Search This Blog

DAMU YA BABA - 5

 







    Simulizi : Damu Ya Baba

    Sehemu Ya Tano (5)

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Mimi kipindi nimetoka kwa bosi, nilipigwa kwa makosa ambayo si yangu, nilifukuzwa usiku kama mwizi na niliumizwa na panga mgongoni pia na vibaka. Ila niliamua kujiusisha na kazi za vibarua, nilikuwa nafanya kazi sana za kuchanganya zege na kubeba mawe, na kila ilipo fika jioni tulikuwa tunalipwa pesa na matajiri wetu. Nilimpata rafiki mmoja tukachanga pesa zetu za miangaiko yetu ya kila siku ndipo tukawa tumepanga chumba chetu tukanunua vitu kidogo vya ndani, maana nilikuwa nalala palepale kwenye mijengo tuliyo kuwa tukiijenga yani nakuwa kama mlinzi wa saiti. Kipindi tumepanga tuliishi kwa amani na upendo mimi na rafiki yangu, siku moja rafiki yangu akapata kazi kutoka kwa dada mmoja rafiki yake, alie kuwa anaitaji kujengewa nyumba kwajili ya kupangisha. Baada ya kupata ile kazi kutoka kwa yule dada ndipo tukaanza kishugulika pamoja na mafundi maana sisi ndiyo tulikiwa vibarua vyao kuakikisha tunasaidia kuchanganya zege na kusogeza mawe. Lakini tulishangaa sana kila tulipo kuwa tukifanya kazi yule dada mwenye nyumba akawa anatuzungusha tu akisema “nyie wasaidieni mafundi wangu kujenga kesho nitawapatia pesa” tuliendelea kumfanyia kazi zake mpaka deni likafika laki moja na nusu. Nikamuuliza mwenzangu “hivi mbona hii kazi tunafanya vizuri lakini hatulipwi maana tangu nianze kufanya hii kazi siingizi chochote bali natumia tu pesa zangu” mwenzangu akasema “nitafatilia hili swala maana huyu dada anatuzungusha sana” tuliishi pamoja mimi na rafiki yangu na tulipendana sana maana tulikuwa tunaelewana  na alikuwa akieshimu watu wa kila lika vilevile alikuwa akienda kumuomba mungu siku za dini ndiyo maana alikuwa akiaminika sana na alipata kazi nyingi kutokana na uchapakazi wake.



    Siku moja usiku mida ya saa sita nikiwa nimelala rafiki yangu aliamka polepole akavaa nguo zake bila kuniaga kisha akaenda mpaka kwa yule dada tunae mdai pesa tulie usika kujenga nyumba yake. Alipo fika akaingia mpaka chumbani kwake kwasababu yule dada alikuwa anamuamini akamkalibisha tu ila akamuuliza “kwanini umekuja sahivi?” Alimjibu kuwa amefata pesa zake, yule dada akasema “sahivi sina pesa subili mambo yangu yakikaa sawa nitakulipa rafiki yangu” rafiki yangu ninae kaa nae alikasilika sana akasema “umetuzungusha sana we dada wakati pesa unazo”, Ndipo akamkaba yule dada shingo tena sana masikini, dada akajitahid kupambana ila akaishiwa nguvu kabisa ndipo rafiki akamniga usiku uleule wakiwepo wawili tu ndani! mpaka dada wawatu akaanguka chini na akapoteza maisha yake. Rafiki yangu baada ya kumuua akapakia vitu vya thamani vya yule dada kwenye mabegi kisha akampigia boda boda anae mfahamu simu kwa kutumia simu ya yule dada aliefariki maana rafiki yangu yake ilikuwa haina salio kabisa.



    Boda boda alipo fika! rafiki yangu akamfungia yule marehemu chumbani tena na kufuri kubwa sana kwa ndani kisha yeye akatoroka bila hata kuniambia anapo enda. Baada ya siku kadhaa kupita nikiwa namuulizia rafiki yangu yuko wapi mpaka nikakata tamaa nikajua labda kanitoroka au kauwawa. Ndugu zake yule dada walipo kuja kumtembelea ndugu yao hawakumkuta! walipo piga simu yake hakupatikana lakini cha kushangaza pale mlangoni kwake kulikuwa na kufuli kubwa tu ila kulikuwa na harufu kali sana kutoka chumbani kwa yule dada.



    Ndipo wakabomoa mlango wake kuangalia nini kinanuka walisikitika kukuta ndugu yao amekufa, walilia sana maana ndiye aliekuwa tegemezi kibaya zaidi nzi zilikuwa  zimemkusanyikia marehemu na akawa anatoa harufu kali sana ya kuoza. Walijaribu kufanya utafiti kuangalia nani amemuuwa alikosekana ndipo wakachukua laini ya simu yake kuangalia simu ya mwisho kupigwa na kupigiwa kwenye namba ya marehemu. ndipo wakamtafuta yule bodaboda ili awaelezee ilikuwaje marehemu akampigia usiku wa saa tisa na wanampango gani na marehemu. Yule boda boda alisema ukweli kuwa yule rafiki yangu ndiye alie mpigia kwa ile namba ya marehemu hiyo mida  na boda boda akasema alikuja wakabeba vitu vya thamani kisha wakapeleka mtaa mwingine.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Akasema rafiki yangu alimdanganya anapeleka mzigo ya yule dada eti kuwa anasafiri. Ndugu wa marehemu na polisi wakaja kunikamata mimi ili niwambie rafiki yangu yuko wapi niliwambia “jamani ndugu zangu msinipige mimi mwenyewe sijui maana  katoroka hapa, sijui yuko wapi” walinipiga sana mateke, ngumi na viwiko vya kutosha niseme ukweli, nilishindwa niseme nini maana  sikuwa nafahamu ukweli wowote ule. Walisema nyie wauwaji sana na mtakuwa mmeisha uwa watu wengi sana huku maana kuna kesi nyingi za mauwaji  kituoni. Ndugu wa marehemu walionga pesa kwa mapolisi ndipo Walinikamata wakisema nimeua pia, ndipo nikafungwa kifungo cha miaka 45 jela. Kipindi nasafilishwa kuamishwa mkoa wa (kalamoja) ili nikakitumikie kifungo changu. Tulipo kuwa safarini wafungwa wote tunaelekea mkoani kutumikia vifungo mfungwa mmoja aliomba kwenda kujisaidia haja ndogo, na mimi pia nikaomba nishuke chini ya gari ili nikajisaidie haja ndogo pia. Wakati nimeshuka nikampiga polisi kichwani na zile pingu! Akaanguka kisha nikakimbia mwendo wenye kasi sana. Baadhi ya polisi wakajaribu kunitafuta ila kipindi hicho nilikuwa  nimeisha kimbia mbali sana kuwashinda wao.



    Nilipo fika mtaa mmoja nikaenda kwenye nyumba ya bibi mmoja hivi alikuwa anamenya ndizi nikamuomba nijifiche kwake, akasema “kwanini ujifiche mjuu wangu”  nikamwambia “natafutwa na watu wabaya” alikubali pia ndipo nikajificha palepale. Yule bibi alikuwa na kijana wake mmoja, kumbe yule kijana alikuwa jambazi sugu sana , nilipo msimulia story zangu zote nikamuelezea nilivyo watoroka wale maasikari akasema “wewe ni mwanaume sana nimekupenda, sasa kuna kazi nzuri yenye pesa nataka nikutafutie”.



    Kweli alitafutia kazi lakini ile kazi yenyewe ilikuwa ni ujambazi ya kuuwa na kupola mali zote bila kuogopa. Niliamua kukubali maana maisha yalikuwa yameisha nipiga sana, Nilipo fika kwa jambazi mkuu alinipa pisto akasema usiogope kazi fanya kazi. Nilitetemeka kuishikilia ile pisto lakini sikuwa na jinsi nikaamua kukubaliana nae. Siku moja yule jambazi mkuu akatwambia “kuna baba mmoja ni rafiki yangu sana, nilisha fanya nae kazi zamani kidogo mgodini, lakini hivi sasa amebahatika sana kupata pesa nyingi, jumatano ataenda kununua kiwanja sasa basi, atakuwa na pesa nyingi hivyo naomba mjipange mwende kumpola zile pesa na muondoe maisha yake pia” baada ya bosi kutupa maagizo akasema kwamba mimi ndiyo nitaongoza kikosi na mimi ndiye natakiwa kumuangamiza huyo baba.



    Tulijiandaa tukavaa masiki kuficha nyuso zetu ili tukafanye mauwaji. Tulipo fika tukalizunguka gari la yule baba ndipo yule baba akatoka nje ya gari akiwa amenyanyua mikono juu akisema “msiniue chukueni pesa jamani” kipindi mwenzangu amechukua zile pesa ndipo mimi nikataka kumuuwa lakini mikono ilikuwa inasita sana, wenzangu wakasema muue tuondoke tutakamatwa! palepale kipindi yule baba anageuza sura yake machoni mwangu akiomba msamaa tusimuuwe wakati nataka kufyatua risasi nilishangaa sana kumtazama maana alikuwa ni baba yangu mzazi dooh.



    Nilipo gundua kuwa nataka kumuua baba yangu mzazi tena kwa mikono yangu mwenyewe, nafsi ilinisuta sana na pia nikaishiwa nguvu kabisa mikononi mwangu, na nikashangaa sana jamani! eti baba kazitoa wapi hizo mali zote? mpaka anavamiwa na majambazi sugu kama sisi! Nilitamani kumuita “Baba” ni mimi mwanao, nimekuwa nakutafuta siku nyingi! lakini nikajikaza sana kutoka moyoni. Na nilifurahi sana kumuona baba maana ilikuwa imepita mda mrefu na miaka mingi sana bila kumuona baba yangu mzazi jamani. Mtu mmoja akasema, “bosi amesema tuondoe uhai wake muuwe uyo mtu maana umeambiwa wewe kuuwa! alafu hakuna haja ya kumuacha sababu hadhabu itatuangukia tena sisi” nikamwambia kuwa, “jamani muacheni huyo baba namjua” walisema “tunapokuwa kazini tukiagizwa kuuwa tunaua hakuna cha kusema namjua” kweli yule jambazi mwenzangu alichomoa pisto yake akaikoki kisha akamtageti baba yangu mzazi nikiwa natazama kwa macho yangu akitaka kumfyatulia risasi! Dooh Mimi uvumilivu ulinishinda wakati anataka tu kumuua! nikasema siwezi kukubali mimi mtu akafa mbele ya macho yangu, nilijirusha kujikinga mbele ya baba ili nife mimi. Kweli alipo mfyatua risasi ilinipata mwilini mwangu. Wenzangu wakaogopa wakajua wameisha niua. Lakini risasi ilinipata begani tu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Baba alikuwa bado hajanigundua mimi ni nani! baada ya wenzangu kuondoka ndipo akaja kunivua masiki usoni ili anitazame machoni mwangu. Dooh kweli baba hakuamini kama ni mimi kabisa, maana alinitafuta kwa mda mrefu sana bila mafanikio. Ndipo baba  akanipeleka hospitali haraka haraka ili niweze kutibiwa.  Ila kipindi nipo hospitali damu yangu ilkuwa imemwagika sana hivyo nikapungukiwa damu kabisa mwilini! na pale hospitali kulikuwa hakuna damu hata kidogo siku hiyo, hivyo ikabidi baba ajitolee damu yake ndipo nikaongezewa “damu ya baba” ila hali yangu ilikuwa bado si nzuri kabisa maana sumu ya ile ya risasi ilikuwa inatembea mwilini mwangu kwa kasi sana na kile kidonda kikawa na muonekano wa ajabu sana kilicho niogopesha kwa mda mrefu,  baada ya manesi kuona hali yangu inaendelea kuwa ngumu, wakabidi wamuite daktali mkuu aje kunitazama maana baba yangu mzazi alikuwa tayari analia sana akijua lazima nipoteze maisha kwa sababu mkono ulianza kuharibika kidogokidogo, na mimi nilikuwa sina nguvu kabisa mwilini na sikuwa ata na hamu ya kula wala kulala wala kusimama ata kukaa pia. Daktali mkuu alivyo kuja mimi nilikuwa nimelala nimegeukia upande wa kulia nikiwa nakuema sana sina nguvu , aliingia ndani akasema mgonjwa ebu geuka nione hicho kidonda. Wakati nageuka kumtazama huyo daktali, sikuamini macho yangu jamani yani daktari mkuu wa ile hospitali alikuwa ni mdogo wangu wa kike. Nilishangaa nikapata nguvu ghafla nikamuuliza.  “ndugu yangu wewe si ulikuwa unapenda kusomea mambo ya uasibu, siamini macho yangu kuona umekuwa daktali na kwanini ulinitoroka miaka yote hiyo”. Mdogo wangu alilia sana akasema “nimefurahi sana kukuona leo kaka yangu mama wa kambo alinifanya nitoke nyumbanj maana alitaka kuniua na alinichoma na maji usoni ndiyo maana nilimtoroka” ndipo nikamwambia mdogo wangu kwamba “huyo baba pembeni yako ni baba yangu mzazi na yeye tumekutana katika mazingira ya kushangaza”. Nilipata nguvu sana nikaamka kitandani.



    Ndipo dada akasema. “usijali mimi dada yako daktali nitakuuguzia nyumbani maana kukaa sana hospitali sio vizuri kaka” wakati tunaondoka kutoka hospitali baba mzazi akasema jamani naomba niwapeleke nyumbanj kwangu na huyu mgonjwa pia umtibie kwangu kabisa. Ndipo tukaenda kwa baba. lakini tulishangaa sana mimi na mdogo wangu maana njia tulizo kuwa tunapita tulikuwa tunazijua sana, Cha kushangaza zaidi tulishangaa kumuona baba anaingiza gari  kwenye nyumba ya mama danieli akisema ni hapa ndiyo kwake. Dah tulipo ingia ndani mimi nilishtuka sana. Mdogo wangu akaanza kulia sana. Baba akauliza “jamani mbona hamna furaha, nilihisi mkipajua kwangu utafurahi kijana wangu pamoja na wewe mtoto wa mke wangu.



    Nikamwambia baba “hii nyumba unayo ishi ndiyo nimeishi hapa tangu niko mdogo sana, na mama mwenye nyumba alikuwa anaitwa mama danieli. Sisi tulikimbia hii nyumba baada ya mke wako kuja hapa maana ndiye alie muua mama danieli mwenye hii nyumba. Mdogo wangu wa kike akasema ata mimi kidogo nife ila mungu saidia nikapona. Baba akasema mimi nilikuwa na maisha magumu sana mwanangu nilikuwa ombaomba na nilikuwa naingia kila nyumba nikikuta watu nawaomba msaada ili nile pia. lakini nakumbuka nilipo fika kwenye hii nyumba sikukuta mtu ata mmoja! Yani nilijikuta napata moyo wa kuingia ndani na kuanza kumsubili mwenye hii nyumba aje.



    Sasa nashangaa sana kusikia kwamba tayari alishakufa na nyie mmekulia hapa! kwani yeye alikuwa hana ndugu ata mmoja jamani wa kumrithi, nilimjibu baba nikasema “alikuwa hana ndugu na mama yake alikuwa mzee sana kijijini hivyo asingeweza kufatilia hizi pesa ata hivyo alikufa kichawi hivyo mali zikapotelea hovyo. Baba aliniomba msamaa kwa mabaya yote aliyo nitendea akasema sio mimi mwanangu yote hayo mama yako wa kambo alisababisha kwa kuniloga mimi ili niwakatae wewe na marehemu mama yako. Sikuwa na jinsi nilimsamee baba, na mdogo wangu wa kike akasema bila wewe kuachana na mama labda mimi nisinge zaliwa! Lakini naumia sana baba yangu mzazi sijamuona maana mama alisema kuwa alibakwa na vijana kama saba tena hasio wafahamu ndipo mimi nikazaliwa. Yani Natamani kama hao vijana mama angekuwa anawafahamu ninge waita mmoja baada ya mmoja tupime (DNA) ili niweze kumfahamu baba au ningeangalia ata ninae fanana nae ili nimjue baba yangu mzazi ni nani mimi.



    Tuliamua kusameana wote na tukawa familia moja ingawa mdogo wangu alikuwa na kwake lakini alijitahid kila ndani ya week anakuja kukaa na sisi pia. Siku moja nikiwa tayari nimeisha pona niko vizuri sana nikakutana na mkuu wa wale majambazi akiwa na wenzake. Walinikamata wakitaka kuniua. Ila nilimuelezea jambazi mkuu kuwa yule ni baba mzazi na nilipotezana nae miaka mingi sana hivyo nisingeweza kumuua, alinisamee nakusema kwamba “usitoboe siri yetu”. Baada ya mama wa kambo kuona anateseka sana,akafikilia sana kisha akasema “ni bora nirudi kwa mama danieli maana najua hakuna mtu anaishi pale”. Hakujua kuwa tayari kuwa mme wake yupo pale pamoja na mimi na vilevile mdogo wangu wa kike. Mama alipo kuja kwanza alishangaa kukuta mfungua geti! Mama akamuuliza wewe nani kakuleta nyumbani kwangu.



    Yule mlinzi akasema “baba mwenye nyumba yupo ndani, tena yupo na wanae wote leo! kumbe wewe ndiye mama watoto karibu ndani yani tena mama afadhali nimekujua, maana nilikuwa najiuliza sana hili swali, kwamba baba  watoto yupo watoto pia wapo! mama je yuko wapi? Karibu sana mama”. Mama wa kambo alishituka sana pale nje akasema “hii nyumba ni yangu huyo baba na watoto siwajui mimi ebu ngoja niingine ndani”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com



    Kweli mama  wa kambo alikuja mpaka ndani masikini, maana milango yote alikuwa anaifahamu vizuri tu. Kipindi yeye anaingia na sisi tulikuwa hapohapo sebreni. Tulishangaa mlango unafunguliwa bila hodi! Mama wa kambo akaingia tu, kipindi anaingia akashangaa kumuona mme wake sebreni, akashangaa kumuona mdogo wangu wa kike alietaka kumuua! akashangaa kuniona na mimi pale alinifukuzisha kwa bosi dooh, ndipo mama wa kambo akaanza kulia akisema “mme wangu nisamee mimi, najua nilifanya kosa kubwa jamani kukuhalibia ndoto zako mme wangu, kukupa mateso makali na pia kutoka nje ya mahusiano! nihurumie mme wangu jamani angalia machozi yangu hii yote nikukuonyesha dhahili kuwa siwezi kurudia, tuanze ukurasa mpya wa mapenzi yetu siwezi kurudia maovu yangu tena, nisamee pia kwa kukufanya umkane mkeo mjane asie na ndugu, na kumsingizia mtoto wako ili uweze kumtelekeza nisamee”.



    Mama wa kambo hakuchoka aliendelea kuomba msamaa akisema “nisamee sana mme wangu nilifanya makosa makubwa ata yasio semeka mbele za watoto wako”. Baada ya baba kuambiwa hivyo machozi yalimtoka sana pale sebreni. Mama wa kambo  akaniambia pia na mimi, kuwa “nisamee kijana wangu najua nimekukosea vitu vingi sana jamani! nimekuwa nikikutaka kimapenzi sababu ya tamaa ya mali za marehemu mama dani, nimekusababishia matatizo kwa bosi wetu mpaka ukafukuzwa kazi na kuteseka kipindi chote kile najua nimekufanya uteseke tangu ukiwa mdogo  kwenye malezi yako sanasana kukunyima chakula kipindi upo mdogo nisamee maana nimekufanyia mabaya mengi sana mpaka naona aibu. Nilianza kulia pia kama baba maana mama wa kambo alinikumbusha machungu yote ya nyuma. Mama wa kambo alimuomba pia mdogo wangu wa kike msamaa, akisema nilikuwa nataka kukuondoa uhai wako maana nilitega dawa chini ya godoro chumbani mwako nikakumwagia maji ya moto usoni kupunguza shida ya mizimu isinitese ila nisamee jamani.



    Mdogo wangu alilia kama mtoto mdogo akasema “wewe ni mbaya sana tukikusamee utatualibia maisha yetu tena, ondoka hapa”. Baba mzazi akasema we mwanamke nakuchukia sana, nakuona kama kichefuchefu yani kama takataka, nakuona kama shetani aliekosa roho ya ubinadamu ata kidogo naomba utoke hapa hatukutaki. Mama wa kambo alilia sana akiniambia  nimuombee msamaa kwa baba na mdogo wangu maana alisema anateseka maana analala nje, hali chakula, analala kwenye baridi, anabakwa na walevi na wahuni usiku,  dooh wakati nataka kuanza kumtetea tu mizimu miwili ikafika wa mama dani pamoja na mama mzazi! Ilikuja na upepo mkali sana ndani na mwanga wa ghafla  mizimu ikasema “msimruhusu huyo shetani akae hapa, atawaharibia maisha yenu, tena mtateseka sana, maana alisaidiwa mala nyingi hakusaidika”. Mama wa kambo akalia sana akisema nisameeni najua nimewakosea wote. Nimekuchulia mme wako jamani nikakufanya kama jalala, na mama dani najua nilikuua kumiliki mali zako jamani nisamee nishetani sio mimi!



    Mama dani akasema siwezi kumuacha kwangu maana amenitoa uhai bila kosa. Pale pale tukiwa tunatazama ndipo mama wa kambo alibebwa na mizimu. akapelekwa kuzimu ili apate mateso. Mama wa kambo alipelekwa akaanza kulishwa vyakula vya ajabu aliteseka maana alikuwa akitembea peku juani na kwenye miba pia maisha yake yalikuwa ya shida sana masikini aliisha sana yani akapungua sana mwili wake. Baada ya miaka mitatu watu tukiwa tumemsahau ndipo mizimu ikawa imemrudisha mama duniani lakini mama alitupwa kwenye msitu mkubwa sana wenye miti mikubwa sana na wanyama wenye asila kali. kipindi mama wa kambo yupo msituni alishindwa aende wapi na alishindwa apite njia gani ili atoke mule msituni. Bahati mbaya pia alikuwa hana nguo katika mwili wake. Ndipo mama wa kambo akaamua kutembea polepole kutafuta sehemu ya kutoka mule msituni. Wakati mama anakatiza akakutana na mnyama mkali sana anataka kummeza mama aliogopa akapiga kelele sana akiwa analia,  ndipo akaanza kukimbia ili asife. Mama aliteseka sana maana alikuwa hana chochote miguuni na alikuwa anakimbia sana miti na miba hivyo damu zilikuwa zinamtoka sana. Mama alijutia sana dhambi zake.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Ndipo mama akapata sehemu ya kijificha lakini aliwashwa na majani ya washa washa maana ndimo alijificha ndani yake. Wakati amewashwa sana mama akaamua kutoka nje ya kichaka maana alishindwa kuvumilia kuwashwa, ndipo akaendelea kukimbizwa na yule mnyama mule msituni. Wakati mama anaendelea kukimbia akakutana na watu, kumbe wale watu walikuwa wamekuja kukata miti kwahajili ya mbao. Ndipo mama Akawaomba  msaada akisema mimi ni mtu mwema naomba mnisaidie jamani nimejikuta msituni. Wale vijana wakamlazimisha mama kufanya nae mapenzi ndiyo wamsaidie, mama alikataa akaanza kulia akisema jamani nimechoka sana alafu sina nguvu msinifanyie kitendo kibaya, dooh kibaya zaidi wote watatu walitaka kumtumia mama kwa mda uleule. Mama alikataa wakasema “sawa kama hutaki” wakawasha gari lao wakitaka kumuacha mule msituni, mama aliamua kukubali ndipo akafanyiwa huo unyanyasaji kwenye gari la mbao, mama wa kambo alilia sana akasema “najutia ubaya wangu wote nilio tendea watu. Baada ya kufanya  lile tendo Ndipo wakamsaidia na kumuhifadhi ili warudi nae mjini. Mama alirudi mjini akiwa amechakaa sana hana mbele wala nyuma amekonda sana maana alikuwa analishwa maji na unga tu kule kuzimu. Mama wa kambo aliogopa kurudi kule nyumbani kwa mama dani. Sisi tulikuwa tayari tumeisha msahau kabisa mama wa kambo tulijua kaisha kufa. Mdogo wangu alipata mchumba wa kumuoa. Na  mdogo wangu alikuwa anampenda sana mpenzi wake hivyo kwa bahati mbaya kabla hajamtambulisha mchumba wake kwetu. Mdogo wangu akawa ameisha pata ujauzito wake. Baada ya sisi kuona mabadiliko kwenye mwili wake tukaamua kumuita ili tumjue mwenye ule ujauzito. tulishangaa sana mimi na baba maana alie mpa mimba mdogo wangu alikuwa ni kaka ake na mama yangu wa kambo   aliekuwa mchawi na ndiye alikuwa anampeleka mama wa kambo kwenye uchawi. Nikamuuliza mdogo wangu mbona huyo bwana yako ni mkubwa sana kwako jamani? na kwanini hujatuonyesha hapo awali? maana huyu ni ndugu yake mama ya kambo! Sasa ebu fikilia huo ukoo alafu unakubali kuzaa nae. kumbe yule kaka yake na mama wa kambo alikamata akili za mdogo wangu kichawi ili watualibie maisha yetu mimi, baba pamoja na mdogo wangu ili walipize kisasi cha mdogo wao kuteseka. Mzimu wa mama uluangaika sana kumsaidia mdogo wangu ukashindwa. Na mdogo wangu akili yake yote ilikuwa kwa mchumba wake ata ukimshauli amuache hakuelewi kabisa. Hatukua na jinsi ikatubidi tumuache na mimba yake ya yule mchumba wake. Siku moja mida ya usiku tukiwa tumelala mdogo wangu alipiga kelele sana alilia kama anachomwa na moto yani. Tulipo enda kumuangalia chumbani kwake tukakuta anatkwa na damu nyingi sana sehemu zake za siri. Ndipo tukamchukua na kumpeleka hospitali anapo fanyia kazi ila tulishangaa sana siku ile alipo pima haikuwa mimba tena dakitali alisema anaona kitu kama jiwe ndani tumbo lake, mdogo wangu alianza kulia sana akasema tumpigie simu mchumba wake aje, kumbe mda huo mchumba wake alikuwa na wachawi wenzake wakipanga kumuua mdogo wangu mda huohuo…



    Kipindi wale wachawi wanapanga kuondoa uhai wa mdogo wangu, mdogo wangu alilia sana pale hospitali, maana alikuwa anasikia uchungu usio elezeka masikini, kitendo kilicho wakwaza wengi, sanasana wale waliokuwa wakimfahamu,  wataalamu wote waliosoma udakitari na mdogo wangu walijaribu sana kufanya utafiti wote kwa uwezo na juhudi zao zote ili waweze kunusuru maisha ya rafiki yao lakini hawakufanikiwa, kipindi zimebaki kama dakika 30 ili mdogo wangu apoteze maisha yake ! Nilianza kulia sana mimi pamoja na baba, maana povu lilikuwa limeanza kumtoka mdomoni mdogo wangu, chakula alikuwa hali tena zaidi ya kulishwa na mlija kupitia puani mwake.



    Dakitari mmoja akasema “jamani ndugu zangu tumejaribu kufanya kila mbinu ila tumeshindwa maana tumboni kwake tunaona jiwe sio mtoto tena na tunaogopa kumfanyia upasuaji maana damu inamtoka sana sehemu zake za siri hivyo anaweza kufa mda sio mlefu hapa, bora tuwaachie wataaramu wa kimila hii kazi” dooh nikamuuliza “sasa dokta jamani tunamsaidiaje mdogo wangu, ebu tazama macho yake hayaoni sasa, wala hawezi tena kutoa sauti katika kinywa chake”  daktari akasema “nilikuwa namaanisha tumkimbize haraka kwa mganga wa Jadi   mmoja hivi labda anaweza kumsaidia” baba yangu mzazi akakataa akasema “hapana tumuamini mungu tu kwa hili jambo! kwa mganga tusiende, mungu atatusaidia mpaka atapona” na mda huo zimebaki dakika 20 tu kaka yake na mama wa kambo waweze kufurahia kunywa damu na nyama ya mdogo wangu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Walitaka kumuua ili mambo yote ya mama wa kambo yafanikiwe! asiweze kuteswa kamwe na mizimu na asiteseka kamwe maisha yake yote, Wakati wale madaktari na baba wanabishana kuhusu mganga, ilibidi mdogo wangu abebwe kwanguvu ili akafanyiwe tambiko kwa mganga wa jadi, mdogo wangu akapandishwa kwenye gari akiwa hajitambui na akiwa kakodoa macho sana,  alipo wekwa kwenye gari ili apelekwe kwa mganga. Wale wachawi wakagundua ule mpango ndipo wakaja kichawi kuzuia safari hiyo hiyo mida ya usiku, ili waweze kuzuia  msaada wa kwa mganga. Kipindi  anapelekwa kwa mganga haraka haraka usiku sana.



    Walishangaa kukuta mawe makubwa na mazito sana barabarani yameziba barabara ili wasipite dooh na hakukua na njia ya pembeni ile sehemu maana juu ilikuwa ni mlima hivyo gari la yule daktali lisingeweza kupita kabisa. walipoenda kuyatoa yale mawe ili wapite maana njia nzima ilizibwa kabisa jamani. Wakati huo pia mda nao ulikuwa unaenda sana kipindi wanaangaika kuyatoa yale mawe yaliyo kuwa yamewekwa na wale wachawi.



    Dakika zilikuwa zimebaki 2 tu mdogo wangu apoteze maisha yake! Mimi nilikuwa ndani ya gari na mdogo wangu niliumia sana jamani mdogo wangu aliponishika kichwani akinipungia mkono wake akiniaga kuwa anakufa, dooh kule nje Madaktari walikata tamaa palepale maana kiukweli yale mawe yalikuwa mazito sana, yaliwashinda nguvu zao na akili kabisa. Ilipo baki dakika moja mdogo wangu afe mimi tayari nilikuwa nimeisha anza kulia tayari maana damu zilianza kumtoka sikioni pamoja na jicho lake la kushoto..



    Dooh ilikuwa ni simanzi na majonzi sana kwa kila mtu maana jicho lilimtoka sana mdogo wangu jamani yani jicho likawa jekundu sana, mdogo wangu masikini alianza kuachama mdogo wake akiufumbua  sana tena akiwa anajiviringisha kwa kujigalagaza maana kifo kilikuwa kinamuita sasa. Tumbo lake likikuwa kubwa sana ngozi ikawa nyepesi kiasi kwamba tulishangaa sana. watu waliumia wakasema mengi “jamani huyu dada kasoma sana. alikuwa na akili sana darasani leo hii amelogwa anakufa na elimu yake jamani dooh inauma sana hii” wakati amebakiza sekunde chache ili apoteze maisha. Radi kali sana ilipiga ghafla, tena yenye mwanga wa ajabu ambao nilikimuwa sijawai kuona maisha yangu yote.



    mama yangu wa kambo alipo kuwa anafanyia kazi za kusafisha vyumba na mazingila yote. alipo muona mdogo wangu kajifungua mtoto alafu mdogo wangu alimkataa kaka yake wivu ukamshika mama wa kambo! ndipo akapanga kumuua mtoto wa mdogo wangu. Mdogo wangu alipata maumivu sana wakati wa kujifungua hivyo akasema “mwanangu nimekuzaa kwa shida sana nitakulea vizuri mpaka usome uwe mkubwa” mda huo mama yangu wa kambo anaumia sana kumuona  mdogo wangu kajifungua salama kachanga kake.



    Kipindi mama anaenda bafuni kuoga akiwa ameacha kachanga kake kitandani! Mama wa kambo alijifanya anaingia mule ndani kufanya usafi kisha akachukua kale kachanga akakajaza pamba nyingi mdomoni kasipige kelele akakaweka kwenye ndoo ya uchafu kisha  akaenda kukatupa kwenye shimo la uchafu nje ya hospitali.  Mdogo wangu alipo toka bafuni na kurudi kitandani doooh! akakuta mtoto hayupo! alipo uliza manesi wote kuwa “mtoto wangu yuko wapi” wakasema hawajui mtoto alipo, mama wa kambo mda wake wa usafi na wenyewe ukawa umeisha akawa ameondoka kwake. Dooh mdogo wangu alilia  sana alilia akasema mikosi gani hii  jamani.



    Kipindi kachanga kapo kwenye shimo la uchafu kakiteseka kujiviringisha maana kulikuwa na siafu na sisimizi wengi shimoni na siafu kweli kabisa zilimn’gata sana mtoto jamani, lakini mungu saidia ule mtaa kuna mbwa mmoja aliyekuwa hana makazi maalumu, hivyo alikuwa mbwa wa mtahani tu. Yule mbwa alikuwa anapenda sana kwenda kwenye lile shimo la uchafu kisha anakula zile nyama za watu walio tailiwa. Maana zilikuwa zinatupwa mulemule shimoni. Sasa siku hiyo yule mbwa wakati yupo shimoni akakuta mtoto akiwa mzima bado! Mbwa alishangaa maana mtoto alikuwa anachezesha mikoni na miguu,  ndipo mbwa akaanza kumlambalamba kwa ulimi mtoto mdomoni mpaka zile pamba zote zikatoka alizo jazwa mdomoni ili asipige kelele. mala ghafla mtoto akaanza kulia sana sauti ikisikika mpaka nje.



    Watu walishangaa ndipo wakaenda kumtoa mtoto walipo muangalia kumbe ni mtoto wa mdogo wangu. ” hama kweli Kama siku yako ya kufa haijafika, huwezi kufa”. Mdogo wangu alishangaa sana imekuwaje mtoto wake atupwe shimoni yule mbwa alikuwa muogoa sana alipo ona watu alikimbia mbali. Waandishi wa habari walivyo kuja wakaanza kutangaza kwenye vyombo vya habari kuwa “DAKITALI HAJIFUNGUA MTOTO NA KUMTUPA  SHIMONI, MTOTO MANUSRA KULIWA NA MBWA WA MTAANI”



    Mdogo wangu alilia sana, alisikitika huku machozi na simanzi ikimtoka akisema kwamba, “mimi sijamtupa mwanangu shimoni jamani! mnanisingizia tu, nimemzaa mtoto wangu kwa uchungu sana, kwa tabu sana, yani mpaka kuongezewa njia yangu masikini! iweje nimtupe shimoni sasa?” hakuna alietaka kumuelewa kabisa, na taifa zima lilimjua mdogo wangu kuwa ni muuwaji! magazetu yote na vyombo vya habari vilimuongelea yeye tu jamani, maana waandishi wa habari na mapaparazi walieneza habari za uongo kila kona. Baada ya kila mtu kuamini kuwa mdogo wangu kamtupa mtoto wake shimoni kwenye takataka, hivyo basi serikali ikawa imemuachisha mdogo wangu kazi yake ya udaktari maana walimwambia kuwa “kama ulitaka kumuua mwanao kwa kumtupa shimoni, basi unaweza kuua ata watu wengine bila hatia akiwa mgonjwa”. mtoto wa mdogo wangu yule aliye tupwa shimoni alijaribu kufanyiwa matibabu ili aweze kunusuliwa maisha yake, kumbe alivyo tupwa shimoni aliteguka shingo lake tena sana, vilevile zile sindano zilizo tumika kuchoma wagonjwa zilimchomachoma sana mtoto mwilini mwake, sio hivyo tu mtoto alin’gatwa pia na wadudu mule shimoni tena wengi kama sisimizi, hivyo hari ya mtoto haikuwa nzuri sana kwa ujumla.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Serikali ikafata mkondo wake, ilipanga kumkamata mdogo wangu na kumfunga maana kwa kile kitendo cha kutupa mtoto serikali iliamini kabisa kuwa ni kosa la jinai. Kipindi polisi wamekuja kumkamata nilijaribu kuwazuia nikisema “jamani msimkamate mdogo wangu mbona matatizo yanamuandama sana yeye? Wakati huo nikiwa nalia kama mtoto mdogo wangu akasema “kaka ngoja tu nikaishi jela maana nimeisha choka na mikosi ya hii dunia” aliyasema hayo akiwa analia sana mdogo wangu!  wakati amevishwa pingu ili apalekwe kituoni dakitali mkuu akasema “msimkamate huyu dada maana sheria hairuhusu kukamata mtu akiwa ananyonyesha, muacheni kwanza mtoto anyonye akuwe, akiisha muachisha tu ndiyo muendelee kumkamata! maana mkimkamata tu, msisahau kuwa  mtoto wake sahivi anaumwa inabidi atibiwe ale ashibe vizuri, alafu kumbukeni maziwa ya mama ndiyo yana nguvu sana tena sanasana yale ya mwanzoni mpaka mwezi wa sita yanaleta kinga kwa mtoto na pia mtoto kukuwa salama hivyo mkimkamata huyu mama mtakuwa mnamuua mtoto” serikali ikamsamee kwa mda ila wakasema tutaendelea kufanya uchunguzi kwa kina ili tujue nani kafanya kosa.



    Nilimuulumia sana mdogo wangu nikamwambia “tafadhali usikate tamaa” mdogo wangu alisema kuwa ” “kaka Nilikuwa najiuliza juu ya siku za kuzaliwa na kufa mwenyewe. Kwa nini nilipozaliwa nililia peke yangu wakati watu wote walifurahi? Kwa nini nitakapokufa nitanyamaza peke yangu, Huku wote wakilia? Nikagundua nilipozaliwa nililia kwa sababu nilkuwa nimeingia katika Dunia ya Mateso, Dhiki, Adha, Uchungu na Ufalme wake shetani. Na nitanyamaza peke yangu kwa kuwa nitaondokana na dunia ya mateso na shida. Hivyo sikati tamaa ngoja nipambane tu kaka mungu atanisaidia. Mdogo wangu Aliyasema hayo maneno maana jamii ilikuwa imemkataa kabisa, yani tena katakata ikimjua kuwa ana roho mbaya sana. Baada ya mtoto wa mdogo wangu kufanyiwa matibabu alipona akawa safi kabisa bila magonjwa wala tatizo mwilini mwake. Ilipo pita miaka miwili na nusu.



    Serikali ikaanza msako wa kutaka kumkamata tena mdogo wangu, wakisema mda wa kunyonyesha umeisha unatakiwa kuukumiwa kifungo. Mdogo wangu akasema “mimi mnanionea jamani ata sijui alie mtupa mwanangu ninani kwenye shimo la takataka za hosipitali”, sababu mdogo wangu alikuwa ameenda kwenye hosipitali kubwa kujifungua  hivyo mwenye hospitali akasema kuwa “hosipitali zangu zina kamera hivyo ngoja tukaangalie matukio yote ya nyuma tutajua alie mchukua mtoto, na kama ni wewe bora ujisalimishe mapema maana serikali yaweza kukuongezea adhabu” mdogo wangu alijiamini sana akasema “sio mimi niliemtupa mwanangu shimoni”. Kweli kipindi mdogo wangu yupo mahakamani anasubilia hukumu yake dakitali alikuja na CD Ikionyesha kuwa mama yangu wa kambo ndiye aliye fanya lile tukio! watu hawakuamini, sisi tukasema huyo ni ndugu yetu hatujui ata anaishi wapi , vyombo vya habari vyote vilikanusha kuwa sio mdogo wangu alifanya lile tukio bali ni mama yake wa kambo.



    Ndipo mama yangu wa kambo alianza kutafutwa sana na polisi ili aweze kukamatwa. Mzimu wa mama ulimfata mdogo wangu ukiwa kwenye majonzi sana ukamwambia kwamba “mwanangu matatizo haya yote umeyapata umeyasababisha wewe mwenyewe umesahau fadhila zote ulizo tendewa, naomba urudi kijijini kwa hans ukakomboe maisha yao wanaishi kwa shida sana kumbuka bila hans yule mbunge asinge kusomesha kumbuka ulikamatwa kwenye muembe manusra upigwe ufe hivyo kamsaidia hans kasaidie watoto wa hans maana hans ndiye alikulea ndiye alie niokota nikiwa nakaribia kufa akakulea wewe tangu ukiwa mdogo. Mdogo wangu alisema sawa nimeelewa mama nitafanya hivyo na shetani alinipitia tu.



    Wakati huo Mama yangu wa kambo akaaanza kutafuta njia mbali mbali za kutaka kujificha ili asiweze kukamatwa. Na baada ya Mama yangu wa kambo kugundua kuwa picha ya sura yake imebandikwa kila kona ili akamatwe. Isitoshe serikali kuhaidi kutoa posho kwa mtu yeyote atakae mkamata! ndipo mama akaanza kuvaa nguo za kumsitili mwili mzima mpaka kininja ili asigundulike  lakini akaona hawezi kuendelea kuvaa vile, ndipo akaamua kujimwagia tindikali usoni  mwake masikini! Dooh  nyama yake ya usoni ikaharibika sana yani ata ukimtazama uwezi kugundua kama ni yeue na aliteseka sana kutunza kile kidonda mpaka kupona maana kilimtesa sana kidonda alikuwa analia usiku mzima na mchana pia mwenyewe ndani.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Mdogo wangu alisema sawa nimeelewa mama nitafanya hivyo na shetani alinipitia tu. Wakati huo Mama yangu wa kambo akaaanza kutafuta njia mbali mbali za kutaka kujificha ili asiweze kukamatwa. Na baada ya Mama yangu wa kambo kugundua kuwa picha ya sura yake imebandikwa kila kona ili akamatwe. Isitoshe serikali kuhaidi kutoa posho kwa mtu yeyote atakae mkamata! ndipo mama akaanza kuvaa nguo za kumsitili mwili mzima mpaka kininja ili asigundulike  lakini akaona hawezi kuendelea kuvaa vile, ndipo akaamua kujimwagia tindikali usoni  mwake masikini! Dooh  nyama yake ya usoni ikaharibika sana yani ata ukimtazama uwezi kugundua kama ni yeue na aliteseka sana kutunza kile kidonda mpaka kupona maana kilimtesa sana kidonda alikuwa analia usiku mzima na mchana pia mwenyewe ndani. Alipo anza kupona alikuwa hatambuliki kabisa ata ukimuona huwezi kumtambua kabisa maana alinyoa nywele akawa na kipala pia ukiangalia sura imeungua mpaka shingoni.



    Hivyo mama akawa na sura mbaya sana vilevile matiti yake yalikatwa zamani hivyo alikuwa mwanamke wa ajabu sana asie tamanika kabisa. mdogo wangu alimsikiliza sana mama tukaanza kutoa misada kwa hans na watoto wake pia tukawa kama familia moja kabisa. Kumbuka baada ya serikali kugundua mama hana kosa la kimtupa mtoto wake shimoni! ikamrudisha kazini nakumlipa pesa za kumsingizia yani za usumbufu hivyo mikosi na matatizo yote yakawa yameisha kwa mdogo wangu.



    Siku moja mama wa kambo alienda kwenye nyumba za wageni kuomba kazi ya kuwa mama gesti. alikubaliwa lakini aliambiwa kazi yake kubwa itakuwa ni kufua mashuka ya vyumba vya kulalia wageni. Sasa siku moja alishawishika kuingia kwenye chumba cha mteja kisha akaiba simu ili akauze apate hela. wakati anatoka chumbani mwenye simu nae alikuwa anafika kutoka dukani! bahati nzuri akamkamata mama dooh mama alipigwa sana mule ndani na yule kaka watu wote wakatoka kwenye vyumba vyao kumuangalia mama wakati wanataka kumfukuza ndani ili atoke nje ya gesti apigwe na raia wengine kwenye vile vyumba vya wageni kumbe yule rafiki yake mama wa kambo alikuwa amekuja na mme wake wa kizungu kutoka Germany hivyo wakawa wamefikia kwenye ile nyumba ya wageni. Sasa mama wa kambo alivyo muona akaanza kumwambia nisaidie nauliwa jamani yule dada alishangaa sana maana mama alimuita na jina kabisa. Mme wake akamuuliza unamjua huyu mtu.



    Yule dada hakumkumbuka kwa kweli maana mama wa kambo alikuwa kajiaribu sana uso yake na ile tindikari hivyo hakutambulika kabisa alipigwa sana mpaka akatolewa nje ya gesti akakimbia akiwa miguu peku na kanga yake moja tu. Kama yake na mama wa kambo alipo ona mtoto wake analelewa vizuri na mdogo wangu akapanda juu sasa akasema “namtaka mwanangu maana nimemzaa mimi na bila mimi hasingepatika huyo mtoto nipeni damu yangu niondoke nayo” mdogo wangu akamuuliza swali, “ningekufa je? Au dada yako alivyo mtupa shimoni angekufa je? Yule mwanaume akashikwa na kigugumizi, akasema lazima tumkose wote mtoto….



    Kaka yake na mama wa kambo alitaka kumuiba yule mtoto ili akaishi nae yeye! maana hakufurahia kabisa, kuona mtoto anabaki kwa mama yake akiwa anatazama tu. Ndipo akaanza kufanya mikakati na mipango ya kumuiba yule mtoto. Sasa siku moja kipindi mdogo wangu ameenda kazini mimi pia nipo kwenye miangaiko yangu pamoja na baba kwenye kazi zake, kule nyumbani alikuwepo dada wa kazi tu aliekuwa akimuangalia mtoto mda wote. Kaka yake mama alikuja akijifanya amekuja kusalimia pale nyumbani. Alisema kuwa “jamani dada nimewakuta ndugu zangu” akajibiwa kwamba “wote hawapo! wameenda kwenye miangaiko yao” kaka yake mama alicheka akasema “wale ni ndugu zangu sana hivyo nilikuja kuwasalimia nimuone na mtoto pia je yupo?” dada wa kazi akamjibu kuwa “mtoto yupo ndani nimemaliza kumuogesha sasa hivi na ameisha kula tayari hivyo unaweza kuingia ndani kumuona aina shida kabisa” kweli kaka yake mama aliingia ndani kisha akambeba mapajani mtoto vizuri, akamtazama mtoto wake alivyo mzuri! akaanza kufikilia ni jinsi gani anaweza kumuiba mtoto bila yule binti kufahamu.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Akamuita binti wa kazi “dada samahani njoo” akamwambia “hivi awa ndugu zangu wanaweza kurudi mda gani nyumbani?” Akajibiwa na binti kwamba “hawana mda maalumu ata sahivi wanaweza kuja” kaka yake mama akashituka akajua anaweza kugundulika au akafumwa na kukamatwa hivyo akasema tena “dada naweza kukutuma vocha nje mala moja” alimwambia vile ili atoroke haraka, ila yule dada wa kazi akasema “bosi alinikataza nisitoke nje ya geti maana kila kitu kimo ndani tayari, hivyo nikitoka anaweza kuniachisha kazi” kumbe yule kaka yake  mama alitaka kumfanya yule dada atoke nje ili atoroke na mtoto haraka, Sasa yule binti alivyo kataa kufata vocha yule kaka akachukia akawaza kichwani mwake akisema “leo nisipo toroka na huyu mtoto basi siwezi pata nafasi nzuri kama hii”  ndipo palepale akamlaza mtoto kwenye sofa kisha akamuita yule binti, binti alivyo fika akamkamata kwanguvu sana dada wawatu, kisha akafunga kwanguvu kwa kumkaza miguuni na mikononi kwa kutumia mapazia ya pale nyumbani.



    Binti wa kazi alianza kulia akisema nisamee jamani sina kosa, ila hakusikilizwa kabisa, wakati yule binti anajiviringisha sakafuni kutaka kufunguliwa miguu na mikono, kanga yake ikawa imejifungua! ikadondoka kibaya zaidi yule binti alikuwa na tabia ya kuvaa nguo ya ndani na kanga  moja tu asubuhi! sasa kanga ilivyo dondoka maumbile yake ya ndani yakawa yanaonekana! kaka yake mama alivyo yaona yale maumbile ya yule binti palepale pepo pia likawa limempitia akavutiwa na mwili wa binti, ndipo akamvua nguo yake ya ndani na kumfanya kitendo kwa lazima.



    Alivyo maliza kumbaka akafunga zipu yake kisha akamuacha yule dada akiwa uchi tena anatokwa damu sehemu zake za siri maana alikuwa bado ni bikira maana alikuwa bado mdogo katolewa kijijini kwa kina Hans kusaidia kazi za ndani. Ndipo kaka yake mama akambeba mtoto kisha akachukua elfu kumi mezani ya matatizo madogomdogo ya pale nyumbani kisha akaondoka nayo. Sisi tulivyo rudi nyumbani, mimi na baba tuliona haibu sana maana yule binti alikuwa uchi hivyo tukatoka nje kwanza, mdogo wangu wa kike akaingia na kumvalisha nguo. Tulipo muuliza “mtoto yuko wapi” akasema “kuna mgeni amekuja akasema kwamba ni ndugu yenu, hivyo nikamkalibisha kwa furaha zote ndani lakini kumbe ni mwizi tu, kanifunga na pazia, kanibaka alafu kamuiba mtoto” mdogo wangu akauliza “anafananaje?”



    Siku moja mama wa kambo alienda kwenye nyumba za wageni kuomba kazi ya kuwa mama gesti. alikubaliwa lakini aliambiwa kazi yake kubwa itakuwa ni kufua mashuka ya vyumba vya kulalia wageni. Sasa siku moja alishawishika kuingia kwenye chumba cha mteja kisha akaiba simu ili akauze apate hela.



    wakati anatoka chumbani mwenye simu nae alikuwa anafika kutoka dukani! bahati nzuri akamkamata mama dooh mama alipigwa sana mule ndani na yule kaka watu wote wakatoka kwenye vyumba vyao kumuangalia mama wakati wanataka kumfukuza ndani ili atoke nje ya gesti apigwe na raia wengine kwenye vile vyumba vya wageni kumbe yule rafiki yake mama wa kambo alikuwa amekuja na mme wake wa kizungu kutoka Germany hivyo wakawa wamefikia kwenye ile nyumba ya wageni. Sasa mama wa kambo alivyo muona akaanza kumwambia nisaidie nauliwa jamani yule dada alishangaa sana maana mama alimuita na jina kabisa.



    Mme wake akamuuliza unamjua huyu mtu. Yule dada hakumkumbuka kwa kweli maana mama wa kambo alikuwa kajiaribu sana uso yake na ile tindikari hivyo hakutambulika kabisa alipigwa sana mpaka akatolewa nje ya gesti akakimbia akiwa miguu peku na kanga yake moja tu. Kama yake na mama wa kambo alipo ona mtoto wake analelewa vizuri na mdogo wangu akapanda juu sasa akasema “namtaka mwanangu maana nimemzaa mimi na bila mimi hasingepatika huyo mtoto nipeni damu yangu niondoke nayo” mdogo wangu akamuuliza swali, “ningekufa je? Au dada yako alivyo mtupa shimoni angekufa je? Yule mwanaume akashikwa na kigugumizi, akasema lazima tumkose wote mtoto.



    Kaka yake na mama wa kambo alitaka kumuiba yule mtoto ili akaishi nae yeye! maana hakufurahia kabisa, kuona mtoto anabaki kwa mama yake akiwa anatazama tu. Ndipo akaanza kufanya mikakati na mipango ya kumuiba yule mtoto. Sasa siku moja kipindi mdogo wangu ameenda kazini mimi pia nipo kwenye miangaiko yangu pamoja na baba kwenye kazi zake, kule nyumbani alikuwepo dada wa kazi tu aliekuwa akimuangalia mtoto mda wote.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Kaka yake mama alikuja akijifanya amekuja kusalimia pale nyumbani. Alisema kuwa “jamani dada nimewakuta ndugu zangu” akajibiwa kwamba “wote hawapo! wameenda kwenye miangaiko yao” kaka yake mama alicheka akasema “wale ni ndugu zangu sana hivyo nilikuja kuwasalimia nimuone na mtoto pia je yupo?” dada wa kazi akamjibu kuwa “mtoto yupo ndani nimemaliza kumuogesha sasa hivi na ameisha kula tayari hivyo unaweza kuingia ndani kumuona aina shida kabisa” kweli kaka yake mama aliingia ndani kisha akambeba mapajani mtoto vizuri, akamtazama mtoto wake alivyo mzuri! akaanza kufikilia ni jinsi gani anaweza kumuiba mtoto bila yule binti kufahamu.



    Akamuita binti wa kazi “dada samahani njoo” akamwambia “hivi awa ndugu zangu wanaweza kurudi mda gani nyumbani?” Akajibiwa na binti kwamba “hawana mda maalumu ata sahivi wanaweza kuja” kaka yake mama akashituka akajua anaweza kugundulika au akafumwa na kukamatwa hivyo akasema tena “dada naweza kukutuma vocha nje mala moja” alimwambia vile ili atoroke haraka, ila yule dada wa kazi akasema “bosi alinikataza nisitoke nje ya geti maana kila kitu kimo ndani tayari, hivyo nikitoka anaweza kuniachisha kazi” kumbe yule kaka yake  mama alitaka kumfanya yule dada atoke nje ili atoroke na mtoto haraka, Sasa yule binti alivyo kataa kufata vocha yule kaka akachukia akawaza kichwani mwake akisema “leo nisipo toroka na huyu mtoto basi siwezi pata nafasi nzuri kama hii”  ndipo palepale akamlaza mtoto kwenye sofa kisha akamuita yule binti, binti alivyo fika akamkamata kwanguvu sana dada wawatu, kisha akafunga kwanguvu kwa kumkaza miguuni na mikononi kwa kutumia mapazia ya pale nyumbani.



    Binti wa kazi alianza kulia akisema nisamee jamani sina kosa, ila hakusikilizwa kabisa, wakati yule binti anajiviringisha sakafuni kutaka kufunguliwa miguu na mikono, kanga yake ikawa imejifungua! ikadondoka kibaya zaidi yule binti alikuwa na tabia ya kuvaa nguo ya ndani na kanga  moja tu asubuhi! sasa kanga ilivyo dondoka maumbile yake ya ndani yakawa yanaonekana! kaka yake mama alivyo yaona yale maumbile ya yule binti palepale pepo pia likawa limempitia akavutiwa na mwili wa binti, ndipo akamvua nguo yake ya ndani na kumfanya kitendo kwa lazima. Alivyo maliza kumbaka akafunga zipu yake kisha akamuacha yule dada akiwa uchi tena anatokwa damu sehemu zake za siri maana alikuwa bado ni bikira maana alikuwa bado mdogo katolewa kijijini kwa kina Hans kusaidia kazi za ndani.



    Ndipo kaka yake mama akambeba mtoto kisha akachukua elfu kumi mezani ya matatizo madogomdogo ya pale nyumbani kisha akaondoka nayo. Sisi tulivyo rudi nyumbani, mimi na baba tuliona haibu sana maana yule binti alikuwa uchi hivyo tukatoka nje kwanza, mdogo wangu wa kike akaingia na kumvalisha nguo. Tulipo muuliza “mtoto yuko wapi” akasema “kuna mgeni amekuja akasema kwamba ni ndugu yenu,



    Hivyo nikamkalibisha kwa furaha zote ndani lakini kumbe ni mwizi tu, kanifunga na pazia, kanibaka alafu kamuiba mtoto” mdogo wangu akauliza “anafananaje?” Alijibiwa na binti wa kazi  kuwa “yule baba ana m’vi alafu anafanana sana na mtoto wako alafu rangi yake ni maji ya kunde” mdogo wangu akagundua kuwa ni yule kaka yake mama wa kambo.



    Alilia sana mdogo wangu akasema “jamani kumbe alivyo sema tutamkosa wote alimanisha, na kwanini ambake binti wangu wa kazi pia kamkosea nini” hatukuwa na jinsi ikabidi tuka ripoti kituo cha  polisi. Kipindi kaka yake mama wa kambo yupo na mtoto, aliamua kupanda gari ampeleke mtoto kijijini kwao akamkuzie ukouko. Mimi na mdogo wangu tulijaribu kuzunguka maeneo ambayo tulihisi tunaweza kumpata kaka yake mama lakini hatukufanikiwa.



    Sasa kipindi kaka yake mama anamsafilisha mtoto kimya kimya, wakati safari inaendelea mtoto alianza kulia sana kwenye gari alilia sana alipiga kelele kaka yake mama alijitahidi kumbembeleza lakini mtoto wapi, hakusikia! kaka yake mama nalimshikisha mtoto vyakula,juisi lakini mtoto alilia sana, mpaka akaanza kuuzi watu ndani ya gari. Baba mmoja akasema “we baba mbona mtoto analia sana umemuiba au” akamjibu “hapana namtoa kwa bibi yake nampelekeka kwa mama yake maana alikuwa anamlilia sana mama yake” watu hawakumuamini kabisa maana mtoto alilia tangu safari inaanza mpaka mda ule. Ila kaka yake mama alijikaza sana na mtoto.



    Akiwa anaongea mwenyewe kwamba “siwezi kumuacha mwanangu kabisa”.huku kwetu pia Mdogo wangu aliumia sana akasema “mtoto wangu nilimzaa kwa tabu alafu anaibiwa nikiwa natazama tu”. Nilimpa moyo kuwa “kila jambo linalo tokea linasababu yake”. kipindi kaka yake mama yupo ndani ya gari akiwa anafurahi kuwa amefanikiwa kuiba mtoto, kumbe “Unapo tenda mambo mabaya kwa wenzako kumbuka malipo ni hapahapa duniani” hatukujua kuwa yule mtoto alikuwa ni mtu sawa, lakini alikuwa kapatikana kwa nguvu za kishirikina maana ata mdogo wangu alipata mimba sio kutoka kwa baraka za mungu, bali ni nguvu za kichawi ndizo zilizo mchanganya akili kumfanya yeye amkubalie yule kaka kuwa nae katika mahusiano ya  kimapenzi, na ata kipindi cha mimba kuna kipindi alionekana kama vile ni jiwe lipo tumboni, hivyo ata yule mtoto angekuwa mkubwa angerudisha zile nguvu za kishirikina zilizo chomwa na mzimu wa mama.



    Sasa kipindi kaka yake mama amembeba mtoto wakiwa kwenye gari mtoto alipata usingizi akalala. Ila bahati mbaya dereva gari lake likavunjika breki likiwa kwenye mkali sana masikini, hivyo dereva  akaruka nje ya gari kukomboa uhai wake na akawaacha abilia wote ndani. Kaka yake mama alivyo ona hajari kubwa itatokea ndipo kwa ushenzi wake akaamua kumrusha mtoto nje kupitia dirishani ili asife, bahati mbaya mtoto akaangukia kwenye tairi la gari hivyo mtoto akakanyagwa na taili kichwani akapasuka kichwa akafa palepale. Lile basi pia likapinduka vibaya masikini walikufa abilia wote ila dereva alitoroka nakujificha ili asikamatwe.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Hivyo kaka yake mama yangu wa kambo  na mtoto wake wakapotea kwa njia za kutatanisha sana.  Baada ya miaka mi tatu tukiwa tumeisha sahau matukio ya nyuma yote, Siku moja nimeenda kuweka mafuta kwenye gari nikakutana wa Wastara kwenye sheli ya mafuta. Alifurahi sana tulivyo onana akaniuliza kuwa “ulipotelea wapi” nikamueleza akanipa pole kwa matatizo yangu yote kisha tukabadilisha namba za simu.



    Sasa siku moja wakati tunawasiliana nae,  nikamuelezea kuwa nataka kuoa sasa nipo natafuta mke, alifurahi sana akasema ni wazo zuri na akaniambia kuwa “nina mdogo wangu wa kike nitaongea nae akikubali nitakwambia, ila kwa jinsi ulivyo anakufaa sana mtaishi bila wasiwas kwenye ndoa” Kweli mdogo wake hakuwa na kipingamizi akanikubalia ombi langu, sababu na mimi nilikuwa nimempenda sana nikaamua kuvumilia yote, yani nifunge nae kwanza ndipo tendo la ndoa litafata, Wakati tunafanya mipango ya harusi kumbe yule binti alikuwa anaujauzito wa wiki mbili, na mimba hiyo alipewa na mpenzi wake lakini yule bwana yake akaikataa mimba!  hivyo akataka kunishikisha hiyo mimba yake mimi.



    Mdogo wake wastra alikuwa ni binti mwenye heshima sana! alikuwa mpole mwenye hekima pia, ila aliogopa kuniambia kama ni mjamzito akijua kuwa akiniambia tu naweza kumkimbia na kumkataa kabisa. Na mimi sikumuhisi chochote kibaya kutoka kwake nilimuamini 100%! Tena kwa kila kitu mpaka nikaamua kupanga mikakati ya harusi baina yangu mimi na yeye.



    Na hiyo harusi nilitaka iwe mapema kabisa yani ndani ya wiki hiyohiyo ili nimuoe awe wangu wa maisha kabisa nisije kuibiwa, Nilianza kuandaa michakato ya harusi ili nimuweke ndani, maana tangu niingie nae uchumba sikuwai kumgusa wala kumwambia chochote kuhusu tendo la mapenzi, ingawa yeye alitamani nifanye nae tendo lile, ila mimi nilijaribu kumuonyesha nampenda hivyo sikuitaji kufanya kabla ya ndoa.



    Marafiki zangu wote walinisifia na kunipa baraka zao wakisema “rafiki yetu kweli hapa umepata mke” sikuwaza kwenda kupima afya   kabla ya harusi maana nilikuwa namuamini sana mchumba wangu jamani, sababu alikuwa mpole, msataarabu, msafi, mzuri sauti ya upole na mcha mungu pia. Kweli mipango ya harusi ikaandaliwa na walikuwepo wageni wengi maana ilikuwa ni harusi ya kifahari, dooh  “kweli malipo ni hapa hapa duniani” nakumbuka ilikuwa tarehe 27/10/ mwezi na tarehe ambayo baba alimleta mama kambo nyumbani nakumfukuza mama, na mimi ndiyo tarehe hiyo hiyo matatizo yalinikuta ndani ya harusi yangu pia.



    Ebu kumbuka yule kijana nilie kuwa nafanya nae kazi za ujenzi ambae alimuuwa yule dada tulie kuwa tunamdai pesa za kumjengea nyumba yake, na alivyo muua akatoroka bila kuniaga ata mimi mpaka nikahukumiwa kifungo ila nikawatoroka pia maafande.



    Kumbe huyo kaka ndie aliekuwa amempa mimba mchumba wangu alafu akaikataa sababu ya ugumu wa maisha. Yani inauma sana hii, kipindi tupo kanisani tunapeana ahadi, mimi nipo natoa kiapo nikiulizwa na padri, kwamba “bwana harusi je upo tayari kuishi na mke wako kwenye shida na raha mpaka kifo kitakapo kuja kuwatenganisha” kabla sijatoa kiapo cha kukubali, ndipo palepale yule rafiki yangu, yani huyo kaka aliempa mdogo wake wastara mimba akaingia kwa kishindo na kupiga kelele akisema kanisani kuwa “nina vipingamizi na hii ndoa naomba isifungwe” dooh kila mtu kwanzia padri, wageni waalikwa wakamgeukia yeye mlangoni, Usisahau kuwa ndoa yangu na mke wangu ilikuwa ya kifahari sana mpaka tukairusha hewani kupitia vipindi vya kwenye Tv, ili itazamwe na watu wengi.



    Sasa siku hiyo kumbe ndugu zake yule dada marehemu alie uliwa na rafiki yangu walikuwa wanatazama hiyo ndoa kwenye Tv, ndipo walimuona pia huyo kaka anavyo katisha ndoa yangu kanisani. Wakasema “jamani huyo kaka si ndiye alie muua ndugu yetu” walipo nitazama na mimi bwana harusi wakasema na “yule bwana harusi si ndiye rafiki yake? Hatuwezi kukubali! tukachukue mapolisi tukawakamate”. Mda huo pia na mimi pale kanisani namshangaa sana yule rafiki yangu alie ua akatoroka.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    Nikajiuliza sana maswali huku matetemeka kama mwizi! kwamba “kafata nini tena kuniaribia harusi yangu jamani” wakati nipo nimezubaa nikiwa nimevaa suti nimependeza sana huku haibu tele usoni mwangu! Huku pia wageni waalikwa wakiwa wameshangazwa kwelikweli kwa kile kitendo, Nilishangaa kuona mke wangu analia akisema “mme wangu nakupenda sana achana nae huyo kaka” padri akamuuliza “wewe kaka shetani unaharibu ndoa za watu tatizo lako nini?” Wakati rafiki yangu anataka kusema ndoa isifungwe huyu bibi harusi anaujauzito wangu kabla hajasema Palepale difenda ya polisi na wale ndugu zake marehemu walio tuona kwenye tv wakawa imefika.



    Ndipo mimi bwana harusi pamoja na yule rafiki yangu alie kuja kuniaribia ndoa tukakamatwa kisha tukapelekwa kituo cha polisi kusubilia hukumu. Watu walishangaa sana nakusema kwamba, “inauma sana bwana harusi anakamatwa kwenye harusi yake, tena akiwa amevaa suti ya bei vile, kibaya zaidi tv ya taifa inarusha hewani harusi yake” dah ilikuwa ni aibu tupu wengine wakasema, “bwana harusi aliua mtu kipindi cha nyuma leo kagundulika” bibi harusi alilia sana akasema “mme wangu wanamsingizia hawezi kuua”,  Ndipo nikakamatwa bila kuwa na hatia yoyote ile, afande mmoja akasema ulitutoroka kipindi kile, sasa leo kesi yako ni ni mala mbili yake sasa. Baba na mdogo wangu pamoja na Wastara na yule bosi wangu walikaa chini kisha wakakumbuka kuwa mimi ni mtu wa kuonewa tu, maana ata bosi pale kwake alinifukuza bila kosa kabisa, ndipo wakaamua kukaa chini na kupanga mikakati ya kunisaidia nisifungwe Kifungo cha kunyongwa. Kesi yetu ilichukua miezi minane tangu nikamatwe.



    Yule rafiki yangu alikili kosa lake akasema kwamba “jamani niliua mimi, mama yule malehemu alikuwa ananizulumu pesa huyu mwenzangu hana kosa hajui chochote” hivyo mimi nikaonekana sina kosa, nilirudi nyumbani nikiwa nimekonda nimechoka sana sina raha kabisa, nilipofika nyumbani  nikijua nitamkuta mke wangu katika hari nzuri, kweli nilikuta mali kaziendeleza ila nilishangaa sana kumkuta na mimba kubwa wakati mimi nilikuwa sijawai kutembea nae, ndipo akaniambia, ilikuwa ya yule rafiki yangu alie ua, sikuwa na jinsi maana rafiki yangu aliukumiwa kifungo cha maisha, yani alinyongwa akafa kabisa, tuliishi kwa furaha sana katika maisha yetu.



    Ila mama wa kambo maisha yake yalikuwa magumu sana aliumia sana maana mizimu iliendelea kumtesa na kumpa shida kila wakati, mama alichoka sana na maisha  mpaka alianza kuwa kama chizi anavaa nguo bila kubadilisha mpaka ananuka mwili wake, mama wa kambo alikuwa hana mtu yoyote wa kumsaidia maana ata kaka yake alikufa kwa ajali ya gari, aliumia sana jamani, mama yangu wa kambo alitamani kumrudia mungu lakini akaogopa akihisi dhambi zake ni nyingi, siku moja usiku mida ya saa nane akafunga kamba juu ya mti kisha akapanda kwenye jiwe ili ajinyonge! wakati amelisukuma jiwe ili ajinin’ginize afe kamba ikakatika palepale, maana kamba ilikuwa imeoza sababu ilikuwa ya kutekea maji kisimani, na ilikuwa ya mda mrefu. Ila kamba ikawa amemchubua sana shingoni mwake.



    Baada ya miaka mitatu mama yangu wa kambo kutokana na miangaiko yake yote ya maisha mpaka kujimwagia mitindikali usoni, akajikuta anapata KANSA ya shingoni. Alizubaa kuitibu, kumbe kansa ikaenea mwilini mwake ikakomaa, hivyo basi kutibiwa kwake ikawa ngumu! maana alitakiwa kukatwa shingo kansa isienee mwilini zaidi, na kibaya zaidi, “mtu akikatwa  shingo anakufa” hivyo sasa, akaamua kukaa hivyo hivyo tu, shingo lilioza sana akavimba vibaya shingo lake.



    Yani shingo likikuwa na michilizi inayo tia kinyaa ukimtazama kwa macho unajisikia vibaya yani mwili unasisimka sana, Aliendelea kukaa ndani akiwa anaoza polepole,funza na nzi vilevile na wadudu wa kila aina walimjaaa mama wa kambo tena hao wadudu wakimtembelea akiwa bado ni mzima wa afya, kibaya zaidi alikuwa ananuka pia maana alikuwa mwasilika wa ukimwi ukichanganya na magonjwa yake pia akaisha mwili kabisa, watu walishindwa kumuhudimia maana alikuwa akijisaidia sehemu aliyo lala hapohapo, hivyo alikuwa anatoa harufu Kwelikweli.

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com

    mama wa kambo alikata tamaa maana aliugua na hakuna ata mmoja alie mpelekea chakula. hakuwa na mtu wa kumpa msaada wowote, ata mimi na mdogo wangu tuliogopa kumsaidia maana tulijua ni kigeugeu sana unamsaidia leo kesho anakuua.  Ilipo fika tarehe 12/6/ siku na mda ambayo alifariki  mama danieli ndipo mama wa kambo alikata roho akafa mda huo huo pia, “kweli malipo ni hapahapa duniani”. Mimi, mdogo wangu na baba tulipo pata taarifa za msiba wote tulienda kwenye msiba wake! Ili tumzike kwa amani. tulim’wagia mchanga kabulini mwake na tukaondoka makabulini pale. Tangu ile siku mama wa kambo amekufa, tunaishi kwa amani na upendo tele, mizimu ilipumzika kwa amani na haijatutokea mpaka leo,



    MWISHO 

0 comments:

Post a Comment

Blog