Search This Blog

NILILALA NA MAITI 20 ILI NIOLEWE NA RAIS - 2

 





    Simulizi : Nililala Na Maiti 20 Ili Niolewe Na Rais

    Sehemu Ya Pili (2)



    Mara nikasikia tena zile sauti zikinyamaza.Kimya! Pakawa tuli kwa muda kidogo. Kimya kikaendelea kutawala eneo lote lililonizunguka.Muda wote mikono yangu ilibaki imeishikilia ile maiti kifua chake.Lile jicho moja la maiti lililojifungua likaendelea kunitazama. Nikalikazia na mimi tukitazamana.

    “Endelea sasa!, mlambe? Mtomase mwili wote na kisha tumia ulimi wako kumnyonya sehemu zake za siri!”

    Ilikuwa ni sauti ya Sophy ikipenya kwa mbali katika ngome ya masikio yangu. Ilikuwa ikinong’ona kwa kunibembeleza. Nikajaribu kuyazungusha macho yangu kwa kuangalia alipo. Huku na kule sikuweza kufanikiwa kumuona zaidi ya kuhisi kama mkia ukinigusa mgongoni mwangu.Kadri ule mkia ulivyokuwa ukinigusa eneo la mgongoni mwangu ndipo na nguvu za kichawi zilivyokuwa zikinirudia. Nikajihisi kusisimka kuanzia kichwani,kiunoni mpaka miguuni.Nikapata ujasiri wa ghafla.Nikavuta pumzi kwa kuhema juju huku nikiinamia ile maiti kwa kuitazama. Taratibu nikaendelea na zoezi lililokuwa limenileta. Zoezi la kuhakikisha nafanya mapenzi na maiti iliokuwa mbele ya macho yangu. Maiti ya mwananume aliokuwa amevalishwa suti maridadi ambaye sasa alikuwa mikononi mwangu. Takribani dakika ishirini nilikuwa bado nikiilamba maiti vilivyo. Zile nguvu za kichawi ziliniongezeka mara mbili yake. Nikaishikilia ile maiti nakuiinua mpaka ikasimama mithii ya mwanajeshi akiwa mstari tayari kwa kupiga kwata.Nikaivua nguo yake ya ndani nakuirusha pembeni. nikakutana na sehemu zake za siri. Sehemu ambazo zilikuwa zimesinyaa sasa zikawa ndani ya mdomo wangu nikizinyonya na kulazimisha zisimame ingawa ilikuwa tayari ni maiti ambayo isingeweza kufanya chochote. Wachawi huwa hawaoni uchafu wala kinyaa kwa kitu chochote kibaya ama cha kutia kichefu chefu kwa wanachofanya. Kwa kuwa tayari nilikuwa mchawi aliyekamilika. Aliyekamilika kwa kutembea uchi pasipokuwa na nguo yeyote usiku. Nikiongozwa na ungo,mkia pamoja na mkia vikiwa ni silaha yangu kubwa kwa kujikinga na watu duniani wasiweze kuniona wala kunikamata. Nilipomaliza kumlamba na kumnyonya nikachukuwa kiungo chake kimojawapo kati ya viungo vya sehemu zake za siri nakukalia kwa juu.Nikaanza kukatikia haraka haraka. Kwa jinsi nilivyokuwa nikiendelea kukatikia na utamu nao ndivyo ulivyokuwa ukinizidia.

    “Ohhh asante! Asante!”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niliusemea moyo. Nilijikuta nafurahia kufanya mapenzi na maiti kwa mara ya kwanza toks niwe mchawi kamili huku nikinena kwa lugha mwenyewe.

    “Inatosha sasa! Inatosha Adela urudi nyumbani sasa?”

    Ile sauti ya Sophy ikanirudia tena katika himaya hii ya makaburi. Sikuweza kumuona zaidi ya kuhisi sauti inapotokea tu.

    ”Nitarudi vipi sasa Sophy?”

    Nilimuuliza hivyo hivyo pasipo kumuona.

    “Inuka hapo ulipo kisha nenda kona ya hilo kaburi halafu tutakutana nyumbani. Sawa Adela?”

    “Sawa. Na maiti hii niirudishie? Na kuhusu kufunika je?”

    “Adela? Wewe zoezi lako limekwisha nenda kona hapo. Kuna misukule yetu ambayo tunaichukua kila siku kwa ajili ya kufanya kazi kama hizi za kufukia makaburi yaliochimbwa kwa nguvu zetu za kichawi. Watairudishia kama ilvyokuwa”

    Ilinibidi kuitii ile sauti niliyohisi huenda ni ya Sophy. Nikachukuwa kibuyu na mkia wangu kisha nikajongea mpaka kona ya kaburi nakusubiri kitakachotokea. Haikuchukua muda nikajikuta nimeyeyuka.



    *******

    Kiza kinene kiliendelea kutawala mbele ya macho yangu. Hakukuwa na mbalamwezi wala nyota hata moja. Vicheko vingi vya kichawi ndivyo vilirindima zaidi. Nilijikuta na mimi nikiwa katika eneo lile la awali. Eneo ambalo lilikuwa ni himaya kuu ya wachawi. Pale ambapo nilikaribishwa kwa nguvu za kichawi mara ya kwanza na kujiunga rasmi na uchawi. Nami nikatoa kicheko cha kichawi nikiwaangalia.

    “Adela kwanza hongera kwa kuweza kufanikisha zoezi la kwanza la kulala na maiti”

    Aliongea mzee mmoja. Yule mzee alioyachukuwa maziwa yangu mawili na kuyakata kisha akayatoa na kuwapa mabinti wagawane kwa kuyatafuna. Kwa muda huu alikuwa akizungukwa na wachawi wenzangu tena wote kwa pamoja kila mmoja akimtazama na kucheka naye.

    “Adela? Una siku kumi tu ambazo unatakiwa uwe umeshamaliza kulala na kufanya mapenzi na maiti ishirini. Hivyo kwa siku unatakiwa uwe unafanya mapenzi na maiti mbili. Kama leo ulikuwa makaburini utatakiwa uende pia na mochwari ukafanye mapenzi na maiti nyingine mpaka idadi ya maiti ifike ishirini. Sawa?”

    Nilijikuta mwili ukiendelea kunisisimka kwa maneno niliokuwa nikiyasikia kutoka kwa mzee. Baridi si baridi na wala joto si joto likajipenyeza ndani ya moyo wangu. Sikuwa na moyo wa hasira tena zaidi ya kuwa na moyo wa furaha muda wote haswa nikiambiwa vitu vihusivyo uchawi. Shauku kubwa ikabaki ni jinsi gani nitalala na maiti zile za mochwari. Akili yangu kuu nikaielekeza kwa jinsi maiti zinavyohifadhiwa katika majokofu yake huko mochwari. Nikalifikiria sana baridi la kwenye majokofu kisha akili ikanipeleka hadi jinsi nitakavyofanya nayo mapenzi na ule ubaridi wake.

    “Jamila”

    Aliita yule mzee. Alikuwa akimuita binti yake. Binti yule aliotumwa panga mara ya mwisho na mzee wake huyu. Akasogea mpaka eneo la karibu na baba yake.

    “Abee baba!”

    “Sasa wewe ndio utakuwa na Adela katika kumpeleka huko mochwari. Hakikisha amefanya kama tunavyofanyaga tukiwa na maiti jinsia tofauti. Sawa mwanangu Jamila?”

    “Nimekulekewa baba”

    Jamila alipomjibu tu baba yake. Akanifuata mpaka karibu yangu.Rundo la wachawi wenzangu walibaki wakinishangaa.

    “Adela twende?”

    Nikawa namfuata kwa nyuma nisijue tutapoteaje mpaka kufika huko mochwari. Kwa mwendo kidogo huku tukiwa katika himaya zetu za kichawi. Jamila akainama chini kisha akasimama akiwa ameshikilia mkono wa mtoto mchanga. Mkono uliokatwa nakubakiwa na sehemu ndogo sana.Jamila akang’ata kipande cha nyama kisha akanipa.

    “Na wewe kula Adela?”

    “Hapana mimi nimeshashiba Jamila!”

    “Adela, hii ndio dawa yetu ya kutukinga tuendapo huko mochwari. Na nyama hii ya mkono wa mtoto mchanga tuliipata huko huko mochwari. Ni tamu sana shika kula!”

    Jamila akanilazimisha kuila ile nyama. Mwanzoni nilimkatalia lakini kwa kuwa ilikuwa ndio kama dawa ya kuenda huko mochwari haikuwa na budi kuila. Niliitafuna kidogo kidogo mpaka nikajikuta utamu ukinikolea na kuimalizia yote huku nikijilamba na kuutafuna mfupa wake uliokuwa mlaini mithili ya nyama za kuku wa kizungu. Baada ya kumalizia kuila tu ile nyama nilijikuta tayari nipo ndani ya chumba cha mochwari. Nilikuwepo sambamba na Jamila pembeni yangu.

    “Adela umemuona huyo hapo mlinzi kasinzia?”

    “Ndio nimemuona kwani hawezi kutushika?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Hapana Adela, yaani ile nyama ya mtoto tuoliokula ndio dawa ya kila kitu. Ina nguvu sana kuliko hata kibuyu na mkia.Nyama hii ni maalum kwa huku mochwari tu. Yule mlinzi hata kama akishtuka hawezi kutuona kamwe.”

    Jamila alinijaza moyo wa kishujaa zaidi. Mwili wangu ukakubaliana na moyo, moyo ukaridhika na kuiongoza akili. Akili ya kuanza kufungua jokofu moja baada ya nyingine.

    “Sasa Jamila nitajuaje kama ni maiti ya leo leo?”

    “Ile nyama ulioitafuna ndio itakuwa ikikuelekeza kupitia tumboni mwako. Tutapita mstari huu. Wa majokofu. Tumbo likicheza ujue hapo hapo utatakiwa kufungua na kuitoa maiti mpaka chini kisha utaichezea kwa kuinyonya na kuilamba halafu utafanya nayo mapenzi”

    Hatua kama sita nilikuwa nikiendelea kutembea pembeni ya majokofu. Jamila alikuwa kwa nyuma yangu akinisimamia. Ghafla tumbo langu likacheza. Likatikisika! Mwili ukawa kama unataka kuruka ruka haswa maeneo ya tumboni. Nikasimama nakulishika tumbo lipoe. Nikautoa mkono mmoja nakufungua jokofu. Hewa kali ikatoka. Mwili wa mwanaume aliyekuwa ameharibika vibaya uso wake ndio nikatazamana nao. Mwili wake wote ulikuwa umepondeka pondeka.Halmashauri ya kichwa changu ikafanya kazi kwa haraka zaidi na kutambua kuwa ilikuwa ni maiti iliopata ajali. Tena ajali mbaya sana.

    “Jamila siwezi kufanya mapenzi na maiti hii? Ni bora nife tu mara ya pili. Sitaki tena uchawi kama ni hivi”



    ****************



    “Adela? Unajitafutia makubwa! Hutaki nini?”

    “Jamila hapana maiti kama hii siwezi hata pa kuianzia,Embu ona nitawezaje kuilamba mwili mzima wakati manyama nyama yake yalio na damu yanaonekana yakigandamana na barafu. Ona sehemu zake za siri nazo zilivyojigawa kwa kupondeka. Hapana mimi siwezi wacha nisiwe mchawi tu!”

    “Adela hivi ujue maneno hayo akiyasikia baba unaweza kupewa adhabu mbaya. Salha naye alikuwa hivi hivi mbishi.Alikuwa anachagua maiti za kufanya nazo mapenzi kinyume na taratibu za uchawi wetu. Alichofanyiwa na baba, alitolewa macho yake yote yakawa kitoweo.Tukayachemsha na kuyala kama supu halafu akamrudisha Salha duniani na kumtupa usiku usiku. Salha akakamatwa na wananchi akiwa na vifaa vya uchawi mikononi mwake. Wakamuua kwa kumchoma moto raia wenye hasira kali. Haya ndio unataka na wewe nikurudishe kwa baba nikamwambie umeshindwa?”

    “Hapana Jamila usifanye hivyo, haya basi ngoja nianze!”

    Nilijikuta nikivuta pumzi kwa hasira japo ni sehemu yangu ya uchawi. Nikaichukuwa ile maiti kutoka katika jokofu lake nakuivuta mpaka chini kabisa kisha nikailaza. Maiti ilikuwa na ubaridi sana kutokana na kuhifadhiwa katika jokofu kwa muda. Ilikuwa tayari imeganda vilivyo.

    “Mlambe! Mlambe mwili wote na usisahau kumnyonya sehemu zake za siri na ukimaliza ufanye naye mapenzi kama wafanyavyo watu wa duniani”

    Yale maneno yalijirudia tena katika masikio yangu. Haikuwa sauti ya Sophy kama mwanzo ilivyokuwa bali ilikuwa ni sauti ya Jamila. Nikatazama eneo alipokuwa Jamila amesimama. Sikuweza kumuona Jamila tena. Nikayazungusha macho yangu vizuri mpaka eneo alipokuwa ameketi yule mlinzi napo sikuweza kumuona yule mlinzi.

    Sasa macho yangu yakabaki yakitazamana na maiti iliyokuwa mbele yangu. Maiti ya mwanaume aliyekuwa amepata ajali mbaya sana na kuharibikia karibu mwili mzima. Damu zake zilionesha kugandamana na barafu kali. Barafu la kwenye majokofu ya kuhifadhia maiti. Taratibu nikaanza kuipapasa ile maiti pasipo kuogopa wingi wa barafu na baridi lake. Nikaanza kuilamba kuanzia usoni. Nikaudumbukiza mdomo wangu kwake. Ubaridi ukaanza kuniingia vilivyo kupitia mdomoni mwangu. Kadri nilivyokuwa nikiinyonya ile maiti ndivyo na ile maiti ilivyokuwa ikiyeyuka. Damu damu zilizokuwa zimegandia zikaanza kujitokeza baada ya kutengana na ubaridi wa barafu. Sikutaka kamwe kupoteza muda nikahamia kifuani mwa ile maiti. Nikaanza kuinyonya kitovu chake huku nikishuka mpaka eneo la sehemu zake za siri. Nikazinyonya vivyo hivyo japokuwa zilikuwa hazifai kwa kuharibika.Harufu kali kama ile ya maiti nilioifukia kaburini ndio nikakutana nayo katika sehemu za siri za maiti. Sikujali kitu zaidi ya kumalizia kuinyonya. Nikaikumbatia kwa nguvu pasipo kuogopa baridi lake. Nikaikalia viungo vyake vya siri nakuvikatikia.

    “Ohhh tamu sana! Tamuu!”

    Nilijikuta nikiufurahia ubaridi uliokuwa ukinitekenya katika sehemu zangu za siri. Ubaridi uliojikusanya katika viungo vya siri vya maiti vilivyokuwa vimejikusanya vilivyo katika sehemu zangu za siri. Nilijiona utamu ukinizidia tofauti na ule wa maiti ile ya makaburini. Nikazidisha kuikatikia mithili ya wacheza shoo wa muziki wa dansi wakiwa jukwaani.

    “Unafanyaje hapo? Naongea na wewe! Unafanyaje hapo?”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Sauti ya kiume kwa mbali nikaisikia ikiniongelesha. Nikawa natoa macho yangu kuangaza huku nikiendelea kuikatikia ile maiti lakini kwa sasa nilikuwa nimepunguza kasi ya kuikumbatia kwa nguvu.Nikashusha pumzi. Kimya! Macho yangu ya kichawi yakaangaza pande zote ya chumba cha kuhifadhia maiti lakini sikuambulia kumuona mtu.

    “Inamaana husikiii enhh?”

    Mwanga mkali wa tochi ukanimulika usoni mwangu. Nikashangaa nikipigwa teke katika mbavu zangu. Nikaiachia ile maiti nakusimama. Wima! Wanaume takribani watatu wakawa mbele ya macho yangu.

    “Nyie wanga mtaacha lini tabia zenu? Enhh haya hapa unafanyanje na hii maiti?”

    Bado nilikuwa katika hali ya kustaajabu.Taharuki kuu! Moyo ukaniambia kuwa nimekamatwa na watu wa duniani lakini akili ikapingana na moyo wangu kata kata. Kamwe akili yangu haikutaka kuamini kuwa ni watu wa duniani.

    “Inuka? Haraka inuka mpumbavu mkubwa wewe!! Baraka embu chukueni hiyo maiti irudishieni kwenye jokofu lake hapo juu?”

    Maswali mengi yakaanza kunitawala katika halmashauri ya kichwa changu. Niliwaza sana imekuwaje nimekamatwa na watu wa duniani.

    “Huenda nilivyokataa kwa mara ya kwanza Jamila kaenda kumwambia baba yake?”

    Nilijikuta nausemea moyo juu ya kukamatwa kwangu. Nikaanza kupigwa mateke kichwani na mgongoni. Nikapigwa sana huku nikitambaa kwa uchungu. Maumivu halisi nikaanza kuyasikia. Maumivu ya kidunia. Maumivu ya kupigwa kwa mateke. Nilijitahidi mpaka nikafika karibu na kona. Nikainuka haraka nakushikilia ukuta kwenye pembe nikidhania huenda nitayeyuka nakurudi kwa wachawi wenzangu. Haikuwa hivyo! Sikuweza kuyeyuka. Nilijikuta nikiumia sana moyo huku nikiendelea kuambulia kipigo kwa wanaume watatu. Kipigo cha mateke kilinizidia. Nilihama lile eneo la ukutani nakuendelea kutambaa nisijue naelekea wapi.

    “Jamila njoo niokoe? Jamila? Sophy uko wapi leo nimeshikwa mimi? Nipeni nguvu za kichawi niepukane na kifo cha duniani. Binadamu hawatupendi sisi wachawi Sophy. Niokoeni jamani nafwaa!”

    Bado nilikuwa na nena kwa lugha kimoyo moyo. Maneno ya uchungu yakatawala kichwa change. Nilikuwa nikiongea kimya kimya. Hatimaye mlango ukafunguliwa mbele yangu. Mwanga mkali wa kuashiria ni duniani na tena kumekucha ukawa umeangaza. Akili ya kidunia ikaniingia mara mbili yake. Wananchi wengi wakiongozwa na manesi wakawa nje ya mochwari wakinishangaa. Nilijiangalia vizuri mwili wangu. Mwili uliokuwa uchi wamnyama. Mwili uliokuwa tofauti kidogo na binadamu wa kawaida kwa kukosa matiti kifuani.

    “Wachawi kama hawa dawa yao ni kuchomwa moto tu!”

    Sauti ya kiume ilipayuka kwa ukali. Watu wote wakapiga makelele kushiria kukubaliana na kauli alioitoa yule mwanaume. Kauli ya mimi kuchomwa moto.

    “Dokta, huyu tumpeleke kule tunapochomaga viungo vya watu waliopata ajali. Kule upande wa pili”

    “Ni sawa haina tatizo. Embu nyie vijana hakikisheni huyu anapelekwa mpaka eneo lile tunapochomea viungo vya wagonjwa waliopata ajali sehemu za miguu na mikono. Na yeye tutamjumuisha kama yule mchawi tuliomchoma juzi. Hawa ndio dawa yao wataacha wenyewe”

    Waliniburuta kwa kunipiga Adela mimi. Aibu kubwa iliendelea kunitawala lakini sikulijari. Sikuuthamini mwili wangu kuanzia juu mpaka sehemu za siri.Walinipiga sana njia nzima nikitambaa kwa maumivu. Nikafikishwa sehemu ambayo nilishuhudia harufu kali ya damu ikinijia katika pua zangu. Moshi mweusi sana ulikuwa ukitoka katika tanuru la nyumba ambayo ilikuwa mbele ya macho yangu.

    “Tumuingize ndani. Huyu siyo wa kumbeba ni mateke mpaka ndani kabisa”

    Waliendelea kunipiga huku nikijiburuta kwa kutambaa mpaka ndani. Mwili wangu ukawa hautamaniki kwa kipigo. Nilipoingizwa tu ndani nikatazamana na karai kubwa lililokuwa limewekwa viungo vya watu waliofanyia opersheni.Kulikuwa na viungo vya binadamu vya aina nyingi kama, masikio, miguu,mikono,vidole. Vilikuwa tayari kwa kutupwa kwenye moto. Wakanisogeza mpaka karibu na eneo la kuchomea viungo vya mwili. Wakachukua panga nakuanza kutaka kunikata kata kuanzia mikononi.

    *******************************

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Nisameheni jamani msinikate! Msinikate!!”

    Nilijikuta nikitoa sauti ya kupaza kuomba nisikatwe. Panga kubwa lililokuwa limelowa damu damu lilikuwa mbele ya macho yangu tayari kwa kukatwa katwa Adela mimi. Sikuwa na mtetezi wangu tena. Niliona kifo kikiniita kwa mara ya pili. Kifo cha duniani.

    “Baraka mbona unamchelewesha au unamuonea huruma, muadabishe! Hawa hawanaga huruma wanatusumbuaga sana usiku hatulali na watoto wetu vizuri kazi kutuwangia tu!”

    Yule kijana niliyesikia akiitwa Baraka akawa amelishikilia panga vilivyo. Aliliinua mpaka juu kwa lengo la kunikata kata. Akalishusha nakunikata mkono wangu mmoja wa kushoto. Mkono ukanidondoka mpaka chini.Maumivu makali yakatawala ubavu wote wa mwili wangu. Maumivu yaliochanganyikana na damu damu. Baraka alikuwa na hasira sana kwani baada ya kunikata mkono mmoja nilishangaa akihamia na mkono mwingine.Akaukata! Alinichakaza mikono yote miwili. Damu nyingi zilitapakaa chini kukawa hakufai. Wale wanaume waliokuwa na Baraka wakakimbia nje nakumuacha Baraka akiendelea kunikata kata vipande vya mikono vilivyokuwa tayari vimesalimiana na sakafu. Sauti ikanikatika Adela mimi.Kwikwi ikanibana.Nikaamini sasa mwisho wa uhai wangu unakwenda kuisha. Mwisho wa kuishi maisha ya kichawi na duniani kwa ujumla. Nguo zote alizokuwa amezivaa Baraka zikawa zimelowa tapatapa kwa damu yangu mimi iliokuwa ikimrukia pindi alipokuwa akinikata kata viungo vyangu. Nguo zikanona damu.Tepetepe!

    “Baraka niache, usiendelee kunikata Baraka?”

    Nilijitahidi japo kutoa sauti kwa ukali kumsema Baraka lakini haikuwezekana. Sauti yangu ilikuwa bado ya chini sana huku nikihisi koo kujaa na damu damu. Baraka akahamia miguuni mwangu akiwa na panga lake. Akaichabanga miguu yangu yote miwili kuanzia mapajani. Ikakatika vipande vipande. Nikabakiwa kiwiliwili. Kiwiliwili cha kutokuwa na miguu yote wala mikono. Baraka akalitupa panga lake pembeni. Akainama chini kulikokuwa kumetapakaa damu ovyo. Akaanza kukusanya viungo vya mwili wangu kimoja baada ya kingine.Akili yangu nikaihamishia upande wa pili kulipokuwa na lile karai la viungo vingine pembeni yangu. Nikajua dhahiri Baraka atavitupia viungo vyangu mule ndani ya karai. Hakufanya hivyo.Akasonga! akaelekea mpaka kwenye tanuru lililokuwa likiwaka moto nakutupa vipande vya miguu yangu. Akarudi tena mpaka eneo nililokuwa nakukusanya vipande vipande vya mikono yangu nakuvipelkeka tena kwenye tanuru kuvitupa viungue na moto. Niliumia sana moyo. Yale maumivu niliokuwa nayo nilijihisi kuishiwa kabisa nguvu za kichawi. Mwili ulinitetemeka kila nilipokuwa nikiona moto ulivyokuwa ukipamba. Safari hii Baraka akainama nakuchukuwa lile panga lake kwa mara ya pili. Akanifuata nakunishika kichwa changu.

    “Wewe si mchawi? Haya Sali sala zako za mwisho za kichawi. Mpumbavu mkubwa wewe kabla sijamalizia kiwiliwili chako!”

    Alichukuwa kichwa changu nakutelezeshea panga katika shingo. Nikahisi kama koo likitaka kuachana na mwili. Akaniinamisha kwenye karai kwa nguvu. Uso wangu wote ukasalimiana na viungo vya kwenye karai. Akaniinua nakunirudishia katika karai kwa mara ya pili. Mwili wangu ukashtuka ghafla nakutetemeka mithili ya mtu aliyepigwa na shoti ya umeme. Nikajihisi maumivu kunipotea ghafla. Ushujaa! Akili yangu ikawa imeshasaidiana na macho kutambua kuwa miili ya watoto wachanga waliokufa kwa bahati mbaya ipo ndani ya lile karai. Imechanganyikana na viungo vya watu wazima tayari kwa kuchomwa moto.

    “Adela, hii ndio dawa yetu ya kutukinga tuendapo huko mochwari. Na nyama hii ya mkono wa mtoto mchanga tuliipata huko huko mochwari. Ni tamu sana shika kula!”

    Nikayakumbuka maneno yale aliokuwa akiniambia Jamila kabla hatujaja huku mochwari. Maneno juu ya kula ile nyama ya mtoto mchanga. Baraka aliponiinamisha kwa mara nyingine kabla hajaniinua meno yangu yakawa yameshaibuka na kipande cha mkono wa mtoto mchanga kilichoshikana na mwili. Nikatafuna kwa hasira kali. Kadri nilivyokuwa nikitafuna ndivyo na mwili wa Baraka ulivyokuwa ukikosa nguvu. Akalitupa panga lake nakudondoka chini akiyumba yumba kwa kulegea miguu. Akaanza kutapa tapa mithili ya mgonjwa anaeyeugua ugonjwa wa kifafa. Nikazidisha kuitafuna ile nyama kwa hasira.Punde giza likatanda. Mwanga wa kichawi ndio ukashika nafasi yake.Macho ya kichawi yakanitoka upya yakiachana na macho ya kidunia. Nikaweza kuangaza kona ya chumba. Nikashuhudia kumuona Jamila akisimama kwenye kona na upande mwingine nilimshuhudia Sophy na yeye akisimama wakininyooshea vidole kwa kuvikaza. Macho ya ukali na kichawi ndiyo yalikuwa yakiwatoka. Midomoni mwao walikuwa wamejaa damu hali ilioashiria huenda walikuwa katika himaya nyingine ya kutafuna nyama na wametumwa kuja kuniokoa. Kwa mwendo wa maringo huku wakiwa uchi wakanifuata mpaka karibu.

    “Iku Adela! Iku sana!”

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kwa kawaida ya wachawi neno ‘Iku’ ni la kutia nguvu sana. Na ukiambiwa ‘Iku’ unaweza kufanya chochote ni kama nguvu za kichawi zinakuongezeka mara mbili yake. Jamila na Sophy wakaniacha na kumfuata Baraka. Wakamnyonya mdomoni mwake sambamba nakung’ata shingo yake kwa kumuachia damu damu kama ishara ya kumpumbaza. Baraka akasimama.Wima! Akawa kama tayari wanajuana naye ghafla. Wakanifuata mpaka karibu na karai lililokuwa mbele ya uso wangu. Jamila akatoa miguu miwili akaishika na Sophy nayeye akatoa mikono miwili akaishika.

    “Iku Adela, Iku”

    “Iku”

    Nikaitikia na mimi. Sophy akatoa kitambaa pembeni ya mkono wake nakutoa dawa.Wakaanza kusaidiana na Baraka kunibeba wakitaka kunipachika miguu. Kwa kawaida mchawi anaweza kukuunga vipande vya mwili kwa kutumia unga unga uitwao ‘CHAYA’ Unga unga huu una rangi kama ya dhahabu na unapatikana katika mizizi ya miti ya mibuyu pekee. Ile miti minene kuliko yote. Jamila na yeye akatoa kitambaa katika mkono wake uliokuwa umefungwa chaya. Akaninyunyizia mikono yote kisha akaninyunyuzia na miguuni wakaiunga.Nikapona!

    “Inuka Adela? Inuka?”

    Niliweza kuinuka. Sikuweza kuyasikia maumivu yeyote tena. Zile damu damu nilizokuwa nazo zikayeyuka kutokana na nguvu ya dawa ya chaya. Nikawa Adela yule mchawi upya. Adela mwenye nguvu za kichawi mara mbili yake. Tukaongozana wote mimi,Jamila,Sophy na Baraka mpaka kwenye kona nakuyeyuka.

    ***************

    “Oiyeee! Adela tulimwana mnogie Oyieee!! Izee akunu na Baraka Oiyeee!!”

    Nilishangaa kukuta idadi ya wachawi ikiwa imeongezeka mara mbili yake. Walikuwa wakinena kwa lugha yao ya kichawi. Walikuwa wakiinua mikono yao juu iliokuwa imeshikilia utumbo wa binadamu. Kwa kawaida ya wachawi, mwenzao anapokuwa amenusurika kukamatwa kwa uchawi huwa wanaitana wachawi kutoka pande zote za jirani kusherekea pamoja na kujazana nguvu nyingi za kichawi. Na huwa wanatoa kafara ya watoto kumi na sita hadi ishirini inategemea na idadi ya wageni. Huyatoboa matumbo ya watoto na kutoa utumbo. Hugawana kila mmoja nakuongea kwa kushukuru huku akiwa amenyoosha mkono mmoja uliojaa utumbo kiganjani mwake. Kwa kipindi hiki mimi ndiye nilikuwa nikifanyiwa sherehe hiyo ya kukaribishwa upya kutokana na kunusurika kufa.

    Wachawi wenzangu wakatuzunguka mimi na Baraka huku wakiwaacha Jamila na Sophy. Kundi la wachawi wakiongozwa na baba Jamila wakashusha ule utumbo mikononi mwao mpaka chini kabisa. Wakatandaza ule utumbo.Ukatapakaa!

    “Kanyageni hapa Adela! Kanyaga?”

    Aliongea baba Jamila. Nyuso yake ilikuwa na furaha sana. Baada ya kukanyaga akanisogeza mpaka pembeni kisha akamuamuru Baraka alale chini.Alalie ule utumbo kama kitanda.Kundi la mabinti wakaja kila mmoja akiwa ameshikilia bakuli kubwa na sindano kubwa kama zile za kushonea magunia. Wakaanza kumtoboa Baraka mwilini mwake. Wakamtoboa kila kona ya mwili wake. Damu nyingi zikamtoka Baraka kupitia sehemu alizotobolewa. Wale mabinti wakakinga zile damu kila zilipokuwa zikitomka Baraka. kila mmoja akajaza damu katika bakuli lake. Baraka alilia sana.Akawa mwembamba sana kwa kukauka damu. Hakuwa na nguvu ya kuinuka wala kufanya chochote kutokana na kuwa tayari katika himaya ya kichawi. akapoteza fahamu kabisa.

    “Adela? Shika kisu hiki?”

    Baba Jamila akanikabidhi fupa kubwa lenye makali ambalo huliita kisu. Akanishikisha.Hofu ikanitanda!

    “Adela? Unatakiwa umtoe utumbo wake wote nje halafu utaanza kuula wewe na kisha utanipa mimi na wageni wetu hapa utamkatia kila mmoja. Sawa?”



    ****************************************

    CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ***** Je Adela atafanikiwa kumtoa utumbo Baraka nakuula? Nini hatma ya Adela katika maisha yake ya kichawi?



    ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

Blog