Search This Blog

KISIWA CHA MAJINI - 3

 







    Simulizi : Kisiwa Cha Majini

    Sehemu Ya Tatu (3)



    Kwa kweli Maimuna alizidi kunipagawisha mbaya kwa ile Style ambayo alikuwa ananifanyia. Nilipoona sasa naelekea kubaya ilibidi nimgeuke Maimuna Mwenyewe ili kuanza kuonja tunda lake. Nilikuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi na Maimuna kujua penzi la jini na binadamu wa kawaida linautofauti gani. Nilitoa mashine yangu kwenye mdomo wa maimuna kwa shida kwani ilikuwa ni kazi ngumu sana kuitoa kutona na utamu ule ambao nilikuwa naupata. Nilipota Mashine yangu mikono yangu ilivamia kwenye matiti ya Maimuna ambayo yalikuwa saa kumi na moja alfajiri. Matiti ya maimuna yalikuwa yanavutia sana pindi unapoyashika maana yalikuwa magumu flani huku yakiwa yamejazia vilivyo. Kwa kawaida Mwanaume anapokutana na matiti kama yale huwa lazima ajigeuze mtoto kidogo wa mwaka mmoja. Hata mimi sikuwa na jinsi nilijifanya mtoto na mdomo wangu ulitua rasmi kwenye matiti ya Maimuna na kazi ya kumuanza kumnyonya maimuna ilianza. Nilipoanza tu kumnyonya maimuna kuna kitu nilikigundua ambacho kipo tofauti na wanawake wengi wa kawaida. Wakati nikiwa namnyonya maimuna alionekana kunisaidia kwa kunipokea kwa sauti za vilio vya kimahaba. Kwenye sauti za kimahapa kuna sauti za aina mbili. Kuna sauti ya kinafiki ya kimahaba na sauti ya kweli ya kimahaba. Sauti ya kinafiki ya kimahaba hutumiwa na wanawake wengi kujiliza ili at ujue wewe kama kile ambacho unamfanyia kimempagawisha sana na kigeni kwake. Wanawake wa namna hii ni rahisi sana kumgundua maana wakati anatoa sauti hiyo huambatanisha na maneno ambayo rahisi kuyaandika mfano uuuuuuu baby nakupenda tafadhari usinisaliti hizi tunaziita sauti za kinafiki za kimahaba. Sauti za kweli za kimahaba hufanywa na CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/wanawake wachache sana ambao wanakuwa deep kwenye kile ambacho unamfanyia. Yani yule huwa ananogea kutokana kile ambacho unamfanyia wala haekiti. Jinsi ya Kugunudua kuwa huyu anatoa Sauti ya kweli ya kimahaba huongea maneno ambayo haandikiki pia anaweza kuongea neno moja na asirudie tena. Maneno machache sana ambayo wanaweza kuongea yakaandikika kama oooooh baby shiiiiiiiiiiiit. Sauti ambayo alikuwa anaitoa maimuna ilikuwa sauti ya kimahaba ambayo ilikuwa ya kweli kabsa. Kwani wakati nanyonya embe dodo zake mdomoni alikuwa anaongea maneno ambayo hata mimi sikujua ni luhga ghani. Pia hukuwa anaongea maneno tu pia alikuwa anahangaika sana mara atake kugeukia pembeni mara alikuwa analeta kifua chake juu. Nilipoona Maimuna kanogewa sikutaka kupima urefu kwa kina sha maji yake wala kubadilishana mate. Nilichofanya nilimuweka Maimu vizuri mguu mmoja juu kuangalia Dalini mwingine ukanyooka na Taratibu mashine yangu kama Mshale ulipita kwenye Tunda la maimuna binti wa kijini. Nilipoingiza Mashine yangu Maimuna alipumua Pumzi flani kali ya kupokea kile kitu ambacho kiliingia na kunipokea kwa kuanza kuchezesha kiuno kimahaba. Kwa kweli mashine yangu ilipoingia kwenye tunda la Maimuna ilikutana na joto joto ambalo lilinifanya nisikie raha ambayo haielezeki. Unajua kuna raha zingine unaweza ukazipata alafu ukazielezea. Raha ambayo nilikuwa naipata kutoka kwa Maimuna ilikuwa haielezeki. Maimuna alikuwa na Tunda nzuri sana ambalo lilikuwa na joto kwa ndani kila unapopeleka mashine yake lilikuwa linaachia kama mtu anakata papai iliyoiva kwa kisu kikali. Yani ukipeleka mshine ndani tunda la Maimuna lilikuwa linachia ukirudisha Juu lilikuwa linarudi kwenye hali yake ya kawaida. Ile hali kwangu ilikuwa Geni sana kwani sikuwahi kufanya mapenzi na Mwanamke nikutane na kitu kitamu kama kile. Kutokana na Utamu wa nanma ile sikuweza kumaliza hata dakika tano nilijikuta mashine yangu ikianza kutema cheche. Unajua ukitaka kupata penzi zuri na Mwanamke ukaenjoy na kutokumashau milele unatakiwa uzingatie vitu vifuatavyo. Unatakiwa upate mwanamke mwenye sura nzuri ambaye hata ukifanya nae mapenzi ukamaliza haja yako uwe na hamu ya kuendelea kupiga naye story. Siyo mtu unachagua mwanamke ambaye hata wewe unajua hajakuingia moyoni ukishamaliza haja zako unakuwa na sababu kibao za kutaka kumkimbia. Pili unatakiwa kuangalia Mwanamke ambaye unauhakika huyu binti anaweza kuwa ameshafanya mapenzi na watu wawili tu au mmoja na amefanya mara moja tu. Ukipata mpenzi wa namna hii alafu awe na Tunda la Mnato hapo ndio Utagundua Kama Mapenzi ni moja ya raha nzuri kuliko raha zote duniani. Maana yule Mwanamke akiwa amefanya mapenzi huenda na mtu mmoja au wawili, tunda lake litakuwa halija tanuka sana hivyo kama alitolewa bikira utakuta limejirudi na kujibana vilivyo. Hivyo wakati wewe unapofanya lile tendo mashine yako itakuwa inabanwa mbaya usiombe. Ila wengi sana nawashangaa huwa wanahitaji kufanya mapenzi na Mwanamke bikra. Hapo huwezi ukapata raha yeyote zaidi ya kinai na maumivu makali. Maana unapomtoa Mwanamke bikira zile damu huwa zinaingia kwenye njia ya mkojo na kwenda kukusababishia maumivu makali wakati wa kukojoa. Hivyo kumpata mwanamke bikra usitarajie kupata penzi zuri ila tarajia kupata historia tu kama na wewe ulishawahi kumtoa mwanamke bikra ili hata siku wakisema kila mwanamke akae na aliyemtoa bikra uweze kubahatika. Pia kumtoa Mwanamke bikra kunafaidi yake mfano yule msichana ambaye umemtoa bikra hawezi kukusahau kamwe na siku yeyote ukimwomba mechi ya kirafiki hata kama mlishaachana kuna uwezekano mkubwa wa kukupa. Pia Mwanamke ambaye unataka kutolewa bikra ni vizuri sana kuchagua wanaume wenye mashine ndogo na zilizochongoka. Hali hii inakufanya tunda lako liwe na uwezo wa kujirudisha kwenye hali yake ya kawaida kila baada ya tendo la ndoa. Wanamume wenye mashine kubwa siyo wazuri kuwatolea wanawake bikra zao kwani wanaweza kuwaumiza au kufanya tunda kupanuka mazima na kutokujirudisha hata ukikutana na mwanaume mwenye mashine ndogo unajikuta mwenzako anatumbukia tu. Sifa za kumtambua Mwanaume mwenye mashine ndogo kwanza huwa muongeaji sana, huwa na kitambi ambacho cha kawaida, anapenda sana utani. Ila asilimia kubwa ya wanaume wenye miili midogo ndio wenye mashine kubwa hivyo uwe makini nao. Baada ya kumwaga cha kwanza cha ajabu bado mashine yangu ilikuwa haijalala kabsa. Hivyo nilichofanya nilichomoa mashine yangu nikaifuta vizuri kisha nilifuta na Tunda la maimuna kisha nilichomeka tena Kwenye tunda la maimuna huku nikiwa nimemlaza kawaida tu na kazi ilianza. Sikutaka kumlaza kwa style tofauti kwani yule alikuwa ni mke wangu. Wakati nikiwa naendelea kula raha na Maimuna cha Ajabunilishangaa kuona upepo mkali sana ukianza kuvuma. Ule upepo kwa kweli ulikuwa siyo upepo wa kawaida kabsaa. Maana ulikuwa unapeperusha kila kitu chumbani huku ukiangusha vitu mbalimbali. Wakati nikiwa nashangaa ile hali nilishangaa kuona ile nyumba kwa juu inaachanuka na sisi tukiwa vile vile uchi huku mashine ikiwa ipo kwenye tunda la maimuna tunaanza kupaa kuelekea juu.





    Kwa kweli baada ya kuona tunapaa kuelekea juu huku nikiwa nipo vile vile uchi wasiwasi ulianza kunijia. nilijikaza ili Kuchomoa mashine Yangu kwenye tunda la Maimuna lakini ilishindika. Muda huo tayari tulishafika kwenye uwazi wa juu kwenye ile nyumba ulioachia na kisha tulitoka Juu ya nyumba. Kwa kweli sikujua nini kilikuwa kinaendelea Kwa muda ule na Sikujua tulikuwa tunaenda Wapi. Nilipomwangalia Maimuna yeye ndo kwanza alikuwa amefumba macho huku akigumia kwa Utamu na kuzidi kunikatikia kiuno mbaya. Kwa kweli ile hali mimi ilianza kunishangaza sana. Wakati nikiwa nashangaa ile hali upepo wa Mwanana sana ulinipitia kwenye macho yangu. Ule upepo uliponipitia nilishangaa kuona Macho yangu yakianza kupoteza nguvu ya kuona. Muda huo huo baada tu ya upepo kunipitia pia nilikuwa nahisi Usingizi mzito sana ukinijia kwa kasi ya Ajabu. Sikumaliza hata Dakika moja tayari nilikuwa nimeshalala na nilikuwa sijui kile ambacho kilikuwa kinaendelea. Nilipokuja kushituka nilijikuta nipo kwenye chumba kingine tofauti na kile cha hotelini. Nilipochunguza kwa makini niligundua kile chumba kilikuwa ni kile ambacho Maimuna aliniambia nitakuwa nafikia kila nitakapokuwa naenda kwenye Kisiwa cha majini. Kwa kweli nilianza kujiuliza Maswali Mengi kwa nini nimekujaCHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ huku wakati tukiwa tunafanya tendo la ndoa. Kitu gani Maimuna kilimfanya hadi anilete huku wakati tukiwa tunafanya mapenzi. Tena cha kushangaza kwenye kile kitanda nilikuwa nimelala peke yangu na Maimuna alikuwa hayupo. Wakati nikiwa natafakari jinsi nilivyokuwa napaa na Maimuna huku nikiwa uchi mlango wa kile chumba ulifunguliwa. Nilipoangalia mlangoni kuangalia ni nani Yule ambaye aliingia pasipo hata kupiga hodi. Macho yangu yaligongana ana kwa ana na Macho ya maimuna. Maimuna aliponiona nimemwangalia aliachia tabasamu ambalo lilimfanya azidi kuwa Mzuri zaidi. Kwa kweli lile tabasamu lilinifanya hadi nilisahau hata kile ambacho nilikuwa nakifikilia. Maimuna alikuwa mwanamke wa kipekee ambaye kila nilipokuwa Namwangalia nilikuwa simalizi uzuri wake wote. Wakati mwingine nilikuwa nahisi labda mungu aliyafanyia upendeleo majini wakati ya kuyaumba. Muda ule maimuna alikuwa amebadili kidogo mavazi kwani alikuwa amejifunga khanga tu rubega. Maimuna alikuja hadi kwangu na kuja kunilalia. Hatukuwa na kitu kingine cha kufanya zaidi ya kuanza kushikana tena. Maana kwa Mwanamke mzuri kama Maimuna muda wote mwanaume mashine yako lazima iombe kusagisha. Niliponyanyua Ile khanga ambayo alikuwa amejifunga maimuna nilikuta yupo kweupe. Kumbe hata yeye alikuwa hajavaa hata chupi. Nilichofanya nilimgeuza tu na kuendelea kula raha. Nilichogundua kwenye penzi la Maimuna tunda lake lilikuwa halibadilishi utamu. Unajua tunda la Mwanamke kila unapoliingilia hatimae mashine inazoe inakuwa ukiingiza unaona tunda ni la kawaida tu. Ila nilichokuwa nimegundua kwa Maimuna tunda lake lilikuwa halizoeleki. Kila nilipokuwa napeleka Mashine kuna utamu tofauti nilikuwa naupata. Nilimpiga Jini maimuna hadi nilihakikisha nimeenda bao mbili. Tulipomaliza ile kazi wote tulikuwa tumechoka chakali na kubaki tukiwa tunaangaliana huku kila Mmoja akiwa uchi. Hakuna hata mmoja ambaye alipata hata wazo la kuchukua nguo ajifunike au kuvaa. "Hivi baby kuna kitu gani kilikuwa kimetufanya hadi tulianza kupaa pale na hatimae nikajikuta nipo huku. Na kwa nini kila ninapokuja huku lazima usingizi unipitia au nakuja kushitukia tu ghafla niko huku kwa nini nisiwe naona tu kabsa"Nilimuuliza Maimuna baada ya kuona akiniangalia kimahaba. "Unataka kuona wakati ukiwa unasafiri siyo, na kufika hadi huku"Aliongea Maimuna kwa sauti kali huku macho yake nayo yakianza kubadilika na kuwa mekundu.

    ********************************************************************************************** Kwa kweli yale maneno ya Maimuna yalinishangaza sana kwani aliongea kwa sauti kali hadi macho yalikuwa yanabadilika rangi.nilishindwa kuelewa kwa nini Maimuna alibadilika kwa kasi namna ile wakati nilikuwa nimemuuliza kitu kwa upole tu. "Basi naomba kama nimeuliza hiki kitu kikakuuzi nisame. Sikuwa na nia mbaya ila nilitaka kujua tu baby"Nilimwambia Maimuna kwa sauti ya upole. Nilipomwambia Maimuna vile angalau macho yalibadilika yakawa ya kawaida na sura yake ikajawa na tabasamu. "Baby mwenye uwezo wa kusafiri kuja hadi huku awe anaona ni jini tu. Binadamu yeyote hawezi kusafiri kuja hadi huku akiwa anona. Kama akisafiri kuja huku alafu akiwa na fahamu zake anakufa mara moja. Nimekuwa mkali coz hiki ambacho umekiuliza ni hatari sana na sitaki nikukose kabsa"Aliongea Maimuna na kuja kunikumbatia. Kwa kweli kila nilipokuwa namwangalia Maimuna nilikuwa najisikia Raha ya Aina yake. Kuwa na Mwanamke mreMbo kama maimuna hata kama alikuwa jini kwangu kulikuwa na Faida kubwa sana. Muda huo baada ya kuonja na penzi lake na kugundua kuwa likikuwa tamu na lilikuwa na radha kushinda wanawake wote nilio wahi kulala nao ndio nilijiona Mwenye bahati ya hali ya juu. Baadae nilienda kuoga kisha nilitoka na Maimuna kwenda kutembea Kwenye mji wao wa kisiwa cha Majini. Kwa kweli ule mjini ulikuwa wa aina yake maana ulikuwa na kila aina ya raha. Juu ya ule mji kulikuwa kama kuna Turubai flani ambalo lilikuwa linazuia jua kufika chini pia hata kama mvua inanyesha ilikuwa haiwezi kufika chini. Kwa kweli lile jiji ilikuwa moja ya jiji ambalo lilikuwa na maajabu pia watu wote waliokuwepo kule walikuwa matajiri na wenye sura nzuri. Tulitembea huko huku nikiwa naona vitu mbali mbali vya kuvutia na vilivyonishangaza. Baadae tulirudi hadi kwenye kile chumba tayari kwa kutaka kurudi Duniani. Tulipofika kwenye kile chumba kama kawaida yangu nilisogelea kile kioo nilivutwa na ghafla nilijikuta nipo chumbani kwenye ile hoteli niliyokuwepo baada ya kufanya harusi. Sikushangaa tena ile hali maana nilishaizoe. Maimuna na yeye alipotokezea tulitoka hadi nje ya ile hoteli maana ukumbini bado sherehe zilikuwa zimeendelea na muda ilikuwa ni usiku. "Unajua kutoka kisiwani kwetu tulipotoka hadi kufika huku unaweza kusafiri kwa muda wa wiki moja ndio unafika. Ndio maana ulipotoka kule ilikuwa ni mchana lakini huku ukafika usiku. Ila kwa sisi majini pamoja na wewe tunasafiri kwa kutumia miaozi ya kioo. Kwa kweli ile mionzi ya kioo inatusafirisha kwa kasi sana na kujikuta upo huko. Yani ile mionzi yakioo sekunde moja inasafirisha mtu kilomita 2400 ndio maana unaona ikikuvuta tu unakuwa upo hapa"Aliniambia Maimuna maelezo ambayo yalinishangaza Sana. Baada ya kupita sherehe huku tukiwa tumemaliza siku tano Maimuna alinipa taarifa ambayo ilizidi kunipa furaha ya aina yake. Maimuna aliniambia kuwa Mdogo wake wakike yusira aliyopo Saudi Arabia ametuomba Tuende kumtembelea huko. Kwa kweli mimi nilifurahi sana kwani ndio mwanzo wa kuanza kujua nchini mbalimbali. Sikuwa na kipingamizi chochote zaidi ya Maimuna kumwambia afanye maandalizi tuondoke wala tusimkatalie Yusira. Maimuna na yeye hakuwa na Kipingamizi zaidi ya kuniambia tukawaage Wazazi wangu kabla ya kesho kuanza safari ya kuelekea Dsm ili kwenda kupanda Ndege ambayo ingetupelek Saudi Arabia. Kwa kweli mimi muda ule nilikuwa nakula raha tu kwani maisha yangu yalikuwa ya hali ya juu. Baada ya mimi na maimuna kuoga kwa raha Safari ya kuelekea kwa baba yangu ilianza. Tulipofika nyumbani nilishangaa kuona gari flani aina ya noah mpya ikiwa imepaki nyumbani kwetu. Nilihisi labda baba yake na Maimuna alikuwa amekuja kumtembelea mzee wetu. Nilishuka kwenye gari nikiwa na Maimuna kisha tulienda hadi ndani. Tulipofika ndani mzee alitupokea kwa furaha ya hali ya juu sana. Kitu kilichonishitua nilitegemea kama nitaingia Ndani basi nitamkuta baba yake na maimuna maana nilikuwa nimeiona Gari nje. Baada ya kumkosa ili bidi nimuulize baba kuwa ile gari ya nani nje ambayo imepaki maana nilifikilia Baba yake na mke wangu yupo hapa. "Mwanangu ile gari ni mali yangu kabsa. Nimepewa Zawadi na baba yake na Maimuna. Kwa kweli mugu azidi kumpa mali zaidi huyu mzee maana ni mtu mwenye roho nzuri sana. Dunia ya sasa kupewa zawadi ya gari bure kabsa siyo kitu cha Mchezo"Aliongea baba yangu huku akionekana ni mtu Mwenye furaha sana.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Kwa kweli nilijisikia Mtu mwenye Bahati ya hali ya juu kumpata Mwanamke kama Maimuna. Maana maimuna Ndio ambae alituunganisha na baba yake hadi sasa Mzee wangu nae anamiliki Gari ya kifahari wakati mwanzo hata Baskeli ilikuwa ni shida. "Basi baba hiyo ni zawadi ya baba yangu, mimi pia kama Mtoto wako sijakupa zawadi unajua. Ila Kabla sijaaondoka nitakupa zawadi ambayo itakusaidia kufungua biashara yako. Hii itakusaidia wewe kupata kipato mbalimbali ili kuweza kujikimu na maisha kama kununua Mafuta ya gari"Aliongea Maimuna huku na yeye akiwa na tabasamu tele kwenye uso wake. Yani muda ule ilikuwa Kuponda raha tu ilikuwa hakuna tena mtu ambaye alikuwa anakumbuka hata kifo cha mama yangu. Maana kufa kwa Mama yangu ndio nilihisi kulifungulia baraka hizi zote. Ila hadi Muda ule baba yangu nilikuwa nahisi alikuwa hajagundua kuwa maimuna alikuwa ni jini. "Unajua bwana mungu akikulenga kukusaidia kweli anakusaidia. Kila siku nilikuwanamuomba Mungu hatimae amesikia kilio changu. Yani hapa mama pesa za mafuta nimepewa kibao na baba yako na dreva wa kunifundisha kukimbiza gari aliletwa kabsaa. Sema hivi mtu ukianza kupata neema watu hawachoki kuongea. Mfano sasa hivi watu wanasema sijui huu Utajiri umetokana na kifo cha Mke wangu wengine wanafikia hadi Kusema Mtoto wangu amemuoa Jini"Aliongea Mzee wangu Maneno ambayo yalitufanya wote tushangae. Kwani yale yote ambayo alikuwa ameongea yalikuwa yanaukweli kwa ndani yake. Hapo kweli niliamini usemi wa watu usemao kisemacho kipo kama hakipo basi kinakuja. Ni kweli utajiri wetu wote ulikuja kwa kasi ya ajabu baada ya mimi kumuua mama yangu pamoja na kumuoa Maimuna. Hivyo walichokuwa wanakiongea watu kilikuwa cha kweli. "Kwani ukija kuhakikisha kama kweli mwanao kaoa jini wewe utakuja kufanyaje. Maana huwezi jua huenda kweli mimi ni jini"Alimuuliza Maimuna Mzee wangu huku akicheka kuonyesha kama kile ambacho alikiuliza kilikuwa siyo cha kweli. "Mimi mwanangu hata kama ameoa jini au Msukule hayo ni mapenzi yake. Bwana Majini naye ni binadamu kama sisi hivyo kama limempenda mwanangu na mwanangu akalipenda waoane tu. Mimi sina shida kabasa muhimu kumuona mwanangu akifurahia kwenye ndoa yake"Aliongea Mzee wangu hali iliyomfanya Maimuna kuwa na Furaha zaidi. Siyo Maimuna tu hata Mimi nilitokea kufurahi zaidi na kujipa matumaini hata Siku mzee wangu akija kugundua kuwa maimuna ni jini haitakuwa na shida. Tulimueleza Mzee jambo ambalo lilikuwa limetupeleka Huko kuwa tunasafari ya kwenda Saudi Arabia. Mzee wangu alikubaliana na Sisi ila kabla ya kuondoka alitaka tuje tuombewe dua kwa kutoa Sadaka flani ili kutufanya tusafiri salama zaidi. Jioni siku ile ndio ilikuwa Muda wa Sadaka kwani kesho yake Ndio tulitakiwa kuondoka Tanzania. Watu wengi walikuwa wamekaribishwa Nyumbani kwetu kwa ajili ya kutuombea dua. Kutokana na umaarufu mfupi pamoja na huduma nzuri watu waliopata Siku ya rahusi yetu ilifanya hata siku ya Sadaka watu kumiminika zaidi. Kilichotushangaza baba yake na Maimuna alikuwa amepewa taarifa ila hakutakiwa kuchangia kitu chochote ila maajabu yeye alileta kilo Hamsini za mchele pamoja na kreti hamsini za soda. Dua ilisomwa Vizuri na watu walikula wakanywa hadi walisaza. Wapo kinamama ambao walikuja na vyombo walibeba ili kupeleka kwao na familia zao wakale. Kwa kweli kwa muda Mfupi tu mimi pamoja na mzee wangu tulikuwa watu maarufu sana. Hadi waandishi wa habari walikuwa wanakuja nyumbani kwa baba yangu na wakati mwingine wanakuja kwangu kutuuliza nini siri ya mafanikio haya. Nilichokuwa nawajibu mimi ni kuomba tu mungu. Hapo kweli niliamini Usemi wa waswahili usemao pata pesa ili watu wafahamu tabia zako. Maana mwanzo sikuwahi kumuona hata mwaandishi mmoja kujakutuhoji nini siri ya kuwa masikini. Baada ya kula Watu walitawanyika na sisi tuliamua kuaga tuondoke. Baada ya kumuaga Mzee wangu aliniita chumbani na kwenda kunipa Mafuta flani ambayo aliniambia nitakuwa najipaka ili kuondoa nuksi. Yale mafuta yalikuwa yanachanganywa na dawa flani ya kienyeji ambayo ile dawa haikuwa ngeni sana hata babu yangu aliwahi kunipa na alikuwa anatumia sana. Nilimshukuru baba yangu na kumuaga kisha nilianza kutoka ndani kuelekea nje. Nilipofika mlangoni kama upepo usio wakawaida ulinipitia hivi. Alafu kwa nyuma nilihisi kama mtu alikuwa anatembea kwa kasi anakuja kwangu. Ilibidi nigeuke na mimi kwa Kasi ya ajabu ili kuangalia ni nani yule. Kwa kweli nilipogeuka nilipatwa na Mshituko usiyoelezeka nilipomuona alikuwa ni mama yangu mzazi ambaya tayali nilikuwa nimeshamtoa kafala. "Mwangu mimi nakupenda sana hivyo mimi nakuombea safari njema na urudi salama. Pia nakuomba jitaidi sana kuwa na upendo wa dhati kwa Mke wako Maimuna maana yeye ndio ambaye anafanya hata sisi kuwa na furaha"Aliongea Mama yangu





    Kwa kweli nilishindwa nifanyaje nilibaki nikiwa natetemeka huku nikiwa nimemkodolea macho mama yangu. Kwa kweli nilikuwa nimepatwa na mshituko ambao ulikuwa hauelezeki. Mtu ambaye alikuwa amekufa kuja kumuona tena kwangu ilikuwa siyo kitu cha kawaida. Ingawa mama yangu nilikuwa namuona Sana hasa kwenye harusi zote kisiwani na Duniani ila mshituko niliokuwa nimeupata siku hiyo ulikuwa tofauti na zile siku niliyokuwa namuona kwenye harusi. Wakati wa harusi mama yangu alikuwa hanisemeshi ila leo kunifuata na kunisemesha kulinifanya niogope sana. Mama yangu alipoona Nashangaa na yeye alianza kunishangaa huku akiwa ananisogelea "Mwanangu kuna kitu gani mbona hivyo. Mimi nakutakia Safari njema lakini unaonekana kama unashangaa Kwani mimi kuna kosa kukutakia safari njema"Aliongea Mama yangu huku akizidi kuja kwangu. Ile hali ilinifanya niogope Sana na kutoka Nduki huku nikiwa napiga Kelele za kuomba Msaada. Kumbe wakati napiga Kelele huku nakimbia Maimuna naye alikuwa ameshasikia ile sauti na alikuwa anakuja sehemu ambayo nilikuwa natokea. Nilienda Kumpamia na wote tulianguka chini. Baba naye ilibidi atoke chumbani kuja kushuhudia nini kimenikuta. Alipofika Sebureni alishangaa kuona Maimuna Amelala kwa chini huku mimi nikiwa nimelala juu yake. Ilibidi kwa Kasi ya ajabu niliamka pale kwa Maimuna na kusimama. "Kuna nini Mwanangu mbona Unapiga kelele namna hii"Aliuliza baba huku akiwa anajifanya kama lile tukio la Kumlalia Maimuna hajaliona. "Mama baba!"Nilimwambia vile tu baba yangu na kujikuta nashindwa kuendelea huku mdomo wangu unakuwa Mzito na machozi yalikuwa yananitoka Mwenyewe.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ "Mama kafanyaje sasa kafa au maana unaniogopesha mama yako si umempita pale njiani leo mama kafanyaje"Aliongea Mzee wangu huku akiwa ananishangaa. Yale maneno ya baba yangu nilipoyafikilia kwa makini yalikuwa kama yamenichanganya hivi. Kwani yeye alikuwa hajui kama mama yangu alikuwa amekufaga hadi aniulize mama yangu kafanya nini au amekufa nini. "Hata mimi namshangaa kapopo leo maana wakati anatoka kwako nimekutana naye jiani. Namtakia safari njema ananishangaa Mwishowe anatoka nduki sijui kafanya nini mwanangu"Aliongea Mtu mwingine pembeni. Nilipogeuka kumwangalia nilikuta alikuwa ni mama yangu Mdogo. Nilianza kuwaza kichwani inamaana yule ambaye alikuwa ananisemesha na kunitakia safari njema alikuwa ni mama yangu Mdogo wala hakuwa mama yangu Mzazi. "Mama mdogo hivi ni wewe ambaye ulikuwaunaongea na mimi"Ilibidi nimuulize mama yangu Mdogo maana ilikuwa Bado sijaamini kabsa. "Ndio ilikuwa ni mimi kwani kuna nini mwanangu"Alinijibu mama yangu mdogo huku na yeye kama akiwa ananishangaa hivi. "Mbona hukuwa wewe mama yangu mdogo. Yule mtu ambaye alikuwa ananisemesha Mimi alikuwa marehemu mama yangu mzazi"Nilimwambia mama yangu Mdogo yale maneno ambayo yaliwafanya wote kushituka na kubaki wakiwa wananishangaa. "Unajua huyu kapopo alikuwa anampenda Sana mama yake. Nazani kwa kiasi kikubwa hiki kifo cha mama yako kimemuathili kwa kiasi kikubwa sana. Mtu yeyote akimuona ambaye anafanana na mama yake huzani ndio mama yake. Mwanangu kapopo mama yako atakutokea vipi wakati ameshakufa yule. Hebu naomba acha mawazo hayo bhana mwanaume mzima unakuwa Mwoga hivyo"Aliongea baba yangu. Kwa kweli sikuwa na Jinsi niliamua kukubaliana na hali halisi ingawa ile hali ilianza kunitia shaka sana. Kupitia yale maajabu ambayo nilikuwa nayaona niliamini kuwa huenda mama yangu bado alikuwa hajafa. Tulimuaga Pale mzee na kutoka ndani tulienda Kupanda Gari na Safari ya kurudi Nyumbani kwetu na Maimuna ilianza. Kwenye Gari muda wote nilikuwa nakumbuka Lile tukio ambalo lilikuwa limenitokea. "Najua unamawazo sana ila ngoja nikurudishe kwenye hali yako ya kawaida. Najua haya mambo ambayo unayaona yanakuweka wakati mgumu sana ila utakiwa kuona hayo ili kuweza kupiga hatua mbele zaidi kimaisha"Aliongea Maimuna maneno ambayo sikuyaelewa kisha aliniwekea mkono wangu kwenye kichwa chake. Cha ajabu ule mkono ulipotua tu kichwani kwangu mawazo yote juu ya kifo na huzuni yalipotea na kuanza kujisikia furaha ya aina yake. Kwa kweli Ingawa furaha yangu ilikuwa imerudi lakini lile tukio la kumuona mama yangu kichwani Mwangu lilikuwa halijaondoka kabsa. Sawa nilikuwa sina Mawazo tena Kuhusu mama yangu lakini Taswira ya Mama yangu akiwa ananisemesha ilikuwa inajirudia sana kichwani kwangu. "Kapopo Unajua Tangia Siku ya harusi yetu hujawahi kuonana na rafiki yako Mdete. Leo tena Tunasafari ya Kwenda Saud Arabia lakini hujaniambia hata ukamuage Rafiki yako au sasa hivi Umemtenga"Aliongea Maimuna. Yale Maneno ya Maimuna kweli yalinikumbusha kitu. Muda mwingi sana nilikuwa sijawahi kumuona Rafiki yangu Mdete. Hata mimi kile kitu kilinishangaza Sana maana ilikuwa siyo kawaida kumaliza Siku bila kuonana na Mdete. Hata Mdete alikuwa hamalizi siku Tunakuwa tumeonana sasa muda ule tulikuwa Tumemaliza Kama Wiki hivi tulikuwa hatujaonana. Nakumbuka Mara ya mwisho kuonana na mdete ilikuwa siku ya harusi yangu na Maimuna kwenye hotel ya Singida motel. Ilibidi nimwambie maimuna ni kweli tunatakiwa tumuage kabla ya kuondoka Singida. Ilibidi Tuelekee nyumbani kwake maana ndio sehemu ambayo nilikuwa najua itakuwa rahisi kumpata. "Mdete sasa hivi unajua anakazi yake anafanya na shule hata yeye ameacha. Hivyo mimi ngoja nikupeleke Kazini kwakwe nyumbani kwake hatakuwepo sasa hivi"Aliongea Maimuna maneno ambayo yalinishangaza sana. Nilishindwa kuelewa ni kazi gani Mdete ambayo alipata hadi kufikia hatua ya kuacha kazi. Pia nilishindwa kuelewa Maimuna amejuaje kama Mdete naye kaacha shule na amejuaje kama sasa hivi alikuwa anakazi yake maana muda Wote Maimuna nilikuwa Nashinda naye. Sikutaka kuuliza kitu chochote zaidi ya kukubali Maimuna kunipeleka Sehemu ya Mdete alipokuwa anafanyia kazi. Mwendo wa dakika kumi na mbili hivi tulipita Jengo la T.R.A singida na kufuata barabara inayoenda Standi ya Zamani. Gari yetu ilienda Kusimama kwenye Duka kubwa tu ambae bila shaka niliona Walikuwa Wanauza Simu na vifaa vyake kwa Jumla na Rejareja. Nilipoangalia Vizuri kwenye hilo Duka nilimuona Rafiki yangu Mdete yeye akiwa anauza. Nakumbuka kwenye lile duka nilipokuwa napita walikuwa wanauza radio kwani hata mimi niliwahi kununua pale. Ila muda ule walikuwa wanauza Simu na vifaa vyote vya simu Jumla na Rejareja. Nilishuka kwenye Gari ili kwenda Kumsalimia Mdete na kumuaga kwani Maimuna yeye alisema Mdete atakuja kuongea naye humu humu kwenye gari hana Mzuka wa kushuka. Nilienda hadi Dukani kwa Mdete na mdete alinikaribisha kwa furaha ile mbaya. Sikutaka kuanza kuongea Pale pale Mambo ya Kumuaga ilibidi Nimtoe pembeni Kidogo. " Kwa Kweli rafiki yangu Asante sana tena Asante sana. Yani hadi hapa wewe kweli nimeamini kama ni rafiki yangu wakweli. Maana tumetoka kwenye dhiki wote wawili ulipoingia kwenye furaha na mimi umeniingiza kwenye furaha. Ule ushauri wako wa kuacha shule kweli nimeshaufanyia kazi kama Ulivyoniambia. Pia zile Pesa milion Hamsini Ulizonipa Ndio nimeamua kufungua kazi hii. Namshukuru Mungu naona kazi inaenda vizuri na inawateja Wengi sana. Kapopo wewe ndio rafiki wangu waukweli ndugu yangu"Aliniambia Mdete huku tabasamu Bashasha likiwa limemjaa Mdomoni. Kwa kweli mimi nilibaki nikiwa nashangaa tu. Maana nakumbuka Tangia Siku ya harusi Mdete Nilikuwa Sijaonana naye Sasa nashangaa ananiambia Nilimpa Ushauri wa kuacha Shule pamoja na pesa milioni hamsini. Sikutaka kushangaa Sana niligundua Huu mchezo atakuwa Ameucheza Maimuna. "Ok Usiwe na Wasiwasi Mdete wewe ni Rafiki yangu hivyo lazima nikufanyie hivyo. Tukiachana na Hayo pia Mimi Nimekuja Kukuaga kesho naondoka Kuelekea Saud Arabia. Hivyo Tayari nimeshakata Tiketi ya Gari kwenda Dsm kabla ya kuchukua Ndege ambayo ingetupeleka Saud. Hivyo naomba Bwana utakuwa Unaniangalizia Wazazi wangu" Nilimwambia Mdete huku Nikimwambia Twende kwenye Gari akamuage na Shemeji yake Maimuna. "Bwana mimi nawatakia Safari Njema yenye Baraka tele. Kuhusu Wazee wewe wala usiwaze hata kidogo utawakuta swalama kabsa. Ila Rafiki yangu kapopo namimi kuna kitu nataka nikwambie ili safari yako Uondoke Kwa furaha zaidi. Najua tu hiki kitu hutakiamini kama mimi ambavyo sikuamini nilivyoambiwa. Ila nakuambia kama Rafiki yangu Tu ingawa Maimuna alinizuia nisikwambie. Kapopo Ndugu yangu Mama yako Yupo mzima kabsaa mimi mwenyewe nilimuona kwa macho yangu"Aliniambia Mdete



    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa kweli yale Maneno ya Mdete kuniambia kuwa mama yangu hajafa yalinishitua Sana. Nilishindwa hata nimwambie nini na kubaki nikiwana natetemeka huku Machozi yakiwa yananitoka. Nilishindwa kuelewa itakuaje mama yangu awe mzima wakati alikufa na tulimzika na umati wa watu walihudhulia ule Msiba. Nilikumbuka kipindi Ndugu zangu walipokuwa wanali huku wakitaja Jina la Mama yangu bado sikuamini kama mama yangu alikuwa Mzima. Muda huo hadi nguvu zilianza kuniishi na Uvumilivu ulinishinda na Kukaa chini. Kusikia Mama yangu alikuwa Mzima ile ilikuwa ni hadithi Ngeni kwangu maana lile jambo likikuwa haliwezekani. "Mdete hebu acha Ujinga wako, hivi unakumbuka wewe ulikuwa ni Mmoja ambaye ulikuwa unanilalamikia Kuhusu kifo cha mama yangu. Sasa utaniambiaje kuwa mama yangu atakuwa hajafa. Inamaana ule Umati wa watu walihudhulia kwenye Msiba wa mama yangu walikuwa Wanamzika Nani. Na kama Mama yangu yupo mbona mimi simuoni"Nilimwambia Mdete huku Machozi yakizidi kunitoka. Kila ambacho nilikuwa najaribu kuamini kama kweli Mama yangu Bado yupo Mzima nilihisi kama najidanganya. "Mdete ndio maana nilikuambia itakuwa vigumu sana kuamini kama mimi nilivyokwambia Mwanzo. Hata mimi Maimuna ilikuwa Vigumu sana kuamini kama alivyoniambia. Ila baadae Nilimuani na hadi sasa najua Mama yako mzima tena hata wewe unaonana naye. Hebu nifuate hapa kidogo njoo toungee ingawa tutakuwa tunamchelewesha Shemeji ila mimi nataka uondoke safari yako uwe na raha"Aliongea Mdete huku akitembea kuelekea Sehemu flani kwa nyumba ambapo walikuwa wanauza vinywaji. Tulienda Tukakaa akaagiza vinywaji. Mimi hata Muda wa kunywa kichwaji nilikuwa sina maana nihisi tumboni kumewaka moto. "Sasa ndugu yangu naomba unisikilize kwa makini yule pale ambayo ukifika nyumbani Unamuona kama mama yako Mdogo ndio mama yako mzazi. Mama yako hajafa kabsa ile siku ya msiba tulizika Mgomba tu tena hakuna mtu yeyote ambaye alihudhulia kwenye ule msiba wa mgomba. Naomba nisikilize kwa makini kapopo hapo najua nitakuacha Round abaut usipokuwa makini kutega sikio. Ile siku ya msiba ambayo wewe ulikuwa unahisi mama yako kafa Mazingira ya Msiba yote yalifanyika kisiwa cha majini ingawa yalibadilishwa na sisi tulikuwa tunaona kama mzingira yetu ya kawaida. Watu wote ambae wewe ulikuwa unawaona wanalia walikuwa siyo wenyewe bali vilikuwa Vimvuli vyao. Hata wenyewe kesho yake waliposhituka walikuwa wameota ndoto tu kama mama yako kafa na wamemzika. Yani mimi na wewe tu ndio ambao tulihudhulia kwenye huo msiba wa mgomba tukiwa na miili yetu halisi ndio maana tuliamini kama Mama yako amekufa. Ukitaka kuamini hili mtafute Mtu yeyote ambayo ulimuona Kwenye Mazishi ya mama yako muulizie eti kama amewahi kuota ndoto ya mama yako kufa. Unajua mimi sikuamini na kila mfano nilijaribisha na nikapata ukweli kuwa mama yako yupo. Hata jana nilienda nikamsalimia na kuongea mambo mengi sana. Tena hata yeye anafurahi sana kuona umemuoa maimuna na wala hajui kama Maimuna yeye ni Jini. Mimi tangia Maimuna aniambie lile Tukio mama yako namuona kama kawaida"Aliniambia Mdete maneno ambayo yalinifanya nibaki nikiwa nashangaa. Kupitia yale Maneno ya Mdete nilianza kuamini hata yule ambaye nilimuona ndani leo na siku ya harusi yangu kumbe alikuwa ni mama yangu wa kweli. Kwa kweli nilishindwa kumuelewa kwa nini maimuna alikuwa anafanya hivyo. Pia nakumbuka siyo maimuna tu Hata baba yake na Maimuna yeye ndio ambaye aliniambia kuwa Nimtoe mama yangu Kafala kama mahari iliniweze kumuoa maimuna. "Mdete umeongea Mengi sana ila mimi itakuwa Vigumu sana kukuelewa. Unajua kama kweli mama yangu hajafa sasa mjomba wangu kwa Mganga alienenda kufanya nini. Maana mimi mwenyewe nilimuona Mjomba Wangu akienda Kwa Mganga kulalamika kuwa kifo cha mama yangu kimemtatiza anataka ajueni sababu gani iliyofanya hivyo"Nilimwambia Tena mdete. Mdete hakuwa na neno Jingine la kuniambia zaidi ya kuamka na kuniambia tutakuja kuongea siku nyingine kwa leo yaishie hapa. Niliamka Pale hata Kinywaji siku gusa maana nilikuwa Sina mzuka kabsa nilikuwa sina hamu wala mzuka wa aina yeyote ule wa kunywa hicho kinywaji. Tulienda Hadi kwenye Gari Mdete akamuaga Maimuna kisha sisi Tuliondoka. "Nahisi kuna mtu atakuwa amenisaliti si ndio kapopo. Lazima kuna mtu atakuwa ameenda kinyume na mambo yangu niliyomwambia. Yaah Mdete kanisaliti sasa huyu anataka kufa"Aliongea maneno maimuna Huku akijuliza Maswali na kujijibu mwenyewe





     Kwa kweli maneno ya Maimuna kusema kuwa Mdete amemsaliti yalinifanya kuamini kweli Maimuna alikuwa amemwambia Kitu Mdete. Ile hali ilinifanya kutaka kujua mahali mama yangu alipo na kuweza kuongea Naye. "Maimuna mimi sina haja tena na Safari ya kuelekea saudi Arabia. Ila kama unataka mimi na wewe tuende Saudi arabia naomba Uniambie kwanza Mama yangu yupo mzima au amekufa. Kama mama yangu atakuwa Mzima nahitaji kumuona na kumuaga"Nilimwambia Maimuna Huku Muda ule machozi yakiwa yananitoka. Nilipomwambia vile Maimuna wala hakuonekana kushitushwa na Swali langu. Aliendelea kuendesha Gari huku akiwa ametulia kimya. Nilivyoona Maimuna hanijibu kitu chochote ilibidi nianze kumtingisha huku nikimsihi kama hataki kunijibu asimamishe Gari ili nishuke. Maimuna alipoona Namtingisha Alisimamisha Gari Pembeni kisha alinionyesha inshara ya kushuka. Kitendo kile mimi wala hakikunishitua zaidi ya kuanza kufungua mlango ilinishuke. Niliposhika mlango wa Gari ili nifungue cha ajabu nilipigwa na shoti kali sana. Ile shoti ilifanya mwili wangu kuanza kuhisi baridi Kali sana ambao hata mimi nilibaki nikiwa nashangaa. Ilibidi nigeuke Kwanza kwa Maimuna ili nimuulize hili Gari limekumbwa na nini maana siku zote huwa tunapanda huwa halina hali kama hii. Nilipogeuka kumwangalia Maimuna cha ajabu yeye ndo kwanza alionekana kuwa Busy kuangalia mbele. Nilipotaka kumuuliza Maimuna ile hali ya Gari kuwa na shoti imesababishwa na nini cha ajabu nilishangaa mdomo wangu ukiwa mzito hata kuongea neno moja ilikuwa ni mtinani wa kidato cha sita. Muda huo kasi ya mwili kupoteza nguvu ndio ilizidi kuongezeka zaidi. Macho naye yalikosa uwezo wa kuendelea kuhimili mwanga ukungu wa Giza ulitawala hatimae sikuona kitu chochote ambacho kilikuwa kimeendelea. Nilipokuja kushituka nilijikuta ndani ya Bus ambayo sikujua ilikuwa inaenda wapi. Nilipoangalia kwenye ile siti pembeni yangu alikuwa amekaa nani nilishangaa Kumuona alikuwa ni Maimuna. Muda huo kichwani kwangu nilikuwa sikukumbuki kabsa kitu gani kinaendelea. Hata ile hali ya mwanzo kabla sijapoteza fahamu nilikuwa sikumbuki. Ilibidi nimuulize Maimuna kuwa tunaenda wapi mbona sikumbuki kitu chochote na huku kwenye busy tumefikaje. "Baby ndio tunaenda Saud arabia kwa Mdogo wangu ambaye alituomba CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Tuende. Humu tupo kwenye basi aina Ya Shabiby tunaelekea Dsm. Tukishafika Dar ndio tutachukua ndege ambayo itatupeleka Saud arabia. Sema wewe naye ukipanda kwenye gari ulale sijui kwa nini huwa unasahau kila kitu"Alinijibu maimuna. Kweli yale maneno ambayo alikuwa anaongea Maimuna nilishawahi kusikia ila bado nilikuwa siyaelewi vizuri. Yani kwenye kichwa changu kuna mambo yalianza kunitoka . Sikuwa na mambo mengi ya kuuliza kwa kuwa sikuwa nakumbuka kitu chochote zaidi ya kile kuwa tulikuwa safarini kuelekea Saud arabia. Hata yale maneno ambayo alikuwa Ameniambia Mdete kuwa Mama yangu alikuwa Mzima nilisha sahau. Muda wa saa kumi Jioni ndio tuliingia kwenye Jiji la Dsm. Huko tulipokelewa na binti Mmoja mzuri matata. Kwa kweli yule binti yeye alikuwa Mzuri kuliko hata Maimuna. Kitendo chake cha kuniambia Karibu shemeji yangu nilibaini hata yeye alikuwa ni jini. Baada ya kupokelewa Pale tulienda Hadi kwenye Prado moja ya kifahari na kwenda kupanda na safari ya kuelekea yumbani kwa yule binti ilianza. "Baby huyu mimi ni dada yangu siku ya harusi yetu kisiwani alikuwepo ila sema alikuwa busy hukumuona. Harusi yetu duniani Hakuja kwa kuwa alikuwa ametingwa na kazi nyingi"Aliniambia Maimuna. Muda ule kwa kweli nilishangaa furaha yangu ilikuwa imerudi asilimia Mia moja kama Mwanzo. Sikuwa na mawazo yeyote kuhusu mama yangu kwani sikuwa nakumbuka chochote. Muda huo nilikuwa nakumbuka tu kuwa kweli tulikuwa tumemuaga baba yangu kwa safari ya kwenda Saud Arabia. Gari yetu ilienda kupaki kwenye mjengo mmoja wa ghorofa mbili ambae ulikuwa wa adabu sana. Wakati nilipokuwa nyumbani kwetu singida nilikuwa Nasifia sana nyumba ambaye tulikuwa tumepewa kama zawadi. Ila kwenye nyumba ile ambayo Gari ilikuwa imepaki ndio niliamini kuwa tulikuwa na muda wa kusubili sana. Ile nyumba ndani tu ya fance kabla hujaingia ndani ilikuwa inatisha mbaya. Niliposhuka kwenye Gari hadi nilihisi nipo New york marekani. "Hivi kweli hawa wanaoishi kwenye nyumba hii wanakunya kweli"Nilijikuta najiuliza Maswali mengi kichwani huku nikizidi kushangaa ule Mjengo.kwa kweli ule Mjengo bwana ulikuwa wa aina yake. Tulipoingia ndani ndio nilizidi kuwa Mashamba zaidi. Sofa ambazo zilikuwepo kwenye nyumba ile zilikuwa za kiwango cha hali ya juu alafu zilikuwa za kuseti. Yani sehemu ya kukalia unaweza kuongeza au kuipunguza yani zilikuwa Sofa za kidigitali zaidi. Vitu sasa vya ajabu ajabu na vizuri ambavyo vilikuwepo mle ndani vilikuwa havielezeki. Uzuri wa ile nyumba kwa kweli nilihisi kama nipo peponi kumbe nilikuwa nipo bongo tu.



    '''''''"""""""""""""""""'"''''''''''""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""" Kwa kweli nilishawahi kuona Nyumba nzuri ambazo zilikuwa na vitu vya kuvutia ndani kama ile ya kwetu lakini kwenye ile Nyumba ilikuwa Mwisho. Muda wote macho yangu yalikuwa yanapepesa huku na huku maana kila kitu ambacho nilikuwa nakiona ndani ya ile nyumba kilikuwa kigeni kwangu na kilikuwa kinanivutia mbaya. "Baby tumeshafika Saud Arabia"Uvumilivu ulinishinda maana uzuri wa Nyumba ile niliamini haipo Tanzania. Huenda tayari Maimuna alishanipeleka kijini maana alikuwa anatisha. Cha ajabu nilipowauliza lile swali wenzangu walianza kucheka huku wakinishangaa. "Babu hivi unamalaria au, maana wewe Mwenyewe uliona wakati tunashuka kwenye Gari ubungo kutoka Singida inamaana Muda huhu tuwe tumeshafika Saud arabia"Alinijibu maimuna na kuzidi kucheka. Mimi ilibidi nitulie tu Maana ningeendelea kuongea ningezidi kuwachekesha zaidi na kuonekana Boya. "Mdogo wangu kwa hiyo kesho ndio mtaondoka hapa Tanzania Muda wa saa nne na Shirika la Ndege la South Afrika. Hapa Tanzania kwa kweli hakuna Ndege ambayo inaenda Moja kwa moja Hadi Saudi Arabia. Ambacho nimekifanya Mimi nimewakatia Tiketi za Kuwapeleka South Alafu Mkifika South ndio mtapata Ndege ambazo zitawapeleka Saud Arabia"Aliongea Yule Mwanamke ambaye alikuwa Dada yake na Maimuna. Kwangu nilivyosikia vile nilifurahi sana maana nilijua ndio muda wa kwenda Kuona South afrika nchini ya Mpigania Haki za binadamu South Afrika Nelson Mandela. South Nilikuwa naisikia na kuona kwenye televisheni pamoja na kuisoma kwenye Atlasi shuleni hasa Kwenye Ramani ya Afrika ila bado nilikuwa sijafika. Kupitia South Afrika kwanza mimi nilihisi nilikuwa na Raha ya peke yake. Nilikuwa na Hamu ya kufika South na kuju sehemu mbali mbali kama Joubeg yani Jourhanisbag, Pritolia, Cape Town na sehemu zingine kibao ambazo nilikuwa nazisikia. Nilitaka tukipanda Ndege ya kwenda South ningemueleza Maimuna tukifika South tukae kwanza tukizunguka hata Siku mbili ndio Tuanze Safari ya kwenda Saud Arabia. Siku hiyo kwangu ilikuwa ya furaha ya aina yake wala sikuwa na kitu chochote ambacho nilikumbuka kunifanya mzuka wa Furaha ambayo nilikuwa nayo ishuke. Muda wote tulikuwa tunapiga stori na shemeji yangu huku tukicheka. Kuanzia Saa kumi na Moja jioni hadi Saa mbili usiku tulikuwa hatujatoka tulikuwa tunapiga tu Stori. Nilifikilia labda Shemeji alikuwa ameolewa huenda Ningemuona mume wake lakini hadi tulikula na kumaliza saa tatu ilifika sikuona mtu yeyote wa kiume anaingia ndani. "Shemeji vipi hivi hujaolewa maana Tangia nifike hapa sijamuona shemeji. Nilifikili labda yupo kazini lakini hadi Now sijamuona"Kwa kweli Uvumilivu ulinishinda na Kujikuta Nikimuuliza yule Mwanamke. Maana Nyumba kubwa kama Ile ilikuwa siyo rahisi kuwa haina Mwanaume. Wakati nikiwa Nasubilia Jibu nilishangaa kumuona shemeji yangu akibadilika ghafla na kuanza kulia. Ile hali kwa kweli iliniogopesha sana na kujua lazima kuna kitu kibaya kiliwahi kumkuta shemeji yangu ndio maana nilipomuuliza swali kama lile lilimfanya kuanza kulia. Huenda lile Swali lilikuwa limemkumbusha vitu vingi sana vya nyuma. "Tafadhari shemeji naomba usilie na pia nisamehe kwa kukuuliza swali kama hilo. Sikuwa najua kama nikikuuliza swali hili nitakufanya uwe kwenye hali hii tafadhari nisamehe"Nilimwambia Shemehi yangu maana ile hali ilianza kuniogopesha. "Shemeji mimi nilishawahi kuwa na Mwanaume binadamu kama wewe. Ila tulipo oana alivunja mashariti na kuanza kutembea na wanawake Nje ya ndoa hali iliyomfanya kukuawa. Sisi majini mwanaume huwa Tunamuonya mara nne. Kama bado akiendelea basi anaweza kupokonywa utajiri kama atakuwa ameoa kwenye familia ya jini Yauma au kuuawa kama ameoa kwenye familia ya jini Shauma. Hivyo mume wangu alishindwa kujizui alivunja mashari mara tano hali iliyomfanya kuuawa na Ndugu zangu. Kwa kweli inaniuma sana kwani Mume Wangu nilikuwa nampenda sana"Aliongea Shemeji yangu huku akizidi kulia. Kwa kweli yale maelezo ya shemeji yangu yalinishitua sana maana kuhusu yauma na shauma maelezo yake niliwahi kuelezewa sana na Maimuna. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Kwa kweli Yale Maelezo ya Shemiji yangu Kuhusu Shauma na Yauma yalinishitua Sana. Kama mume wake aliuawa na Wazazi wake baada ya kukosea Masharity kwa hiyo ilikuwa inamaanisha Baba yake na Maimuna ndio ambaye alimuua mume wake na yule binti. Kwa kuwa yule Binti alikuwa ni dada yake na Maimuna Basi nilipata jibu baba yake na Maimuna atakuwa shauma. Wakati nikiwa nawaza yale mambo nilikumbuka pia Maimuna alishawahi kuniambia kuwa baba yake siyo Shauma na nitakuja kuamini mbeleni. Hilo nilishaanza kuliamini hasa Rafiki yangu Mdete aliponiambia kuwa Mama yangu ni Mzima wala hajafa. Pia yale Maelezo ya yule binti naye yalizidi kunishangaza sana. Ila kitu ambacho kilikuwa kinanishangaza kila nilipokuwa nawaza yale Maneno nilikuwa najisikia Furaha vile. Yani badala ya kuogopa au kuwa na wasiwasi nilikuwa nipo kawaida tu ingawa nilikuwa natambua kama hivi vitu siyo vizuri. "Pole Sana shemeji kwani ni vitu vya kawaida tu ingawa vinaumiza. Unajua katika Dunia ya Sasa ni vigumu sana kuweza kumtambua Mwanaume wenye Mapenzi ya Dhati. Mimi nadhani katika mtihani Mkubwa ambaye Mwenyezimungu alituumbia na kutuficha ulikuwa ni huu. Unafikili kama Munge asingeweka Huu Mtihani kungekuwa na Mwanamke au mwanaume ambaye angepatwa na hili jambo. Alafu Shemeji nataka nikuulize Hivi wewe umefuatana na Maimuna Kuzaliwa au ulipozaliwa wewe akafuatia Mtu mwingine ndio akaja Maimuna"Nilimweleza Shemeji yangu kisha nikabadili Mada maana nilikuwa na Hamu ya kutaka kujua ni kweli Maimuna na Yule Bint ni Ndugu. Kama Ningegundua kuwa ni Ndugu basi ningeamini kuwa Baba yake na Maimuna alikuwa ni Shauma hata Mama yangu kweli atakuwa ametolewa Kafala huenda mimi Pamoja na Mdete tulikuwa Tunaona Mizimu tu. "Shemeji Maimuna mimi hatuna Undugu ila tunaitana tu Dada kwa kuwa Tumeka sehemu moja na Majirani Wakubwa. Yani Nyumba ya kina Maimuna na yetu milango imeangaliana kabsa hivyo Maimuna kwangu mimi ni kama Mdogo wangu na ukichukulia na Jinsi anavyoniheshimu"Alinijibu yule Binti. Kwa kweli Yale Maneno ya Shemeji yangu yalinifurahisha zaidi kwani Sikupata Jibu kama Baba yake na Maimuna ni Shauma au Yauma. Unajua ni bora mtu kuendelea kubashiri kuwa kitu flani kinaweza kuwa kizuri au kibaya kuliko kupata Jibu la Moja kwa moja. Tuliongea Maneno mengi Sana na Shemeji yangu huku nikiwa nampa Matumaini kuwa atapata tu mume Mwingine hatimae Hadi Muda wa kwenda kulala ulifika. Nilimuaga Shemeji yangu na Kumwambia kuwa Tutaonana kesho Asubuhi nikaondoka Kwenda kulala. "Mwanangu mbona unaniogopa mimi sijafa hivi ni nani ambaye amekudanganya kuwa nimekufa. Ndio maana kumbe sasa hivi hata Ukija nyumbani Hutaki hata kuuliza mama yukwapi" "Hapana mama wewe ulishakufa tena mimi mwenyewe nilikuua kama kafala ili mimi niweze kumuoa Maimuna sasa iweje uwe mzima": ilikuwa ni Ndoto ambayo ilinishitua toka Usingizini na kunifanya nipige kelele na kuamka Kitandani na kuanza kukimbia. Maana mama Yangu alikuwa ananisogelea kama anataka kunikumbatia. Kumbe Muda ule ilikuwa pameshakucha na ilikuwa Saa mbili kamili asubuhi. Sikutaka hata kurudi kitandani kulala wala kumuamsha Maimuna kumwelezea Juu ya ile Ndoto. Nilichofanya nilienda Bafuni nikaoga na kwenda Sebureni kuanza kuangalia vipindi mbalimbali kwenye Televisheni kusubilia Muda wa kuanza Safari yetu. Muda wa saa tatu na Dakika arobain na tano tayari tulikuwa Uwanja wa Taifa wa Mwalimu Juliasi Kambarage Nyerere tayari kwa kupanda pipa kuelekea South Afrika kwa Mzee Madiba. Saa nne kamili ndio ndege ya Fly Emirates iliacha Ardhi ya Tanzania huku ndani yake Maimuna na mimi tukiwepo. Kwangu kwa kweli ilikuwa ni hara ya aina yake maana ukoo mzima tangia Uanzishwe mimi ndio nilikuwa wakwanza kupanda Ndege.



    ******************************************* Kwa kweli nilishawahi kuwa na furaha mbalimbali katika maisha yangu ila ile Furaha ambayo nilikuwa naye wakati nikiwa kwenye shirika la ndege la Fly Emirates ilikuwa ya Aina yake. Ndani ya ile Ndege pembeni nilikuwa na Binti mzuri wa kijini ambaye mimi huwa namfananisha na Malaika Namba Sabini na Saba ambayo anashugulikia Masuala ya mapenzi Duniani. Hakuwa mwingine bali ni Maimuna ambaye nilitokea kumpenda zaidi. Ukiachana na vitu vingi Maimuna ambavyo alikuwa ananifanyia kama kunifanya kuwa tajiri, kumnunulia baba yangu gari pamoja na kumfungulia Rafiki yangu Mdete Duka bado Uzuri wake wa Sura ilikuwa ni zawadi tosha kwenye moyo wangu. Katika fikra zangu sikuweza kuwaza kama kuna binti atakuja kunishawisha kuja kutembea naye na kumsaliti Maimuna. Safari ndani ya Ndege ilikuwa imeendelea huku kila mmoja akiwa ameweka ear phone zake masikioni akiendelea kujiburudisha na mzika wa hapa na pale ilimradi safari yake iwe safi. Wakati nikiwa nakula Mziki nilihisi kama kuna mtu alikuwa ananitingisha. Nilijua moja kwa moja atakuwa Maimuna maana kwenye ndege kila mtu alikuwa kwenye kiti chake. Ilibidi nigeuke kumwangalia Maimuna. Kweli nilimkuta katoa Earphone zake na alionekana kuna kitu alikuwa anataka kuniambia. Mimi pia nilitoa head phone zangu masikioni ili Kumsikiliza maimuna alikuwa na kitu gani alikuwa anataka kuniambia. "Baby usiku uliota ndoto gani ambaye ilikushitua sana alafu hukutaka kuniambia"Aliongea Maimuna huku akiwa ameniangalia Usoni. Kwa kweli yale maneno ya Maimuna yalinishitua sana. Niliwaza inakuwaje maimuna sasa hivi anakuwa anakijua hata kile ambacho nilikuwa nimekiota. Upande mwingine niliwaza labda wakati napiga kelele na kuamka kitandani nikikimbia Maimuna alikuwa ameshaamka. Ili kuhakikisha kama kweli maimuna anajua ile ndoto ambayo nimeota au aliniona tu wakati napiga kelele na kubashiri kuwa nilikuwa naota niliamua kumdanganya ile ndoto. "Kweli baby unajua nilipokuwa nimelala niliota kuwa wewe umekufa na tulikuwa tunakupeleka makaburini kukuzika. Hivyo niliposhituka ndio nilikuwa napiga makelele ya kuomba msaada"Nilimdanganya maimuna. Cha ajabu nilipomwambia vile maimuna yeye alibaki akiwa anacheka tu huku akiniangalia. "Baby kwa hiyo siku hizi na wewe unajifanya msanii siyo. Inamaana siku hizi utakuwa unanidanganya na mimi mpenzi wako siyo. Wewe si umeota mama yako alikuwa anakuambia kuwa usimuogope yeye hajafa. Alipotoka kukukumbatia ndio ulishituka na ulianza kukimbiaCHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/"Aliniambia Maimuna Maneno ambayo yalinifanya hadi nilisimama kwenye Ndege kitu ambacho kilikuwa hakiruhusiwi kwa Muda ule. Muhudumu Wa ndege alipoona vile alikuja kuniuliza kunatatizo gani mbon nimesimama ghafla. Nilimuelezea tu kuwa kiuono kimekufa ganzi hali iliyomfanya muhudumu kuanza kucheka. Maana alishangaa kumwambia vile kwa nini matako yasife ganzi iwe kiuno. Muhudumu aliponiacha na kuondoka mimi taratibu nilirudi kwenye kiti na kukaa huku nikiwa namshangaa maimuna aliwezaje kufahamu ile Ndoto ambayo nilikuwa nimeota. Maimuna yeye muda ule alikuwa amejifanya yupo busy anasoma gazeti huku akiwa ameniacha mimi pressure ikiwa ipo juu. "Hiyo haikuwa ndoto baby. Ni kweli mama yako alikuja usiku ila kile ambacho alikuwa anakuambia ni kinyume chake. Unajua kwenye ndoto ukiota flani kafa basi yule mtu ataishi miaka mingi sana. Hivyo hata ulivyoota mama yako anakuambia kuwa hajafa na usimuogope. Elewa alikuwa anamaanisha kuwa amekufa na umuogope"Aliniambia tena Maimuna maneno ambayo yalizidi kuniweka wakati mgumu sana. Furaha yote ambayo nilikuwa nayo iliyeyuka ghafla kama barafu imewekwa juani. Kama kawaida yake Maimuna alipogundua kuwa muda ule sina furaha aliweka mkono wake tena kichwani kwangu. Muda kama wa nusu dakika tangia alipoweka ule Mkono furaha yangu ilirudi kama kawaida. Yani ilikuwa kitu cha ajabu sana kitu ambacho maimuna ameniambia nilikuwa nakikumbuka ila sikuwa nahisi huzuni wowote zaidi ya furaha kuongezeka. Furaha yangu iliporejea sasa nilimlalia maimuna kifuani na kutulia. Sikumaliza hata dakika tano tangia nilale kwenye kifua cha Maimuna usingizi ulinipitia sikujua kile ambacho kilikuwa kimeendelea. Nilikuja kushitulia na sauti za muhudumu akitusihi abilia wote tufunge mikanda Kwani siyo muda ndege yetu itashuka kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa South Afrika. Niliamka Kwenye kifua ch Maimuna na kujifunga mkanda. Muda wa dakika kumi hivi tayari Ndege yetu ilishatua kwenye Uwanja wa Ndege wa South Afrika. Taratibu mimi na Mpenzi wangu Maimuna tulishuka kwenye ile Ndege na kuanza kuelekea Mapokezi. Tulipofika sehemu ya kupokelewa niliona vibao viwili wikiwa Juu vimeandikwa kapopo and Maimuna. Nilijua wale ndio wenyeji wetu nilimuonyesha Maimuna tukaenda wakatupokea na safari ya kutoka kwenye Uwanja Mzuri wa Ndege ilianza





     Kwa kweli ule Uwanja wa Ndege wa South Afrika ni uwanja ambae Umejengwa kisasa zaidi. Hata Mitambo ambayo ilikuwa inakagua begi zetu pamoja na sisi wenyewe ilikuwa ni Mitambo ambayo ilikuwa imetengenezwa kwa Technologia ya hali ya Juu sana. Baada ya kumaliza kugakuliwa tulitoka nje ya Uwanja wa Ndege wahusika wetu walipokea mabegi na kwenda hadi sehemu ambayo walipaki Gari tukapanda kisha Safari ya kuelekea sehemu ambayo nilikuwa siitambui ilianza. Kupitia vio vya gari macho yangu yalikuwa yanatarizi kwenye jiji Tamu La South Afrika. Kwa kweli Kama kuna mtu anamipango ya kwenda South hebu afanye haraka aende maana Ukifika South Afrika itakuwa kama Umefika kwenye Nchi mojawapo ulaya. Kwani South Afrika ni nchi mojawapo ambayo imeendelea sana. Hata vitu vingi ambavyo vinapatikana Ulaya Na South afrika vipo. "Jamani karibu sana South afrika tena Mwambia na Shemeji yangu asiwe na wasiwasi kabsa. Unajua niliposikia harusi yako nilitamani sana kuja ila sema Matatitizo ya hapa na pale yalinikwamisha. Ila namshukuru mungu nimekuona leo tena Uzuri zaidi upo na shemeji yangu kile ambacho nilitaka kuja kukufanyia huko nitakufanyia huku"Aliongea binti Mmoja ambaye alikuwa amechangamka sana tangia alipotupokea. Cha ajabu nilitegemea huenda yule binti angeongea hata kizuru au lugha yeyote ambayo ilikuwa ngeni kwangu lakini cha ajabu aliongea kiswahili tu. Pia kwa jinsi tu alivyokuwa anaongea moja kwa moja nilibain hata yeye alikuwa jini. Hapo ndio niliamini hapa duniani Majini yapo kila sehemu tena cha ajabu zaidi hata majini yanamuabudu mungu. Yule binti alikuwa ni mzuri sana ila sikumshangaa sana kwani nilishakutana na wanawake wazuri wa kijini hadi nilishazoea. Wao walikuwa wameendelea na Maongezi ya hapa na pale lakini mimi niliendelea kuyafurahisha macho yangu kwenye jiji safi la South Afrika. Tulikaa South Afrika Siku kama mbili hivi tukila raha za hapa na pale. kisha Siku ya tatu tulikuwa ndani ya Sherika la ndege aina Ya QUTAR kwa safari ya kuelekea Saud Arabia. Muda wote nilionekana mtu mwenye furaha tu. Kwani katika Maisha yangu sikuwahi hata kuotoa kama nitakuja kupata raha kama hizi. Ila kupitia kumuoa Maimuna ndio nilikuwa napata raha kama hizi. Kwa kweli nilitokea kumpenda Maimuna na kumuhaidi kamwe mimi na yeye hatutakuja kutengana. Hata alivyoniambia kuwa natakiwa kuwa makini nisije kutembea na Mwanamke wa aina yeyote yule ule mimi kwangu ulikuwa mtihani rahisi sana kwani sikuona Mwanamke ambaye angenishawishi hadi kutembea naye. Wakati kila kitu ambacho nilikuwa nakitaka nilikuwa nakipata kutoka kwa Maimuna. Kutoka South Afrika hadi kufika Soud Arabia tulitumia kama Muda wa saa kumi hivi. Tulipofika kule tulishuka na kupokelewa na Mwenyeji wetu ambaye alikuwa wa kiume. Nilipomchunguza kwa Makini nilibaini huenda yule atakuwa ndio Mume wake na Mdogo wake na Peninna Yusira. Safari ya kutoka Saud arabia kwenye Uwanja wa Ndege ilianza huku tukiwa ndani ya gari nyingine matata sana. Yani kile sehemu ambayo nilikuwa naenda na Maimuna watu ambae walikuja kutupokea walikuwa hawalii Njaa ukifika kwao palikuwa pazuri sana. Muda kama wa dakika kumi na tano tayari gari yetu ilikuwa imepaki kwenye geti kali na nyumba ya aina yake ilikuwa inaonekana. Muda ule ilikuwa kama kwenye saa kumi hivi jioni. Gate lilifunguliwa na gari ilizama hadi ndani. Tulishuka kwenye gari na kuanza kuelekea ndani. Mimi sikuacha kuendelea kushangaa tena maana ile nyumba ndio ilikuwa nzuri zaidi kuliko hata ile ya Tz ambayo nilipofika nilihisi nipo ulaya. Tulipoingia ndani kwa kweli kuna binti ambaye ni vigumu binadamu wa kawaida kuelezea uzuri wake na watu wakapata picha alimkimbilia Maimuna huku akimwita dada na kumkubatia. Kwa kweli nimeshawahi kuona wanawake wazuri kama kwenye tamthilia za kikolea na wanasinii mbalimbali. Nishawahi kumuona binti mzuri kama kim nana aliyecheza tamthilia ya city hunter, nilishawahi kumuona Binti mzuri kama Mockdone alicheza tamthilia ya Bridal Mask, nilishawahi kumuona binti mzuri kama So enhe alicheza tamthilia ya two weeks, shawahi kumuona mwanadada mkali yeon alicheza the wind of land kingdom of jumong lakini yule binti wa kijini ambaye alikuwa amememkimbilia Maimuna alikuwa mzuri hadi kero.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ******-*-*--**---*--*************************** Kwa kweli yule Mdogo wake na Maimuna ambaye alikuwa Anajulikana kwa jina La Yusira alikuwa Mzuri wa kupindukia. Kupitia Maimuna na Mdogo wake Yusira hapo ndio nilianza Kuamini Maneno ya Watu waliokuwa wanasema wewe jini nini kila walipokuwa wanamuona Mwanamke Mzuri. Muda wote wakati Maimuna na Mdogo wake Yusira wanakumbatiana mimi macho yote nilikuwa Nimemkodolea Yusira huku nikizidi kumshangaa kwa jinsi alivyokuwa Mrembo. Baada ya Yusira kulizika kukumbatiana na Dada yake Maimuna nilimuona akija kwangu Huku akisema Waooooo shemeji. Ile hali ya Kumuona Yusira akiwa anakuja Kwangu huku akiwa amepanu mikono yake Kuja kunikumbatia ilinifanya nianze kutetemeka. Moyoni nilikuwa siamini na nilikuwa sijiamini kama ninauwezo wa kumkumbatia Mbinti kama Yule. Wakati nikiwa naendelea kushangaa huku nikiwa natetemeka Tayari Yusira alishanifikia na kunikumbatia huku akinipiga Mabusu yasiyokuwa na idadi. Ile perfume ya Yusira ambayo alikuwa amejiupulizia kwa kweli ilikuwa ya aina yake. Tangia nizaliwe sikuwahi kuhisi wala kuwaza kama Nitakuja kukutana na Perfume ambaye ilikuwa na harufu nzuri kama ile. Kitendo cha Maimuna kunikumbatia nilikutana na mwili wake ambao ulikuwa na Joto zuri sana humu kila sehemu ambayo nilikuwa naigusa alikuwa malain utafikilia udongo wa bugani. Kwa kweli ile hali Yusira kuendelea kunikumbatia kwa muda kama wa dakika moja ilifanya sehemu zangu za siri kuanza kuwaza mambo Mengine. Kama Isingekuwa nimevaa Boksa ambayo ilikuwa imebana vizuri mwanaume wangu ningeumbuka. Baada ya kupewa Mabusu mengi na kukumbatia kwa muda kama wa dakika Moja na Sekunde Kadhaa Yusira aliniachia. Hata yusira aliponiachia na kuondoka kwenye Mwili wangu Bado harufu nzuri ya Yusira ilendelea kutanda kwenye pua yangu. Yani kitendo ch kunikumbatia harufu nzuri ya Yusira ilihamia na kwangu. Tukikaribishwa ndani kwa furaha ya hali ya juu sana. Yusira yeye Muda wote alikuwa mtu wa furaha huku akimpongeza Mdogo wake kwa kunipeleka kule. "Kwa kweli Dada yangu umechagua mwanaume mzuri sana hongera kwa hilo. Hivi shemeji huna Mdogo wako ambae na mimi atanioa"Aliniuliza Maneno haya Yusira hali iliyomfanya Maimuna kuanza kucheka. "Yupo ila Mdogo sana sizani kama atakuwa saizi yako. Labda kama Unamdogo wako ndio ataendana naye ila siyo wewe. Alafu mbona nafikili kama umeolewa kwani yule ambaye amekupokea siyo shemeji yangu"Nilimwambia Yusira na Swaga kuzidi Kunoga. "Hapana shemeji yule ni mlinzi wangu wa hapa ndani wala siyo mume wangu mimi bado sijaolewa kabsaa natafuta mwanaume binadamu na mzuri kama wewe" aliongea yusira na kunifanya nizidi kucheka. Maisha yaliendelea Saud arabia huku nikitembelea sehemu mbalimbali ili mradi kufahamu sehemu nyingi. Nakumbuka ilikuwa siku ya Juma pili asubuhi ambayo kimvua cha Lasha lasha kilikuwa kinanyesha. Siku hiyo nakumbuka ndio ilikuwa siku ya Mwisho mimi na Mpenzi wangu kukaa Saud Arabia. Asubuh muda kama wa Saa nne hivi mpenzi Wangu Maimuna aliamka na kuniaga kuwa anenda kukata tiketi kwa ajili ya Safari ya kesho. Nilitaka kumsindikiza Mpenzi wangu lakini aliniambia nisiwe na Wasiwasi yeye ataenda na mfanyakazi wa Yusira hivyo mimi niendelee tu kulala. Kwa kweli yale maneno ya Maimuna yalinifurahisha zaidi kwani Usiku nilikuwa nimechelewa kulala nilikuwa naangalia Tamthilia ya GO FAMILY BOOK iliyochezwa na wakali kama kina Gon, kang chi , Madam yeonwa na Wengine kibao. Baada ya Maimuna kuniambia niendelee kulala nilirudi kitandani Nikajifunika Blenket yangu huku Haed phone zikiwa Masikio zikiniburudisha ili kuweza kuutafuta usingizi tena. Nilisikiliza Wimbo wa Kwanza wa Celina Dion My heart will Go On hadi nikamaliza kisha Uliingia Wimbo wa Whitiney houston all at Once. Kwa kweli ule wimbo nilikuwa naupenda Zaidi kupita maelezo. Ule wimbo wakati Ukiwa unaimbwa ulinifanya hadi Usingizi ulikatika na kunilazimsha nipanue Mdomo wangu kuanza kuufatisha kadri nilivyokuwa naimba Ule wimbo ndio nilikuwa napandisha Sauti. Wakati nikiwa nimenogewa zaidi kufatisha wimbo nilishangaa kama mtu kwa nyumba akiwa ananitingisha. Ilibidi nijifunukie blanketi yangu huku nikizani Huenda Maimuna amesahau kitu amerudia. Nilipomwangalia yule mtu ambaye alikuwa ananitekenya kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa alikuwa ni yusira huku akiwa kwenye vazi la gauni ya kulalia tu huku paja lake lote nzuri lenye thamanili ya milioni mia nane na saba paund laki tisa na elfu kumi na ushenzi ilikiwa nje





    Kwa kweli kitendo cha mlango kugongwa kilinishitua Sana na kupelekea kumsukuma Yusira na kuanguka pembeni. Siyo mimi tu ambaye nilikuwa nimeshituka Hata Yusira alikuwa anatetemeka mbaya. Moja kwa moja niligundua kama tulikuwa kwenye hatari na Maimuna alikuwa Ameshafika. Wakati mimi nikiwa natafakari nilimuona Yusira akiondoka mbio na kwenda kuingia bafuni maana kile chumba kilikuwa self conteina. Hali ya kumuona hadi Yusira ambaye alikuwa mwenye nyumba akikimbilia bafuni kilinishitua sana. Nilijua hapa kweli mtihani ambae nilikuwa nae ulikuwa wa hatari. Nilihisi labda Yusira alikuwa ananidanganya tu kuwa maimu asingetuona kumbe tulikuwa tunaonekana. Upande mwingine nilianza kujilaumu kwa nini nilikuwa nafanya vile si bora ningekataa bila kukumbuka kuwa hata kukubali nilikubali bila ya mimi kujielewa. Haraka haraka nilichukua Gauni ya Yusira ambayo aliacha pale chini na kuiweka Pembeni. Yani kwa jinsi ambavyo nilichanganyikiwa hata ile gauni sikuificha bali nilihamisha tu pale ilipokuwa na kuisogeza pembeni kidogo. Nilichukua shuka nikajifunika huku nikiwa natetemeka na kuelekea kufungua Mlango. Nilienda hadi mlangoni na kwenda kufungua cha ajabu nilishangaa kumuona alikuwa Bekitatu wa ndani. "Samahani shemeji yangu kwa kukuamsha asubuhi hii nilikuwa nakwambia kuwa chai tayari amka ukanywe maana nahisi kama umechelewa hivi"Aliongea yule binti huku naye akiwa ananiangalia kwa kwa macho ya kuonekana alikuwa na kitu cha kuniambia. Ilibidi nikubali huku nikitaka kufunga Mlango lakini cha ajabu yule bekitatu aliuzuia. "Shemeji mbona hii gauni ya kulalia alikuwa amevaa boss wangu alafu ipo chini hivi. Inaonekana kuna kitu umefanya na shemeji yako siyo. Sasa naomba na mimi unipe kama hutanipa lazima nitamwambia mke wako"Aliongea yule bekitatu huku akinisukuma na kuingia ndani. Kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa hawa watu walikuwa wamelogwa au vipi mbona walikuwa wanafanya vitu ambavyo vilikuwa havieleweki. " Maisori Umechoka kufanya kazi siyo, nahisi unataka kurudi kwenu Tanzania siyo. Sasa hivi kumbe ndio unanipanda kichwani hivi. Kwa hiyo hukuja kumwamsha shemeji yako kwenda kunywa chai ila ulitaka kuja kuchunguza ambacho alikuwa anafanya na wewe kutaka kufanya mapenzi naye siyo. Sasa nakuomba potea kwenye chumba hiki kabla majini yangu hayajapanda"Hata kabla sijamwambia kitu yule binti sauti ya Yusira kwa nyuma yangu ilisikika. Ile sauti tu ilimfanya yule binti wa watu kutoka nduki chumbani kwangu. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Kwa kweli yale Maneno ya Yusira yalizidi kunichekesha tu maana yeye mwenyewe jini sasa majini gani yalikuwa hayajapanda. "Yusira bwana wewe Mwenyewe jini sasa majini Gani unasubilia yapande"Nilimwambia yusira huku nikiwa nacheka. "Huyu mtoto mpumbavu kweli katuachisha Starehe zetu bure. Haya twende Mwaya tucheze mechi yetu ingawa hatuta cheza dakika zote maana tupo nyuma na Muda"Aliongea Yusira maneno ambayo yalinifanya nianze kumshangaa. Inamaana pamoja na kuponewa kukamatwa bado Yusira alikuwa anataka tufanye tu mapenzi. "Yusira acha utani wako bwana huu mchezo wa hatari sana naomba tuache kabsa. Hivi hukumbuki kama sasa hivi tu umetoka nduki kwenda kujificha bafuni alafu bado tena unataka tuendelee kwa nini tusiache tu kabsa. Kwa kweli mimi sipo tayari tena labda tafuta siku nyingine"Nilimwambia Yusira. "Siku nyingine ipi wakati kesho mnaondoka. Leo mtakuwa busy sana kwa ajili ya kununua vitu mbalimbali ambavyo mtapeleka Tanzania hivyo hututapata Muda. Ninachotaka ni sasa hivi unichokonoe maana nawashwa mbaya"Aliongea Yusira na kunifuata kwa kasi na kuja kunishika. Kama ilivyokuwa amefanya Mwanzo aliponishika tu Yusira mawazo yote kuhusu hiki kitu ambacho nilikuwa nakifanya ni cha hatari yaliisha na kuanza kusikia tu raha ya hali ya juu. Yusira alinikokota taratibu na kwenda kunipigiza kitandani kisha alinivua bukta yangu pamoja na boksa na kubaki kama nilivyozaliwa. Baada ya kumaliza kunivua na yeye alivua chupi yake na kubaki uchi tayari kwa soka kuanza kupigwa.



    +++++++++++++++++++++++++++++++++++ Kitendo cha Yusira kuvua na yeye chupi yake kisha kubaki kama alivyozaliwa kilinifanya ndio nilizidi kusisimka zaidi. Hamu ya ajabu ya ngono ambayo tangia nizaliwa sikuwahi kuona ilinijia. Yani nilikuwa na Mzuka wa ngono hadi mwili Mzima ulikuwa unatetemeka. Kwa kweli sikuweza kuelewa kwa nini nilikuwa na hali kama ile maana kama mapenzi nilikuwa nafanya Sana na Maimuna. Ila cha ajabu mzuka ambae nilikuwa nao ulikuwa unatisha utafikili sikuwahi kufanya mapenzi tangia nizaliwe. Baada ya Yusira kuvua chupi yake taratibu alikuja kunilalia kwa juu ya kifua changu ile hali ilifanya matiti yake makubwa ambayo yalikuwa yamejazia vizuri kukitomasa kifua changu. Kitendo cha matiti tu kunitomasa nilibaki nikiwa natetemeka zaidi huku nikianza kuhema kwa kasi ya ajabu utafikilia Punda ambaye alibebeshwa gunia mbili za uwele. Maimuna aliponilalia hakutaka kuchelewesha muda aliamka tena kidogo akaishika mashine yangu na Kuilengesha kwenye tunda lake ambalo lilikuwa limevimba na lenyewe kwa mzuka wa ngono kisha alikalia. Alipokalia Mshine yangu iliingia kama Mwimba unamchoma mtu kwenye mguu. Kwa kweli ile style ya kuingiza mashine yangu kwenye tunda la Yusira ilinifanya kusikia utamu hadi nilijikuta napiga kelele ambazo zilimjulisha Yusira kuwa nilikuwa nasikia utamu wa hali ya juu sana. Kwa kweli penzi Ambalo alikuwa ananipa yusira lilinifanya hata kumbukumbu kuwa nilikuwa na mpenzi wangu Maimuna ilipotea kabsa. Yusira alikuwa anazungusha kiuno kisha anabana tunda lake hali iliyonifanya nisikie raha ya kufa mtu. Nilibaki nikiwa naongea tu maneno ambayo hata mimi nilikuwa siyaelewi. Yusira aliendelea kujihudumia kwa kuongoza yeye kunyanyua kiuono chake juu kisha anarudisha kwa kasi chini hali iliyonifanya nizidi kusikia Utamu zaidi. "Yusira naitaji kukuoa, nahitaji kukuoa wewe tafadhari unanipa utamu ambaye sijwahi kuuona"Nilijikuta naongea haya maneno kwa shida sana huku nikiendelea kuhenyeshwa na Yusira. Yusira aliendelea kunipa utamu hatimae nilisikia kitu kinatema kama masai anatema maji aliyesukutua kutoka mdomoni. Uzuri hata yeye tayari alishafika cha kwanza maana mzuka wake ulikuwa unatisha. Nipomwaga cha kwanza ndio kumbukumbu zilirudi tena kuwa nilikuwa mume wa mtu. Yusira yeye baada tu ya kumaliza kujihudumia alishuka haraka kitandi na kwenda kuchukua Gauni yake akavaa na kuondoka chumbani kwa kasi sana. Hapo kweli ilinifanya kuamini yusira alikuwa anamuogopa sana dada yake maimuna. Mimi naye nilijua Maimuna akija atakuja kugundua kama kuna kitu kilifanyika.nilichofanya nilenda hadi bafuni maana bafu ilikuwepo ndani ya kile chumba na kuanza kuoga. Wakati nikiwa naendelea na kuoga kuna mtu alikuja kunikumbatia kwa nyuma. Nilipogeuka kuangalia nani huku nikiwa nafikili labda Yusira karudi nilibaki nikiwa nashangaa nilipomuona alikuwa muhudumu wa ndani ambayo siyo muda alikuwa amefukuzwa na Yusira. "Niambie unaona kipi kizuri kwako, unipe na mimi utamu kama ulivyompa boss wangu, au nije nimwambie maimuna wewe akuache na mimi nifukuzwe kazi na Yusira"Aliongea yule Mfanyakazi wa ndani huku tayari kabsa yeye nguo alishavua chumbani kwangu hivyo bafuni alikuwa ameingia uchi wa mnyama.



     Kwa kweli ile sauti ambayo Maimuna alitumia kuniulizia kwa nini nimemsaliti moja kwa moja nilibaini kuwa haikuwa ya kawaida. Niligundua siyo muda chochote kinaweza kutokea kibaya kwangu. Kweli upande mwingine nilikuwa naumia sana kwani hakuna ambacho nilikuwa nakikosa kwa Maimuna. Ila haikuwa lengo langu mimi kulala na yusira au yule bekitatu. Yusira alitumia nguvu za kijini na kulala naye huyu naye binti alitumia nguvu zake kuweza kunicontrol. Nilifikilia ni neno gani ambalo nitumie kumwambia Maimuna ili kuweza kumpunguzia hasira na kunielewa lakini kila neno nilihisi nikimwambia nitakuwa Namuongezea hasira zaidi. "Maimuna naomba niue, tafadhari niue kwa kukusaliti. Japo siyo moyo wangu umekusaliti ni mwili. Sijakusaliti kutoka kwenye moyo wangu maimuna bali nimelazimishwa. Kwa kweli hakuna Mwanamke ambaye nakupenda kama wewe Maimuna ili nilibidi nifanye hivyo kwa kulazimishwa. Kwa kweli Mdogo wako mimi sijafanya naye mapenzi kabsa ingawa alikuwa ananitaka ila binti huyu mfanyakazi tumefanya naye ingawa kwa kuniforce"Nilimwambia Maimuna huku nikiwa nalia kabsa. Nilimficha kwa Mdogo wake kwani nilikuwa najua hana uhakika kama tumefanya naye mapenzi. Kwani yusira alisema nikifanya mapenzi na binadamu wa kawaida ndio maimuna atajua ila kama nimefanya mapenzi na Jini basi kamwe Maimuna hawezi kujua. Hilo hata mimi niliweza kubaini maana kwenye kile kioo ambacho nilikuwa naangalia Maimuna alichonipa sikuweza kuona tukio lolote kuhusu mimi na Yusira hivyo nilikuwa na uwezo mkubwa wa kulipinga. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/"Acha kunidanganya mimi inamaana unataka kuniambia huyu binti atakusingizia au. Kuna maneno mengine umeongea inadhirisha kabsa kama umefanya mapenzi na mdogo wangu. Mbona binti kasema amekuona kwa macho yake ukifanya mapenzi na Yusira"Aliongea Maimuna kwa hasira zaidi. "Baby naomba uniamini hichi ambacho nakiongea. Please naomba uniadhibu kwa kosa la kufanya mapenzi na huyu binti wa kazi na siyo Mdogo wako. Ninachokiongea ni ukweli wa Mungu sijafanya mapenzi na mdogo wako. Kweli alikuwa anataka hivyo ila nilipomuelewesha vizuri na kumuwekea ngumu kuwa mimi ni mume wa mtu tena dada yake alinielewa"Nilimwambia tena Maimuna huku nikiapa kwa jina la Mungu wakati nilichokuwa nakiongea kilikuwa siyo cha ukweli. Upande mwingine wa moyo wangu uliumia Sana kusubutu kudanganya kwa jina la mungu. Sikuwa na jinsi zaidi ya kutumia njia hiyo ili kuweza kuyaokoa maisha yangu. Nilipomuleza vile Maimuna aliniangalia kwa jicho kali na kuondoka kwa Kasi kuelekea Bafuni. Kwa kweli hapo ndipo moyo ulipowaka moto maana angemkuta yule binti akiwa uchi na hata angemthibitishia kama mimi nimetembea na Yusira. Niliamua kuweka na mimi kile kioo kitandani ili nimfuate Maimuna nikasaidie kupinga kwa kile ambacho atakiongea yule binti kama anahitaji kuthibitisha kuwa Mimi sikuwa nimefanya mapenzi na Yusira. Nilipoweka kile kioo kitandani cha ajabu nilishangaa kinapotea ghafla sikuweza kujua kile kioo kimeenda wapi. Ila hali wala haikunishangaza maana tayari yale maisha nilishayazoe. Wakati nikiwa najiandaa na mimi kuondoka kuelekea bafuni ambako alikuwepo maimuna niliona Mlango wa chumba changu kama unafunguliwa taratibu hivi. Ilibidi nisubilie kwanza niangalie ni nani ambaye alikuwa anakuja chumbani kwangu kwa kunasa vile. Mlango ulipofunguliwa nilishangaa kumuona Yusira akiwa amejifunga tauro tu huku mipaja yake yote ikiwa nje. "Shemeji kwa kweli unapenzi tamu sana yani kwa kweli nimechanganyikiwa mbaya. Tafadhari naomba nikune kidogo kabla Maimuna hajarudi. Nakuhaidi tutatumia dakika mbili tu mpenzi"Aliongea Yusira kisha alitupa Taulo lake chini na kubaki kama alivyo zaliwa. Kwa kweli kile kitendo kilifanya nishituke hadi nilijamba. Kwani Maimuna alikuwa yupo bafuni na siyo muda angelitoka na Kumkuta mdogo wake akiwa uchi ile hali ingemfanya kuamini kuwa natembea na Yusira. Kwa kweli kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka kwa Woga hata kumwambia Yusira kuwa Maimuna yupo bafuni amesharudi nilishindwa. Nilibaki nikiwa nanyoosha mikono bafuni huku nikiwa natetemeka. Hapo kweli niliamini muonja hasari hawezi onya mara moja. Wakati nikiwa natetemeka hapo huku nikijitaidi kutaka kutamka kuwa Maimuna amesharudi niliona kama mlango wa bafuni ukiwa unafunguliwa na mtu alikuwa anatoka.

    ********************************************** Kwa kweli nilipoona Mlango wa Bafuni ukifunguliwa nilianza kutetemeka hadi Kidogo mikojo initoke. Nilikuwa na Uhakika ambaye angetoka Bafuni mle lazima Angekuwa Maimuna na kumkuta Yusira akiwa uchi wa Mnyama chumbani kwangu sijui ningekuwa kwenye hali gani. Wakati nikiwa natetemeka pale yule mtu ambaye alikuwa anafungua mlango. Hakuwa Mwingine bali alikuwa ni bekitatu. Yule binti alipotoka bafuni na Kumkuta Boss wake naye yupo uchi alibaki akishangaa. "Kumbe ndio hichi Shemeji kimekufanya ushindwe kunipa penzi siyo. Shemeji kwa hiyo umeamua hadi kutembea na Mfanyakazi wangu siyo. Hivi hukusikia kama nilikwambia kuwa Maimuna atakuona kila kitu ambacho utakuwa unakifanya"Aliongea Yusira kwa sauti huku akimfuata yule binti ambaye bado alikuwa Amesimama akitetemeka huku akiwa anamshangaa Yusira. Hata Yule binti naye alipomuona Yusira akimsogelea alishindwa hata kuongea zaidi ya kugeuka na kumuonyesha Yusira kwa inshaara kama ndani kulikuwa na Maimuna. Cha ajabu yusira alizani anadanganywa na yule binti alimfuata na kwenda kumtandika kibao kikali sana yule mwanamke. "Boss wangu mimi nakuheshimu sana utakuja kunipiga tu hadi utosheke. Ila nakuomba sasa hivi ondoka hapa Maimuna yupo bafuni na ameniambia nitoke nimsubilie hapa. Dada yangu siyo vizuri kama Maimuna atakukuta hapa kwani unatanisababishia matatizo zaidi kwani mimi nimekutetea kule kuwa hujafanya mapenzi na Shemeji yako. Unajua kabla hatujafanya mapenzi na Kapopo nilikuwa nimemtishia kuwa nimewaona mnafanya mapenzi na wewe ili anipe na mimi penzi. Kumbe yale maneno niliyokuwa naongea maimuna alikuwa anayasikia. Alafu boss wangu kumbe siku zote tunaishi na wewe hujawahi kuniambia kuwa wewe ni jini. Unafikili kama ungelikuwa umenieleza hivi ningethubutu hata kutembea na kapopo. Vitu vyote ambavyo tumefanya na kapopo Maimuna amenionyesha kwenye kiganja chake cha mkono"Alijitaidi kuongea yule binti huku akiwa anatetemeka. Licha ya kuongea yale maneno yule binti bado CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Yusira alikuwa Mgumu kuelewa bado alizani labda yule binti alitaka kumchezea mchezo. Huku nikiwa natetemeka niliondoka hadi sehemu ambayo ilikuwepo tauro ya Yusira nilichukua na kwenda kumpa ajifunge. "Unaniletea tauro ili niondoke alafu ufanya mapenzi na huyu kahaba siyo sasa leo nitamuonyesha mimi nani. Umemfundisha kila kitu na kumwambia kuwa mimi ni jini ili mfanye mapenzi siyo. Umempa na mbinu za kumwambia kuwa Maimuna atawaona wakati mnafanya mapenzi ili niamini. Hivi unafikili mimi taira sana nitadanganyika kirahisi hivyo."Aliongea Yusira kisha alianza kumtandika mabanzi yule binti. Kwa kweli nilibaki nikiwa namshangaa Yusira kwa nini alikuwa Mgumu wa kuelewa namna ile. Yani pamoja na kuambiwa vitu vyote na yule binti hakutaka kuamini kuwa yule binti alikuwa anaongea ukweli. Wakati akiendelea kumtandika ghafla mlango wa bafuni ulianza kutingishwa huku sauti kwa mbali ya Maimuna ilikuwa ikiniita nimfungulie. Kumbe wakati yule binti alipotoka bafuni alimfungia maimuna ndani. Kitendo cha Mlango kutikiswa pamoja na ile Sauti iliyokuwa inasika kwa umbali ndio ilimfanya Yusira kushituka na Kumuacha kumpiga yule binti. Kwa kasi ya ajabu nilimuona yusira akiondoka mle chumbani. Baada ya Yusira Kuondoka yule binti naye alienda akachukua gauni lake akavaa na kwenda kufungua mlango bafuni na Maimuna alitoka. "Inamaana wewe binti baada ya kukwambia naoga ndio uliamua kunifungia na kuendelea kufanya mapenzi na Mume wangu siyo. Alafu usiseme nimekusamehe nahitaji uniambie ni kweli wewe umemuona Mdogo wangu akifanya mapenzi na Mume wangu. Ukipindisha tu maneno nakuua maana wewe mimi nimekuona kila kitu ukimwambia Mume wangu"Aliongea Maimuna mara tu baada ya kutoka bafuni. Kwa kweli mimi nilibaki nikiwa natetemeka huku nikiwa namuomba yule binti kamwe asiogope vitisho aseme tu kuwa sijafanya mapenzi na yusira. "Dada kwa kweli mimi siwezi kukudanganya, kile ambacho nimekiongea bafuni ndicho cha ukweli naomba uniamini. Yule mimi ni boss wangu sawa kama kafanya kitu kibaya siwezi kumtetea. Kwa kweli boss wangu hajafanya mapenzi na mume wako. Yale maneno ambayo uliyasikia nikayaongea nilikuwa nimetumia tu ili kuweza kumpata Mume wako"Aliongea yule binti. Kwa kweli moyoni nilianza kufurahi kidogo kwa yule binti kuongea hivyo. "Ok sasa nataka uniambie kwa nini umethubutu kufanya mapenzi na Mume wangu. Inamaana unataka kuniambia Hii Saudi Arabia hujaona Waarabu wote hadi umemfakamia mume Wangu. Nataka uniambie ukweli kwa nini umefanya mapenzi na Mume wangu. Ukiongea ukweli mimi sitakuua ila huyu Mbwa lazima nimuue"Aliongea tena Maimuna.





     Kwa kweli yale maneno ya Maimuna kusema kuwa lazima aniue huku akiniita mimi mbwa kwa muda ule yalinishitua sana. "Dada yangu tafadhari naomba usimuue kapopo kwani mwenye makosa ni mimi. Mimi ndio niliyomlazimisha Kapopo hadi akafanya kitu hicho. Hivyo naomba kama Adhabu nipewe mimi. Kama kuuawa naomba uniue mimi na wala siyo kapopo. Kwani kapopo anakupenda sana ila nilitumia ubabe wangu hadi kufikia hatua ya kufanya nae mapenzi"Aliongea yule binti kumwambia Maimuna. Maimuna alimwangalia yule binti kwa jicho kali sana hadi mimi nilianza kuogopa kwa kweli. "Inamaana wewe ndio kiboko wa kutembea na wanaume wa watu kwa lazima. Niambie ni kitu gani ambacho kimekufanya hadi kutembea na mume wangu tafadhari naomba fanya haraka" aliongea tena maimuna kumwambia yule binti. "Kwa kweli kilichonifanya mimi kutembea na mume wako ni hisia za mapenzi tuu juu yake. Kwa kweli hata mimi sijui hizi hisia zilikuwa zimetokea wapi nilijikuta tu natamani kulala na huyu kijana. Pia dada humu mdogo wako kanibana sana yani tangia nije humu sijawahi kutoka hata ndani. Muda wote mimi mtu wa ndani tu hata mwanaume simjui wakati nilipokuwa nyumbani nilikuwa nipo open sana. Hivyo kitendo cha kumuona huyu kijana kwa kweli hisia kali za mapenzi zilinipanda na kujikuta namlazimisha kufanya kitu ambacho hata yeye hakutegemea"Aliongea yule binti maneno huku machozi yakiwa yanamtoka. Wakati maimuna akiwa ametulia kufikilia amfanye nini yule binti mlango wa chumba ambacho tulikuwepo ulifunguliwa na Yusira aliingia. "Kuna nini dada yangu mbona mfanyakazi huyu yupo chumbani kwako alafu analia kuna usalama kweli"Aliuliza Yusira huku akijifanya kushangaa kama alikuwa hajui kile ambacho kilikuwa kinaendelea. Nilimwangalia Yusira kwa jicho kali sana na lenye hasira ndani yake kwani yeye ndio alikuwa msababishaji wa mambo yote. Kwa kweli wakati nikiwa nimemwangalia Yusira kuna kitu cha ajabu sana nilikiona. Wakati nikiwa nimemwangalia Yusira kwa hasira cha ajabu kila nilipokuwa namwangalia hasira zilikuwa zinapungua na hamu ya ngono juu yake ilikuwa inanijia. Hadi dakika tano zinamalizika tayari sikuwa na hasira yeyote na Yusira zaidi ya hisia kali ya kimapenzi ilinijia na kusababisha hadi sehemu zangu za siri zilisimama. "Hivi mdogo wangu hawa wafanyakazi mnatoa wapi ambao hawana aibu wanasubutu hata kutembea na mwanaume wa mtu. Alafu mdogo wangu kwa nini pia mtu mzima kama huyu unambana hivi hadi anatuchukulia wanaume wetu. Kwa nini usiwe unamwachia awe huru siku zingine"Aliongea Maimuna kisha Yusira alijifanya kushituka sana kama alikuwa hajui kabsa. "Dada inamaana unataka kuniambia huyu Christina amefanya mapenzi na mume wako siyo. Kama amefanya mapenzi na mke wako kwa nini unamuacha akiwa salama lazima tumuue"Aliongea Yusira maneno ambayo yalinifanya nishituke. Cha ajabu baada ya kuongea yale maneno Yusira alianza kubadilika taratibu na kuwa na sura ya kutisha sana. Mdomoni meno yake mazuri na meupe ambayo yalikuwa yamepanga kwa ustadi wa hali ya juu yalikuwa hayaonekani tena bali zilikuwa zinaonekana damu zikitoka huku meno manne marefu yakiwa yametokezea. Meno mawili yalikuwa yapo chini na mawili mengine yalikuwa yapo juu. Kwa kweli Yusira alikuwa anatisha mbaya kuliko hata siku zile ambazo nilimuona Maimuna katika hali yake ya kijini. Yusira nywele zake nzuri kichwani ambazo zilikuwa zimemwagika Mgongoni ilikuwa hakuna tena zaidi kichwani alikuwa na Masikio marefu kama ya punda huku akiwa na manyoa madogo kama ya Ng'ombe ambazo zilikuwa na Rangi nyekundu. Alipobadilika vile huku mikononi akiwa na kucha ndefu ambazo sikuwahi kuona hata kwenye picha za mazombi alianza kutembea kuelekea kwa yule binti. "Hapana Yusira huyo binti hatakiwi kuuawa wenye makosa hapo ni nyinyi wawili.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ Wewe kosa lako hukumpa uhuru huyu binti ndio maana amefanya kitu kama hiki. Kapopo kosa lake ni kushindwa kumzui yule binti hadi akazidiwa nguvu na kufanya naye mapenzi. Hivyo mtu wa kuuawa hapo ni kapopo wala siyo Christina. Hivyo Tafadhari mdogo wangu naomba umuue Kapopo maana wewe umewahi kubadilika"Aliongea Maneno Maimuna ambayo yalinishitua sana. Alipoongea vile Maimuna kweli Yusira alimuacha yule binti ambaye alikuwa anatetemeka hadi mikojo ilikuwa inamtoka na kuanza kuja kwangu. Kwa kweli nilishawahi kuona misukule na mazombi mengi ambayo yalikuwa na sura za kutisha ila Sura ya yusira ilikuwa ndio funga kazi.



    *****6***6**6***********6******6******66**



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog