliza na maumivu yote.
"NAKUPENDA HUSNAT"
Kwa mara ya kwanza kwa uso wa tabasamu VERGAN akamwambia mpz wake yule.HUSNA akuwa na cha kujibu ghafla machozi yakaanza kutiririka katika mashavu yake:
"kwa nini umentesa VERGAN ?
"nimekutesa kivipi mpz?"
JINI HUSNAT akusema kitu akatanua mkono wake na kumuonesha jins alivyokuwa akimkemea naye hali ilivyokuwa mbaya
ama kweli mapenz ni utoto eti wote wakawa wakilia akuna wa kumbembeleza mwenzake VERGAN akilia hasamehewe
"nimeshakusamehe mpz wangu!"
"kwa hiyo situnaenda kwangu?"
VERGAN alioji kwa kwa tabasamu pana.
"aswaaa! mume wangu ukitakacho wewe".....
*******
Ni usiku tulivu!,hali ya hewa ikiwa ya kuridhisha!,ukimya ukiwa umetawala ni sauti za kitanda "kwacha! kwacha! kwacha! kwacha!" ni miguno ya kimahaba baina ya nafsi mbili zenye asili tofauti zilizoridhiana kuwa pamoja zilisikika.
walikonga nyoyo zao! walifurahi,dakika chache badaye walikuwa bafuni wakiogeshana.uko ni sauti ya maji na vicheko vya kimahaba vilisikika cha ajabu sasa:
JOHN VERGAN hata walipokuwa wakienda raundi katika sex stayli alijiona ana nguvu mara mbili.alijiona mwanaume wa shoka.mwanzo alikuwa anakwea mti kwa shida sana na akifanikiwa kufika juu ana angua dafu moja kwa haraka sana mtarimbo unazima kuwaka tena! mpaka kesho yake.alijaribu kwa madokta wa madokta tiba akuipata zaidi ya kumeza midawa.ila kwa msichana huyu tangu mara ya kwanza alipomchukua kwa kumpa lifti alimfikisha alipoitaji mtarimbo ulikuwa imara zaidi ya kawaida kwa kijana shababy.ilo lilibaki siri yake na kumuongezea upendo kwa binti yule.
wote walikuwa hoi wakiwa wamekumbatiana kwa mbali kausingizi kalianza kuwapitia.kaki umeza vimawazo vyao vya hapa na pale kuhusu mustakabali wa penzi lao.ghafla JINI HUSNAT anamwamsha VERGAN kisiri! anamnyooshea kidole katika pembe ya chumba kile!
VERGAN anamwona jirani yake mama mwantumu anayemuheshimu na baadh ya watu anaowafahamu kama wa nne wakicheza tena uchi wa mnyama.VERGAN anashindwa kustahimili anapiga kelele.wachawi wale wanatoweka.HUSNA akampiga kakibao cha mgongoni cha kimahaba!
"d! kwanini umepiga kelele?"
"kwani wale ni kina nani?"
"si wachawi walikuwa wakikuwangia."
"mh! yule mama?"
"unajua mimi nawashangaa sana nyinyi binadamu?"
"kwa nini mpz!"
"unajua sisi kule kwetu ujinini wachawi wapo!"
"mmmh!"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"siyo mmmh lakin si wakijinga jinga kama wa uku kwenu wa kule kwetu kuna matabaka mawili kuna tabaka la himaya ya vibwengo au himaya nyeusi na himaya yetu hiitwayo himaya ya jini MUKRAIYA.wachawi wa himaya ya jini WEUSI uvamia kwetu katika misheni mbalimbali katika maabara kuiba ugunduzi flani ulogunduliwa.
"kah!".
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment