Simulizi : Jini Husnat
Sehemu Ya Nne (4)
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
katika eneo lile wakabaki mme na mke yani mfalme na malkia wake wakiangaliana.yamkini mfalme alikuwa mbali kimawazo akashtuka na kuhema kwa nguvu! malkia wake sumaiya akimwangalia ishara ya kumuuliza kiendeleacho?! macho yake yakatua katika miili ilobaki pale ndipo akaukumbuka wadhifa wake! kama kichwa cha familia! mke wake alisubiria aambiwe na mme wake kipi kifanyike kwa sauti ya upole jini MUKRAIYAH akamwambia mke wake....
"mke wangu ita vijimweni au vijakazi kama si watumwa!"
"rabeyka mme wangu!" sumaiyah akaitika mukraiyah akaendelea
"wambebe JINI ZAIDATU arudishwe kwao akazikwe ki heshima mi ntaongea sababu ya kifo chake!" akaweka kituoa tena ili maneno yake yapatwe kusikilizwa kwa makini na akusudiwaye
"swadakta mme wangu!" sumaiyah akaitika! mumewe akaendelea
"huyu binadamu afungiwe gereza la mashetani bundi vichwa vikubwa wamtese wasimuuwe mpaka mwanetu atoe idhini auwawe au arudishwe duniani yeye ndo chanzo ya hivi vyote!"
"sawa mme wangu!"
"fanya kama nilivyokwambia wacha mi nikapumzike sijisikii vizuri"
baada ya mfalme MUKRAIYAH kutoa kazi akatoweka! SUMAIYAH akapiga kofi moja wadada wazuri wakatokea
"ubebeni huo mwili upelekeni unapostaili ipeni familia pole waambie mfalme atazungumza juu ya kifo chake!..."
******CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
JINI SUMAIYAH akapiga tena kofi wakatokea viumbe wa kutisha sana,viumbe hao walokuwa na pembe vichwani mwao na miba miba katika miili yao,maskio makubwa na chongo! katika macho yao,kila mmoja alikuwa na jicho moja katikati ya paji la uso,jicho lililokuwa na mwanga mkali! miguu yao ilikuwa na kwato kama za mbuzi meno yao yalikuwa marefu yalochongoka na kucha ndefu zenye ncha kali! mikono ya kila mmoja ilibeba rungu lililozungukwa na miiba akika walitisha jina lao hao viumbe waliitwa guantanamo jina hili ndilo lililotumika katika gereza kubwa la mateso nchini marekani asili yake lilitokana na mateso ya watu hawa.asili ya majini wenyewe waliogopa kupelekwa guant je kwa binadamu itakuwaje?
midomoni mwao walifoka moshi! wakatoa ishara adhimu ya salamu!
"yah malkayi kuntum dainna kanna" (ewe malkia tumeitika wito) waliongea kwa lugha asrafu ya kijini!
"naimma lau binaghadamu zantaa guantanamu mulkah mlayna aswaakrau bil kanafat dau" (mchukueni binadamu mpelekeni guanatanamo mpeni mateso ya uhai)
bila kujibu kitu wakamvamia JOHN vergan uchu ukionekana katika mioyo yao wakatoweka nae.
-....-.....-....-
NJE YA WODI
JINI ZULUWALAD akuweza kukaa kukakalika,mara akae,mara asimame,mara atembee,mara achuchumae,mara aufate mlango nakutaka kuingia subra ikionekana kumpiga mkono mara arudi! ili mradi utulivu ulikosekana moyoni mwake! mara mlango ukafunguliwa daktara kwa mwendo wa haraka akachepuka.zulu akamzuia kwa kumkwida kola la koti lake la kidaktarari daktari akapigwa na butwaaa!
"naambie mpz wangu anaendeleaje?" kiubabe zaidi zulu akaoji akiusoma woga wa waziwazi kwa daktari yule
"noup prinsi mkeo anaendelea vizuri unaweza kwenda kumuona sasa"
ZULU akaachia tabasamu la matumaini,akamuachia daktar yule nadhifu aliyejiweka vizuri kula yake na kwelekea alipokuwa anaelekea
jini zulu akaingia wodini alipolazwa mpz wake katu akuweza kuyazuia machozi kumtoka:(MACHOZI YA DAMU)
MAPENZI ni mateso ni wazi zulu yalimtesa! akapiga magoti
Jini ZULUWALAD akapiga magoti! alishindwa kuyazuia machozi kumtoka,machozi yaliyokinifu udhaifu wake kwa binti yule,machozi ya damu ishara ya maumivu katika moyo wake akaifumbata mikono yake miwili katika mikono ya kipenzi cha moyo wake jini HUSNAT akatoa sauti ndogo,sauti ya upole,sauti ya unyenyekevu sauti ya kubembeleza kwenda kwa binti yule kiadhi ambao hata robo awakulingana.
"pole sana husnat wangu! malkia wa moyo wangu nisamehe mimi....!"
kabla ajaendelea akakatishwa na sauti aloisikia kwa mbali,sauti ambayo ilikuwa ni kama ala laini ya mziki wa taratibu ubembelezao katika masikio yake.sauti hii leo ilikuwa ni kaa la moto lililopigwa katikati ya moyo wake na kuacha jeraha lisilofutika ni pale husnat alipomjibu:
"naomba niache ZULUWALAD sikupendi!,niache kwa nini walazimisha mapenzi? niache kwanza VERGAN wangu yuko wapi?"
mapenzi ni maumivu pindi hisia mbili zikishindwa kushabihana zulu alijihisi kachomwa na mkuki wenye ncha kali katikati ya moyo wake.yule aliyempenda akumpenda!,na wale asiyewapenda walijipendekeza kwake mapenzi ndivyo yalivyo: akuweza kuizuia mvua ya machozi kumwagika.kwa majini lilikuwa ni kosa kwa mtoto wa mfalme kutoa chozi mbele ya mwanamke mapenzi yana nguvu aya angalii wasifu,nyadhifa wala umaridadi wa mtu taratibu kijana yule kwa unyonge akajinyanyua na kuondoka eneo lile moyo ukimuuma.....ila hasira kwa binadamu kizuizi kwa husnat kikaongezeka akaweka nadhiri ya kumwangamiza vergan ili husnat akaki kuwa wake....wake peke yake.
-....-....-....-
GUANTANAMO
Vergan akiwa kafungwa ndani ya chumba hiki fahamu zikamrejea! alishtushwa na sehemu aliyokuwepo macho yaka ambaa kutazama mandhari ya kuogofya alokutana nayo.giza katika chumba kile kikayazoea macho yake.akaitaji angalau mwanga afifu.pua zilichoka harufu ya mwozo wa asichokijua,masikio yalisikia mwitiko wa viumbe kama nyuki au nzi akuweza kugundua ni viumbe gani!
"BINADAMU KARIBU KATIKA UTAWALA MPYA"
Ghafala akashtushwa na sauti kali kama radi iloambatana na tetemek
********
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
sauti ile ikasababisha tetemeko la ardhi! ardhi ikamegeka na kuacha kaupenyo kalichombana VERGAN maumivu makali yakatambaa katika mwili wake! vicheko mbalimbali vikiyasumbua masikio yake! wakati akaendelea kubanwa na vicheko vya dhihaka vikimcheka katika masikio yake akahisi maumivu makali ya kichwa mtu akipiga ngoma katika kichwa chake.hakika jumla ya maumivu aliyoyapata akuwah kufikiri kama yapo katika dunia hii.mdomo ulikuwa kama umebanwa na supaglu katu akuweza kuufumbua kuwasilisha kilio chake kwa maombi! mawazo yalitekwa na kile afanyiwacho.baada ya dakika kadhaa za mateso yale.vyote vikakoma.ghafla mwanga mwekundu ukatawala! mh! salale kutawala kwa mwanga ule lilikuwa ni jambo lingine la mateso kwake kwani wadudu wale alowafananisha na nzi au nyuki wakamvamia walikuwa mfano wa nge wapeperukao walimngata kila mahali usoni,tumboni...vergan akaanza kuembea kwa kutivuta kupepesuka huku akiwa bado kajikinga usoni na wadudu wale wa ajabu! juu ya paa damu zilidondoka na kumwagikia,akujua zinatokana na nini aliendelea kujisogeza mbele ndani ya chumba kile bila mwelekeo maalumu akuona mbele kwa kuziba macho yake ghafla akapamia kitu.wadudu wale wakatoteka!
"mbona tunagongana kaka?"
akashtushwa na sauti! akapata shauku la kutaka kumjua mmiliki wa sauti ile akatoa mikono usoni MUNGU WANGU alichokutana nacho kilimfosi kuzimia lakini akuzimia kichwa chenye chongo katika kisogo,pembe mbili katika kichwa kile jicho moja lililoleta nuru ile nyekundu katika chumba kile meno marefu ulimi kama wa kinyonga haloutoa toa nje kucha ndefu katika mkono mmoja alokuwa nao mkono huo ulozungukwa na miiba na kushkilia kitu mfano wa mnyororo wa baiskeli ulowakawaka alikuwa na mguu mmoja wenye kucha ndefu! pamoja na vyote mwili wake ulikuwa umeoza ukitembelewa na mafinyofinyo! mdomoni kila ulimi ulipotoka nje alifoka moshi! wakati VERGAN akiendelea kumtadhmini kiumbe yule ambaye akujua kama ni jini,shetani,au pepo kiumbe yule akaanza kumsogelea kwa kurukaruka
"nadhani! (nadhani! nadhani!) ujanijua! etie (nijua! nijua etiee)" kiumbe kile kiliongea kwa sauti ya mwangwi huku kikiushikilia mnyororo wake vizuri
"obishi ndo jina langu! kiumbe katili ewe binadamu unajua kupendwa etie?"
vergan akujibu kitu alitetemeka! akuweza kusogea eneo lile alilokwepo.alikuwa kama kagandishwa na gundi.ghafla obishi akageuka na kuwa nyoka mkubwa aina ya chatu akimfata kwa spidi vergan alijaribu kupiga kelele sauti aikutoka,akuwezaa hata kujitingisha nyoka yule akamfikia na kujiviringisha kwake akaanza kumbana maumivu makali yakasambaa katika mwili wake ghafla akamdunga sumu kali ikaanza kutambaa katika mwili wa kijana yule mguu taratibu ukaanza kuwa mweusi! nuru usoni ikaanza kutoweka! giza kutawala na atimaye akapoteza fahamu! obishi nyoka! akamwelekeza mdomoni vergan na hatimaye akamdumbukiza katika mdomo wake mkubwa na kummeza!.
JINI HUSNAT alikonda kwa mawazo! hakupata taharifa yoyote juu ya aliyopo mpz wake! aliwekewa ulinzi maalumu
shamra shamra na maandalizi ya harusi ya mtoto wa mfalme ZULUWALAD yalipamba moto! na hatimaye kwa kasi ya ajabu HUSNAT akawa gumzo kwa kila kiumbe.mama yake akuacha kumtembelea na kumweleza juu ya mateso ayapatayo VERGAN
"sijui kama atapona mpz wangu mamaa chanzo ni mimi!"
"usiseme hivyo mwanangu utazoea tu! ishu ni tumuombee MUNGU asiteswe na OBISHI CHATU maana akimmeza ndo atutomwona tena."
neno ilo likazidi kumuumiza HUSNA machozi yakatawala katika kingo za macho yake akapanua mkono wake akanuia maneno kadhaa taswira ya guantanamo ikajijenga katika kiganja cha mkono wake.akashtuka baada ya kumuona vergan akiwa kabanwa na chatu obishi na atimaye kummeza.husnat akaangua kilio alijua uo ndo mwisho wa vergan! alilia alimlilia mpz wake! mtu au kiumbe kilichomezwa na chatu yule uwa akikurudi! ilo lilitambulika na wanajini wote.ivyo husnat alikuwa kampoteza rasmi vergan wake! aliomboleza akaweka nadhiri ya kulipiza kisasi! kwa kuanza na obishi...kiumbe kisicho onekana kilichommeza mpz wake..
******
Hakika uchungu wa mapenz umpata apendaye! uchungu huo ulimuathiri sana HUSNAT! kitendo cha kugundua kuwa kamezwa na obishi asiyeonekana kilimfadhaisha sana! alilia! lakin kilio icho akikufuta majonzi yalomuathiri! ZULUWALAD alijitaidi kuwa naye karibu nakumfariji! kiafya hali yake ilitengemaa.
"sasa ni wakati muafaka wa kufanya nnachotakiwa kufanya ntakuwa mnyonge mpaka lini!?"
aliwaza jini husnat.tayar alishapata jibu! akatabasamu na tumaini jipya likajengeka usoni mwake!
"lazima nikuangamize obishi!"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
akaweka kiapo kwa mara nyingine tena.....
-....-....-....-....-
kesho yake aliamka mwingi wa furaha ata ZULU alipokuja kumtembelea.alimpokea kwa bashasha kumbatio na mabusu mfululizo mwili wa kijana yule wa kijini ukasisimka AKUAMINI
"Maandalizi ya harusi yetu yanaendeleaje mpz?"
lilikuwa ni swali lililomwacha njia panda zulu.alitetemeka kwa kutokuamini kabla ajajibu akapeleka kidole chake jichoni ilhali akihisi pengine alikuwa ndotoni.ulikuwa ni ukweli mtupu akuweza kukizuia kicheko.kicheko cha furaha.hatimaye zulu anaenda kuwa mke wake kamili lilibaki kuwa bumbuwazi lililobumbukia katika fikra zake
"nop wa moyo wangu maandaliz yanaendelea vzr!"
"waoooh nataman siku zikimbie nami niwe mke wa mtu malkia mtarajiwa wa himaya ya zuluwalad nakupenda mume wang mtaraji...."
aliongea husnat kichwa chake akiwa kakilaza katika miguu ya zulu
upande wa pili jini OBISHI alipomaliza kummeza VERGAN akarudi katika umbo lake la kijini! ni wazi alikuwa kashamuamisha vergan toka GUANTANAMO mpaka kuzimu! kambi kuu ya mashetani makao makuu ya mateso kwa viumbe viovu.
KUZIMU
Alishtuka! toka katika usingizi wa mauti akuweza kujitambua kama yu mzima au maiti! akaangaza macho yake eneo alilokuwepo asalalee akatahamaki! kumbe alikuwa amezingirwa na viumbe wa ajabu viumbe walokuwa na mafuvu tu na mapembe vimiguu njiti! mifupa! vipingili ya mifupa vilionekana midomoni mwao walikuwa na damu wakambeba juu juu huku wakipiga kelele akujua wanampeleka wapi!
viumbe wale toxic wasio na nyama! wakiwa wamembeba vergan juu juu.kijana yule alilia kilio kilichoonekana kuwa kero kwa toxic wale! nao wakawa wakipiga kelele zilizomeza kelele za kwake! kwakuwa alibebwa juu juu akujua anapopitishwa ila kule alipokuwa anapelekwa alihisi joto likiwa linaongezeka kila walipopiga hatua kusogea mbele ilifikia khali akahisi kama anachomwa kwa joto lile yan ni kama jua kali lakini akukuwa na jua! maajabu! ghafla akabagwa chini puuu! MUNGU wangu! moto mkali ndio ulokuwa mbele yake.moto wa njano...viumbe wale waliruka ruka kufurahia wakionacho ndani ya moto ule kulikuwa na mijitu yenye mguu mmoja jicho moja mkono mmoja ikiwa imevaa minguo mirefu myekundu.mkononi imeshika mijeledi ya moto ikiwa bize na kuwachapa viumbe.yah! viumbe kama yeye watu! walokuwa wakilia...naye alikuwa anaelekea huko.naye vergan alikuwa anaelekea motoni!...ina mahana...no i cant beleve it..machozi yakamtoka akamkumbuka baba yake mzee chilo akamkumbuka mama yake bi mwenda.walikuwa wanamtegemea sana! mawazo hayo yakakatishwa baada ya kubebwa juu juu na toxic tayari kutupiwa katika moto wa jahanamu.huku viumbe watesao wakimsubiria kwa hamu......
-....-.....-......-
Shamra shamra vifijo nderemo zilitawala! bwana alikuwa amepata bibi! bibi alikuwa amepata bwana! wanawake wazuri! ninaposema wazuri nama anisha wazuri walikwepo kuudhuria ndoa hii.wao waliyoihita takatifu.jini husnat alikuwa kapendeza! mrembo alorembeka,...ilikuwa ni ndoa ya historia ujinini wageni walikuwa wengi wakishughudia tukio ilo adhimu! ghafla tabasamu la jini husnat likatoweka! bila shaka alikumbuka kitu! bila tafkhiri alimkumbuka kivutio cha moyo wake JOHN VERGAN!
"ina mahana! kwele leo...! no hapana siwezi..." aliwaza akipingana na akili yake
"siwezi! siwezi! siwezi kumsaliti VERGAN wangu! liwalo na liwe." mawazo yalibadilika aliamua na akiamua ameamua! utofauti wake haraka sana uligunduliwa na mumewe mtarajia zuluwalad
"una nini mke wangu mbona umekosa raha?"
Akutaka kumjibu kitu mwanaume yule kila alipozidi kumwangalia hasira zilizidi mara mbili!
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"kama ngwai acha iwe ngwai mi naondoka!" akajiwazia na muda huo huo akanyanyua mguu wake kabla ajapiga hatua akasikia sauti ikimnongoneza tena kwa ukali! nsauti aliyeieshimu!
"unataka kufanya nin HUSNAT? hakuna kiumbe kilichowah kuleta aibu katika koo yetu iweje wewe binti izayya usiye na adabu wala heshima mpumbavu wewe!"
sauti ile ilimnyongonyesha! akapigwa na butwaa.ilikuwa ni sauti ya babu yake MUU,mzee aliyoko katika sayari ya marz.ikabidi afute ujeuri wake! kwani bado aliitaji msaada mkubwa sana kwa MUU hususani cha kuongezewa nguvu kitendo cha kutomtii ni wazi angejivika majivu ya moto katika uso wake.kuiparamia vita asiyo na uwezo nayo.akanongona
"nsamehe babu mapenz! yanauchakaza moyo wangu!"
"najua uwazacho mjukuu wangu izzadan fil kudain fanya kila kitu kwa mpango."
"sawa babu nakupenda babu yangu"
"thawa babu nakupenda bab yangu ndo utake kutuaibisha?"
"hapana muu wangu si yameisha?"
"kama yameisha basi mgeukie mume wako kwa tabasamu muktahiya mkumbatie kimahaba binadamu wanasema mpeti peti...."
"mh babu!"
"fanya hivyo..."
wakati jini husnat akiwa anawasiliana ki digitali na babu yake muu akuna alojua kinachoendelea wengi walimwona akiwa kimya ilhali pengine walichukulia anasikiliza mawaidha au wosia wa afungishaye ndoa kipindi babu yake akimwambia amkumbatie mwanaume wake naye mfungisha ndoa ndiyo alosema maneno yale yakapokelew vema na masikio ya jini yule akamvamia mume wake na kumkumbatia kwa mahabat mazito fikra kichwani kwake akizijenga kuwa kamkumbatia mume wake VERGAN.ndoa ikapita husnat akawa mke halali wa ZULUWALAD kilichofatia ni kula kunywa na kusaza.mke na mume wakaruhusiwa wakapumzike.....
TOXIC wakamnyanyua juujuu VERGAN wakaanza kuesabu ile ndo wanataka kumtupa wakapokelewa na sauti ya walomwita mungu wao.pengine ni mungu wa nafsi zao na mungu wa nafsi zote chafu! aliyeuaribu ulimwengu kwa kumuadaa eva/hawa kulila tunda
***
Sauti tukufu masikioni mwao,sauti ya shetani mkuu aliyelaaniwa akalaanika LUSIFAR.
"TOXIC mnataka mfanyeje? mwacheni huyo binadamu ajafa duniani."
toxic wote wakaduwaa! wakaangaliana kwa mshangao.
"kama ajafa amefikaje humu?" toxic mmoja akaoji!
"ni stori ndefu ila haya ni makosa ya obishi! akaletwe obishi ateswe kafanya kosa kubwa sana huyo binadamu mleteni kwangu kwani anakipawa naitaji tufanye naye agano sawa?" losifar alizidi kuagiza!
"sawa mungu wa miungu!" viumbe vile vilizidi kumkufuru MUNGU muumba kwa kumlinganisha.ni kosa kubwa sana walofanya ambalo binafsi wao awakulijua
dakika chache walikuwa katika jumba la kifalme jumba lililotengenezwa na madini pekee.akika vergan akuwahi kuona nyumba nzur kama hiyo.naam akafikishwa mbele ya shetani mkuu lusifar.ndugu wasomaji kuna vitu viwili tofauti ambavyo watu wengi awajavijua kuna shetani na wafuasi wake ikiwepo mapepo vinavyoishi KUZIMU na duniani pia uishi katika vyoo,katika miti,misituni n.k mashetani,na mapepo vyote ni viumbe viovu na lengo lao ni kuiadaa dunia na kuakikisha wanapata wafuasi wa kutosha watakaoingia nao katika moto wa jehannamu.moto mkali uloandaliwa na MUNGU muumba ardhi na mbingu,moto huo ni tofauti na moto ule tulouona wa kuzimu uloandaliwa na lusifar akimuiga MUNGU kwa kuwaadhibu watu wanaoenda kinyume na yeye.na MAJINI ni viumbe wengine waishao chini ya bahari! viumbe hawa ni tofauti na mashetani kabisa wao kuna wema wanaomtwii MUNGU na wako waovu wema wataiona pepo na waovu watauona moto.majini wanapenda na wanamapungufu yao.walichotuzidi sisi ni uwezo wao walojaliwa na MUNGU ingawa kuna binadamu wenye uwezo zaidi yao wachache wakiwemo waganga,masheghe,masharif,mapadri,wachungaji n.k
CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
"Tumegundua una kipaji! cha biashara na ushawishi kwa watu ivyo una bahati kubwa sana kufika huku na kuokoka sisi tutakurudisha duniani ukiwa tajiri mkubwa ila kubali kujiunga na dini yetu ya WAJENZI HURU (FREE MASON) ukitakadili mi ndo MUNGU je upo tayari?"
lusifar akamwacha vegan ajibu..
******
JOHN VERGAN bado alikuwa katika bumbuwazi la wazi wazi wajenzi huru yeye alisadiki kuwasikia tu! tena katika midomo ya watu! akupata kuisi siku moja angeitajika naye awe mfuasi huru.ALITAITIKA! akataitika! baada ya lusifa kumuona yupo kimya akaendelea....
"tunakupa mda masaa 48 utafakari ili! ndani ya masaa hayo tutakutembeza katika maeneo mbalimbali humu kuzimu uone sawa?"
vergan akajikuta anatingishwa kichwa kuafiki!
"huyu anaitwa fidodido nadhani mara nyinyi sana mnamtumia kama katuni huko duniani kwenu kiumbe hiki kipo na leo ndo kitakutembeza maeneo mbalimbali katika ulimwengu wangu huu...."
fidodido akaibuka alikuwa ni kiumbe mwenye nywele saba! usoni alivaa miwani ya shaba! akaachia tabasamu pana!
"nifate!"
akamwambia VERGAN ambaye naye alimtwii bila shurti akuwa na kipingamizi chochote
lilikuwa eneo lililokuwa na joto la kupindukia! joto ilo lilitokana na mioto mikali ya rangi tofauti tofauti.
moto wa kwanza kuutembelea ulikuwa ni ule alonusurika kutupwa.ghafla akawa na shauku! shauku kuu la kujua baadhi ya mambo akashindwa kuuzuia mdomo wake kutokuuliza.akauliza swali.swali lililotegemewa na fido kuulizwa!
"hawa binadamu wamekosa nini mpaka wanateswa hivi?"
fido! akatabasamu,kinywa kilikuwa wazi akukuwa na jino hata moja! si jino tu hata ulimi akuumbiwa nao huyu kiumbe! maajabu! sijui aliwezaje kuongea.....
"viumbe hawa ni watakatifu! walokataa kujiunga na dini takatifu ya frimason baada ya kuonekana wana vigezo! wengi wao ni mapadri! masheghe na baadh ya binadamu wamuogopaye MUUMBA..."
mwili wa vergan ukatetemeka woga ukamtawala yamkini naye baada ya siku mbili kama angekaza msimamo wake naye angekuwa miongoni mwao.
"kwanini MUNGU amewaacha viumbe wake wateseke namna hii kwa nin? ajawapa nusra? ya wokovu!" swali hili likakivamia kichwa chake kama wazo kuu.wazo ili likanyakwa na fido naye akalijibu swadakta!
"wengi waliomo humu wananguvu za MUUMBA sasa walipokuwa duniani walikuwa wakiwasema vibaya friimason lusifar aliwatumia watu"
*******
@ "wengi wa walioko huku duniani walikuwa waki ikashifu dini ya freemason!,wakiandaa mikanda ya video na kutupinga vikali japo tuliwatuma wajumbe kuwaonya awakusikia! walitegemea nguv za MUUMBA! na MUUMBA ni mwingi wa mitihani hii ni moja wapo ya mtihani wake kwao! kuingia peponi (paradiso) si mchezo sheghe wangu lazima ukutani na vikwazo vikali kule uwezi ingia hivi hivi...."
VERGAN akataharuki maneno ya fido yakamuingia vyema naye alimtambua MUNGU? kah! wakatoka eneo lile ambalo alipata kuwaona watu alowafahamu walokuwa wakiitangaza vibaya dini hiyo duniani katika membari za misikiti na mahekalu ya makanisa.ilosemekana wamekufa wengine kwa magonjwa wengine ajali n.k
moto mwingine waloutembelea ulikuwa ni wa rangi nyekundu huu aliushangaa sana.alipata kuwaona wasanii maarufu wa filamu na muziki waloiwakilisha vyema nchi yake kimataifa!
"hawa nao?"
"hawa nao walikula agano mfano yule msanii wa muvi alivuma sanaa akajulikana lakini alipoambiwa amtoe mama yake sadaka akakataa ndipo tukamchukua na kumleta humu kwa jeuri yake! yule mwingine aliitaji miaka ishirini ya mafanikio na kula bata kama muitavyo duniani baada ya miaka yake ya awali 20 kuisha inayobakia anakuja malizia huku ivyo ndo ilivyo"
MAKUBWA! tafakuru la mawazo ya mshangao yakajijenga katika pande la uso wake! wasanii wakubwa karibia wote alowajua walikwemo kule kumbe awakufa kwa mapenzi ya MUNGU? ALLAH! okoa kizazi chako.
wakapiga hatua watu walikuwa uchi wazee vikongwe kwa vijana
"kah na hawa? fido"CHANZO: https://deusdeditmahunda.blogspot.com/
tayari vergan alishamzoea kiumbe yule fidodido
"hawa ni wanga wamezoea kula nyama za wenzao wachawi wenzao zamu yao imefika awana cha kutoa wengine asahasa vile vibibi vimetoa watoto wao wote muda wao nao ukafika! wengine ndo walotolewa kafara ndo kana ivyo dogo"
ITAENDELEA
0 comments:
Post a Comment