Search This Blog

KISIWA CHA MAJINI - 2

 







    Simulizi : Kisiwa Cha Majini

    Sehemu Ya Pili (2)

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa kweli yale maneno ya Mzee wangu yalinishitua kidogo tu kwani ukweli nilikuwa naufahamu kama kweli walikuwa kwenye harusi yangu. "Kwani baba hiyo ndoto mbaya, mimi nikimuoa maimuna utajisikia vibaya"Nilimwambia baba yangu lengo nijue alikuwa anafikilia nini. "Mwanangu wewe kumuoa maimuna Siyo vibaya ila ndoto hii ya kuota hadi mama yako alikuwepo kwenye hiyo harusi ndio inayonipa utata. Tena nimeota nilikuwa na mama yako karibu kabsa na yeye. Hata rafiki yako mdete nilimuona mlikuwa Mmekaa wote mbele pia ndugu zako pia walikuwepo"Aliongea baba yangu na kuzidi kuniacha hoi. Maneneo ambayo alikuwa anaongea Mzee wangu ndiyo kabsa ambayo yalikuwa yanaonekana Kwenye ukumbi ule ambaye nilikuwa ninamuoa Maimuna. "Haya kweli Maajabu sana, mzee mbona wewe umeota ndoto haina utofauti kabsa. Hata mimi nimeota nilikuwa kwenye harusi huyu mjomba wangu alikuwa Anamuoa yule binti Ambaye alileta Msaada hapa. Tena hata mimi nilimuona hata Marehemu dada yangu alikuwepo kwenye harusi. Nakwambia nimeota hadi nimekula na chakula kizuri sasa mbaya zaidi niliposhituka kweli nilijikuta nimeshiba"Aliongea mjomba wangu Dulla. Kwa kweli yale maneno yalizidi kunishangaza mimi pamoja na baba yangu. Mzee wangu alipoona hadi shemeji wake kaota ndoto ambayo inafanana na ndoto yake alianza kuwa na wasiwasi. "Haiwezi tokea nyumba yote tuote ndoto ambazo zinafanana hata kidogo lazima kutakuwa na kitu. Mimi mwenyewe nimeota kama alivyosema mume wangu. Tena mimi nimemuona hada baba yake na Maimuna akiwapa gari kama zawadi na kuwaahidi kuwajengea nyumba kapopo na Maimuna. Tena nakumbuka hadi watu waliotoa zawadi kwenye harusi walikuwa watatu tu"Aliongezea mama mjomba wangu ambaye ni mke wa mjomba wangu. Kwa kweli niliona sasa mambo haya yatafanya tufike mbali maana ambacho walikuwa wanakiongelea ilikuwa ni ukweli flani. Hivyo nilijua nikiendelea kukaa pale kunamengi nitaendelea kuyasikia hatimaye kupewa ushauri wa kufanya mambo ambao utamuuzi maimuna. Nilianza kuondoka pale chumbani kwa Mzee wangu taratibu kurudi chumbani kwangu kwenda kulala. "Mwanangu mimi siyo kwamba sipendi umuoe huyu binti mimi napenda sana. Yani hata kama ukisema unaacha shule alafu umuoe maimuna mimi nipo tayari ila hii ndoto ya mama yako mimi naomba tuiangalie mkono wa pili. Tunatakiwa tuende kwa Mganga tunasafishwa ili mambo yaweze kwenda sawa"Aliongea baba yangu hali iliyonifanya nisiendelee na safari nibaki nimeganda. Sikujua mzee wangu alikuwa na maana gani kuongea maneno kama yale. "Ni kweli mjomba wangu, hiki kitu unatakiwa kukiangalia kwa ukaribu zaidi. Haitakiwi kwenye familia moja tukaota ndoto moja ambayo inafanana hivyo. Kinachotakiwa hapa kwenda kwa mtaalamu ili tukasafiche kabsa hiki kitu. Unajua hata kifo cha dada yangu kimenishitua sana. Dada yangu kafa Ghafla sana tena alikuwa analalamika kichwa kinamuuma tu. Sasa kupitia hii ndoto tumepata ufumbuzi huenda kuna mzimu unatusumbua na huenda huo ndio ambao umemchukua dada yangu"Aliongea Mjomba wangu dulla. Mimi nilipoona Ushauri Wa kwenda Kwa Mganga unazidi kuongezeka niliamua kuondoka kabsa kwani ilikuwa ni swala moja ambalo sikulikubali kabsa. Nisingekuwa tayari kabsa kwenda kwa Mganga wakati yale mambo ambayo yalikuwa yanafanyika nilikuwa nayajua. Laiti kama mama yangu angekuwa mzima alafu ndio ningeeambiwe niende kwa Mganga ili kuyaokoa maisha yake ndio ningefanya. Niliondoka pale chumbani kwa baba yangu huku nikiacha Ndugu zangu wakijadiliana na mimi nilienda kulala. ****** ******** ********* Nilipofika kitandani kwangu nilijitupia kitandani tayari kwa kuanza kuutafuta usingizi. Kwa kweli kitendo cha kujitupia tu kitandani Usingizi mzito sana ulinipitia na kulala. Nilipokuja kushituka nilijikuta nimelala tena kwenye chumba kile kizuri ambacho Maimuna alikuwa ameniambia nitakuwa nafikia kama nitakuwa naenda huko. "Baby leo nataka nikuzungushe mitaa mbalimbali ya huku alafu baadae utarudi duniani na kwenda shuleni. Duniani sasa hivi ni saa kumi usiku ila huku ni saa kumi Mchana. Yani hapa huwa tupo kinyume zaidi huku ikiwa mchana kule usiku. Ila kuna kitu mimi sijakipenda kabsa ambacho wanataka kukifanya ndugu zako. Kama watafanya hicho kitu kwa kweli kitawaweka wakati mgumu sana"Aliongea Maimuna huku akinionyesha kwenye kitambaa flani cheusi ambacho kilikuwepo kwenye ukuta. Nilipoangalia kule kwenye ukata nilishangaa kuwaona ndugu zangu wakiwa wanajadiliana namna ya kwenda kwa Mganga.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Kwa kweli kile kitendo cha kuwaona wazazi wangu wakijadiliana namna ya kwenda kwa Mganga kuangalia ile ndoto ambayo walikuwa wameiota kilinishangaza kweli. Niligundua kitu kimoja kumbe yote ambayo yalikuwa yanafanyika kwetu maimuna alikuwa anaona. "Inamaana tangia muda ule ambao niliwaacha ndani bado walikuwa wanajadili tu"Nilimuuliza Maimuna maana ilikuwa muda mrefu sana umepita tangia nilale. "Hapana hapa walikuwa wanajadili kipindi kile ambacho wewe ulitoka. Ila kwa kuwa wewe hujaafiki kufanya hicho kitendo sitawapa adhabu kali sana ila kila wanapoenda kwa Mganga huyo mganga namua alafu wenyewe wanakula fimbo za kufa mtu. Ila kama na wewe ungeliwaunga mkono wote ningewaua"Aliongea maimuna. Kwa kweli wasiwasi ulizidi kuitinga Nafsi yangu na kutamani kwenda kuwashawishi ndugu zangu wasiende kwa Mganga lakini kwa muda ule nisingeweza maana nilikuwa Tayari ulimwengu wa majini. Maimuna aliondoka na kwenda hadi bafuni alioga na kubadilisha nguo zake na kuvaa hijabu nyeusi. Kwa kweli maimuna alikuwa ni moja ya mabinti wakijini wazuri sana. Kwani kila nilipokuwa namwangalia nilikuwa Simmalizi kwa jinsi alivyokuwa mzuri. Mimi mwenyewe aliniambia niende bafuni kwenda kuoga. Nilipoenda kwenye ile bafu kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa. Niliona maji kama ya mvua yakiwa yanamwagika chini ila sehemu ambayo yalikuwa yanatokea ilikuwa haionekani. Yani kulikuwa hakuna bomba ambalo lilikuwa linaonyesha kama hapa ndio yale maji yalikuwa yanatoka. Tena kilichozidi kunishangaza yale maji yalikuwa yanatiririka yalikuwa yamoto. Wakati nikiwa naendelea kushangaa cha ajabu nilikuja kushangaa zaidi nilipojiona nipo uchi. Kwa kweli kile kitendo kilinishitua sana. Nitakuwaje uchi wakati nguo nilikuwa nimevaa na nilikuwa sijavua. Wakati nikiwa nashangaa lile nyuma nilihisi kama mtu amenisukuma na kusogea hadi sehemu ile ambayo maji yalikuwa yanatoka kama ya mvua alafu haionekani yalikuwa yanatokea wapi. Niliposogea pale yale maji yalianza kunimwagikia. Cha ajabu nilikuwa naona mikono kama ya mtu ikiwa inanisugua ila mtu nilikuwa Simuoni. Niliamua kutulia tu kifanyike kile ambacho walikuwa wanakifanya maana nilikuwa najua kama tupo kijini zaidi. Nilioshwa na kufutwa hadi maji kwa taulo ambalo sikujua limetokea wapi. Baada ya kufutwa nikakauka hatimae nilijikuta tena nimevaa nguo zangu. Niliufuata mlango wa bafuni na kutoka. Nilipofika chumbani Maimuna alinipa mafuta nikajipakaa kisha alinipa bonge la Suti na kulivaa. "Maimuna nilipoenda bafuni kuna vitu nimefanyiwa kwa kweli sijavielewa. Hivyo vitu nani amenifanyia maana hadi nguo nilikuta nimevuliwa"Nilimuuliza Maimuna maana uvumilivu ulinishinda. "Wale ni wafanyakazi wangu na ndio wanakazi yao hiyo. Kuna majini huwa yanakuja bafuni kumuosha binadamu ambaye amemuoa jini. Ila hiyo haitajirudia ni mara moja tu. So kama leo wamekuosha hawatakuosha tena na utakuwa unaoga mwenyewe labda uniambie mimi nikakuoshe"Aliongea Maimuna huku akiwa anatoka na kuniambia nimfuate. Kwa kweli yale majibu ya maimuna yalinishangaza sana ingawa sikutaka kumuuliza kitu kingine pale. Niliamua kumfuata Maimuna kuelekea kule ambako yeye alisema ingawa sikujua tuna enda wapi ila aliniambia kuwa ananitembeza kwenye mji wao. Kwa kweli Muda ule kuna kitu cha ajabu sana kilikuwa kinanijia kichwani. Hamu kali Sana ya Ngono kwa maimuna ilikuwa inanijia kwa kasi ya ajabu. Kwa kweli nilitamani Maimuna angenipa Nafasi hata kidogo ya kuweza kuvinjari kwenye shamba lake la vitunguu Swaumu. Kwa kweli sikuwa na picha Nzuri siku ya kufanya mapenzi na Maimuna raha gani niakuja kuipata kwake maana Maimuna alikuwa amekamilika kila Idara. Nilimfatilia Maimuna hadi tulitoka kabsa kwenye kile chumba. Tulipita kwenye Sebure moja ambaye ilikuwa kubwa sana na ilikuwa na kila kitu ndani. Ile Sebure kila kitu ambacho kilikuwa kinatakiwa kuwepo kwenye Sebure kilikuwepo. Kwa kweli ilikuwa ni moja ya Sebure nzuri ambazo sikuwahi kuiona katika maisha yangu yote. Tulipotoka kwenye ile Sebure tulitokezea nje ya nyumba ile. Kwa kweli nilishangaa nilipokutana na Mawimbi makubwa sana ya bahari huku upepo mkali na wenyewe ukivuma. Nilimuona Maimuna anaingia kwenye ile bahari na kuanza kutembea juu juu bila hata kuzama. Alipotembea kama hatua mbili hivi aligeuka na kuniambia na miminimfuate

    ***************************************** Kwa kweli kitendo cha Maimuna kuingia baharini tena bahari ikiwa imechafuka na mawimbi makubwa yakiwa yanavuma bila kuzama kilikuwa kitu kigeni sana kwangu. Sasa kazi ilibaki kwangu nitaingiaje kwenye ile bahari wakati nilikuwa najua hali ya hewa ilivyo. Dalili ya maji tu yalivyokuwa yanajiliza na kupiga ule ukuta wa nyumba ambayo hata sikuelewa imejengwaje moja kwa moja niligundua kuwa ile sehemu ya bahari kulikuwa na kina kirefu sana. "Twende bhana kapopo usiogope hakuna kitu chochote ambacho kitakupata. Haya siyo maji bhana kama unavyoyaona kwa macho yako"Aliniambia Maimuna huku akinisihi niingie. Nilibaki nikiwa namshangaa tu Maimuna ataniambiaje haya kuwa siyo maji wakati kwa macho yangu nilikuwa nayaona mwenyewe. Niliamua kujikaza kiume na kuelekea kwenye bahari kwa Maimuna. Nilitembea hadi nilikaribia kwenye ukingo wa nyumba na bhari na kuanza kuhesabu namna ya kutia mguu wangu kwenye yale maji. Nilifumba macho kwanza ili nisione kile ambacho kitatokea na taratibu nilipeleka Mguu wangu kweye sehemu ambayo nilikuwa nahisi ni maji ya bahari. Kilichonishangaza nilipoweka mguu sikuona hisia zozote za maji. Ilibidi nifumbue macho ili kuangalia kile ni nini ambacho kilikuwa kimetokea. Nilipofumbua macho nilibaki nikiwa nashangaa kuona nipo tu kwenye nchi kavu ya kawaida na ilikuwa hakuna maji hata kidogo. Ile hali ilinishangaza sana kwani bahari kubwa sana na maji ya kutisha yalikuwa yanaonekana hapa sasa iweje nimetua tu mguu nakutana na nchi kavu tena kuna vumbi kabsa. Ile hali ilinishangaza sana ilibidi nirudi nyuma kama hatua mbili hivi ili kuweza kushangaa zaidi. Niliporudi nyuma hatua mbili cha ajabu nilikuta tena bahari ikiwa CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/vilevile harafu na mawimbi yakiwa yanavuma. Nilipeleka tena Mguu wangu bila kufumba macho kwenye yale maji cha ajabu maji yaliendelea kuwepo vile vile ila mguu wangu wala haukuzama ilikuwa kama nimekanyaga sehemu ambayo ilikuwa kama kuna jiwe hivi. Tena mbaya zaidi viatu ambavyo nilikuwa nimevaa wala vilikuwa hivionyeshi dalili yeyote kama nimekanyaga maji. Wakati nikiwa nashangaa ile hali Maimuna alinifuata na kunishika tukaanza kuondoka kuelekea sehemu ambayo nilikuwa siijui. Kwa kweli yale yalikuwa ni moja ya maajabu ambayo nilikuwa sijawahi kuyaona katika ulimwengu wa dunia. Maana Maimuna aliponivuta tulianzakutembea juu ya bahari kawaida kama tunatembea nchi kavu lakini haikuwa rahisi kuzama hata siku moja. "Maimuna hivi kwa nini tunatembea kwenye maji bila kuzama wakati inaonyesha kabsa tupo baharini"Ilibidi nikamuuliza Swali Maimuna kwani uvumilivu kwa kweli ulinishinda. "Kabla sijakujibu hilo swali na mimi nataka unijibu swali moja. Hivi kwa nini nyie kwenye dunia yenu huwa hamuanguki wakati huwa mnaishi juu ya dunia kwa nini msianguke chini. Na pia nyie kwenye dunia yenu dunia huwa inajizungusha kwa nini siku moja usijikute upo marekani."Aliniuliza Swali maimuna na yeye badala ya kunijibu. "Maimuna kwenye dunia ya kawaida huwa hatuwezi kuanguka coz kuna kani ya mvutano ambayo inafanya vitu na watu wawe katika hali ya msawazo. Pia dunia huwa inajizungusha kwa kasi sana na binadamu hana uwezo wa kuona dunia jinsi inavyojizungusha. Pia dunia inapozunguka huwa vitu vyote ambavyo vipo kwenye hiyo dunia na vyenyewe vinazungushwa"Nilimjibu Maimuna kimkato ingawa nilikuwa sina uhakika wa majibu yangu. Lengo nilikuwa nataka kupata majibu ya maimuna kwanini tulikuwa hatuzami kwenye bahari. "Na sisi kwenye hii dunia hatuwezi kuzama kwenye maji kwani maji ndio dunia yetu kama nyinyi ambavyo hamuanguki duniani. Sisi pia kuna kani ya mvutano ambayo itatufanya tukiwa kwenye maji tuelee. Hivyo humu huwezi zama hata kidogo ndio dunia yetu ilivyo"Alinijibu Maimuna kiufupi sana huku akiwa ananicheka. Kwa kweli majibu ya Maimuna yalinifurahisha ingawa sikuyaelewa. Tuliendelea kutembea na maimuna huku tukiwa tunapiga stori mbali mbali kwani ile hali ya kutembea juu ya maji nilishaizoe ingawa mwanzo nilikuwa nanyata kama nilikuwa sina viatu alafu natembea sehemu ambayo ilikuwa na mbigili. Tulitembea umbali kama wa kilomita moja na Nusu hatimae nilishangaa kuona kama naanza kuzama hivi. Ila cha ajabu wakati nilipokuwa nazama sikuwa naloa wala sikuwa naona hali yeyote kama nazama kwenye maji. Nilimwangalia maimuna na yeye nilimuona akiwa anazama vile vile. "Usishangae bwana Hii sehemu kuna mtereko mkali hivyo lazima utajiona kama unazama ila hakuna shida"aliongea maimuna. Wakati nataka Kumuuliza tu Maimuna kitu. Nilishangaa kasi ya kuzama inaongezeka na ilionekana kama naenda kwa kasi ya ajabu ndani ya maji. Ilikuwa kasi ambayo hata mimi sikuweza kuielewa. Hatimae mwili wote nilikuwa nimeshazama na nilikuwa naenda chini ya maji kwa kasi ya ajabu sana. Kitu ambacho bado kilikuwa kinaendelea kunishangaza. Kwenye yale maji nilikuwa siloi wala macho yangu yalikuwa hayaguswi na maji. Yani ilikuwa hakuna dalili yeyote ambayo ilikuwa inaonyesha nilikuwa kwenye maji na naloa. Maji sawa nilikuwa nayaona ila nilikuwa siloi. Nilipotazama chini nilipokuwa naenda huku woga ukiwa umetawala cha ajabu nilibaki nikiwa nashangaa nilipomoona nyumba nyingi ana kubwa. Zile nyuma Asilimia kubwa zilikuwa kama Ghorofa hivi huku kulikuwa na watu wengi sana na magari.



    Kwa kweli nilipotazama chini na kuona kuna nyumba nzuri ambazo hata mkoani kwetu singida ilikuwa hakuna nilibaki nikiwa nashangaa tu. Muda huo Bado nilikuwa naenda chini kwa kasi ya ajabu huku nikiwa ndani ya maji ambayo nilikuwa siloi. Niliwaza hizi nyumba zimejengwajwe wakati huku ambako nilikuwa naenda ilikuwa chini ya bahari. Ule mji ulionekana itakuwa ni mji ambayo walikuwa wanaishi watu matajiri sana. Kwani nilipochunguza kwa makini nyumba zote zilikuwa za kiwango cha hari ya juu sana pia hata muonekano wa magari yao ilikuwa yote ya kiwango cha hali ya juu sana. Kwa kweli niliendelea kushangaa huku nikiwa nashuka chini kwa mwendo wa kasi zaidi. Nilitumia kama muda wa dakika tano nikiwa ndani ya maji. Nilipokaribia kwenye zile nyumba Ghafla nilijikuta natokezea sehemu ambayo ilikuwa haina maji ila bado nilikuwanaonekana nipo juu juu tu yaani hewani. Niliangalia juu ambako nilikuwa nimetokea kamanitaona chechote maana nilikuwa kwenye maji. Nilipoangalia juu nilikuta kweli kunamaji yalikuwa yanaonekana yapo juu yangu. Kwa kweli ile hali kwangu ndio ilikuwa ya ajabu sana. Maana tangiwe nizaliwe sikuwahi kuona maji yapo juu na chini hayapo wakati hakuna kitu ambacho kilikuwa kinazuia yale maji yasifike chini. Wakati nikiwa naendelea kushangaa yale maji hatima nilijikuta natua chini. "Karibu kwenye KISIWA CHA MAJINI.huku ndio makazi yetu mimi na baba yangu. Huku ndio ukoo wangu wote tupo kule juu baharini ni sehemu tu ambayo nilikuwa nimekuandalia kwa ajili ya kupumzika. Ila huku ndio ndugu zangu wote wapo"Aliongea Maimuna baada ya kutua tu pale chini.Yale maneno ya maimuna yalizidi kunichanganya kweli. Neno kisiwa cha majini kwangu lilikuwa geni sana na nilikuwa sijui maana yake. "Unamaana gani kuniambia karibu kisiwa cha majini"Nilimuuliza Maimuna huku nikiwa naonyesha kama Sura ya kumshangaa kwa kile ambacho aliniambia. "Ninapokuambia karibu kwenye kisiwa cha majini nazani kiswahili changu kimeeleweka sana. Kisiwa cha majini ni makazi ambayo majini yanaishi. Nazani tayari nilishakwambia nakupeleka sehemu kwenda kukutembeza" Aliongea Maimuna. Mimi muda huo niliamua kutulia tu ili kuweza Kumsikiliza Maimuna. Kwa kweli nyumba za ule mji zilikuwa za aina yake. Yani kwanza mji ulikuwa Msafi hata sehemu ya kutema mate nilikuwa sioni. "Umeona kwenye ile nyumba"Aliniambia Maimuna hali iliyonifanya nigeuke na kuangalia kule ambako alikuwa ananionyesha. Nilipogeuka Macho yangu yalitua kwenye nyumba moja nzuri ambayo ilikuwa na Manjonjo ya hali ya juu sana. Kwa kweli tangianizaliwe sikuwahi kuona nyumba nzuri kam ile. "Kwenye ile nyumba kuna jini mmoja anaitwa Hubaida. Huyu muda wake wa kutoka na kuanza kuwatembelea binadamu huwa saa sita usiku. Huyu jini huwa ni mmoja wa majini ambayo wanaakili sana. Nimeamua kukuelezea huyu jini ili kuelewa kitu kimmoja. Duniani kunatokea watu ambae wanaakili sana hadi huwa wanapewa jina la Genious yani mtu mwenye akili. Sasa hawa watu Magenious unajua wanatokana na nini naomba nisikilize kwa makini"Aliongea Maimuna hali iliyonifanya nimsogelee na kutega masikio kwa makini kutaka kukisikiliza na kukielewa kile kitu ambacho alikuwa anataka kuniambia. "Kama unataka kupata mtoto Genious yani mtoto mwenye akili kuna siku na saa ambazo unatakiwa ukutane na muwenza wake. Siku hizo na saa hizo huyu jini Mwenye akili hutembelea baadhi yanyumba za binadamu. Siku ambazo ni nzuri kukutana na mwenza wako kama mnalengo lakupata mtoto mwenye akili ni siku ya Juma nne na juma tano. Muda mzuri huwa ni saa sita Usiku wakati asilimia kubwa ya watu huwa wamelala na Jini Hubaida huwa anatembelea kwenye majumba ya watu. Hivyo kama wewe ukifanya mapenzi siku hizo ambazo nimekwambia alafu ikatokea mke wako akapata mimba lazima mtoto ambaye atazaliwa atakuw na akili sana. Kwanza atakuwa amezaliwa kwenye hali ya ukimia flani. Hakutakuwa na kelele ambazo zitafanya ubongo wake mlaini kuanza kufikilia kitu. Pia muda huo ndio Hubaida hupita hivyo akikupitia lazima utapata mtoto Genius"Alinieleza Maimuna hali iliyonifanya nibakinikiwanashangaa tu.





    Kwa kweli yale Maelezo ya Maimuna kwangu yalikuwa Mageni sana. Katika akili zangu zote sikuwahi hata kuwaza kuwa wale watu wenye akili walikuwa wamepitiwa na hubaidi. "Inamaana unataka kuniambia kuwa wale watu wote ambae wanaakili mimba zao zilikuwa zimtungwa saa sita usiku na Jini hubaida aliwapitia"Nilimuuliza Swali Tena Maimuna Maana nilikuwa bado sijaelewa vizuri. "Siyo kila binadamu hapa duniani Mwenye akili alipitiwa na Hubaida. Ndio maana nilikwambia nisikilize kwa makini. Mtu yeyote Mwenye akili sana lazima mimba yake ilitungwa saa sita usiku. Hali ikiwa ya ukimia.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ Hivyo kama mimba ya mtoto yeyote itatungwa saa sita Usiku mtoto atakaye zaliwa asilimia 80 huwa na akili zaidi. Ila kuna wale watu ambae huwa na akili sana mwenye uwezo wa kufanya vitu vikubwa sana na vyakushangaza watu hawa watu kipindi mimba zao zinatungwa basi hubaidi alikuwa duniani na alikuwa yupo kwenye hiyo nyumba. Kwa maelezo haya nazani utakuwa umeelewa siyo kwamba mtoto yeyote mwenye akili alikuwa amepitiwa na hubaida hapana"Alinieleza Maimuna huku tukiwa tunatembea. Kwa kweli kupitia maelezo ya Maimuna kuna vitu nilianza kugeni ambayo vilikuwa vigeni sana kwangu. Siku hilo tulitembelea ule Mji kwa muda Kama wa Saa moja hivi. Vitu vingine ambavyo nilikuwa nimegundua kwenye ile sehemu ambayo tulikuwa tumeenda wale vitu vyote vilikuwa vinapatikana bure kabsa. Chakula kilikuwa bure kila kitu kilikuwa bure. "Hivi kwa nini huku kila kitu bure. Sasa hawa watu wanaotoa hivi vitu bure kuna faida gani ambayo wanaipata. Maana mtu apike chakula kizuri hotelini alafu wewe unaenda kula bure tu"Nilimuuliza tena Maimuna kwa kile kitu ilikuwa kigeni sana kwangu. "Nilijua lazima hata hiki kitakusumbua. Unajua sisi majini tunabiashara nyingi sana duniani na tunawauzia nyie binadamu lakini ni vigumu sana nyie kuelewa. Pia sisi huku chakula hatuli bure bali tunalipia. Ninapoenda kula pale chakula tayari pesa yangu nitakuwa nimelipia na kwa kawaida jini anapolipa pesa yake binadamu siyo rahisi kumuona. Ndio maana jini anaweza kukupa pesa na kukujengea vitu vizuri lakini akitaka kukuondelea anachukua tu faster. Hivyo sehemu yeyote ambayo tulikuwa tumekula nimelipia pesa ila wewe hukuweza kuona. Pia unatakiwa kuelewa kitu kimoja Maduka yote na bar zote au Guest ambazo zinawateja wengi huyo mmiliki wa hiyo biashara anaweza kuwa jini au kuna vitu anasaidiwa na majini au anaweza kuwa Free masoni. Hapa unatakiwa unisikilize kwa makini. Sisi majini tumegawanyika katika sehemu mbili. Yapo majini shauma Na majini yauma. Majini yauma ni yale majini yote ambayo hawapendi kufanya mambo maovu. Haya majini huwa yanajua uwepo wa mungu na yanamwabudu mungu. Asilimia kubwa ya haya majini dini yao huwa waislamu. Majini aina ya Shaumu haya ni majini ambayo yanafanya vitu ambavyo siyo vya kawaida. Mfano yanapompenda mtu ili kumpa utajiri lazima yatampa shariti la kumwaga damu. Pia haya majini yanaamini uwepo wa mungu ili vitu ambavyo wanavifanya ni vyakishetani. Wanatoa kafala ili kuweza kufanyikisha kitu kiwe mvuto kwa watu. Mfano bar zote ambazo utakuta watu wamejaa na wanauza sana jua hiyo bar lazima kuna kafala flani huwa inatolewa. Kupitia haya maelezo unaweza kubaini mimi ni jini gani"Alinipa maelezo Maimuna kisha alinitupia na swali jingine. Kwa kweli yale maelezo ya maimuna yalizidi kunichanganya kweli. Nilifikilia lile swali ambalo alikuwa ameniuliza Maimuna nilijikuta napatamajibu kuwa Maimuna lazima alikuwa jini Shauma maana aliponipenda mahali walihitaji nimtoe kafala mama yangu. Kwa kweli nilipogundua kuwa maimuna naye alikuwa jini Shauma yule jini ambayo wanaamini uwepo wa mungu ila wanafanya mambo yao kishetani nilijikuta nachoka. "Hilo ambalo unawaza kichwani kwako upo tofauti. Mimi siyo jina Shauma bali ni jini Yauma. Kumbuka mtu ambaye alikuambia umtoe kafala mama yako ili unioe alikuwa ni baba yangu na siyo mimi. Pia hata baba yangu siyo shauma utaenda kujua mbele kwa nini naongea hivi"Aliongea maimuna. Muda huo sikutaka kumuuliza kitu chochote maimuna maana maelezo ambayo alikuwa ananipa kuna mengine hadi yalianza kuniogopesha. "Tunaenda kwa baba yangu kwenda kupafahamu. Tukishatoka huko moja kwa moja utarudi hadi duniani kuendelea na maisha. Ila tafadhari narudia tena unatakiwa kuwaambia wazazi wako wasiniendee kwa mganga kwani itakuwa hatari kwao. Pia huko dunia hutakiwi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtu yeyote. Yani wewe sasa hivi shida yote ya kimapenzi unatakiwa kuniona mimi"Aliongea peninna





     Kwa kweli yale maneno ambayo aliniambia Maimuna yapo ambayo yalinifurahisha na yapo ambayo nilijua ipo siku yatakuja kuniweka wakati mgumu. Moja ya maneno ambayo yalinifurahisha ni kitendo cha maimuna kuniambia kama nitakuwa na shida yeyote ya kimapenzi nilitakiwa kumuona yeye. Kwa kweli mtihani ambae alinipa Maimuna wa kutokuwa na mahusiano na mwanamke yeyote isipokuwa yeye kwangu mimi nilikuwa naona ulikuwa mtihani rahisi sana. Maana katika mawazo yangu nilikuwa sizani kama nitamuona mwanamke mzuri kama Maimuna. Maimuna alikuwa ni moja ya binti ambaye alikuwa amekamilika kwa kila Idara. Kama uzuri kwa kweli alikuwa ameumbika vilivyo. Kitu ambacho kilikuwa kinanitia hofu ilikuwa juu ya swala la ndugu zangu ambae walikuwa wameng'ang'ania kwenda kwa mganga. Nilipanga kwenda kuongea nao na kuwashawishi hilo swala wasitishe mara moja maana nilihili lingekuwa hatari sana. Tulitembea na Maimuna huko kwenye kisiwa cha majini hatimae tulifika kwa baba yake na maimuna. Kwa kweli baba yake na maimuna alikuwa na nyumba nzuri sana. Ndani ya ile nyumba kulikuwa na gari za kifahari kama tatu hivi na muundo tofauti. Kwa dalili tu ya mazingira ambayo nilikuwa nimeyaona pale niligundua huyu mzee alikuwa na mali nyingi sana. Mzee wake Na maimuna aliponiona kwa kweli alinikaribisha kwa furaha sana. Muda wote mzee tabasamu lilikuwa linamtoka tu. "Kijana vitu vyako vyote ambavyo nilikuhaidi kukupa kwenye harusi kesho ukirudi duniani maimuna atakuletea. Kama nilivyokwambia gari moja nitawanunulia kwa ajili ya matembezi ya hapa na pale"Aliongea baba yake na Maimuna. Kwa kweli muda ule nilikuwa najihisi mwenye bahati sana kuwa na uhusiano na maimuna maana nilianza kujiona nakuwa tajiri hivi hivi nikijiangalia bila hata kuhangaika. Baada ya chakula cha pamoja na familia ya kina Maimuna mzee alituruhusu na sisi tuliondoka. Wakati wa kurudi kwenye ile nyumba ambaye tulikuwepo kwa mara ya kwanza hatukutembea kwa Mguu. Mdogo wake na Maimuna wa kiume alitoa gari na kutusindikiza hadi kwenye ile nyumba. Kitu ambacho kiliendelea kunishangaza wakati tulipokuwa tunaenda kwenye ule mji ambae wanaita kisiwa cha majini kwanza tulipita sehemu ambayo ilikuwa na maji pia ilionekana kama tunazama vile. Lakini wakati tunarudi tulipanda tu gari kisha alitupeleka hadi kwenye ile nyumba. Sikuweza kuona maji ya aina yeyote ile. Tena Muda ule kwenye ile sehemu niliona kulikuwa na nyumba nyingi tu na nzuri tofauti na mwanzo. Tulipofika kwenye ile nyumba tulishuka kwenye Gari kisha tuliagana na mdogo wake na Maimuna na sisi tuliingia ndani. Nilipoingia ndani nilihisi vitu tofauti kwenye nyumba ile. Vitu vyote vilibadilishwa na vilikuwa vya kuvutia sana. Sofa zote zilikuwa mpya na zilikuwa za thamani ya hali ya juu sana. Sikutaka kuulizia kuhusu swala hilo. Niliingia hadi chumbani na kwenda kujitupia kwenye kitanda. Nipojitupia kitandani na maimuna alikuja na kujitupia kitandani. Nilianza kukumbuka moja ya maneno ambayo maimuna aliniambia. Nilikumbuka maimuna aliniambia kama nitakuwa na shida yeyote ya mapenzi natakiwa kumuona yeye. Nilipokumbuka yale maneno hisia kali za mapenzi juu ya maimuna zilianza kunijia. Kwa kweli nilitamani kumuonja Maimuna ili nijue uzuri wake. Maimuna alikuwa anavutia kila sehemu ya mwili wake nahisi kama ningelianza kupiga Mzigo sizani kama kungelikuwa na kuchoka. "Baby nahitaji unikabidhi penzi lako si unajua tangia nikuoe sijawahi kufanya tendo la ndoa na wewe"Nilimwambia Maimuna huku nikiwa namsogelea na kumpapasa. Muda hou nilikuwa simwogopi maimuna kitu ambacho kilikuwa kinanishangaza sana. Maimuna nilikuwa namuona mtu wa kawaida Sana kama binadamu wengine. Nilipomwambia vile Maimuna alicheka tu wala hakunijibu kitu chochote. Baada ya kucheka aliamka na kuanza kutoa nguo yake moja baada ya nyingine. Kwa kweli Maimuna alipotoa Gauni yake na Mgongo kuoneka mapigo yangu yalianza kwenda kwa kasi sana. Maimuna alikuwa anavutia Sana sikujua kwa nini maimuna alikuwa mzuri namna ile alafu akataka mimi nimuoe. Uzuri wa maimuna ulikuwa siyo wa kutembea wala kuolewa na mtu kama mimi. Watu wa kumuoa maimuna walikuwa maarufu na wazuri kisura. Muda ule hamu ya ngono ndio ilikuwa imetawala kichwa changu mashine yangu ilikuwa imesimama hadi ilishaanza kuuma. Maimuna alitoa nguo zake zote huku nikiwa namwangalia hatimae alibaki na Taiti tu pamoja na kibana mziwa. Alipomaliza kuvua Zile nguo alirudi tena hadi kitandani na kuja kunilalia. Kwa kweli Maimuna aliponilalia nilianza kusikia raha ya hatari sana. Cha ajabu zile raha zilifanya hadi macho yangu kushindwa kuhimili kuangalia. Ghafla nilianza kuhisi kama Usingizi ukinijia kisha kweli usingizi usio kuwa wa kawaida ulinipitia sikujua kile ambacho kiliendelea.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ******************************************. Nilikuja kushituka muda kama wa saa kumi na mbili na nusu hivi baba yangu akiwa ananiamsha kwenda shuleni. Nakumbuka hiyo siku ndio tulikuwa tunafungua shule. Niliposhituka kuna ujumbe flani niliuona Kwenye meza chumbani kwangu. niliamua kuufuata huo ujumbe nikasome nijui nani alikuwa ameuweka pale na ulikuwa wa nini. Nilipoufikia ule ujumbe niliufungua na kusoma ule ujumbe ulikuwa umeandikwa hivi. "Nakutakia siku njema Mpenzi wangu kapopo, baada ya masomo nitakuja kukuchukua nikupeleka nyumba ambayo baba ametununulia kwa ajili ya kuishi"ule ujumbe uliisha. Sikushituka sana kwani kwangu hayo mambo yalishakuwa kawaida. Niliamka nikaenda bafuni kuoga. Nilipomaliza kuogoa nilirudi chumbani kwangu nikajipaka mafuta kisha nilivaa nguo za shule na kuanza kutoka chumbani kwangu. Nilitoka chumbani na kwenda hadi kwa baba yangu na kumsalimia kisha nilianza kuondoka kuelekea shuleni. "Mwanangu kama utanikuta sipo ujue nitakuwa nimeenda kwa mganga mimi ile ndoto kwa kweli hainiingii akilini"Aliniambia baba yangu maneno ambayo yalinifanya nikashituka na kugeuka kwa kasi ya ajabu kumwangalia mzee wangu. "Mzee wangu mbona unataka kujiingiza kwenye gharama bure zisizokuwa na maana.hivi kweli kuota ndoto tu bila kuona unataka kwenda kumaliza pesa zako kwa wagaga. Inamaana sasa hivi mtu ukilala na kuota kitu flani unaenda kwa Waganga. Sasa usingizi gani ambae mtu anaweza kulala bila kuota. Unajua baba wewe mawazo yako hizi siku zote yalikuwa kwa mama yangu ndio maana ulipolala uliota kitu kama hicho"Nilimwambia Baba yangu lengo nilikuwa nataka asiende kwa Mganga kabsa maana Maimuna alikuwa hataki kabsa. Baba yangu nilipomwambia yale maneno hakunijibu kitu chochote zaidi ya kuguna na Kuondoka. Mimi mwenyewe niliondoka na kwenda hadi shuleni. Nilipofika shule mtu wa kwanza kuonana alikuwa ni rafiki yangu Mdete na alionekana kabsa anakitu flani anataka kuniambia kwa jinsi alivyoonekana. Baada ya kusalimiana na Mdete tuliondoka kuelekea Darasani kwenda kuweka mifuko ili kuendelea na shughuru za kusimamia watu wafanye usafi. Kwani mimi nilikuwa kiranja wa afya na siku hiyo shule ndio ilikuwa imefunguliwa hivyo ilikuwa inahitaji Usafi wa hali ya juu. "Mwanangu usiku wa leo kuna ndoto nimeiota upande mwingine imenifurahisha lakini upande mwingine imeniogopesha kichizi"Aliongea mdete. Nilijua moja kwa moja yaweza ile ile ndoto ambayo hata baba yangu inamchanganya. Maana nakumbuka kwenye hiyo harusi hata Mdete alikuwepo na ndioa alikuwa msindikizaji wangu. "Ndoto gani hiyo ambayo upande mwingine imekufurahisha na upande mwingine imekuogopoesha. Maana unanishitua wajua asubuhi hii yote"Nilimwambia Mdete ili anielezee vizuri. Nilitaka kujua kama ndoto itakuwa kama ile ambayo niliona mimi kule kisiwa cha majini basi moja kwa moja ningehakikisha wale watu wote ambao walikuwepo kwenye ile harusi basi waliota ndoto moja. "ndoto ambaye upande mwingine imenifurahisha nimeota wewe ulikuwa unafunga ndoa na jini yule maimuna. Hapo kwa kweli nilifurahi nilijua moja kwa moja unaelekea kuwa tajiri ndugu yangu. Katika ile ndoto sasa kuna upande ilinifanya kuogopa sana hasa nilipomuota hadi marehemu mama yako alikuwepo. Yani acha kabsa yani nilimuota mama yako kabsa akiwepo tena walikuwa wamekaa na baba yako. Kitu kingine ambacho kilizidi kunishangaza nilipoamka kweli nilijikuta nimeshiba kwani baada ya kufunga ndoa wewe na jini maimuna kuna chakula tulipewa na kula"Aliniambia Mdete. Kwa yale maneno ya mdete niliamini kweli wale watu ambae nilikuwa nawaona kwenye ile harusi walikuwepo kweli. "Hicho ambacho umekitoa ni cha kweli kabsa. Ninachokuomba wewe tulia wala usimwambia mtu yeyote. Hivyo mimi tayari nimeshamuoa Maimuna"Ilibidi nimwambie ukweli Mdete maana huyu nisingeweza kumficha hata jini maimuna yeye aliwahi kuliona. "Sasa ndugu yangu utajiri ukianza kuporomoka usije ukanisahau kichaa wako. Kumbuka tumetoka mbali tukihangaika na mimi ndio niliyokupa ushauri wa kulioa hilo jini ingawa mbele nilianza kuogopa"Aliniambia Mdete huku akiwa anacheka. Muda wa saa nane ulipofika tuliachiwa na sisi tulielekea nyumbani kwetu. Kwani shule yetu walikuwepo wanafunzi wa Bweni na Day. Mimi na Mdete ilikuwa mojawapo ya wanafunzi wa Day. Wakati tukiwa tunaelekea nyumbani hata kabla hatujatoka kwenye eneo la shule niliona gari moja nzuri sana ikiwa inakuja shuleni. Ile gari ilipotufikia ilisimama na maimuna alishuka kwenye ile gari. Kwa kweli maimuna alikuwa amevaa vizuri na alikuwa anavutia hadi wanafunzi wote walibaki wamesimama wakimwangalia. "Bwana kuna watu wanaumbwa. Hivi ndio huwa mnaniambia kuwa Mungu aliwaumba binadumu wote wazuri na alitumia muda sawa. Bwana huo usemi kuanzia leo naanza kuupinga. Hebu mwangalia yule binti kwakweli mimi nahisi Mungu alimpendelea na kuongeza Muda wa kumuumba huyo binti. Kama tunasema binadamu wote sawa labda tuchukulie kigezo wote tunaenda chooni ila siyo kwa uzuri kuna watu wamependelewa kuumbwa. Hivi Subira mpenzi wangu anaweza kuingia mara ngapi"Nilimsikia kijana flani ambayo alikuwa anaitwa Miraji akiwa anaongea. Yale maneno kwa kweli hata mimi niliyaunga Mkono kwani maimuna alikuwa mwanamke mzuri sana hadi mimi mwenyewe nilikuwa namuogopa. Maimuna aliposhuka kwenye gari alianza kukimbia kuja kwangu. Aliponifikia alinikumbatia na kunibusu. "Baby pole sana na masomo najua utakuwa umechoka sana ndio maana nimewahi kuja kukuchukua"Aliongea maimuna huku akiwa anatabasamu. "Ramadhani unaona sasa falsafa za mapenzi zilivyo. Mtu yeyote mzuri hupata Mwanaume fala masikini na sura mbovu. Hebu fikilia huyu binti mzuri nanma hii anakuwa na kapopo kijana ambaye hana hata muelekeo. Yani mapenzi siku zote hayana Kanuni na siku zote yenyewe yapo tofauti na fikra za binadamu wewe kama unasura nzuri basi utamiliki vibovu tu"Aliongea tena Miraji kwa sauti lengo lake tusikie. Maimuna alinishika Mkono kisha tulienda hadi kwenye gari ndani tukiwa na Mdete kisha safari ya kuelekea nyumbani ilianza. "Kabla ya kwenda nyumbani kwenu nitakupitishia kwenye nyumba ambaye baba alituambia atatununulia yakuishi mimi na wewe. Tukishapitia hapo tutaenda hadi nyumbani kwenu kwenda kumuomba baba yako kundanganya kuwa uhamie kwetu tuwe tunasoma wote. Unajua muda mwingi sasa hivi nahitaji kuwa karibu na wewe"Aliongea Maimuna. Mimi sikumwambia kitu chochote nilibaki nikiwa natabasamu tu. "kwa kweli mimi namshukuru mungu kupata shemeji mwenye pesa kama wewe. Unajua shemeji mimi tangia nizaliwe sijawahi kupanda gari kama hii huwa naishia kuziona tu"Aliongea Mdete na kumfanya Maimuna kucheka. Tulitumia muda kama wa dakika kumi tu gari yetu ilienda kupaki kwenye nyumba nzuri sana ambayo ilikuwa na uzio flani hivi. kwa kweli ile nyumba ilikuwa nzuri sana. Nakumbuka ile nyumba watu wengi walikuwa wanaiongelea ni moja ya nyumba ambayo ilikuwa imejengwa kifahari mkoa mzima wa singida. "Mbona sasa tunasimama hapa wakati ulisema tunaenda kwenye nyumba ambayo baba yako amekununulia"Nilimwambia Maimuna. "Si ndio hapa tumefika kwani wewe unafikili wapi. Hii ndio nyumba ambayo baba yangu ametupa kama zawaidi hivyo tutakuwa tunaishi hapa"Aliongea maimuna na kunifanya nibaki nikiwa nashangaa. "Kapopo kama hii nyumba ndio utakuwa unaishi basi haina haja ya kusoma kabsa. Nasema hakuna haja ya kuendelea kukalili tena manotes ya historia"Aliongea Mdete.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



     Kwa kweli bado sikuamini macho yangu kama ile nyumba ndio nyumba ambaye ningelikuwa nakaa na Maimuna. Nyumba ambayo tulikuwa tunaipata na kuitolea sifa kemkem ndio niliambiwa itakuwa mali yangu. Nyumba ambayo watu mbali mbali walikuwa wanaizungumzia ilikuwa ni nyumba bora mkoa Mzima singida leo hii nilikuwa naenda kuanza kuuishi Kapuku kama mimi ambaye nilizoe kukaa kwenye nyumba zilizochoka. Kwa kweli nilijisikia furaha ya hali ya juu hadi machozi yalianza kunitoka. Nilitamani kumkimbilia Maimuna na kwenda kumkumbatia lakini upande wangu mwingine wa moyo ulisita na kuzani nitakuwa nimeonyesha Udhaifu wa hali ya juu sana. "Maimuna acha utani bhana unataka kuniambia kuwa hii ndio nyumba ambayo baba yako ametununulia tuje tuishi"Nilimwambia Maimuna huku nikiwa siamini kabsa. "Ndio kwani kipi ambacho kinakufanya usiamini. Tena hii nyumba siyo kwamba baba yangu amenunua hapana. Baba yangu aliijenga mwenyewe hii nyumba ili siku ya ndoa Yangu niweze kupewa kama zawadi. Unashangaa nini mbona tunanyumba kibao tu hapa singida na tunabiashara zetu"Aliongea Maimuna. Kwa kweli sikuwa na swali tena kwa Maimuna nilimshukuru mungu kwa kunipa Mke jini bila kujua wakati namuoa mahari nilikuwa nimemtoa mama yangu mzazi. Kwa kweli Furaha ambayo nilikuwa nayo ilikuwa vigumu sana kuelezeka. Maisha ya dhiki ambayo nilikuwa naisha hadi ada ya shule kushindwa kulipa leo hii nilikuwa naenda kuishi kwenye nyumba ya kifahari ambayo hata mkuu wa mkoa Wa singida alikuwa hatufikii. Maimuna alinishika Mkono na kuniambia tuingie ndani. Tuliongozana mimi maimuna na mdete kuingia ndani. "Unaona rafiki yangu mimi nilikushauri maimuna ni mwanamke mzuri sana kwako si unaona. Yani unapata Mwanamke mzuri kama huyu alafu bado wazazi wake wanatoa nyumba kama hii ya kukaa. Kwa kweli hata mimi nitakuja kukaa hapa na nitafanya kazi zote za ndani. Bora niwe hata houseboy ili niweze kuishi karibu na Rafiki yangu"Aliongea mdete na kutufanya wote tucheke. Kwa kweli siku ile nilikuwa na furaha ya aina yake. Nilikuwa najihisi moja ya watu wakubwa sana mkoa wa singida. Tulipoingia tu kwenye pango la ile nyumba kwanza nje kulikuwa na Swiming poll kitu ambacho ni vigumu sana mkoa wa singida kukuta nyumba ina swiming pol. Tuliingia hadi ndani ya ile nyumba. Ndani ya ile nyumba tulikuta kila kitu kilikuwepo sebureni kulikuwa na sofa mpya na zilikuwa nzuri hadi kukalia mtu unaweza kuogopa. Ukutani kulikuwa na flat screen kubwa nne upande wa Magharibi mashariki kusini na kaskazini. "Daaha kwahiyo hapa kama umeangalia mashariki unafanya kazi zako ukawa na hamu ya kuangalia tv haina haja ya kugeuka maana kila sehemu tv. Rafiki yangu kwa kweli haya maisha unayoishi utakuwa hauna tofauti na wasaniii kama Kina Timberland"Aliongea mdete maana yule muda wote alikuwa anapenda utani. Upande mwingine mdete alikuwa anaongea vitu ambavyo vilikuwa havina utofauti kabsa maana ile nyumba kwa kweli hakukosea kusema hivyo. Tulimuacha Mdete sebureni kisha Maimuna alinipeleka hadi kwenye chumba ambacho nitakuwa nalala mimi na yeye. Nilishawahi kuona vyumba vizuri kwenye picha mbalimbali hasa tamthilia za kiphilipino kizungu na kikorea lakini sikuwahi kuona chumba kizuri kama hicho. Kwa kweli kitanda tu cha hicho chumba nilishindwa kuelewa kilitengenezewa nchi gani maana hadi sasa sijawahi ona sehemu yeyote kitanda kama kile. Kile chumba kilikuwa na kila aina ya kitu ambacho kilitakiwa kiwepo kwenye kile chumba. Maimuna alisogea hadi kwenye kabati flani na kufungua ile kabati. Alipofungua ile kabati nilibaki nikiwa nashangaa nilipokuta kabati imejaa nguo kibao za kiume. "Hizi ndio nguo zako bhana Shemeji wako wa kike amekununulia. Nazani kuna shemeji yako yule Yusira niliyokwambia yupo Uarabuni hakufika kwenye harusi yako. Hivyo ametuma hizi nguo na kama zawadi yako na mwakani ameniambia atakuja"Aliongea Maimuna. Kwa kweli zile nguo ilikuwa zaukweli pia zilikuwa za Gharama mbaya. Nguo zilikuwa mchanganyiko suti jinsi. Kwa kweli mimi nilibaki nikiwa nashangaa huyu mtu ameweza kujuaje saizi yangu maana nilijaribisha nguo kazaa zilinienea vizuri tu. "Maimuna mimi bado sijakuelewa kabsa huyu Yusira amejuaje saizi yangu. Maana naamini kuwa Yusira hajawahi kuniona kamwe katika Maisha yake"Nilimuuliza maimuna. "Kapopo sisi majini Uwezo wetu ni mkubwa sana hivyo wewe usishangae ni kivipi Yusira kajua saizi yako, wewe pokea zawadi ambayo umeletewa"Aliniambia Maimuna. Baada ya Maimuna kunijibu vile sikutaka kuuliza tena maana kweli majini yalikuwa na uwezo wa kufanya mambo ambayo ni vigumu kuamini. Kama waliwapeleka ndugu zangu chini ya bahari na kushuhudia harusi yangu watashindwa kujua saizi ya nguo yangu. Wakati nikiwa naangaza macho kwenye kile chumba macho yangu yalitua kwenye kioo kikubwa sana. Nilipoona kile kioo ilibidi nisogee ili nijione juu hadi chini zile nguo zilinitoa vizuri. Maana kwenye kile kioo cha dresing table nilikuwa naonekana Mwisho kiuno tu. Nilisogea hadi kwenye kioo kile na kuanza kujiangalia. Kitu ambacho kilinishangaza kwenye kile kioo sura yangu wala haikuonekana. Wakati nikiwa nashangaa ile hali niliona kile kioo kikitoa Mwanga mkali sana na ngurumo za kutisha hatima kilinivuta kwa Nguvu.



    ********************************************* Kwa kweli kile kioo kiliponivuta nilijikaza sana ili nisiende lakini ilishindikana. Ile nataka Kupiga kelele ya kuomba Msaada cha ajabu nilijikuta nipo kwenye chumba ambacho Maimuna aliniambia nitakuwa nafikia na yeye pindi nitakapo kuwa kwenye kisiwa cha majini. Wakati nikiwa nashangaa ile hali Nilimuona na Maimuna akitokezea Tena kwenye kile chumba Ambacho nilikuwa nipo. "Hauna Haja ya kushangaa sana, kile kioo ambacho ulikiona chumbani ndicho ambacho kitakuwa kinatusaidia kuja huku kisiwani pindi tunapokuwa na shida ya huku. Pia kile kioo ambacho unakiona pale Ukutani ndicho ambacho kitakuwa kinakurudisha Duniani pindi unapotaka kuondoka huku Kisiwani. Ila mashariti yafuatayo yanatakiwa uyafanye wakati unapotaka kusafiri kwa kutumia kile kioo. Shariti la kwanza unatakiwa usiwe Umefanya mapenzi na mwanamke yeyote yule binadamu kwa muda wa wiki moja. Pia hurusiwi kula nyama ya Nguruwe au kunywa Pombe yeyote ile"Aliongea Maimuna na mimi nilikuwa namsikiliza kwa makini. Yale mashariti kwangu niliona ya kawaida sana kwani pombe mimi alikuwa ni adui yangu na Nyama ya nguruwe hata kuisikia tu kichwa huwa kina sisimka. Kuhusu kufanya mapenzi na binadamu yeyote pia kwangu hilo lilikuwa ni sharity dogo sana. Kwani kama Maimuna alikuwa ni Mpenzi wangu sikuona binadamu yeyote ambaye angenivutia na Kumshinda maimuna nikatamani kulala nae. "Hayo kwangu ni masharity Rahisi sana ambayo sitavunja hata moja. May be mashariti yangekuwa yanasema hurusiwi kuongea na watu kwa muda wa siku kazaa ndio ingekuwa mtinani mkubwa sana maana sisi watu wa kucheka na watu bhana"Nilimwambia Maimuna huku nikiwa natabasamu. Yale majibu yangu kwa kweli yalimfanya Maimuna kuwa na furaha ya aina yake. "Basi kama itakuwa hivyo nitashukuru sana, basi twende Turudi duniani tukaendelee na vitu vingine"Aliongea Maimuna na kuanza kusogelea kile kioo. Alisogea hadi alikifikia kisha alipotea. Mimi pia nilifanya kama alivyofanya Maimuna. Nilipokifikia kile kioo kilinivuta kwa nguvu na hatimae nilijikuta kwenye kile chumba ambacho nilikuwepo mwanzo. Tulitoka na Maimuna hadi sebureni na Kumkuta CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Mdete bado alikuwa anatusubilia. "Naona mlinogewa maana nimekaa hadi nimechoka. Hakuna bhana nawatania kwenye sebure hii kuna kukaa hadi uchoke sasa zaidi nilikuwa natamani mzidi kukaa huko ili mimi niendelee kupata raha huku"Aliongea Mdete na kufanya wote tulitabasamu maana mdete aliuliza swali na kujijibu yeye Mwenyewe. Wakati tukiwa tunajiandaa kutoka ndani nilisikia Sauti kwa nyuma ikiwa inamwita Maimuna. Kwa kweli nilishawahi kusikia sauti mbalimbali za wanawake za kuvutia ambayo mtu akiongea unatamani aongea tena ila Sikuwahi kusikia sauti nzuri kama ya siku ile. Ile sauti ilitufanya wote watatu mimi mdete na najima kugeuka kumwangalia yule mtu ambaye mwenyezimungu nahisi alitumia muda mwingi kumtengenezea binadamu yule Sauti kama ile. Nilipogeuka na kuangalia kwa kweli nilikutana nabinti wa makamo tu akiwa amevalia nguo flani za jikoni. Kwa kweli yule binti alikuwa mzuri sikuwahi kuona hata kwenye ndoto. Pamoja na Maimuna kuwa binti mzuri lakini pale kuna baadhi ya vitu alitakiwa kusubiri. "Nimeshamaliza kila kitu hasa kuhusu usafi sijui leo chakula gani nipike"Aliongea tena yule binti kwa sauti ambayo ilikuwa inafurahisha sana masikio yangu. "Pika chakula chochote kile kizuri , pia leo nitakuwa na shemeji zako hivyo pika chakula cha kutosha. Kapopo na Mdete huyo ndio atakuwa mfanyakazi wa nyumba hii" Aliongea Maimuna. Yule binti alipoambiwa vile aligeuka na kurudi. Sisi nao tulitoka ndani na kwenda kupanda kwenye gari tayari kuelekea nyumbani kwa mzee. "Hivi Maimuna nyinyi majini wakati mnaumbwa Mungu alitumia udongo huu huu ambayo sisi binadamu wa kawaida tuliumbiwa au kuna Udongo tofauti na huo alitumia. Maana uzuri mliokuwa nao hadi nahisi hamkuubwa bali ni malaika tu toka mbinguni mliteremshwa"Aliongea mdete. Yale maneno ya Mdete hata mimi niliyaunga Mkono uzuri wa yule Mwanamke ambae nilikuwa nimemuona ndani kwa kweli ilikuwa siyo uzuri wa kawaida. Maimuna hakumjibu kitu chochote Mdete zaidi ya kumwangalia na kuanza kucheka. Tulitoka saba saba hatimae tulifika sehemu flani ambayo kulikuwa na duka kubwa sana la vitu mbalimbali. Moja ya duka ambalo lilikuwa linawateja wengi singida lilikuwa ni hilo. Duka hilo mimi nilikuwa nalifahamu Sana kwani mama yangu mdogo alikuwa anafanyia kazi huko. Tulipofika kwenye lile Duka kwa kweli nilijikuta nashituka Sana nilipomuona Baba yake na Maimuna akiwa yupo kwenye lile Duka. Karibu sana Mwanangu naona leo maimuna ameamua kukuleta utembelee hapa maana namwambia kila siku akulete anajifanya yuko busy. Mimi mwenyewe ni mtu wa safari huwa sikai sana hapa dukani"Aliongea baba yake na Maimuna huku akimwambia mtu mmoja alete kiti. haikupita Hata muda mtu mmoja ambaye alijulikana kwa jina la Mohamed alileta kiti. Mohamedi mimi alikuwa rafiki yangu sana kwani tulikuwa tunashinda siku zingine tukiwa tunacheza Draft na Poll table. Pia tulikuwa tunabishana sana kwani yeye alikuwa shabiki wa Madrid na mimi nilikuwa shabiki wa Barcelona. Kwa kweli mohamed hata yeye alikuwa rafiki yangu sana hadi kuna siku alikuwa ananifuata hata nyumbani kwenda kupiga naye story mbalimbali ingawa yeye alikuwa na sura ya kiarabu. Kuna baadhi ya michango shuleni Mohamed alikuwa ananilipia. "Kapopo huyu ndio mjomba wangu bhana nazani wewe Mohamed kapopo siyo mgeni kwako"Maimuna aliniambia. Kwa kweli yale maneno ya Maimuna yalinifanya nianze kushangaa. Sikuamini macho yangu kama na Mohamed ambayo tulikuwa tunashinda wote alikuwa ni jini. Hapo niliamini kumbe muda wote unaweza ukawa unashinda na watu alafu usijue kuwa huyu ni jini.



    Katika Maisha yangu sikuwahi kuwaza hata siku moja wala kumuhisi kitu chochote mohamedi. Ila kuna kipindi nilikuwa namtania wewe jini kutokana na uwezo mkubwa ambao alikuwa anaonyesha wa kutabili. Nakumbuka kuna kipindi kulikuwa na Mechi kati ya Barcelona na Madrid aliniambia kuwa ile mechi yeye hataenda kuangalia kwani anajua Madrid ambae ilikuwa timu yake itafungwa tano. Kweli kwenye ile mechi sikumuona Mohamed na kweli Madrid walifungwa tano. Sikutana kushangaa Sana yale maneno ambayo aliniambia Maimuna. Nilichofanya nilimpa mkono muhamed huku nikijilazimisha kutabasamu. "Mjomba haina haja ya kumtambulisha Kapopo kwani yeye ni rafiki yangu wa kitambo sana. Wewe mwenyewe si umempata kupitia mimi. Unafikili kama nisingekuambia ungepata mwanaume aliyetulia kama huyu"Alimwambia Mohamed Maimuna na wote walianza kucheka. Wakati nipo pale mama yangu mdogo naye alitoka. Aliponiona nipo pale huku nikiwa nacheka na baba yake na maimuna alibaki akiwa anashangaa. "Inamaa mwanangu unafahamiana na maimuna"Aliongea mama yangu huku akishangaa. "Siyo kwamba wanafahamiana tena mimi nataka waoane kabsa. Mwanangu nataka aolewe na familia yenu maana mnatabia nzuri sana"Alidakia baba yake na Maimuna na kumfanya mama yangu mdogo kutabasamu. Kwa njinsi alivyokuwa anaongea mama yangu ilionyesha wazi hata yeye alikuwa anafanya kazi humo alikuwa hajui kama Maimuna Mohamedi na Baba yake na Maimuna walikuwa ni majini. "Nitashukuru sana kama mwanangu atoa kwenu. Tena mimi kama mama yake mdogo roho yangu kwatu kabsa. Tena boss mimi nilishawahi kuota kabsa nipo kwenye harusi ya mtoto wangu kapopo anamuoa mwanao Maimuna. Ila ile ndoto upande Mwingine ilinishitua sana maana kwenye ile harusi na marehemu dada yangu ambaye mama yake mzazi na kapopo alikuwepo"Aliongea mama yangu mdogo. "Unajua mama kitu kama kweli kinatakiwa kufanyika mzimu hutia kwanza baraka. Hivyo hiyo ndoto ambayo umeiota jua ndio kapopo na Maimuna walikuwa wanatiwa baraka na mizimu. Ngoja mimi niwaache nataka niende ofisini ndani kidogo kuna kitu nataka kuongea na hawa wanangu wawili ambao siyo muda wataitana mume na mke"Aliongea baba yake na Maimuna huku akituambiatumfuate ndani. Mimi na maimuna tuliongozana kuelekea kule ambako alikuwa anaenda baba yake na Maimuna na kumuacha mama mdogo akiwa anashangaa huku akiwa haamini yale maneno ambayo alikuwa ameongea baba yake na maimuna. Tulimfuata baba yake hadi Ofisini na kukaa kusubilia alikuwa anatuambia nini. "Wanangu karibuni sana pia kapopo pole na Masomo. Sasa nimewaita hapa ili kuwa kabidhi baadhi ya vitu ambavyo niliwahaidi siku ya harusi. Kwanza hii hapa ndio nyaraka ya nyumba yenu nimeandika jina la Mwanangu maimuna. Hii hapa ndio nyaraka ya hili Duka ambae nimeandika jina la kapopo pia gari sijui nyinyi mtaandika nani. Hivyo kuanzia sasa hivi lile Gari ambao Maimuna alikupakia leo ni Mali yenu , nyumba ni mali yenu, duka hili hapa ni mali yenu. Pia nimewafungulia acount Nmb ina milioni mia moja zitawasaidia katika kufanya vitu mbalimbali"Aliongea baba yake na Maimuna na kunifanya hadi nilianza kutetemeka kwa furaha. Yale maneno ambayo alikuwa anaongea yule Mzee nilihisi labda naota baadae nitashikutuka na kukuta hakuna kitu. Ilibidi nilipeleke mkono wangu na kuyafikicha Macho yangu kuhakikisha kile kitu ambacho nilikuwa nakisikia kwa Muda huo ilikuwa ni kweli au nilikuwa naota. Hata nilipofikicha macho yangu ukweli uliendelea kubaki vile vile nilikuwa nipo kwenye ofisi ya baba yake na Maimuna huku nikiwa nakabidhiwa vitu ambavyo sikuwahi kuwaza katika maisha yangu kama nitakuja kuvimiliki. ATM ya benk tu mimi nilikuwa sijawahi kuishika zaidi ya kuiona kwa macho tu leo hii nilikuwa napewa tena ilikuwa na milioni mia moja. "Hii Kadi ya benk wewe kapopo ndio unatakiwa kuishika. Maana wanawake hawaaminiki bhana unaweza ukashangaa ameshapata mwingine nje anahongo zote"Aliongea baba yake na maimuna na kutufanya wote tucheka na maimuna kusema haiwezi tokea labda mimi nifanye hivyo. Tulipopewa vitu vyote baba yake na maimuna aliitisha kikao cha ghafla kisha lile Duka tulikabidhiwa Rasmi. Kwa kweli Mama yangu mdogo yeye hakuamini kile kitu ambacho kilitokea pale.



    ********************************************** Kasi ambayo aliingia naye mama yangu Mdogo huku akimwita baba ilikuwa siyo katika hali yake ya kawaida. Lazima kulikuwa na kitu ambacho alitaka kumwambia baba yangu. Kwa haraka haraka nilijua lazima anataka kumueleza juu ya kile kitu ambacho ameshuhudia kazini kwetu. Mama yangu mdogo alipoingia hadi seburen alijikuta anaishiwa pozi alipotuona Mimi na maimuna tupo ndani na Mzee. Kwa namna hiyo moja kwa moja nilijua mama yangu mdogo alitaka kuja Kumweleze mzee wangu yale ambayo aliyaona kazini kwake. "Mbona umekuja na kasi huku ukiniita alafu unabaki unashangaa umekosa cha kuniambia"Mzee wanguCHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/ alimuuliza mama yangu mdogo baada ya kumuona anabaki anashangaa tu. "Hakuna shida Shemeji yangu hichi kitu nilitaka kukwambia ukiwa peke yako tu. Hivyo endeleeni tu na kitu ambacho mlikuwa mkijadili"Alijibu mama yangu Mdogo na kukaa kwenye kiti. "Afadhari basi shemeji yangu umekuja kwenye muda sawia kabsa. Kuna Ujumbe nimepewa kuwa baba yake na Maimuna anataka Mwanae maimuna aolewe na Mwanangu. Sasa mimi hawa kuoana sina shida kabsaa sasa kipingamizi kinakuja shule itakuwaje?"Baba yangu alimwambia Mama yangu Mdogo. "Shemeji mimi kwa kweli nakushauri tutafanya kila linalowezekana kapopo kuacha shule ili amuoe huyu binti. Baadae wakiondoka nitakueleza kwa nini nimefanya hivyo"Alijibu mama yangu mdogo hali ambayo ilinifanya nijisikie furaha ya aina yake. Nilihisi sasa furaha ambayo nilikuwa naitafuta kwenye maisha yangu kwa Muda mrefu sasa ilikuwa imetimia. Baada ya maongezi ya hapa na pale kwisha baba yangu aliniita pembeni ili kuteta zaidi. Mimi mwenyewe nilikuwa natamani kuongea Pembeni na baba yangu ili kuweza kumuuliza lile swala ambalo walitaka kwenda kwa Mganga imekuaje. Maana baba yangu alionekana ameng'ang'ania sana kwenda kwa mganga hasa baada ya kuota kuwa kwenye ndoa yangu tulipokuwa tunafunga kisiwani aliota na mama yangu alikuwepo. "Mwanangu mimi sina pingamizi kabsa nakuomba wewe fanya mpango wa kuacha shule alafu muoe huyu binti. Mwanangu hii ni bahati ya kipekee sana ambayo umeipata pia ni ngumu kutokea. Huwezi amini ule ujumbe tu ambao baba yake na maimuna Alileta ili wewe umuoe maimuna ndani yake kulikuwa na laki tatu. Alafu kingine yule mzee amesema yeye hataki maswala ya Mahari na Gharama za harusi yeye ndio atatoa ingawa itafanyikia kwangu"Aliongea baba yangu maelezo ambayo yalinifanya nibaki nikiwa nashangaa. Kwa kweli nilishindwa kuelewa yule Mzee wake na Maimuna sijui kwa nini alikuwa ananipenda vile. Vitu ambavyo alikuwa ananifanyia kwa kweli hadi wakati mwingine nilianza kuogopa. "Sawa baba mimi hilo wala usiwe na wasiwasi cha muhimu nyie anzeni tu kufanya maandalizi mimi shuleni nitamalizana. Pia vipi kuhusu kwenda kwa Mganga bado unawazo hilo"Nilimuuliza baba yangu. "Hicho mwanangu mimi nimeshasitisha hizo zilikuwa ni ndoto tu kama ulivyo sema wewe. Kwanza nitamwendeaje mtu kwa Mganga ambaye unataka kumuoa"Alinijibu baba yangu. Kwa kweli yale majibu ya baba yangu yalinifanya kufurahi hadi nilienda kumkumbatia. Kitu ambacho kilikuwa kinanitia wasiwasi ilikuwa ni swala la ndugu zangu walivyokuwa wanajadili kwenda kwa Mganga. Hivyo kama baba yangu aliamua kusitisha basi ilikuwa hakuna kitu chochote ambacho kingetia Dosari uhusiano wangu na Maimuna. Baada ya kuongea Mambo mengi na Baba yangu tulitoka pale nyumbani na kuelekea kwenye nyumba yetu na Maimuna huku tayari tukiwa tumeshampa Taarifa Baba yangu kuwa leo usiku sitarudi nitakuwa na Maimuna kwenye nyumba ambayo tulinunuliwa na Mzee wetu. Baada ya kutoka nyumbani huku tukiwa ndani ya Gari ya thamani tulipitia tena hadi dukani kwetu. Tulikuta Muda huo ndio walikuwa wanafunga. Waliponiona wafanyakazi wa pale heshima ilikuwa kwenda mbele kila mmoja alikuwa anaiita boss. Kwa kweli yale mambo kwa muda ule kwangu yalikuwa yanaenda kama ndoto tu. Sikuamini kama siku moja nitakuja kuitwa jina kama lile. Maimuna aliwaambia Baadhi ya wafanyakazi wa lile Duka kuwa kesho kutakuwa na kikao kisha tuliwaacha wakifunga na sisi Tuliondoka. Tulipofika kwenye nyumba yetu ya kifahari moja kwa moja tulienda sehemu ya kulia chakula maana nilikuwa na njaa mbaya. Kwani tangia Saa nne ninywe chai nilikuwa sijala chakula cha aina yeyote ile. Tulipoenda kwenye Dayning room tayari tulikuta chakula kipo mezani na kuanza kujihudumia tu. Kwa kweli kile chakula ingawa ilikuwa Wali nyama ila mampishi yake yalikuwa ya hali ya juu sana. Muda ule kwenye moyo wangu nilitamani kumuona Tena yule binti ambayo alikuwa Mpishi kwenye nyumba ile. Baada ya chakula tuliondoka mimi na Maimuna hadi chumbani. Muda huo nilijua leo ndio nitaonja utamu wa Maimuna. Kwa kweli sikupata picha ni Utamu gani nitaupata kwa mtoto mtamu kama maimuna. Pia nilitaka kujua tofauti iliyopo kati ya Wanawake wa kawaida na wanawake wa kijini katika kufanya mapenzi. Tulipoingia chumbani kwangu ile nimekaa tu nilibaki nikiwa nashangaa kile kioo kikiwa kinatoa Miale ya mwanga. Haraka haraka maimuna aliondoka na kwenda hadi kwenye kile kioo. Maimuna alipokifika tu kile kioo kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa Sura yake ikibadilika na kuwa ya kutisha sana. Meno yake yalikuwa Matatu tu huku yakiwa marefu sana na yamepitiliza hadi mdomo. Pia mdomoni alikuwa anaonekana kama damu zilikuwa zinamtoka huku masikio yake pia yakiwa Marefu kama ya Punda. Kichwa chake ukikiangalia hata hamu ya kula nyama ilikuwa inakatika maana kitu kama ubongo ulikuwa unaonekana kwa nje. Miguu yake ilikuwa haina tofauti na Miguu ya Ng'ombe. Kwa kweli ile hali ilinifanya nianze kutetemeka hadi mikojo ilianza kunitoka



    Kwa kweli Maimuna muda ule alikuwa anatisha mbaya. Tangia nizaliwe sikuwahi kuona mtu aliyekuwa anatisha Muda ule kama alivyokuwa anatisha maimuna. Maimuna aligeuka taratibu kwangu huku meno yake matatu marefu yakiwa yapo nje na kukenua. Ile nataka kupiga kelele yakuomba Msaada kwani Uvumilivu ulikuwa umenishida ghafla Maimuna alirudi kwenye hali yake ya kawaida. Aliponiangalia aligundua kuwa sipo sawa maana nilikuwa natweta ile mbaya kwa woga. "Usiogope mpenzi wangu hiki ni kitu cha kawaida sana. Kwani hata nikiwa kwenye umbo hili kamwe wewe sitakudhuru. Hata hivyo kuna ndugu yako ndio amenifanya nionekane hivi wewe amka njoo umuone"Aliongea Maimuna na kufanya nishituke. Niliamka pale kitandani huku bado nikiwa natetemeka kwa mbali na kusogea hadi sehemu ambayo maimuna Alikuwepo na kuangalia kwenye kile kioo ambacho maimuna alikuwa ananionyesha. Nilipoangalia kwenye kile kioo kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa nilipomuona Mjomba wangu Rashidi akiwa yupo kwa Mganga. "HAHAHA HAHAHA MNASUMBULIWA NA JINI, YULE MJOMBA WAKO KAPOPO ANATAKA KULIOA JINI.HATA HIYO NDOTO AMBAE MLIOTA NI YAKWELI ILE SIKU NDIO ILIKUWA NDOA YA MJOMBA WAKO NA JINI KWENYE KISIWA CHA MAJINI.HIVYO ULIPOAMKA NA KUJIKUTA UMESHIBA ILIKUWANI WALI AMBAE ULIKUWA UMEKULA HUKO KISIWANI.PIA HATA DADA YAKO AMBAE NI MAMA YAKE NA KAPOPO MWANAE ANAJUA AMEKUFA KWA KUMTOA KAFALA"Aliongea Yule mganga hata kabla hajamalizia maimuna alikatisha na kuniangalia mimi. Kwa kweli muda ule nilishindwa kuelewa kwa nini mjomba aliamua kwenda kwa mganga wakati baba yangu alisema hawaendi tena kwa mganga. "Hiki ndicho ambacho kimenifanya nikabadilika hivi. Sasa kwa nini ndugu zako hawapendi mimi unioe lakini. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Sasa ngoja nikamuonyeshe kitu kibaya ambacho nitanfanyia"Aliongea Maimuna kwa hasira. Kwa kweli yale maneno ambayo aliongea maimuna yalinishitua sana. Kwa kweli sikuwa tayari kumuona mjomba Wangu akiingia hatiani kwani hakuna mjomba ambaye alikuwa ananipenda kama yule. Hata muda ule alikuwa anafanya kwa sababu alikuwa ananipenda. "Maimuna Tafadhari nakuomba usimfanyie kitu chochote kibaya Mjomba wangu. Nampenda sana tafadhari naomba usimfanyie kitu chochote"Nilimwambia maimuna huku nikiwa napiga magoti kabsa. "Haina haja ya kupiga magoti mpenzi wangu Naondoka Sasa hivi naelekea kwa yule mganga. Nikifika sitamfanya kitu chochote Mjomba wako zaidi nitamuondolea mawazo ya kwenda kwa mganga. Ila kama usingeniambia kuwa unampenda ningemua kabsa"Aliongea Maimuna kisha alipota Ghafla. Alipopotea ghafla maimuna mimi niligeukia tena kwenye kile kioo na kuendelea kuwaangalia mjomba wangu na mganga. "Mganga unataka kuniambia kuwa mjomba wangu yeye anajua kuwa mama yake amekufa"Aliongea mjomba Wangu akimwambia mganga. Yale maneno kwa kweli upande Mwingine yalinishitusha sana na kujiuliza maswali mengi sana ambayo yalikuwa hayana majibu. Nilishindwa kuelewa kama mjomba wangu hajui kama mama yangu amekufa au laa. Upande mwingine nilihisi labda walikuwa wanamuongelea mjomba wake mwingine siyo mimi. "Hicho ndicho ambacho anakiamini kapopo kwani yeye aliambiwa amtoe mama yake kafala ili aweze kumuoa Maimuna. Lakini hata hivyo......."Hata kabla hajamalizia kuongea Mganga nilishangaa Maimuna anatokeza sehemu ile ambayo alikuwepo yule Mganga. Mganga alipomuona Maimuna alianza kutetemeka huku akiwa anarudi nyuma. Nilimuona Maimuna anamfuata mjomba wangu hadi mahali alipokuwa amekaa na kumshika kichwani. Alipomshika tu kichwani nilimuona mjomba wangu Anaamka na kuanza kutembea akiondoka kwa yule mganga bila hata kuongea. "Ukirudia tena wewe kunifatilia maisha yangu nitakufanya kitu kibaya sana ambacho hutakuja kunisahau. Yule mtu mimi nampenda na sijamfanyia kitu chochote kibaya sasa kwa nini wewe unataka utenganishe penzi letu"Aliongea maimuna kiufupi tu kisha alipotea. Alipopotea tu Maimuna na kwenye kioo ilianza kuwa giza sikuona chochote ambacho kiliendelea. Kwa kweli bado kichwa changu kilikuwa kinasumbuliwa na kitu kimoja ambacho nilikisikia kule kwa mganga kuhusu mama yangu. Kwani kwa jinsi ambavyo alikuwa anaongea mjomba wangu na mganga ilikuwa inaonyesha mama yangu yupo ila mimi ndio nilikuwa naamini amekufa. Kwa kweli hicho ndio kitu ambacho kilinishangaza sana. Nilipogeuka ili niende kitandani nilishangaa kumuona maimuna tayari alikuwa amesharudi na alikuwa kwenye vazi la kulalia. Kwa kweli lile vazi ambalo alikuwa amevaa maimuna lilikuwa limepanda juu kidogo huku muda ule kichwa chake kikiwa wazi kabsa. Hapo ndio nilibahatika kuona uzuri wa maimuna vizuri kwani alikuwa anaonekana kila siku kwenye vazi la ushungi tu. Muda ule nilibahatika kuona hadi mapaja meupe ya maimuna huku nywele zake zikiwa ndevu na zilikuwa zimeanguka hadi mgongoni. Kwa kweli mwemyewe nilijikuta mzuka unasimama ma hamu kali ya ngono inanijia.

    ********************************************* Kwa kweli muda Ule maimuna alikuwa anavutia ile mbaya. Muonekano wa vazi la kulalia ambalo alikuwa amevaa ndio lilizidi kunipagawisha. Kiukweli nilitamani kumrukia muda ule ule Maimuna hadi kitandani na kuanza mambo lakini upande Mwingine wa moyo wangu ukasema niwe na Subira. Nilijisogeza kwa shida hadi kwenye kitanda ili maimuna asinione kwani mchuma wangu ulikuwa umesimama. Nilipofika kwenye kitanda cha kifahari ambacho sikuwahi kuona sehemu yeyote nilijitupia na kumsubilia na Maimuna na yeye ajitupia alafu ndio nianze mambo yangu. "Usiku mwema mpenzi wangu nazani tutaonana kesho Asubuhi"Aliniambia maimuna Maneno ambayo yalinishitua sana. "Unaenda wapi sasa maimuna kwani wewe hautalala na mimi"Nilimwambia Maimuna huku nikiamsha kichwa changu kitandani na kuegemea kwenye kitanda. "Hapana hatuwezi kulala na wewe muda huu. Mimi naenda kulala kisiwani. Kulala na wewe hadi ndoa zote zikamilike yani ndoa ya kisiwani na Duniani. Hivyo naomba wewe kuwa na Subira tukifunga ndoa ya huku Duniani basi mimi na wewe tutakuwa tunalala wote"Aliongea Maimuna. Kwa kweli yale maneno ya Maimuna yalinichoma sana kwani mwili wangu muda ule ulikuwa umejiandaa kukabiliana kimapenzi na Maimuna. Hali ambayo nilikuwa nayo muda ule ilikuwa ni mbaya sana. "Sawa maimuna hicho mimi nimekielewa utaenda kulala huko kisiwani na mimi nitalala huku ila kitu kimoja naomba unisaidie. Maimuna tafadhari naomba Tufanye mapenzi na wewe hata kidogo tu maana hapa hivi hali yangu siyo nzuri"Nilimwambia Maimuna. Muda ule kwenye kichwa changu ilikuwa imetawala neno ngono tu. Hakuna kitu kingine chochote ambacho nilikuwa nawaza zaidi ya kufanya mapenzi na Maimuna. "Hapana hapo hatutakuwa tunafanya mapenzi bali tutakuwa tunadhini kitu ambacho tutakuwa tunaenda kinyume na mungu alivyotuelekeza. Wewe subilia Tufunge ndoa ya Pili huku duniani utapata kile ambacho unataka ila kwa leo naomba unisamehe"Aliongea maimuna na Kuanza kuondoka kuelekea kwenye kile kioo tayari kwa kuondoka. Wakati maimuna akiwa anatembea yale makalio yake yalikuwa yanatingishika hadi raha. Kwa kweli nilijikuta hamu ya ngono inanikaba ile mbaya. Maimuna alipokifikia kile kioo ghafla nilimuona Akipotea. Sikuwa na jinsi niliamka pale kitandani na kutafuta kifimbo chochote kile na kuanza kujipiga piga kwenye magoti na viwiko ili kuweza kushusha Mzuka ambao ulikuwa umenipanda. Baada ya kujipiga piga kwa muda kama wa dakika mbili hivi mashine yangu ilitulia nilienda kitandani na kulala. Kesho yake Mida ya saa tatu nilikuwa nimeshashituka. Nilipoamka niliona Kibarua mezani ambacho kilikuwa kimeandikwa jina langu. Nilichukua na kukifungua kile kibarua kilikuwa kinasomeka hivi. "BABY JIANDAE OGA KUNYWA CHAI MIMI NITAKUPITIA TUENDE SHULENI KWAKO KUMALIZA SWALA LAKO LA SHULE KABSA". Baada ya kusoma ile barua nilienda hadi bafuni nikaoga. Nilipooga nilienda kwenye kabati yangu ya nguo ambayo niliambiwa nilipewa zawadi na shemeji yangu Yusira. Nilichukua moja ya pamba ya ukweli na kulipuka kisha nilienda Sebureni kunywa chai. Nilipofika Sebureni nilimkuta yule binti wa jana ndio anatenga chai. Kwa kweli nilipomuona yule binti moyo wangu ulilipuka paa. Yule binti alikuwa mzuri sana kwa kweli. Tena mbaya zaidi muda ule alikuwa amejifunga khanga tu rubega huku asilimia ndogo ya mgongo wake na mabega yalikuwa nje. Ile Style ya khanga ambayo alikuwa amejifunga ilikuwa imefanya khanga yake kuvutika kwa juu kidogo hali iliyofanya sehemu za goti zinazounga mapaja kuonekana sehemu hizo humfanya mvulana kupandwa na mzuka pindi anapoona zile sehemu. "Dada samahani hivi na wewe ni jini"Nilimuuliza lile swali yule binti. Yule binti nilipomwambia vile alishituka sana hali iliyonifanya nijue kuwa lile neno lilikuwa geni. "Unamaana Gani boss wangu kuniambia hivyo. Kwani humu yanakaa majini"Aliniuliza yule binti huku akiwa kama anashangaa hivi lile swali langu. Moja kwa moja nilibaini kuwa huyu binti alikuwa hajui chochote. "Sina maana hiyo binti. Unajua sisi wanaume mwanamke mzuri huwa tuamwita Jini. Hivyo simaminishi kama humu yanakaa majini"Nilimwambia Yule binti huku nikiwa nabadilisha kile kitu ambacho nilikuwa nakiwaza kichwani mwangu. "Inamaana unataka kuniambia kuwa mimi ni mzuri"Aliniuliza tena yule binti swali. "Kwani wewe hujioni kwa kweli nilishawahi kuona mabinti wazuri lakini wewe umepitiliza bhana. Yani mtu unakuwa mzuri kama umetelemshwa bwana"Nilimwambia yule binti. Yale maneno ambayo nilimwambia yule binti yalikuwa kama yame mchanganya hivi. "Naona labda wewe macho yako hayaoni vizuri. Mimi tangia nizaliwe sijawahi kuambiwa mimi mzuri wala sijawahi kupewa sifa nzuri kama hizi"Aliniambia yule binti. Nilipotaka kumwambia kitu kingine mlango ulifunguliwa Na nilimuona Maimuna akiingia ndani. Ilibidi kukatisha Maongezi yetu. Baada ya kunywa chai tuliondoka hadi shuleni kwenda kumaliza swala letu. Huko nako mwalimu mkuu wala hakuzingua kwanza alitupa Asante kwa kusema namba yangu ya mtihani atawapa tu watu kibao kwani kuna watu walikuwa wanataka kurudia kusoma. Hivyo watarudia kupitia ile namba yangu.Tulirudi nyumbani huku nikiwa na furaha ya hali ya juu. Siyo mimi tu ambayo nilikuwa na furaha hadi Maimuna alionekana kufurahishwa na yale maneno ya Mwalimu wangu mkuu. Tuliamua kuelekea Moja kwa moja hadi kwa Mzee wangu kwenda kumwambia lile swala. Tulipofika kwa mzee wangu. Nilishangaa kumuona Baba yake na Maimuna na yeye alikuwa kwa mzee wangu huku wakipiga Story na kucheka mbaya.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/





    Kwa kweli dalili ambao nilikuwa naziona pale kwa baba yangu na Baba yake na Maimuna wote walikuwa wanaonekana ni watu wenye furaha sana. "Wanangu mmefika karibuni sana Mwenzio nipo kwangu hapa. Ona Sasa mzee wangu hawa watoto walivyopendeza"Aliongea Baba yake na Maimuna kwa sauti ambayo ilikuwa inajulisha kama mtu Mwenye furaha sana. Kwa kweli pale ilikuwa ni vigumu Sana mtu kugundua Kama Pale maimuna na Baba yake walikuwa Sio binadamu wa kawaida. Baba yake na Maimuna tulipofika sisi wala hakukaa Sana aliondoka. Kwani alisema kitu ambacho kilikuwa kimemleta Kwa Mzee Wangu alikuwa ameshakimaliza. Pia baada ya kumuelezea kuwa hata Sisi shuleni mambo tumeshamaliza alifurahi sana. Tayari baba yake na Maimuna alishampelekea Mzee wangu milioni Tatu kwa ajili ya maandalizi ya Ndoa yetu. Siku ilishabaki moja tu ili harusi ifanyike. Kwa kweli muda wote nilikuwa ni mtu Mwenye furaha Sana kwani nilihisi ndoto yangu inaenda kutimia sasa. Nakumbuka ilikuwa Siku ya Juma tatu ndio ilikuwa Siku ya harusi yangu. Kwa kweli ile siku watu wengi sana na Maarufu walifika kwenye harusi. Kumbe Maimuna na Baba yake walikuwa ni watu ambae walikuwa wanajulikana sana Tanzania. Wafanyabiashara mbalimbali kutoka Sehemu mbali mbali za Tanzania walikuwa wamefika. Pia kutokana na Umaarufu wangu shuleni Wanafunzi kibao walikuwepo kwenye harusi yangu. Kwa wingi wa wanafunzi ambao walikuwa wamefurika pale nyumbani kwetu sijui siku hiyo kama Kulikuwa na Shule. "Kwa hiyo Mwanangu wewe umeamua hakuna tena kukalili historia ya Mkwawa. Ila Mwanangu unabonge la zali sana. Mimi mwenyewe nimechoka chalii yangu maana nameza vitu vingine ambavyo havina hata umuhimu bora nipate zali kama wewe. Hebu fikilia Ndugu yangu kwenye haya Masomo kama Historia. Watu tunakalilishwa mara Mkutano wa Berlin, mara Kifo cha mkwawa, mara ukoloni hivi ni Faidi gani mtu ambaye anapata kupitia hivi vitu. Yani kuna vitu vingine kichwani Tunajaza Ujinga tu. Hivi kama nikiweka Mkutano wa Berlini kichwani Mwanangu ni faida gani ambayo nitaipata Baadae. Yani bora kukalili aina za Mampishi au mbinu bora za kilimo maana zitanisaidia kuliko Upuzi mwingine ambao tunafundishwa alafu hauna faida yeyote. Lakini kapopo angalia Usije kunisahau tumetoka mbali sana Rafiki yangu"Aliongea Mdete kama kawaida yake. Muda wa saa sita hivi ndio watu walianza kuondoka kuelekea ukumbini. Maana ndoa ilikuwa inaenda kufingiwa Msikitini na Sherehe ingeenda kufanyika Singida Motel. Hivyo watu ambae walikuwa Wakristo na wale ambao walikuwa Waislamu ila hawakupenda kwenda Msikitini kushuhundia ndoa inavyofunga walianza kutangulia Ukumbini. Mimi nikiwa na Mpenzi wangu maimuna ambaye siku ile alikuwa amependeza kupita kiasi tulipakiwa kila mmoja kwenye Gari tofauti na Safari ya kuelekea Msikitini ilianza. Pale Msikitini Ndoa ilifungishwa Vizuri na Shekhe mkuu wa Mkoa wa Singida kisha Watu walitoka kuelekea Ukumbini kwa ajili ya Sherehe zaidi. Yani siku hiyo hakuna kina mama ambao walihangaika sijui kupika wali au Makande. Siku hiyo chakula kilipikwa na Wampishi Special kutoka Singida motel. Tulipofika Ukumbini kwa kweli tulikuta Watu wamefulika Ukumbini hadi nje. Kwa kweli watu walikuwa wengi sana hadi nilianza kuogopa. Nje ya Ukumbi kulikuwepo na Scania ambaye ilikuwa na Kreti za Soda. Sherehe ilianza kufanyika na kila Mtu akiwa na raha ya aina yake. Ulifika Muda sasa wa familia mbili kutambulishwa yani upande wa Kwa Maimuna na upande wetu. Walianza Wageni kwa Maimuna Mohamed ndio aliyopewa nafasi ya kuwatambulisha wageni kutoka kwao. Alipomaliza Mohamed ilifuata zamu yetu. Nilimuona Mjomba wangu yule ambaye alikuwa ameenda kwa Mganga akisimama. Mjomba wangu alianza Kumtambulisha Baba yangu mzazi alisimama. "Sasa anayefuata ni mama yake mzazi na huyu kijana. Huyu ndio ambaye amehangaika kumlea Mwanae naomba tumpigie vigelegele"Aliongea Mjomba wangu na watu walipiga vigelegele. Kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa mtu ambaye aliamka kweli alikuwa ni mama yangu. Kwa kweli kile kitu kilinishangaza sana. Maana mama yangu alikuwa ameshakufa hilo baba yangu mjomba wangu na watu mbalimbali walikuwa wanalijua hilo sasa iweje tena awe mzima. Tena kitu ambacho kilizidi kunishangaza watu wote walimpigia vigelele huku wakishangilia hakuna hata mtu mmoja ambaye alionekana kushitushwa na kile kitu.



    ****************** Kwa kweli baada ya kumuona yule Mtu ambaye alikuwa Ametambulishwa na Mjomba wangu kuwa alikuwa ni mama yangu nilibaki nikiwa nashangaa sana huku nikiwa najiuliza Maswali ambayo majibu yake yalikuwa Magumu sana kupatika. Nilifikicha macho yangu huenda nilikuwa Sijaona Vizuri yule huenda hakuwa mama yangu. Hata nilipofikicha macho yangu ukweli uliendelea kubaki Pale pale kuwa yule alikuwa ni mama yangu. "Hongera Sana Dada yangu Hadija kwa kuzaa mtoto wa kiume ambaye baadae amekuongezea Famila. Kwanza unajisikiaje kuwa na Undugu na hawa watu weupe Maana mwanao kaoa Mwarabu wajua"Aliongea Mjomba wangu akimwambia Mama yangu maneno ambayo yaliwafanya watu wote ukumbini wacheke. Wakati watu wakiwa wanacheka mimi nilikuwa na Wakati mgumu wa kuwaza pale. Kwani nilizidi kuchanganyikiwa zaidi nilipomuona Mjomba wangu akitaja kabsa na jina la mama yangu ambae kweli alikuwa Anaitwa Hadija. "Kwa kweli ninafurahi sana kwa Mwanangu kutuongezea Familia. Furaha niliyonayo kwa kweli siwezi kuelezea ila namshukuru tu kwa Mungu"Aliongea mama yangu kisha alikaa chini. Kuongea kwa Mama yangu ndio kulinifanya niamini kama yule alikuwa mama yagu kwani sauti ilikuwa ni ile ile. Sasa swali ambalo nilikuwa najiuliza siku ile ya Msiba ni nani ambaye alikuwa Amekufa maana Mtu ambaye tulikuwa tumemzika alikuwa ni mama yangu. "Kwa kweli hii ndoto itakuwa siyo ya kawaida. Haiwezekani ndoto moja tuote inafanana hivi. Mimi mwenyewe nimeota kuwa nilikuwa kwenye harusi ya Mjomba wangu kapopo akimuoa huyu binti ambaye alikuwa ameleta zawadi hapa. Tena mbaya zaidi kwenye hiyo harusi hata marehemu Dada yangu alikuwepo. Alafu niliposhituka kweli nilijikuta nimeshiba"Nilikumbuka moja ya maneno ambayo nilishawahi kumsikia mjomba wangu kabsa wakiongea na ndugu zangu siku ambaye nilifunga ndoa kisiwani na Maimuna. Sasa hapo ndio nilizidi kuchanganyikiwa zaidi kwani sikuelewa mjomba wangu aliposema marehemu dada yake alikuwa anamanisha dada gani wakati siku ya leo ndio ambaye alimtambulisha kwenye harusi. "Sisi majini tumegawanyika katika sehemu mbili, Yapo majini Shauma na Majini Yauma, Majini Yauma ni yale Majini yote ambayo hawapendi kufanya mambo Maovu. Haya majini huwa Yanajua uwepo wa Mungu na yanamwabudu mungu. Asilimia kubwa ya haya majini dini yao huwa ni Waslamu. majini aina ya Shauma haya ni Majini ambayo yanafanya vitu ambavyo siyo vyakawaida. Mfano yanapo mpenda mtu ili kumpa Utajiri lazima yatampa Shariti la kumwaga damu. Pia haya Majini yanaamini uwepo wa mungu ila vitu ambavyo wanavifanya ni vya kishetani. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Wanatoa kafala ili kuweza kufanyikisha kitu kiwe na mvuto kwa watu. Mfano bar zote ambazo utakuta watu wamejaa na wanauza sana jua hiyo bar lazima kuna kafala flani huwa inatolewa. Kupitia haya Maelezo unaweza kubaini mimi ni jini gani" Nilikumbuka moja ya maneno ambayo alishawahi kuniambia Maimuna. "Hilo ambalo unawaza kichwani Kwako upo tofauti. Mimi siyo jini Shauma bali ni Jini Yauma. Kumbuka mtu ambaye alikuambia Umtoe kafala mama yako ili unioe alikuwa ni baba yangu na siyo mimi. Pia hata baba yangu siyo shauma utaenda kujua mbele kwa nini naongea hivi" Nilikumbuka pia maneno Mengine ambayo alishawahi kuniambia Maimuna. Hapo kweli nilianza kupata wasiwasi huenda mama yangu bado alikuwa mzima. Kwa maelezo yale ambayo alinipa Maimuna siku ile nimefika kwenye kisiwa cha majini yalinifanya nianze kuamini huenda kweli mama yangu alikuwa Mzima. Hata hivyo bado nilikuwa siamini kihivyo kama mama yangu kweli alikuwa Mzima mbona ndugu zangu wote walikuwa wanalia na watu kibao walikuwa wamekuja kwenye msiba. Inamaana hata mjomba wangu nilipomuona kwenye kioo akienda kwa Mganga alikuwa ameenda kufanya nini. Kila nilipokuwa nawaza nilizidi kuchoka. Wakiti nikiwa nawaza yale ulifika Muda wa kwenda kupewa zawadi na baba yake na Maimuna kisha nampelekea mama yangu. Hapo kwa kweli moyo wangu ulianza kwenda mbio sana. Ila nilitaka tu kwenda kuchukua zawadi na kumpelekea ili nikahakikishe kwa karibu kweli yule alikuwa ni mama yangu.







    Niliamka Kwenye kiti huku Nikiwa Natetemeka Kuelekea kwa Baba yake na Maimuna ambaye ndio Alitakiwa kunipa Zawadi alafu nipeleke kwa Mama yangu. Nilipoamaka kwenye kiti na kufika katikati ya Ukumbi niligeuka Tena kuangalia kwenye Viti ambavyo alikaa mama yangu na baba yangu, Bado nilikuwa Namuona Mama yangu akiwa ananiangalia huku uso wake ukiwa Umejaa tabasamu ambalo Bila shaka alionekana akiwa na furaha sana. Nilienda hadi Kwa baba yake na Maimuna nikachukua Boksi ambalo lilikuwa limefungwa Vizuri kwa Gift paper kisha Niliondoka Kuelekea Kwa mama yangu Kwenda Kumpa ile Zawadi. Kila nilipokuwa nazidi kupiga Hatua kuelekea kwa Mama yangu ndio Woga ulikuwa unaongezeka zaidi. Kwani bado nilikuwa Sijaamini kama yule alikuwa Mama yangu. Sikuwa na jinsi niliamua kujikaza Kisabuni hatimae nilimfikia Mama yangu. Nilimwangalia Kwa umakini wa Hali ya juu kweli alikuwa mama yangu. Ili kuhakisha zaidi kama yule alikuwa ni mama yangu niliamua kumpa na mkono. Lengo kama Ungekuwa ni mzimu wa mama yangu kama alivyokuwa Anadai Maimuna basi nisingeweza kumshika. Nilipompa mkono kweli nilimshika Vizuri tu mama yangu. "Hongera Sana Mwanangu kwa kupata Mke bora. Nakuhitaji muwe waaminifu tu katika Mapenzi yenu na Muwe na Mapenzi ya dhati kama mimi na baba yako"Aliniambia mama yangu. Kwa kweli kupitia yale maneno na jinsi nilivyomshika mkono Nilihakikisha yule alikuwa ni mama yangu. Sasa Jibu ambalo nilikuwa najiuliza pale Yule ambaye alikuwa amekufa alikuwa ni nani. Nilipomkabidhi mama yangu ile zawadi niliondoka huku kichwani nikiwa nimechanganyikiwa Sana na kwenda kukaa kwenye sehemu yangu. "Kapopo ile ndoto yako ambayo ulikuwa unaiota sasa mbona umefanya kinyume Mwanangu. Sasa mimi nitabaki na nani Sasa, kila siku nilikuwa nakwambia nitoe Mimi lakini hujanielewa"Nilikumbuka Moja ya maneno ambayo aliwahi kuniambia baba yangu baada tu ya mama yangu kufa. Kwa kweli kila nilipokuwa nakumba vile vilio vya baba yangu pamoja na ndugu zangu ndio nilikuwa nachanganyikiwa zaidi. Nilikuwa najiuliza Maswali kama wale ndugu zangu siku ile walikuwa wanalia hivyo kwa hiyo walikuwa wanamlilia nani. "Ana haki ya kuchanganyikiwa Mjomba wangu Maana kifo cha mama yake ni cha ghafla sana. Dada yangu kwa kweli hata hakuwa anaumwa, ameongea tu ghafla tumbo linamuuma alafu akafa"Nilikumbuka pia Maneno ya mjomba wangu ambaye alikuwa anawaambia watu ambae walikuwa wananishangaa pindi nilipokuwa nasema mama yangu hajafa. "Maimuna kwa kweli hebu naomba uniambie mama yangu yupo mzima au amekufa. Maana mama yangu yupo pale namuona Mzima na mjomba wangu kamtambulisha"Nilijikuta namuuliza Maimuna maana Uvumilivu ulinishinda. "Kwa kweli wewe kapopo kifo cha mama yako kimekuchanganya Sana. Inaonekana huyu mtu ulikuwa unampenda sana. Maana kama hata mama yako mdogo unasema mama yako ujue ulichanganyikiwa sana. Yule ni mama yako mdogo na wala siyo mama yako"Aliniambia Maimuna huku akionekana kunishangaa. Kwa kweli yale maneno Ya maimuna yanilinishangaza Zaidi. Ilibidi nigeuke tena kuangalia ile sehemu ambayo alikuwa amekaa mama yangu. Nilipogeuka kuangali cha ajabu kweli niliona kwenye kile kiti ambacho mama yangu alikuwa amekaa alikuwa ni mama yangu Mdogo.



    *************************************** Kwa kweli nilipoangalia kwenye sehemu ambayo mama yangu mzazi alikuwa yupo na kukuta mama yangu mdogo ndio yupo pale nilibaki nikiwa nashangaa tu. Nilishindwa kuelewa imekuaje pale mama yangu hayupo wakati hadi nampelekea zawadi alikuwa ni mama yangu. Kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa sana hasa na maimuna aliponiambia yule kweli alikuwa ni mama yangu mdogo na mama yangu alikuwa amekufa. Hata furaha ya harusi kwangu kwa kweli ilitoweka. Maana haiwezekani nimuone mtu ambaye alikuwa muhimu sana kwangu, pia namfahamu sana leo nakuja kuambiwa kuwa hakuwa yeye. Sherehe bado ilikuwa imeendelea na muda huo watu walikuwa wamekaribishwa kutoa zawadi mbali mbali. Wakati watu wakiwa wanatoa zawadi ilibidi na mimi niamke kwenda kumuulizia mjomba kitu. Maana muda huo ilikuwa changanikeni mbaya hata mtu angeniona asingenihisi vibaya. Kwa kweli nilishindwa kuvumilia nilitaka kwenda kumuuliza Mjomba wangu kwani yeye ndio alikuwa anatambulisha ndugu upande wetu. Nilitaka akanieleze yeye mama yangu mzazi aliyemtaja kwa jina lake kabsa alikuwa ni yupi. Nilimwambia Maimuna kuwa kuna kitu nataka kwenda kuongea na mjomba wangu hivyo anipe dakika mbili tu nitarudi. Baada ya maimuna kuniruhusi nilienda hadi kwa mjomba wangu. Mjomba wangu aliponiona alionekana ni mtu ambaye alikuwa na furaha sana. "Mjomba samahani kuna kitu nataka nikuulize maana wakati ulipokuwa unatambulisha ndugu upande wetu ulimtaja hadi mama yangu mzazi. Mbona mimi najua kuwa mama yangu ameshakufa. Je yule mama uliyekuwa unamtambulisha alikuwa yupo?"Nilimuulizia mjomba wangu. Cha Ajabu mjomba wangu nilipomuuliza vile nilimuona akibadilika na machozi yalianza kumtoka. Kwa kweli kile kitendo cha mjomba wangu kuanza kulia kilinishitua sana. Nilishindwa kwa nini sasa mjomba wangu alie badala ya kunijibu kile kitu ambacho nilikuwa nimemuuliza. "Mjomba wangu sasa mbona unanikumbusha huzuni ambao nilishausahau. Mjomba wangu mama yako mbona ameshakufa na mimi wala sijamtambulisha kwenye hii harusi. Mjomba kifo cha dada yangu kwa kweli kiliniumiza sana na huwa najitaidi sana nisahau lakini imeshindikana. Juzi juzi nilikuwa nimeenda kwa Mganga ili kuweza kujua sababu ya kifo cha dada yangu ni nini?. Maana huwezi amini kila nikilala huwa nahisi Dada yangu ananijie kwenye ndoto na kuanza kuongea naye. Ila umenishitua sana uliponiambia kuwa at mimi nimemtambulisha mama yako. Mjomba wangu labda umesikia vibaya tu mimi nilimtambulisha mama yako mdogo"Aliongea mjomba wangu maneno ambayo yalinifanya yanichanganye zaidi. Kwa kweli yale majibu ya Mjomba wangu bado sikuyaelewa vizuri. Niliamua tu kwenda kumuuliza baba yangu na mama yangu mdogo maana kwenye kiti ambacho alikuwa amekaa mama yangu ndioa alikaa mama yangu mdogo. "Mzee mama yangu mbona alikaa kwenye hiki kiti ambacho amekaa mama yandu mdogo. Hivi ni kweli mama yangu mzima au ameshakufa"Nilimuuliza mzee wangu baada ya kumfikia. Kwa kweli lile swali liliwafanya mama yangu mdogo na baba yangu hadi wasimame kwenye viti na kuanza kunishangaa. "Mwanangu unaongea nini hivo hebu acha utani wako bhana. Itakuwaje mtu ambaye alishakufa na tumemzika leo umuone hapa. Hebu acha utani wako kuna vitu vingine siyo vyakuongea. Hapa tulikuwa tumekaa na mama yako mdogo tu"CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/Alinijibu mzee wangu huku akiwa ananishangaa. Sikuwa na jinsi niliamua nitulie tu ingawa kweli nilimuona mama yangu mzazi. Mama yangu mimi namfahamu hata ningelikuwa nimechanganyikiwa kivipi nisingeweza kumfananisha na mama yangu mdogo. Nilirudi hadi kwenye kiti na kwenda kukaa. Cha ajabu nilipokaa tu kwenye kile kiti nilianza kuhisi nikiwa na furaha sana. Nilijiuliza kitu gani ambacho kilinifanya niwe na furaha ya ghafla hivi lakini sikuweza kupata jibu. Yani moyoni nilikuwa na furaha isiyokuwa ya kawaida bila kujua chanzo cha furaha ile ilikuwa ni nini. Hatimae sherehe iliisha na mimi nikiwa na Mpenzi wangu tuliingia kwenye chumba chetu hotelini. "Sasa leo hii ni halali yako kukupa kitu chochote ambacho unakitaka. Leo ndio nakukabidhi penzi langu rasmi"Aliongea maimuna huku akianza kutoa gauni lake zuri ambalo alivaa. Kwa kweli nilijikuta hadi naanza kutetemeka kwa furaha huku mzuka wa ngono ukinipanda kwa kasi ya juu. Kuna vitu vingi nilitaka kujua kutoka kwa maimuna. Kwanza nilitaka kujua utofauti wa penzi la jini na binadamu wa kawaida. Pia nilitaka kujua kwa uzuri ambao alikuwa nayo maimuna je penzi lake litakuwa zuri namna gani.





    Kwa kweli baada ya kumuona Maimuna anavua nguo zake tayari kwa kutaka nije nimuonje ulolo nilijikuta Mzuka unanipanda kichizi. Taratibu Maimuna alitoa nguo zake zote na kubaki kama alivyozaliwa. Baada ya kumaliza kuvua nguo zote maimuna alianza kutembea kuja kwangu. Kwa kweli hadi Udenda ulinidondoka kwani Maimuna alikuwa anavutia mbaya. Baada ya kubaki uchi umbo la maimuna ndio lilizidi kunichanganya kabsa. Maimuna alikuwa na kiuno kidogo sana huku makalio yake yakiwa makubwa. Kile kiuona wakati unamla utamu utamu ilikuwa Rahisi kukishika na kumgeuza kivyovyote vile ambavyo wewe ulikuwa unataka. Mapaja ya maimuna pia yalikuwa yanavutia zaidi kama ungeyaona alafu usingefanya kitu chochote na Maimuna lazima punyeto ungeenda kupiga maana uzuri wa mapaja ulikuwa hauelezeki. Maimuna alikuwa na mapaja meupe ya kuvutia ukiwa unaelekea kwenye magoti yake yalikuwa yanaacha michirizi ya yangi ya kikahawia ambayo huwapagawisha wanaume wengi sana. Achilia mbali mapaja ya Maimuna pia Mungu alimjaria kuwa na Matiti ya Saa kumi na mbili Alfajiri siyo saa sita tena. Matiti ya maimuna hayakuwa madogo sana wala makubwa sana ila yalikuwa ya wastani alafu yalikuwa yamevimbiana na kusimama kama mashine ya masai. Kitovu cha Maimuna kilikuwa kidogo cha kawaida ambacho mwanaume ukikiangalia lazima udende ukutoke. Achana na hizo sifa zote ambazo Maimuna alikuwa nazo Pia maimuna alikuwa na sifa moja ambayo ndio huwa muhimu sana na huwapa wanaume moyo wa kuendelea kuwa na mke yule. Kwa macho nilivyo liangalia Tunda la Maimuna moja kwa moja niligundua hili tunda litakuwa lambata kwani lilikuwa limevimbia kama vitumbua vya Mchele ambavyo huwa anapika mama pendo. Nywele chache ambazo nyie mnaita Mavu mavumbi ya kokoto zilikuwa zimezunguka hilo tunda na kulifanya liwe na mvuto zaidi. Nilichokuwa natamani kwa Muda ule ni kujalibisha kweli litakuwa tunda la mbata kama ninavyo hisi au uongo. Tayari maimuna alikuwa ameshanifikia ile sehemu ambayo nilikuwepo. Muda huo nilikuwa na hamu huku mashine yangu ilikuwa imesimama hadi nilikuwa natetemeka. Jasho usoni tayari lilikuwa linanitoka kwa kasi ya ajabu Utafikilia nilikuwa naota moto jiji la Dsm saa sita mchana. Baada ya Maimuna kunifika alianza na mimi kunitoa Nguo zangu taratibu hatima nilibaki kama nilivyozaliwa. Mimi bado nilikuwa namshangaa Maimuna kwa yale mambo ambayo alikuwa anayafanya. Alipomaliza kunivua nguo zote alinisukuma kisha na mimi nilianguka Kitandani kirahisi kama Gunia ya pamba. Nilipoanguka kitandani na kulala chali mashine yangu iliangalia juu. Maimuna alikuja na yeye akanikalia kwenye mapaja yangu kisha aliishika mashine yangu na kuitumbukiza yote mdomoni kwake. Nilibaki nikiwa nashangaa kumbe na Majini nayo yalikuwa yanafanya kama binadamu wa kawaida tu stairi hii. Baada ya maimuna kuingiza mashine yangu Mdomoni kwangu Taratibu alianza kama kunyonyoa hivi. Kwa kweli ile hali ilinifanya nisikia raha ya ajabu. Raha ambayo nilikuwa naisikia Muda ule ilikuwa kama nimepanda Ndege ya Air force one alafu naelekea white house yani Ikulu ya Rais wa marekan obama kwenda kufanya kazi. Kwa kweli katika Mapenzi hakuna kitu ambacho kinamfanya Mwanaume kusikia raha ya hali ya juu kama kumnyonya mwanaume mashine. Hii njia huwawi sana kumpa Raha mwanaume na kujifunga bao kabla hata ya mechi. Pia hii njia ndio hutumiwa na Wanawake Makahaba ambayo wanahitaji labda kumuibia Mwanaume pesa au kituchochote cha muhimu. Kwani pindi Mwanamke anavyokunyonya Mashine yako hara ambayo utakuwa unaisikia itakuwa ya kutisha. Pia ubongo wote yani namanisha Ubongo wa mbele, nyuma na kati hufanya kazi moja tu ya kukufanya usikie ule utamu. Hivyo wakati ukifanyiwa tendo la kunyonywa mashine vitu vyote vinasimamishwa kwenye ubongo wako hata kama ulikuwa umefiwa unasahau. Hata kama ulikuwa upo na mke wa mtu unaiba unasahau, hata kama ulikuwa unafanya mapenzi na Mwanamke Kahaba mwenyewe utamwambia Baby nakupenda. Hivyo muda kama huo ndio mwanamke kahaba huweza kuchukua kitu chocote ambacho anataka kwani atajua hujitambui. Pia ukifanyiwa hiki kitu cha kunyonywa mashine kisha akaacha Ghafla hutaweza kuamka muda ule ule hadi dakika kama tatu hivi zipite. Utamu ambao nilikuwa nausikia kutoka kwa Maimuna jinsi ambavyo alikuwa ananifanyia huduma ulikuwa unatisha. Maimuna alikuwa aingiza mashine yote mdomon kwake kisha anaanza kama kuitoa. Hali ile ilikuwa inanifanya na mimi ninyanyue kiuona changu juu kwa nguvu kuufuata mdomo wa maimuna. Pia maimuna alikuwa kama anaing'ata kidogo mashine yangu hali ilikuwa inanifanya nisikia Msisimko wa kutisha. Kwa kweli Muda ule maneno kibao yalikuwa yametawala Mdomoni kwangu na yalikuwa yanatoka bilaMpangilio wala mimi sikuwa najielewa. Maneno kama baby i love you, oooooh shiiiiiiiiiit baaaaaaaaaaby yalikuwa yanasikika sana. CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    ********************************************



    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog